<?xml version='1.0' encoding='UTF-8'?><?xml-stylesheet href="http://www.blogger.com/styles/atom.css" type="text/css"?><feed xmlns='http://www.w3.org/2005/Atom' xmlns:openSearch='http://a9.com/-/spec/opensearchrss/1.0/' xmlns:georss='http://www.georss.org/georss' xmlns:gd='http://schemas.google.com/g/2005' xmlns:thr='http://purl.org/syndication/thread/1.0'><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797</id><updated>2012-02-16T14:46:47.461-08:00</updated><title type='text'>Find True Faith</title><subtitle type='html'></subtitle><link rel='http://schemas.google.com/g/2005#feed' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/posts/default'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default?max-results=100'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/'/><link rel='hub' href='http://pubsubhubbub.appspot.com/'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><generator version='7.00' uri='http://www.blogger.com'>Blogger</generator><openSearch:totalResults>49</openSearch:totalResults><openSearch:startIndex>1</openSearch:startIndex><openSearch:itemsPerPage>100</openSearch:itemsPerPage><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-7562562472682646998</id><published>2012-02-05T08:14:00.000-08:00</published><updated>2012-02-07T23:35:35.887-08:00</updated><title type='text'>BODY OF CHRIST: AN URGENT HELP PLEASE !!!!</title><content type='html'>&lt;b&gt;PLEASE BODY OF CHRIST!!! AN URGENT SUPPORT OF FINANCIAL AND MATERIAL, IS NEEDED&amp;nbsp;IMMEDIATELY TO SAVE THE LIVES OF 4 YOUNG MEN WHO HAVE RECENTLY, CONVERTED TO CHRISTIANITY ,AFTER A DOOR TO DOOR EVANGELISM AT KIMANZICHANA WARD, IN COASTAL REGION, TANZANIA.&amp;nbsp;&lt;/b&gt;&lt;br /&gt;&lt;b&gt;&lt;br /&gt;&lt;/b&gt;&lt;br /&gt;&lt;b&gt;YOUR SUPPORT WILL DO WONDERS AT THIS TIME OF EMERGENCY.&lt;/b&gt;&lt;br /&gt;&lt;b&gt;&lt;br /&gt;&lt;/b&gt;&lt;br /&gt;&lt;b&gt;THEIR FORMER RELIGION LEADERS, HAVE SWORN TO MAKE SURE THEY HARM THEM ONCE FOUND.&amp;nbsp;&lt;/b&gt;&lt;br /&gt;&lt;b&gt;&lt;br /&gt;&lt;/b&gt;&lt;br /&gt;&lt;b&gt;WE ARE NOW &amp;nbsp;FIGHTING HOW TO GET RID OF THEM &amp;nbsp;FROM THE AREA AND PROVIDE THEM WITH A TEMPORARY SHELTER FAR FROM THE PLACE.&amp;nbsp;&lt;/b&gt;&lt;br /&gt;&lt;b&gt;&lt;br /&gt;&lt;/b&gt;&lt;br /&gt;&lt;b&gt;PRAY ALSO FOR THEIR DIVINE PROTECTION.PLS!&lt;/b&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MEAN WHILE ,PRAY ALSO FOR A CHRISTIAN LADY&amp;nbsp; &lt;b&gt;EVA MOHAMMED&lt;/b&gt; (FORMER MUSLIM) WHO IS STILL IN POLICE REMAND AT BAGAMOYO, &amp;nbsp;BEING &amp;nbsp;ACCUSED OF DEFAMATION OF THE HOLY QUR'AN.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;SHE WENT FOR A WITNESS&amp;nbsp;PROGRAM, WHEN SHE FOUND HERSELF &amp;nbsp;AMONG THE MUSLIM MEN.MOST OF THE INHABITANTS OF BAGAMOYO PROFESS ISLAM.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;THEY TOLD HER TO STOP TELLING THEM ABOUT JESUS AND THE HOLY BIBLE, BECAUSE TO THEM IT IS UN HOLY BOOK COMPARED TO &amp;nbsp;THE QUR'AN.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&amp;nbsp;THE ARGUMENTS CONCLUDED BY TELLING HER TO STAMP ON THE BOOK SO THAT SHE WOULD&amp;nbsp;IMMEDIATELY&amp;nbsp;BECOME &amp;nbsp;INSANE.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;THE LADY DID THE SAME &amp;nbsp;BUT NOTHING HAPPENED .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MUSLIMS BECAME FURIOUS AND SHOUTED AT HER ACCUSING OF DEFAMING THE HOLY BOOK AND REPORTED THE SAME AT THE POLICE POST..&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &amp;nbsp; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-7562562472682646998?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/7562562472682646998/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=7562562472682646998' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/7562562472682646998'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/7562562472682646998'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2012/02/body-of-christ-urgent-help-please.html' title='BODY OF CHRIST: AN URGENT HELP PLEASE !!!!'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-7797119977016038802</id><published>2012-02-01T05:13:00.000-08:00</published><updated>2012-02-01T06:11:21.430-08:00</updated><title type='text'>THE BOOK: JANGA LINALOTAKA KUIKUMBA TANZANIA: O.I.C NA MAHAKAMA YA KADHI (THE CATASTROPHE TO FACE TANZANIA: O.I.C AND SHARIAH COURT)</title><content type='html'>Dear readers,&amp;nbsp; and peace pursuants, following the endless Muslim Movements of attempting to introduce shariah&amp;nbsp;law in Tanzania (Kadhi Courts), I, personally,&amp;nbsp;authored&amp;nbsp;a book, with the aim&amp;nbsp;of creating awareness to the entire Church and the&amp;nbsp; community of Tanzanians and beyond , to be alerted&amp;nbsp;of the movements, and do all the efforts at their disposal, to oppose and rebuke such brutality and dehumanised law.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&amp;nbsp;Below is the entire book in Swahili. You can translate it in any language by legal permission from the author:Daniel Mwankemwa, P.O Box 45102 Dar Es Salaam, Tanzania.&lt;br /&gt;Email: &lt;a href="mailto:dmwankemwa@gmail.com"&gt;dmwankemwa@gmail.com&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp; JANGA LINALO TAKA KUIKUMBA TANZANIA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;THE ORGANISATION OF THE ISLAMIC COMFERENCE (OIC) NA MAHAKAMA YA KADHI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MAASKOFU WALIONA KWA MBALI………………………………………..&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Kitabu hiki kimetolewa na Ev. Daniel A. Mwankemwa,&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;S.L.P 75259&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Dar es Salaam Tanzania&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Simu + 255 755 680 101&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Email: dmwankemwa@gmail.com&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;© Daniel Amwankemwa Nov 2008&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp; ISBN 978-9987-5390-1-7&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Haki zote zimehifadhiwa. Hairuhusiwi kunakili, kupiga chapa au kuiga kwa namna yoyote ile bila idhini ya mtunzi na mchapaji wa kitabu hiki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Printed by Ngalawa printers &amp;amp; Bookshop&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;P.O.BOX 53860&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;DAR ES SALAAM&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;TEL: + 255 754 208233, +255 718025558&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;+255 717028828&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;DIBAJI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Taifa la Tanzania, tangu kuasisiwa kwake &lt;strong&gt;26/4/1964&lt;/strong&gt; limekuwa likiendelea kutambulika kuwa ni taifa la amani. Jambo hilo ni matokeo ya Hekima, Busara, na uchaguzi sahihi wa mfumo adimu na uliyo bora wa namna tuliyojiwekea Wa – Tanzania wenyewe katika Katibu yetu, kwa kupitia wawakilishi wetu halali, yaani, wabunge wanaotuwakilisha katika shughuli zote za kutunga sheria na taratibu mbalimbali zinazoongoza shughuli za Wa – Tanzania wote siku kwa siku, bila kujali dini, rangi, jinsia, eneo analotoka mtu, hali ya kimaisha na mengineyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aina hii ya mfumo huo adimu ndiyo unaomtaka Kiongozi yeyote wa Kitaifa katika nchi yetu ya Tanzania, anapopewa nafasi ya kutuongoza, kabla ya jambo lolote ni lazima kwanza atoe kiapo mbele ya mashahidi wengi kuwa atailinda na kuitetea Katiba hiyo ya Tanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tangu mwaka &lt;strong&gt;1993&lt;/strong&gt; kumekuwepo na mjadala unaoendelea mpaka hivi sasa unaohusiana na ama Tanzania ijiunge na Jumuia ya Hadhara ya Kiislamu, (OIC) au la. Mjadala huu umekuwa ukirudiwa rudiwa sana katika chombo chetu cha kutunga sheria yaani Bunge.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Siku za hivi karibuni Wa-Tanzania tumeshuhudia mijadala miwili mikubwa. Wa kwanza ni ule wa Tanzania kujiunga na Hadhara ya Kiislamu duniani, wa pili ni hoja ya kuwapo kwa kipengele kinachomtambua kadhi katika Katiba yetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vyovyote iwavyo, mijadala ya aina hiyo ina lengo mahususi kutaka dini moja ndiyo itambulike rasmi katika nchi yetu kuwa dini ya Taifa letu kwa kuipa nguvu za kikatiba kama madai ya wale wanaoitaka yalivyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pengine unaweza kujiuliza kwa nini madai kama hayo yanasababisha mijadala mikali katika jamii yetu Wa- Tanzania? Jibu ni jepesi sana. Madai yanayotolewa ni kinyume na Katiba na taratibu tulizojiwekea zinazopaswa kuheshimiwa kulindwa na kutetewa na kila Mtanzania kwa manufaa ya Watanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mjadala unakuwa mkali zaidi pale inapoonekana kuwa madai hayawekwi wazi kwa watu wote kujiridhisha kama yanawafaa au la hii ikiwa ni pamoja na kuiangalia Katiba (Charter) ya Umoja huo, taratibu za umoja na mambo mengine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwalimu Nyerere, mmoja wa Viongozi waasisi wa Taifa letu, katika uhai wake alipata kuandika Kitabu kinachoitwa “&lt;strong&gt;UONGOZI WETU NA HATIMA YA TANZANIA&lt;/strong&gt;” ambapo aligusia mgogoro unaohusiana na suala la OIC. Katika uk. 42 wa kitabu hicho ninanukuu:- &lt;strong&gt;“Wakati wa magogoro wa Zanabar kuingia katika OIC na utaratibu wa kuchagua Makamu wa Rais yawezekana kuwa Rais mwenyewe alikuwa akipendelea msimamo wa “Wazanzibari”. Na hasa kuhusu suala la OIC. Maelezo yake kwa Wazee wa Dar es Salaam, na baadaye alipowahutubia wananchi siku ya Mei Mosi Mtwara, yalifanya watu wengi waamini hivyo. Na washauri wake wa karibu walitaka tuelewe hivyo kuwa ugumu wa suala la OIC ulikuwa unaletwa na Rais mwenyewe, maana alikuwa akiliona suala hilo kwa jicho la Uzanzibari, badala ya kuliona kama Rais wa Tanzania na mlinzi Mkuu wa Katiba yake”.&lt;/strong&gt; Mwisho wa kunukuu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwalimu alikemea. Je walinzi wetu wa Katiba leo wanaliona suala la Tanzania kujiunga na OIC kwa jicho gani jambo linalovunja Katiba ya nchi?.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Suala la OIC ni kovu lililotaka kutugawa Wa-Tanzania kwa kuwepo na madai ya kuwa na Serikali ya Tanganyika kinyume na Katiba yetu. Akiuelezea mpasuko huo wa Umoja wetu wa Kitaifa, Mwalimu Nyerere katika Kitabu chake Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania uk. 54 ninanukuu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;“Zanzibar wakaingia katika OIC viongozi wetu wakafanya kila njia ya kufanya kitendo hicho kisijulikane, au baada ya kushindwa kukificha, kipuuzwe. Haikuwezekana. Kikafichuliwa na ngoma zikaanza hatimaye “Watangayika” wakachoka na wakaanza kudai Serikali ya Tanganyika. Kwa mtaka Urais hii ilikuwa balaa mpya maana si “Wazanzibar” peke yao ambao wanazo kura za uteuzi wa wagombea Urais na baadaye uchaguzi wenyewe. “Watanganyika” nao wanazo tena nyingi zaidi, kwa kizungu hali hii huitwa “delimma”, ni utatizi wa uamuzi kama penye njia panda”&lt;/strong&gt; mwisho wa kunukuu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mgawanyiko huo tunauona pale hata baadhi ya Vyama vya Siasa vilivyosajiliwa kihalali Tanzania vikitaka suala la Tanzania kujiunga na OIC lifanyike.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukiacha Serikali iliyopo madarakani ya &lt;strong&gt;CCM,&lt;/strong&gt; Chama cha &lt;strong&gt;CUF&lt;/strong&gt; pia, kinaitaka OIC. Katika Gazeti la &lt;strong&gt;Nasaha ISBN 0856-7042 Na 266 la Alhamisi, Agosti 5 – 10, 2004&lt;/strong&gt; kuna kichwa kikubwa cha habari &lt;strong&gt;“CUF yataka OIC Zanzibar, yadai Karume kashindwa, Maalim Seif ataweza, Yasema, angalau Dkt Salmin Amour alijaribu”. &lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utashi wa aina hii usiizingatia Katiba ya nchi, unaweza kuwa sumu kali ya kuvuruga kabisa umoja, amani na mshikamano wetu wa Kitaifa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp; MAHAKAMA YA KADHI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mjadala unaohusu Mahakama ya Kadhi kutajwa katika Katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, nao umepamba moto toka makundi mbalimbali ya kijamii, mengine yakipinga na mengine hususani Waislamu wakitaka irejeshwe kwa madai ya kuwa wakoloni waliziheshimu. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp; Kadhi ni nani?&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Kadhi ni hakimu anayefanya kazi ya kufanya hukumu&lt;/strong&gt;.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tofauti na Hakimu wa mahakama zetu zinazotumia sheria za kawaida. Kadhi anatumia sharia ambazo hizo ni maalumu kwa dini ya Kiislamu na Waislamu, zinazopatikana ndani ya Qur’an, Hadithi na Sunna za Mtume wao Mohammad (s.a.w) Mipaka ya maamuzi na utendaji wa Kadhi ni kama ifuatavyo:-&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;i. Kusimamia sheria zote za Ibada&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;ii. Kusimamia mahusiano baina ya:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;iii. Muislamu na Muislamu Ummah ulio bora (kwa mujibu wa mafundisho yao)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;iv. Muislamu na Ahlil-l-Kitabu:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a) Wayahudi (b) Wakristo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;v. Muislamu na Murtad, (Murtad ni mtu aliyebadili dini yake toka Uislamu na kuingia dini nyingine).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;vi. Muislamu na Kafir. (Kafir ni mtu yeyote anayepinga Neno la Mungu wa dini yoyote).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;vii. Muislamu na Jahliya (mjinga)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;viii. Muislamu na asiye Mwamini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ikumbukwe kuwa hukumu anayotoa Kadhi haina rufaa katika chombo chochote kingine cha kisheria. Hii ni kwa sababu sheria zake ni za Kiroho (Kidini) zaidi na hivyo kuitaka Quran na Sunna za Mtume Mohammed (S.A.W) tu ndio zituatwe katika kufanya hukumu hizo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uislamu umeugawa ulimwengu katika makundi mawili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;i. &lt;strong&gt;Dar-al-Salaam&lt;/strong&gt; – Eneo lililojisalimisha chini ya sharia za Kiislamu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;ii. &lt;strong&gt;Dar-al-Harb&lt;/strong&gt; – Eneo la vita lisilokubali sharia za Kiislam.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia zipo hukumu za Kadhi wa Kiislamu kwa Ahlil-al-dhimaah, yaani watu wasio waislamu waishio chini ya Utawala wa Kiislamu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hii ni kusema Hukumu za Kadhi wa Kiislamu hazitaishia kwa Waislamu peke yao bali zinavuka mipaka na kuwagusa watu wa imani zingine wasio Waislamu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Jaji wa Mahakama ya Kiislamu katika mji wa Kabul, Afghanistan, aitwaye Ansarullah Mawlavizada,&lt;/strong&gt; alimuhukumu &lt;strong&gt;Bw. Abdul Rahman&lt;/strong&gt; kunyongwa kwa kuacha dini yake ya awali ya Uislamu &lt;strong&gt;na kubatizwa kuwa Mkristo.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akitoa hukumu hiyo alisema ninamnukuu “&lt;strong&gt;ninaamini kuwa hakuna sharia yoyote katika nchi hii ambayo itakwenda kinyume na dini ya Kiislamu”.&lt;/strong&gt; Mwisho wa kunukuu. &lt;strong&gt;(Nyakati, Machi 26 – Aprill, 2006 uk 1,3).&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo madai ya kuwa Kadhi wa Kiislamu atahusika na masuala ya Kiislamu tu siyo kweli.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Madhara zaidi ya mfumo wa sharia za Mahakama ya Kiislamu unagusa pia familia ambazo mmoja wapo wa wanandoa, anapoamua kutumia haki yake ya kikatiba kubadili dini toka Uislamu anakuwa amepoteza haki zake zote ikiwemo watoto na mali zote walizochuma akiwa Muisilamu na hatua inayofuata na kuuwawa(&lt;strong&gt;Suratul,Al-An’Am 6:151,&lt;/strong&gt; na ufafanuzi wake –&lt;strong&gt;Tafsiri ya Abdullah S. Farsy&lt;/strong&gt;).Ufafanuzi huo unasema ninanukuu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;“katika haki za kupelekea serikali ya kiisilamu kumuua Muisilamu ni :-kuacha dini yake akaingia dini ya kikafiri,watapelekwa wanavyuoni wapole mahodari wamfahamishe vilivyo kila mushikeli alionao.Akishika yaleyale tu ayatakayo hataki kufata hoja wala dalili basi Serikali itamuua”&lt;/strong&gt; Mwisho wa kunukuu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo kuwa na mahakama ya Kadhi katika Katiba ya Tanzania ni kuruhusu mauaji yasiyo ya lazima kwa wale wote ambao waliamua na wanaendelea kuamua kwa hiyari yao kutumia,uhuru wao wa kikatiba kubadili dini waipendayo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je serikali yetu ipo tayari kushuhudia mauaji ya namna hiyo huku wakati huo huo ikishitakiwa wanaoua vibaka na wezi kwa kuwachoma moto?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Madhara mengine ni kuwa mtotoaliyeacha dini ya Kiisilamu na kujiunga na dini nyingine,baba yake alipofariki mtoto huyo hana urithi wowote toka kwa baba huyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kadhi wa mji wa Qatar, Sheikh Hamad Bin Khalifa Al-‘Thami alitoa amri kuwa Kanisa la Epiphany katika mji huo halitakuwa na msalaba au mnara.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;NB: Msalaba ndiyo alama Kuu ya kutambulisha dini ya Kikristo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mamlaka ya kadhi ilivuka mipaka ya dini ya Kiisilamu na kugusa dini nyingine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;OIC kama chombo kilichoundwa kwa ajili ya maslahi ya Kiisilamu kwa ajili ya Waisilamu, kina mwongozo wake unaokiongoza chombo hicho, yaani Katiba. Ni vyema wa -Tanzania wote tukajielimisha kujua Katiba hiyo Ili tunapolijadili suala la Tanzania kujiunga na OIC au la,tuwe na weledi na utambuzi wa kina ili aina yoyote ya maamuzi tutakayofanya yazingatiwe Katiba ,sheria ,kanuni na mazoea yetu ambayo kwa miaka mingi vimekuwa ndiyo missingi yetu ya amani na mshikamano wa taifa letu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kuwa tunajua kuwa kila dini ina tafuta wafuasi, ni vyema njia hizo za kupata wafuasi ziwe ni zile zinazozingatia katiba,ili kila atakaye taka kujiunga na dini yoyote awe na uhuru wa kutosha wa kufanya hivyo bila hofu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uzoefu unaonesha kuwa sehemu nyingi zenye mfumo wa kuwa na kadhi kikatiba haki za wale wasio Waisilamu zinakuwa mashakani.Kwa vile wale ambao ni Waisilamu na Uisilamu huwa inatokea shida kwao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika vitabu vya hadidhi sahihi za dini ya Kiisilamu kuna maelezo ambayo yanaitaka dini moja tu ya kiisilamu ndiyo iwepo.Ninanukuu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Imepokelewa na Ibn (r.a)kuwa mtume wa Allah (s.a.w)alisema nimeamrishwa niwapigie watu mpaka wakiri kwa moyo na watamke kwa ulimi kuwa hakuna Mola anayestahili kuabudiwa isipokuwa Allah na kuwa Mohammad ni mtume wa Allah (s.w) na wadumishe sala na watoe zaka na kama watafanya hivyo wamesalimika damu zao na maisha yao isipokuwa watakapokiuka sharia za Uisilamu na hesabu yao iko kwa Allah”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;(Al-lu’lu wal-marjan Juzuu 1uk 9Hadithi no.15&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(&lt;strong&gt;Mkweli Mwaminifu,Juzuu 1-2 uk 128 Hadithi 276).&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dini ni jambo la ushawishi wa mtu binafsi (persuasive) na wala siyo la kulazimishwa (coersive).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Masuala haya yote mawili ya kujiunga na OIC na Mahakama ya kadhi yanapaswa kuangaliwa kwa hekima kubwa ili wale wanaotuonea kijicho kutugawa kwa misingi ya dini,kabila na mengineyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tanzania inaweza kuwa mtazamaji (observer)tu, kama zilivyo nchi za Herzegovinia na Bosania,Jamhuli ya Afrika ya kati ,au taasisi za dini ya kiisilamu zinaweza kujiunga na OIC kama vile BAKWATA ,BARAZA KUU NA AFRICA MUSLIM AGENCY, na nyinginezo kama vile zilivyo taasisi zingine ambazo sin chi,lakini zimejiunga na OIC kama taasisi tu.Mfano ni taasisi ya ISILAMIC CONFERENCE YOUTH FORUM FOR DIALOGUE AND COOPERATION (ICYFDC) ya Istanbul,Uturuki iliyojiunga mwaka 2005.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na maelezo haya ndani ya kijitabu hiki nimeona pia ni vyema nikakuwekea Katiba (charter0 zote mbili za OIC ya 1974 na marekebisho yake ya 2008 ili ujielimishe na kujua mfululizo wa mikakati hiyo ilikoanza na ilipo kwa sasa ili uweze kuwa na mwanga wa kitakachotokea Katiba (charter) zote mbili zinalenga jambo moja kubwa nalo ni “Ulimwengu wa kiisilamu kupambana na Taifa la Israel”.Tangu mataifa 13 ya kiarabu yaliposhindwa vita na Taifa la Israel,juhudi mbalimbali za ulimwengu wa kiisilamu zinaendelea hadi leo ili kujaribu kuuchukua mji wa Yerusalemu.Vita iyo ilianza 31/5/1967 na kuisha tarehe 5/6/1967.Israel ilifanikiwa kuitetea na kuilinda nchi yao ya ahadi waliyopewa na Mwenyezi Mungu wao kama vitabu vya dini vinavyoeleza.Israel ndiyo chimbuko la dini za Kiyahudi na Kikristo. Mueleze na jirani yako Karibu tuelimike&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kitabu hiki kimetayarishwa na :&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ev Daniel A. Mwankemwa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;S.L.P 75259,&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dar es salaam,&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mob:+255 755 680101&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Email:dmwankemwa @gmail.com &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;November, 2008.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;THE ORGANIZATION OF THE&amp;nbsp; ISLAMIC&amp;nbsp;&amp;nbsp; CONFERENCE (O. I. C)&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;SHIRIKA LA UMOJA WA KIISLAMU (OIC)&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lililoasisiwa na Wfalme na Wakuu wa Dola na Serikali za Nchi za Kiisilamu mwaka 1996, lilikuwa ni kielelezo halisi cha ufahamu wa Umma wa watu, kuhusu ulazima wa kuanziswa kwa Umoja wenye kubeba matarajio ya umma na uwezo wa kutekeleza mapambano yake ya haki dhidi ya hatari kadhaa zilizokuwa zikiutishia na zinazoendelea kuwepo hadi sasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &lt;strong&gt;MKATABA WA O I C &lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wawakilishi wa Ufalme wa Afghanistani, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Algeria,Dola ya Umoja wa Falme za Kiarabu, Dola ya Bahrain,Jamhuri ya Chad, Jamhuri ya Kiarabu ya Misri, Jamhuri ya Guinea,Jamhuri ya Indonesia, Jamhuri ya Kiisilimu ya Iran, Ufalme wa Kihashemi wa Jordan, Dola ya Kuwait, Jamhuri ya Lebanon,Jamhuri ya Kiarabu ya Libya,Malaysia,Jamhuri ya mali, Jamhuri ya Kiisilamu ya Mauritania,Ufalme wa Morocco, Jamhuri ya Niger, Usultani wa Omani, Jamhuri ya Kiisilamu ya Pakstani,Dola ya Qatar;Ufalme wa Saudi Arabia, Jamhuri ya Senegal, Jamhuri ya Somalia, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Sudan; Jamhuli ya Tunisia, Jamhuri ya Uturuki na Jamhuri ya Kiarabu ya yemen katika mkutano wao uliofanyika mjini Jeddah kuanzia tarehe 14 hadi 18 Muharram, 1392 H (29 Februari hadi 4 Machi, 1972) (wajumbe 30):&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;WAKIREJEA Mkutano wa Wafalme na Wakuu wa Dolan a Serikali za nchi za Kiislamu uliofanyika mjini Rabat 9 – 12 Rajab, 1389 H (22-25 Septemba, 1969); &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;WAKIKUMBUKA Mkutano wa kwanza wa Mawaziri wa Nje uliofanyika mjini Jeddah, 15 – 17 Muharram 1390 H (23 -25 Machi, 1970) na mkutano wa Pili wa Kiislamu wa Mawaziri wa Nje uliofanyika mjini Karachi, 27 -29 Shawal 1390 H (26 – 28 Decemba, 1970);&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;WAKIAMINI KWAMBA Imani yao ni mhimili mkuu katika kuleta maelewano na mshikamano miongoni mwa jamii za Kiislamu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;WALIAMUA kuhifadhi maadili ya Kiislamu kiroho, kijamii na kiuchumi, ambayo kwa hakika yatadumu kama moja ya vigezo muhimu katika kufikia maendeleo ya binadamu;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;WAKIKARIRI UPYA uzingatifu wao wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa na Haki za Binadamu ambao malengo yake yanaweka misingi ya ushirikiano wenye manufaa miongoni mwa watu wote;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;WAKIWA NA DHAMIRA ya kuimarisha njia zilizopo za urafiki wa kindugu na kiroho miongoni mwa watu wao, na kulinda uhuru wao na urithi wa pamoja wa ustaarabu wao vikihifadhiwa hasa katika misingi ya haki, ustahimilivu na kutobaguana;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;KATIKA JITIHADA ZAO za kuimarisha mustakabali wa kiutu, maendeleo na uhuru pahala pote na wakaamua kuunganisha nguvu zao ili kuifikia amani duniani, amani yenye kuhakikisha uwepo wa usalama, uhuru na haki kwa watu wao na kwa watu wengine wote pote ulimwenguni;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MKUTANO UNAIDHINISHA Mkataba wa sasa wa Umoja wa Kiislam:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;KIFUNGU CHA I: UMOJA WA KIISLAM&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nchi wanachama, kwa waraka huu zinaanzisha Shirika la Umoja wa Kiislam.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;KIFUNGU CHA II: MALENGO NA MSINGI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;A) MALENGO&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Malengo ya Shirika la Umoja kwa Kiislam yatakuwa:-&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kuhimiza mshikamano wa Kiislam miongoni mwa dola wanachama;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kuimarisha ushirikiano miongoni mwa dola wanachama katika nyanja za shughuli muhimu za kiuchumi, kijamii, kiutamaduni, kisayansi na nyinginezo, na kushauriana miongoni mwa wanachama ndani ya mashirika ya kimataifa;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kufanya jitihada za kufuta utengano wa kijamii, ubaguzi na kukomesha aina zote za ukoloni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kuchukua hatua muafaka katika kuunga mkono amani ya kimataifa iliyojengwa juu ya msingi wa haki;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kuratibu nguvu za kulinda Sehemu Takatifu za Kiislam na kuunga mkono mapambano ya Watu wa Palestina, kuwasaidia kurejesha haki zao na kukomboa nchi yao;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kuunga mkono mapambano ya watu na jamii zote za Kiislam kwa lengo la kuhifadhi heshima yao, uhuru wao na haki zao za kitaifa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kutengeneza mazingira bora ya kuendelea ushirikiano na maelewano miongoni mwa Dola Wanachama na nchi nyingine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;ii) MISINGI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Dola Wanachama wanaamua na kuahidi kwamba, ili kufanikisha kufikiwa kwa malengo yaliyoainishwa katika ibara iliyotangulia, sharti watiwe moyo na kuongozwa na misingi ifuatayo:-&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Usawa kamili kati ya Dola Wanachama;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kuheshimiwa kwa haki ya kujiamulia mambo, na kutoingiliwa katia masuala ya ndani ya Dola Wanachama;&lt;br /&gt; Kuheshimu haki ya utaifa, uhuru na mipaka ya ardhi, ya Dola Wanachama;”&lt;br /&gt; Ufumbuzi wa migogoro yoyote inayoweza kujitokeza miongoni mwa Dola Wanachama, kwa njia za amani ikiwemo majadiliano, upatanishi, suluhu na njia nyingine zinazofanana na hizo;&lt;br /&gt; Kujizuia kutoa vitisho vya kutumia nguvu dhidi ya haki ya mipaka ya ardhi, umoja wa kitaifa au uhuru wa kisiasa, wa Dola Wanachama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;KIFUNGU CHA III: VYOMBO VYA UMOJA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Umoja wa Kiislam umeundwa na :&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Mkutano wa Wafalme na Wakuu wa Dolan a Serikali;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Mkutano wa Mawaziri wa Nje; na Ofisi Kuu na Taasisi zake tanzu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;KIFUNGU CHA IV: MKUTANO WA WAFALME NA WAKUU WA DOLA NA SERIKALI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkutano wa Wafalme na Wakuu wa Dolan a Serikali ndicho chombo kikuu chenye mamlaka ya juu ndani ya Umoja.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkutano wa Wafalme na Wakuu wa Dolan a Serikali, wa Kiislam utaitishwa kwa vipindi, mara moja kila baada ya miaka mitatu. Pia utafanyika muda wowote pale maslahi ya Nchi za Kiislam yatakapolazimu kufanya hivyo, ili kutafakari masuala yenye umuhimu mkubwa kwa Waislam na kuratibu ipasavyo sera ya Umoja.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;KIFUNGU CHA V: MKUTANO WA MAWAZIRI WA NJE&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1.(a) Kikao cha Kawaida cha Mkutano wa Mawaziri wa Nje wa Umoja wa Kiislam kitaitishwa mara moja kwa mwaka pale panapoonekana haja ya kufanya hivyo. Kitahudhuriwa na Mawaziri wa Nje wa Dola Wanachama au wawakilishi wao rasmi. Vikao hivi vitafanyika katika Wanachama;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(b) Kikao cha Dharura kitaweza kuitishwa kwa maombi ya Dola yoyote Mwanachama au kwa maombi ya Katibu Mkuu wa Umoja, iwapo maombi hayo yataungwa mkono na theluthi mbili ya Dola Wanachama. Maombi kama hayo yanaweza kupitishwa kutoka Dola moja kwenda nyingine ili kupata idhini itakayohitajika; na &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(c) Mkutano wa Mawaziri wa Nje utakuwa na haki ya kupendekeza kuitishwa kwa Mkutano wa Wafalme na Wakuu wa Dolan a Serikali. Idhini ya Mkutano kama huo itaweza kupatikana kwa kupitisha / zungusha maombi ya aina hiyo kwa Dola Wanachama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Mkutano wa Umoja wa Kiislam wa Mawaziri wa Nje utaitishwa kwa madhumuni yafuatayo:-&lt;br /&gt;a) Kutafakari njia za utekelezaji wa sera kuu za Umoja;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;b) Kupitia maendeleo ya utekelezaji wa maazimio yaliyopitishwa katika vikao vilivyotangulia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;c) Kupitisha maazimio katika masuala yenye maslahi kwa Dola zote Wanachama kulingana na shabaha na malengo ya Umoja, yaliyoandikwa katika Mkataba huu;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;d) Kujadili taarifa za Kamati ya Fedha na kupitia bajeti ya Makao Makuu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;e) 1) Kuteua Katibu Mkuu wa Umoja&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp; 2) Kuwateua Wasaidizi wanne wa Katibu Mkuu kwa mapendekezo ya Katibu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;f) Kupanga tarehe na mahali pa kufanyika Mkutano unaofuata wa Mawaziri wa Ne;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;g) Kutafakari suala jingine lolote linaloathiri mojawapo au zaidi, ya Dola Wanachama ikiwa maombi yatakuwa yamewasilishwa kwa lengo la kuchukua hatua zipasazo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Maazimio na mapendekezo ya Mkutano wa Mawaziri wa Nje yatapitishwa / kuidhinishwa kwa wingi wa theluthi mbili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4. Katika kikao chochote cha Mkutano wa Mawaziri wa Nje, wingi wa theluthi mbili ya Dola Wanachama utakuwa idadi toshelevu au koramu ya Mkutano huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;5. Mkutano wa Mawaziri wa Nje utaamua juu ya taratibu za msingi utakazofuata na ambazo zitafaa pia kwa Mkutano wa Wafalme na Wakuu wa Dolan a Serikali na zile zitakazoundwa na Mkutano wa Mawaziri wa Nje.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;KIFUNGU CHA VI: OFISI KUU&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Ofisi Kuu itaongozwa na Katibu Mkuu atakayeteuliwa na Mkutano Mkuu wa Mawaziri wa Nje atakayeshika madaraka kwa muhula mmoja tu wa miaka minne.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Katibu Mkuu atateua watumishi wa Makao Makuu kutoka miongoni mwa Dola Wanachama, akizingatia ipasavyo uwezo na ushawishi na kwa kufuata misingi ya haki kijiografia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Katika utekelezaji wa majukumu yao, Katibu Mkuu, Wasaidizi wa Katibu Mkuu, Wasaidizi wa Katibu Mkuu na Watumishi wa Makao Makuu, hawatapaswa kutoka serikali au mamlaka yoyote zaidi ya Umoja. Ni wajibu wao wajiepushe kuchukua hatua yoyote inayoweza kuleta madhara kwa nafasi zao wakiwa ni maafisa wa kimataifa wenye kuwajibika kwa Umoja pekee. Dola Wanachama zinakuchukua jukumu la kuheshimu sifa hii na aina ya jukumu la maafisa hao, hazitatafuta fursa ya kuwashawishi kwa namna yoyote, katika utekelezaji wa majukumu yao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4. Kazi ya Ofisi Kuu itakuwa ni kuinua kiwango cha mawasiliano miongoni mwa Dola Wanachama na kutoa vyombo / vifaa kwa ajili ya kuwezesha mashauriano na kubadilishana mawazo na pia usambazaji wa taarifa zinazoweza kuwa na umuhimu kwa Dola hizi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;5. Makao Makuu ya Ofisi Kuu yatakuwa mjini JEDDAH kwa muda, hadi Baitul Maqdis (JERUSALEM) utakapokombolewa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;6. Ofisi ya Katibu Mkuu itafuatilia utekelezaji wa maazimio na mapendekezo ya Umoja na kutoa taarifa kwa Mkutano. Ofisi hiyo pia itazipatia moja kwa moja Dola Wanachama nyaraka za kuzifanyia kazi na kumbukumbu muhimu kupitia njia sahihi kulingana na masharti ya maazimio na mapendekezo ya Umoja.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;7. Ofisi ya Katibu Mkuu itaandaa mikutano ya Umoja kwa kushirikiana kwa karibu na Dola wenyeji katika masuala yote ya kiutawala na mifumo ya uongozi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;8. Kwa kuzingatia makubaliano juu ya kinga na upendeleo maalum, yatakayoidhinishwa na Umoja.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a) Umoja utakuwa na haki, katika Dola Wanachama, ya kunufaika kwa kupatiwa upendeleo maalum na kinga za kisheria kwa kadiri itakavyokuwa lazima kwa kutekeleza majukumu yake na kutimiza malengo yake;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;b) Wawakili wa Dola Wanachama watakuwa na haki ya kunufaika na kinga na upendeleo maalum kwa kadiri itakavyohitajika itakavyohitajika kuwawezesha kutekeleza majukumu yao yahusuyo Umoja.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Watumishi wa Umoja watakuwa na haki ya kunufaika na kinga na upendeleo kwa kadiri itakavyohitajika kuwawezesha kutekeleza majukumu yao yatakayoamuliwa na Umoja.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;KIFUNGU CHA VII: GHARAMA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt; Gharama zote za utawala na shughuli za Ofisi Kuu zitalipwa na Dola Wanachama kulingana na ukubwa au udogo wa pato la nchi zao;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Ofisi Kuu itasimamia shughuli zake za kifedha kwa mujibu kwa kanuni na taratibu zilizoidhinishwa na Mkutano wa Mawaziri wa Nje.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kamati ya kudumu ya Fedha itaundwa na Umoja kutokana na wajumbe wawakilishi wa Dola washiriki, na itakutana katika makao makuu ya Ofisi Kuu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katibu Mkuu, itaandaa na kusimamia bajeti ya Ofisi Kuu kwa mujibu wa kanuni zilizoidhinishwa na Mkutano wa Mawaziri wa Nje.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;KIFUNGU CHA VIII: UANACHAMA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Shirika la Umoja Kiislam limeundwa na Dola zilizoshiriki katika Mkutano wa Wafalme na Wakuu wa Dola Serikali uliofanyika mjini Rabat na katika mikutano miwili ya Mawaziri wa Nje iliyofanyika katika miji ya Jeddah na Karachi, zilizosaini Mkataba uliopo. Kila Dola ya Kiislam itakuwa na sifa ya kujiunga na Shirika la Umoja wa Kiislam kwa kuwasilisha maombi ikielezea nia, makusudio na utayari wake wa kuukubali Mkataba huu. Maombi hayo yatawasilishwa katika Ofisi Kuu kwa ajili ya kufikishwa katika Mkutano wa Mawaziri wa Nje katika Kikao chake cha kwanza kitakachofuatia kuwasilishwa kwa maombi hayo. Haki ya kuwa mwanachama itaanza wakati wa kuidhinishwa na mkutano kwa wingi wa theluthi mbili ya wajumbe wa mkutano.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;KIFUNGU CHA IX: MASHIRIKA YA KIISLAMU&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ofisi Kuu itafanya kazi kwa kuzingatia muundo wa Mkataba uliopo na kwa idhini ya Umoja ili kuimarisha mahusiano kati ya Shirika la Umoja wa kiislam na Mashirika ya Kiislam yenye hadhi ya kimataifa na kuinua ushirikiano katika kutumikia malengo ya Kiislam yaliyopitishwa na Mkataba huu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;KIFUNGU CHA X: KUJIONDOA KWENYE UANACHAMA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dola yoyote Mwanachama itaweza kujiondoa kutoka Shirika la Umoja wa Kiislam kwa kutuma taarifa ya maandishi katika Ofisi Kuu, ambayo nayo itazitaarifu Dola zote Wanachama kuhusu kuwepo kwa taarifa hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dola yenye kuomba kuondoa uanachama wake italazimika kuendelea kuwajibika kwa majukumu yake hadi mwishoni mwa mwaka wa fedha ambamo maombi ya kujitoa yamewasilishwa. Italazimika vile vile kulipa madeni yake yote ya kifedha kwa Umoja, kama yatakuwepo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;KIFUNGU CHA XI: MAREKEBISHO&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkataba huu utaweza kufanyiwa marekebisho, iwapo marekebisho yatakayopendekezwa yataidhinishwa na kupitishwa kwa wingi wa theluthi mbili ya Dola Wanachama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;KIFUNGU CHA XII: TAFSIRI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mgogoro wowote unaoweza kujitokeza kuhusiana na tafsiri, matumizi au utekelezaji wa kifungu chochote katika Mkataba uliopo utasuluhishwa kwa njia za amani, na katika hali zote kwa kupitia mashauriano, majadiliano, upatanishi, suluhu na njia nyingine zinazofanana na hizo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;KIFUNGU CHA XIII: LUGHA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Lugha rasmi za Umoja zitakuwa Kiarabu, Kingereza na Kifaransa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;KIFUNGU CHA XIV: URIDHIWAJI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkataba huu utaidhinishwa na kuridhiwa na Dola Wanachama wa Shirika la Umoja wa Kiislam kulingana na taratibu zinazotumika katika kila moja ya nchi husika. Mkataba huu utaanza kutumika rasmi katika nchi husika kuanzia tarehe ya kuwasilishwa kwa waraka wa kuridhiwa, kwenye Ofisi Kuu, kwa kuidhinishwa kwa wingi wa Dola zilizoshiriki kwenye Mkutano wa Tatu wa Kiislam wa Mawaziri wa Nje uliofanyika mjini Jeddah kuanzia tarehe 14 hadi 18 Muharram H(29 Februari – 4 Machi, 1972).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkataba huu umesajiliwa kulingana na Kifungu cha 102 cha Mkataba wa Umoja wa Mataifa tarehe 1 Februari, 1974&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;KANUNI NA TARATIBU ZA UENDESHAJI WA SHIRIKA LA UMOJA WA KIISILAMU (OIC)&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Shrika la Umoja wa Kiisilamu (OIC) ni shirika la kiserikali lenye kujumuisha dola zipatazo hamsini na sita (56).Dola hizi zimeamua kuweka pamoja mali zao, kuunganisha nguvu zao na kuongea kwa sauti moja ili kulinda maslshi na kuhakikisha maendeleo na mustakabali wa watu wao na wa Waisilam mengine duniani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Shrika hili lilialisiwa mjini Rabat, katika Ufalme wa Morocco, tarehe 12 Rajab, 1389H (25 Septemba,1969) wakati mkutano wa kwanza wa viongozi wa ulimwenguni wa Kiisilamu ulifanyika katika mji huu mwanzoni mwa uchomaji moto wa kijinai uliotekelezwa tarehe21 Agosti,1969 na Wazayuni (Waisraeli)dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa ndani ya mji ulikaliwa kwa nguvu, wa Yerusalem.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa hakika ilikuwa ni katika kulinda heshima, hadhi na imani ya Waisilam kukabiliana na maashambulizi makali yaliyofanywa dhidi ya mi mtakatifu wa Al-quds (Yerusalem) unaothaminiwa mno na Wisilam, na dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ambayo ni Kibla ya kwanza na sehemu Takatifu ya Tatu katika Uisilam, ambapo viongozi wa ulimwengu wa Kiislam katika mkutano wa Wafalme na Wakuu wa Dola na Serikali mjini Rabat, walichukua tukio la mashambulizi hayo yaliyolaaniwa vikali kwa sauti moja kote ulimwenguni kutafakari kwa pamoja jukumu lao la pamoja, na kuunganisha nguvu inayoitajika kuondoa tofauti zao, kuunganisha na kuweka msingi wa kundi hili kubwa la madola, yaani Shirika la Umaja wa Kiisilam ambalo wao walilikabidhi jukumu la kuukomboa mji wa Yerusalem na uvamizi na kukaliwa na Wazayuni (Waisraeli).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Miezi sita baada ya mkutano huo wa kihistoria, yaani Muharram 1390H (Machi 1970), mkutano wa kwanza wa Mawaziri wa Nje uliofanyika mjini Jeddah ulianzisha Makao Makuu ya kudumu, kuhakisha kuwepo na utaratibu miongoni mwa Dola Wanachama na kuyapa Makao hayo Makuu jukumu la kuratibu kazi yao.Mkutano huo uliteua Katibu Mkuu na ukauchagua mji wa Jeddah kuwa Makao Makuu ya ShIrika hili wakati ukisurubiwa ukombozi wa mji wa Yerusalem mbao utakuja kuwa Makao Makuu ya Umoja huu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Miaka miwili na nusu baada ya mkutano wa Rabat, Muharram 1392H (Februari 1972) mkutano wa Mawaziri wa Nje wa Umoja wa Kiisilam, katika kikao chake cha Tatu, uliolenga kuimarisha mshikamano na ushirikiano miongoni mwa Madola ya Kiisilam katika nyanja za kisiasa, kiuchumi, kiutamaduni, kisayansi na kijamii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chini ya Mkataba huo, Umoja huu unakusudia yafuatayo:- &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kuimarisha:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(a) Mshikamano wa Kiisilam miongoni mwa Dola Wanachama;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(b) Ushirikiano katika nyanja za kisiasa, kiuchumi, kijamii na kisayansi;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(c) Mapambano ya Waisilam wote ya kulinda heshima yao, uhuru wao na haki za mataifayao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Kuratibu kazi ya:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;a) Kulinda sehemu takatifu za Waisilam.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;b) Kuunga mkono mapambano ya watu wa Palestinana kuwasaidia krejesha haki zao na kuyakomboa maeneo yao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Kuchukua jukumu la:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(a) Kutokomeza ubaguzi wa kikabila na aina zote za za ukoloni;na&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(b) Kutengeneza mazingira muafaka kwa ustawi wa ushirikiano na maelewano kati ya Dola Wanachama na nchi nyingine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkataba wa Umoja pia umeorodheshwa misingi ambayo kwayo Dola Wanachama zinakusudiwa na kutiwa moyo katika kufikia malengo ya Shirika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkataba vile vile umeorodhesha misingi inayosimamia shughuli za Umoja, ambao ni:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Haki sawa miongoni mwa Dola Wanachama;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuzingatiwa kwa haki ya kujitawala na kutoingiliwa mambo ya ndani ya Dola Wanachama; na&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuzingatiwa kwa utaifa,uhuru na haki ya mipaka ya ardhi/nchi ya kila Dola.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ufumbuzi wa migogoro inayoweza kujitokeza baina ya Dola Wanachama bila kutumia nguvu kama vile njia ya majadiliano,upatanishi,suluhu na nyingine zinazofanana na hizo;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ahadi ya kujizuia,katika mahusiano miongoni mwa Dola Wanachama,kutumia nguvu au kutishia matrumizi ya nguu dhidi ya Umoja na haki ya mipaka ya ardhi au uhuru wa kisiasa wa yeyote kati ya Dola Wanachama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika kuhakikisha linafanikisha malengo yake, Shirika limeunda vyombo, vyombo tanzu, taasisi na kamati maalum.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vyombo Vikuu vifuatavyo ndivyo vyenye kuunda Umoja wa kiisilam:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkutano wa Wafalme na Wakuu wa Dola na Serikali,ndiyo mamlaka kuu kabisa ya Umoja, ambao hufanyika /hukutana mara moja katika kipindi cha miaka mitatu ili kuweka sera za shirika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkutano wa Mawaziri wa Nje, ambao hukutana/hufanyika mara moja kila mwaka kutazama /kuzingatia taarifa ya maendeleo ya utekelezaji wa maamuzi yake,kwa kuzingatia mfumo au msingi wa sera uliofafanuiwa na Mkutano wa Wafalme na Wakuu wa Dola na Serikali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ofisi Kuu, ambacho ndicho tendaji cha Umoja kilichokabidhiwa jukumu la utekelezaji wa maamuzi ya Mikutano ya Wafalme na Wakuu wa Dolan a Serikali na Mikutano ya Mawaziri wa Nje.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika kuratibu na kutia nguvu kazi zake, kuweka sawa mitazamo na misimamo yake na kupata mafanikio halisi katika nyanja mbalimbali za ushirikiano,kisiasa,kiuchumi,kiutamaduni,kijamii kiroho na kisayansi miongoni mwa Dola Wanachama,Shirika hili limeunda kamati mbalimbali, karibu zote zikiwa katika ngazi za Mawaziri zikiwemo baadhi ambayo Wenyeviti wao ni Wakuu wa Dola. Kamati ya Kudumu ya Habari na Masuala ya Utamaduni (COMIAC); Kamati ya Kudumu ya Ushirikiano wa kiuchumi na Kibiashara (COMCEC); Kamati ya Kudumu ya Ushirikiano wa Kisayansi na Kiteknolojia (COMSTECH) na Kamati ya Amani ya Kiisilam ndizo Kamati zinazofanya kazi chini ya Wenyeviti ambao ni Wakuu wa Dola. Kamati Kuu kumi na nne zilizoanzishwa chini ya utaratibu huo, zinazoshughulikia masuala mengine muhimu kama vile Palestina, Ukanda wa Sahel, Afghanistan, Kashmir n.k.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Idadi na aina za vitengo na taasisi, zinazofanya kazi kwa lengo la kufanikisha malengo ya Umoja, zimekuwa zikiongezeka haraka haraka, zikihusisha maeneo mbalimbali ya kiutamaduni, kisayansi, kiuchumi, kisheria, kifedha, kimichezo, kiteknolojia, kielimu, vyombo vya habari na pia kiufundi, kijamii na kiutu.Kutegemea kiwango cha uhuru wa kiutendaji kutokana na idalra-mama, taasisi na vitengo hivi vinaimarishwa kama vyombo tanzu vinavyotekeleza kazi maalum, au taasisi nasibishi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwisho, ni muhimu kutaja kwamba hadi kufikia mwaka wa tatu wa Muongozo wa Kidunia wa Maendeleo ya Umoja wa Mataifa mwaka 1988 chini ya uangalizi wa UNESCO-Shirika la Umoja wa Kiisilam limejenga Vyuo vya Kiisilam, Taasisi za Kitamaduni na Vituo vya uenezi wa utamaduni wa Kiisilam na kutoa mafunzo ya lugha ya Kiarabu ambayo ndiyo lugha ya Kur’an Tukufu pamoja na lugha nyinginezo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;OFISI KUU&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hiki ni chombo cha tatu cha Shirika la Umoja wa Kiisilam na ndicho cha utendaji cha Umoja. Ofisi Kuu ya OIC ilianzishwa na Mkutano wa Kwanza wa Mawaziri wa Nje uliofanyika mjini Jeddah, Ufalme wa Saudi Arabia mnamo Muharram 1390H (Februari,1979).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ofisi Kuu hutekeleza majukumu yaliyokabidhiwa kwake na Umoja chini ya Mkataba wake, na chini y Kanuni na Taratibu za utekelezaji wa Umoja na kama inavyoelekezwa kwa mujibu wa mpango wa utekelezaji uliokubaliwa na Umoja na Katibu wake Mkuu. Ofisi Kuu huvisaidia vitengo tanzu na vyombo vyenye kazi maalum kutekeleza majukumu yake na pia huratibu program zao. Pia husimamia utekelezaji wa maazimio na mapendekezo ya Mkutano wa Mawaziri wa Nje.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1&lt;strong&gt;. KATIBU MKUU&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ofisi Kuu ya Umoja inaongozwa na Katibu Mkuu anayeteuriwa na Mkutano wa Mawaziri wa Nje kushika madaraka kwa kipindi cha miaka minne kinachoweza kurudiwa mar moja tu. Katibu Mkuu husaidiwa na Makatibu waku Wasaidizi wanne ambao huchaguliwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama mamlaka ya juu kabisa ndani ya Ofisi kuu na ndani ya vitengo tanzu, Katibu Mkuu anawajibika kwa kUmoja wenyewe kwa utendaji wa kazi za Ofisi na taasisi tanzu naye huwasilisha taarifa kwenye taarifa kweny Umoja juu ya ya utendaji kazi wa ofisi kuu na vitengo tanzu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika utekelezaji wa kazi zake, Katibu mkuu husaidiwa na makatibu wakuu wasaidizi wake, Maafisa na wataalam. Watu walioteuliwa kushika nafasi za katibu Mkuu wa OIC tokea kuasisiwa kwa umoja ni hawa wafuatao. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Tunku abdul Rahman (Malaysia) -1971-1972&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Hassan AlTouhami (Misri)-1974-1975&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Dr.Amadou Karim Gaye (Senegal)-1975-1975&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4. Syed Sharifuddin Pirzada (Pakistan)- 1985-1988&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;5. Dr. Hamid Algabid (Niger)-1989-1988&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;6. Dr.Azeddine Laraki (Morocco)-1997-2000&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;7. Dr Abdelouahed Belikeziz (Morocco) 2001&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;8. Prof.Eklemedin Ihsanoglu{Uturuki}2001 hadi sasa. Kazi za Ofisi kuu zimegawanywa katika idara zinazoongozwa na makatibu wakuu wasaidizi kila idara, ambao huwajibika kwa katibu Mkuu kwa utendaji kazi wa idara yake kila mmoja.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;UTARATIBU WA KAZI NA IDARA MBALIMBALI &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katibu Mkuu Msaidizi anayehusika na Masuala ya Kisiasa ndiye mkuu wa idara zifuatazo:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. idara ya Masuala ya Kisiasa &lt;br /&gt;2. Idara ya Masuala ya waarabu&lt;br /&gt;3. idara ya Masuala ya Afrika&lt;br /&gt;4. Idara ya Masuala ya Asia&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katibu Mkuu Msaidizi anayesimamia Habari na Masuala ya Kiutamaduni na kijamii, huratibu kazi za idara mbili ambazo ni;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Idara ya Habari &lt;br /&gt; Idara ya Masuala ya Kiutamaduni na Kijamii.&lt;br /&gt;Katibu Mkuu Msaidizi anayesimamia sayansi na Teknolojia, huratibu kazi za Idara ya Sayansi na Teknolojia.&lt;br /&gt;Mkurugenzi wa Uratibu wa masuala ya Palestina (cheo cha Katibu Mkuu Msaidizi)&lt;br /&gt;Huratibu kazi zinazohusu Palestina na Al-Quds (yerusalem)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kamishna Mkuu wa Ususiaja wa Israel (cheo cha Katibu Mkuu Msaidizi) huratibu kazi kza Ofisi ya Ususiaji wa israel. Ndiye pia anayesimamia Kitengo cha Uenezi wa Dini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Idara zilizoonyeshwa hapa chinin zinaratibiwa nao Ofisi ya Katibu Mkuu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Idara ya Utawala na fedha&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Idara ya Waislam walio wachache&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Idara ya itifaki na Mahusianao ya watu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Idara ya Uratibu wa vitengo na vyombo vyenye kazi maalum, na taasisi zilizonasibishwa nazo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Idara ya Huduma za kawaida&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Ofisi za masuala ya Nje&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Ofisi ya Kuduma ya Mtazamaji wa OIC katika Umoja wa Mataifa, New York.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Ofisi ya Kudumu ya Mtazamiji w OIC katika Umoja wa mataifa, Geneva&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Ofisi ya OIC kw ajili ya kafghanistan, Iskanabad.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MAJUKUMU YA IDARA MBALIMBALI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yanaweza kuelezwa kwa ufupi kama ifuatavyo:-&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;1. BARAZA LA KATIBU MKUU&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uratibu wa Mikutano Mikuu na midogo ya umoja;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ufuatiliaji na uratibu wa kazi za idara za kawaida;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ufuatiliaji wa shughuli za mashirka yasiyo ya kiserikali;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kazi yote ya Ofisi ya katibu Mkuu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. IDARA YA AL-QUDS AL-SHARIF NA PALESTINA&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kutengeneza mipango, kuendesha mitaala ya kisiasa, kiuchumii, kijeshi na habari;na program kwa malengo ya:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kuunga mkono mapambano ya watu wa Palestina na kutafuta haki zao halali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kulinda sehemu takatifu za Waislam kdhidi ya uchafuzi wa adui wa Kizayuni (Kiisraeli).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kuzuia na kudhibiti uhamiaji w Wayahudi kuingia ndani ya Palestina na kuzima aina zote za vitendovya Kizayuni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kuongoza kampeni za taarifa kwa kushirikiana na vyombo vya habari vya nchi za Kiislam.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kuisaidia OIC iweze kutoa mchango wa maana katika mikutano inayoshughulikia mustakabali wa Al-Quds Al sharif (Yerusalem) na Palestina.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; kufuatilia utekelezaji wa maamuzi yanayohusiana nayo,&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3&lt;strong&gt;. OFISI YA USUSIAJI WA ISRAELI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inaratibu jitihada za dola Wanachama wa Shirika la Umoja wa Kiislam katika kuisusia Israel.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4. &lt;strong&gt;OFISI YA KIISLAM YA URATIBU WA KIJESHI PAMOJA NA PALESTINA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Majukumu yake ni kuratibu misaada ya kijesh inayotolewa na &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dola wanachama wa Shirika la Umoja wa Kiislam (OIC) kwa Palestina.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;5. IDARA YA MASUALA YA KISIASA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kuweka sawa na kuratibu hatua za kisiasa miongoni mwa Dola wanachama kwenye ngazi za Kitaifa na kimaeneo ili kupata msimamo mmoja wa kiislam, kisiasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kufuatilia kutekelezaji wa maamuzi yaliyofanywa kwa misingi hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;6. IDARA YA JAMII ZA KIISLAM NA WAISLAM WALIO WACHACHE.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kukusanya Ktaarifa, data na takwimu yuu ya jamii za Kiislam katika nchi zisizokuwa za kiislam.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kuwasaidia katika mahitaji yao bila kuingilia haki za utaifa za nchi wenyeji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;7. IDARA YA MASUALA YA KISHERIA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inashughulika na masuala ya Kisheria na inatoa ushauri wa kisheria kuhusina na kazi za Ofisi Kuu, vitengovyake na taasisi zake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inafanyia kuchunguzi rasimu za mikataba ya kimataifa ambayo Dola wanachama wanafungamana nayo au kuhusika nayo. Huandaa maandishi/nyaraka za kisheria ar mikataba inayotarajiw kufanwa miongoni mwa Dola Wanachama na kuchuka hatua kueleke kutiwa saini;kuridhiwa, utekelezaji, kuwasilishwa, kusajiliwa na kutangazwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;8. &lt;strong&gt;IDARA YA MASUALA YA KIUCHUMI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kuanda mipango na kuwezesha usanifu wa mitaala ya kimaendeleo na program.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kuhimiza kushirikiana wa Kiuchumi, kiteknolojia na kibiashara katika nyanja muhimu zilizoainishwa na umoja wa kiislam.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kuharakisha maendeleo ya kiuchumi ya Dola wanachama wa OIC kupitia ustawishaji wa fursa za nguvu-kazi na ulinzi wa raslimali zao kwa ushirikiano na mabenki, vyombo na taasisi zingine&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;9. &lt;strong&gt;IDARA YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kuhamisha maendeleo ya kisayansi na kiteknolojia katika ulimwengu wa Kiisilam.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kuhakikisha utekelezwaji wa maamuzi yaliyofanya na Umoja wa Kiisilam juu ya ushirikiano wa wa Kiisilam kwa Waisilam katika nyanja za sayansi na teknolojia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kufuatlia shughuli mbalimbali za Kamati za kudumu za Ushirikiano wa kisayansi na teknolojia (COMSTECH) na za vyombo tanzu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;10. IDARA YA HABARI &lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kuwapa watu wote nyakati zote taarifa juu ya shughuli za ofisi Kuu ya Umoja na vyombo na taasisi zake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kuratibu shughuli za vyombo vya habari vya Dola Wanachama na zile za Ofisi Kuu ya Umoja na vyombo vya habari vinavyofanya kazi ndani ya Dola Wanachama pekee.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kutawanya/Kusambaza habari kuhusu Umma wa Kiisilam,urithi wake kiutamaduni,mafanikio yake na nafasi yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kufanya kazi ili kuzileta Dola za OIC na watu karibu na kila mmoja.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;11. IDARA YA MASUALA YA KIUTAMADUNI NA KIJAMII&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kuhamasisha ushirikiano miongoni mwa Dola Wanachama katika nyanjaza kiutamaduni na kimichezo kwa:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1) Kufanya /Kuandaa mashindano baina ya wanachama wa;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2) Uungwaji mkono na utaratibu wa shughuli miongoni mwa vituo na taasisi nyingine zenye kujihusisha kwa uwazi na shughuli za kitamaduni na kimichezo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3) Uundwaji wa mfumo sahihi wa kiutamaduni &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4) Uhamasishaji wa elimu na machapisho juu ya Uisilam,Palestina na Al-Quds Al Sharif(Yerusalem). &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;12. IDARA YA UTAWALA NA FEDHA&lt;/strong&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hutengeneza rasimu za taratibu za Ofisi Kuu na vyombo vyake tanzu;hushughulikia masuala ya watumishi,huandaa na kutekeleza bajeti, husimamia hesabu za mapato na matumizi na kutunza nyaraka za kifedha,za Ofisi kuu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;13. IDARA YA MIKUTANO &lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hubuni mipango,huratibu na kutengeneza mipango yote inayohusina na kufanyika kwa mikutano yote ya OIC na mikutano midogo na kutoa huduma za kiuhazili kwa idara ya Ofisi kuu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;14. IDARA YA ITIFAKI NA MAHUSIANO YA WATU &lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hujishughulisha n amasuala ya kiitifaki na mawasiliano juu ya upndeleo maalum n kinga za OIC. Husimamia pia masuala ya mahusiano ya watu;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;15. &lt;strong&gt;IDARA YA UTARATIBU WA VITENGO TANZU, VITENGO VYA KAZI MAALUM NA VITENGO VILIVYONASIBISWA NAVYO &lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hufuatilia kazi ya kuratibu kati ya Ofisi Kuu ya Umoja, vitenzo tanzu, viyengo vya kazi maalum na vilivyosababishwa navyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;16. KITENGO CHA UENEZI WA DINI &lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kinalenga kuweka sawa na kuratibu shughul za mashirika ya umma yanayofanya kazi za uenezi wa Dini ya Kiisilam katiaka Dola Wanachama na kwingineko, ili kuepuka kuwa na kitengo zaidi ya kimoja kufanya kazi moja.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;17. OFISI ZA MASUALA YA NJE OFISI ZA NEW YORK NA ISLAMABAD&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ofisi za kudumu za Watazamaji za Shirika la Umoja wa Kiisilam kwenye Umoja wa Mataifa mjini New York na mjini Geneva zimepewa majukumu yafuatayo:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kufuatilia masuala yote yenye maslahi kwa Umoja wa Kiisilam katika Umoja wa Mataifa.&lt;br /&gt; Kudumisha mawasliano ya karibu na Makao Makuu ya Umoja wa Matafa.&lt;br /&gt; Kutengeneza,kudumisha na kuimarisha mawasiliano na Dola Wanachama wa Umoja wa Mataifa,vyombo na taasisi zenye kazi maalum na pia Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu (ICRC).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uwakilishi wa kudumu wa Shirika la Umoja wa Kiisilam mjini Islamabad ulianzishwa na Mkutano wa Sita wa Wafalme na Wakuu wa Dolan a Serikali, (ICFM) wa Ishirini na moja na Kamati ya Dharura ya OIC inayohusu Afghanistan.Kazi yake kuu ni kuhakikisha uwepo wa kudumu katika eneo hilo na pia kuratibu hatua na kazi za OIC juu ya Afghanistan.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;18. KITENGO CHA HUDUMA ZA KAWAIDA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kitengo hiki kitakuwa kimoja kwa barua na mawasiliano yanayoingia na kutoka.Pia kitakiwa kiungo kati ya Ofisi ya Katibu Mkuu na idara zingine za Umoja.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;UFAFANUZI &lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vituo vilivyotajwa hapa chini vimeanzishwa ndani ya mfumo wa Shirika la Umoja wa Kiisilam kwa mujibu wa azimio lililopitiswa na Mkutano wa Kiisilam wa Wafalme na Wakuu wa Dola na Serikari au Mkutano wa Mawaziri wa Nje. Dola Wanachama moja kwa moja zitakuwa Wajumbe wa vyombo hivi na bajeti zao itabidi ziidhinishwe na Mkutano Mkuu wa Kiisilam na Mawaziri wa Nje. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kituo cha Takwimu, Uchumi,Utafiti,wa Kijamii na Mafunzo kwa ajili ya Nchi za Kiisilam (Uturuki);&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Kituo cha utafiti wa Hisitoria ya Uisilam,Sanaa na Utamaduni kilichopo Isanbul (Jamhuri ya Uturuki);&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Taasisi ya Kiisilam ya Teknolojia,iliyoko mjini Dhaka (Jamhuri ya Watu wa Bangla Deshi);&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4. Kituo cha Kiisilam kwa Maendeleo ya Biashara kilichoko Casablanka (Ufalme wa Morocco).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;5. Taasisi ya Fiqh (sharia) ya Kiisilam yenye Makao Makuu mjini Jeddah (Ufalme wa Saudi Arabia0.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;6. Chuo Kikuu cha Waisilam cha Niger.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;7. Chuo Kikuu cha Waisilam cha Uganda &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;DOLA WANACHAMA&lt;/strong&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;No. JINA TAREHE YA&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp; KUJIUNGA &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Dola ya Kiisilam ya AFGHANISTAN 1969&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Jamhuri ya ALBANIA 1992&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Jamhuri ya Kidemokrasi ya Watu wa ALGERIA 1969&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4. Jamhuri ya AZERBAIJAN 1992 &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;5. Dola ya BAHRAIN 1972 &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;6. Jamhuri ya Watu wa BANGLADESH 1974&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;7. Jamhuri ya BENINI 1983&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;8. BRUNEI DARUSSALAM 1984&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;9. BURKINA FASO(Wakati huo Upper Volta) 1974&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;10. Jamhuri ya CAMEROON 1974&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;11. Dola ya CHAD 1969&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;12. Jamhuri ya Shirikisho la Kiisilam ya COMOROS 1976&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;13. Jamhuir ya DJIBOUTI 1978&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;14. Jamhuri y Kiarabu ya MISRI 1979&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;15. Jamhuri ya GABON 1974&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;16. Jamhuri ya GAMBIA 1974&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;17. Jamhuri ya GUINEA 1969&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;18. Jamhuri ya GUINEA-BISAU 1974&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;19. Jamhuri ya GUYANA 1998&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;20. Jamhuri ya INDONESIA 1969&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;21. Jamhuri ya Kiisilam ya IRAN 1969&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;22. Jamhuri ya IRAQ 1975&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;23. Jamhuri ya Kihashemi ya JORDAN 1969&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;24. Jamhuri ya KAZAKHSTAN 1995&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;25. Dola ya KUWIT 1969&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;26. Jamhuri ya KYRGHYZ 1992&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;27. Jamhuri ya LEBANON 1969&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;28. Jamhuri ya Kisoshalisti ya Watu wa LIBYA 1969&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;29. MALAYSIA 1969&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;30. Jamhuri ya MALDIVEAS 1976&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;31. Jamhuri ya MALI 1969&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;32. Ufalme wa MOROCCO 1969&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;33. Jamhuri ya MSUMBIJI 1994&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;34. Jamhuri ya NIGER 1969&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;35. Jamhuri ya Shirikisho la NIGERIA 1986&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;36. Usultan wa OMAN 1972&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;37. Jamhuri ya Kiisilam ya PAKSTANI 1969&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;38. Dola ya PALESTINA 1969&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;39. Jamhuri ya QATAR 1972&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;40. Ufalme wa SAUDI ARABIA 1969&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;41. Jamhuri ya SENEGAL 1969&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;42. Jamhuri ya SIERRA LEONE 1972&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;43. Jamhuri ya SOMALIA 1969&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;44. Jamhuri ya SUDANI 1969&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;45. Jamhuri ya SURINAME 1969&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;46. Jamhuri ya Kiarabu ya SYRIA 1972&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;47. Jamhuri ya TAJIKISTAN 1972&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;48. Jamhuri ya TOGO 1997&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;49. Jamhuri ya TUNISIA 1969&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;50. Jamhuri ya UTURUKI 1969&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;51. Turkmenistan 1992&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;52. Jamhuri ya UGANDA 1974&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;53. Dola Muungano wa FALME ZA KIARABU 1972&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;54. Jamhuri ya UZBEKISTAN 1969&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;55. Jamhuri ya YEMEN 1969&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;56. Jamhuri ya COTE d’VOIRE 2001&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp; ISLAM IN AFRICA ORGANIZATION (I.A.O)&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &lt;strong&gt;SHIRIKA LA UISILAM BARANI AFRIKA&lt;/strong&gt;:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;TAMKO &lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(LIMETOLEWA KWA PAMOJA NA BARAZA LA KIISILAM,LONDON; SHIRIKA LA UMOJA WA KIISILAM (OIC)NA CHOMBO KILICHOUNDWA PUNDE,YAANI SHIRIKA LA UISILAM BARANI AFRIKA (ISLAM IN AFRICA ORGANIZATION –IAO)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sisi, wajumbe (wote) tuliojumuika hapa jijini ABUJA leo tarehe 1 Jumatatu Al Awwal 1410H (28/11/1989) tukiongozwa na dhamira kuu ya kuunda CHOMBO CHA KIISLAM chenye mizizi thabiti ndani ya Uislam, chenye lengo la kuendeleza matumaini na haja au matakwa ya Waislam barani Afrika, na kuratibu kazi za Kiislam zinazoendelea kutekelezwa na jamii na mashirika mbalimbali ya Kiislam kuanzisha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Miradi inayoweza kusaidiwa kuboresha maisha ya Waislam barani Afrika na katika ulimwengu wa Waislam kwa jumla, TUNAAMUA KAMA IFUATAVYO:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;- Tunatoa wito kwa Waislam kote barani Afrika waungane wakiwa kiungo muhimu cha Umma wa Kiislam uliobarikiwa kwa kupewa muongozo na huruma vilivyoletwa na mjumbe wa Allah, yaani Muhammad (Amani iwe juu yake).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;- Tunahimiza Waislam waliotenganishwa na vigingi na tofauti za mipaka isiyo na uhalisia, ya kijiongrafia na kisiasa, iliyolazimishwa juu yao, ambayo imewekwa na mabeberu kwa maslahi ya Waislam, ili kwamba Waislam barani Afrika waache kujali mipaka hiyo bandia, na badala yake waweze kushirikiana na ndugu zao wote katika ulimwengu wa Kiislam, kwa minajili ya kuusimika upya Umma imara na ulioungana, wa Kiislam wenye kudhamiria kutekeleza amri za Allah, muweza wa yote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;- Tunatoa wito kwa Ulamaa (wanazuoni wa Dini ya Kiislam) wawe na ushirikiano utakaorahisisha kupatikana kwa umoja miongoni mwa Umma wa Kiislam na wajitahidi kuondoa tofauti zote baina yao na jamii nzima ya Kiislam, hususan vijana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;- Tunatoa wito kwa Waislam wote kuifanyia mapitio mitaala inayotumika kufundishia katika taasisi mbalimbali za elimu kwa lengo la kuifanya iendene na maadili, malengo na misingi ya Kiislam na kutumikia mahitaji ya jamii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;- Tunahimiza Waislam wote wawe makini zaidi kuhusu elimu kwa wanawake katika ngazi zote.&lt;br /&gt;- Tunahamasisha ufundishaji wa lugha ya Kiarabu ambayo ndiyo lugha ya Qur’an sanjari na lugha kuu za asili barani Afrika na kufanya kila jitihada ili utaratibu wa matumizi ya maandishi ya Kiarabu katika kuandika lugha kuu za Kiafrika, urejeshwe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;- Mkutano unatambua na kupongeza sana juhudi zinazofanywa na vijana wa Kiislam katika kuutumikia Uislam na unaahidi kuwaunga mkono kikamilifu katika kazi yao hiyo adhimu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;- Tunawahimiza Waislam waanzishe mahusiano imara ya kiuchumi kati ya nchi za Kiislam za bara la Afrika na pande nyingine za ulimwengu wa Kiislam ili kurahisisha usaidizi na ushirikiano kaitka nyanja za biashara, viwanda na fedha kati ya pande hizo, kwa lengo la kujenga mfumo imara wa kiumchumi wenye misingi yake katika Uislam&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;- Mkutano umebaini vilio na malalamiko ya Waislamu wote barani Afrika, ambao wamenyimwa haki yao ya kutawaliwa kwa mujibu wa sharia za Kiislam na unawahimiza wazidishe nguvu zao katika mapambano ya kusimika upya matumizi ya sharia za Kiislam.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;- Mkutano umebaini ya kwamba taratibu za kuanzisha Chama cha Kiislam cha Habari Barani Afrika (African Muslim Media Practitioners Association) nchini Nigeria, zimeanza kutekelezwa. Mkutano umefurahishwa na hatua hiyo muhimu sana na unawahimiza Waislam wote wanaofanya kazi katika mashirika ya habari kukipatia Chama hicho uungwaji mkono wa dhati kinachouhitaji ili kiweze kufanikisha malengo yake. Kuunda / chombo cha kudumu kitakachoitwa Islam in Afrika Organization (IAO) yaani Shirika la Uislam Barani Afrika, chini ya udhamini wa wawakilishi watakaochaguliwa kutoka miongoni mwa nchi washiriki wa mkutano huu: Kutekeleza, miongoni mwa majukumu yao mengine, kazi za dola na kuwezesha upatikanaji wa malengo na makusudio kama yalivyowekwa na (neno lisilosomeka) ndani ya Tamko Hili:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;- Mkutano kwa pamoja unatoa shukrani zake na kuelezea kufurahishwa kwake kwa serikali ya watu wa Nigeria kwa umakini iliouonyesha juu ya Mkutano huu, na kwa namna ya pekee, Mkutano anatoa shukrani zake kwa Rais, Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Nigeria Jenerali ibrahim Badamasi Babangida, kwa hotuba yake nzuri nay a kusisimua ya uzinduzi wa Mkutano huu, ambayo ilisomwa na Jenerali Sani Abacha ambaye ni Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Nigeria.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;- Kwa Baraza Kuu la Masuala ya Kiislam, la Nigeria na kwa Baraza la Kiislam, London na Shirika la Umoja wa Kiislam, OIC kwa kuufadhili na kuuendesha Mkutano huu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;- Kwa wanazuoni na watu wengine muhimu waliowasilisha mada na kuogoza vikao wakati wa Mkutano huu na kwa wale wote amboa ama wamesimika nguzo au wamesaidia vinginevyo na kuufanya Mkutano huo kuwa wa mafanikio makubwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakisukuwa na umoja wa Allah, Muumba na Mola wa Ulimwengu mzima; wakipata hamasa katika maneno ya Kur’an “Hakika mwaka huu Umma (wa Kiislam) ni wamoja”. Na wakidhamiria kuzingatia maagizo ya Allah ndani ya aya za Kur’an “Shikilieni kamba ya Allah bila kutetereka, wala kugawanyika katika makundi”. WASHIRIKI wa mkutano wa Shirika la Uislam Barani Afrika (IAO), mnamo tarehe ya kwanza, Jumata Al Awwal, 142H (28/11/1989) WAMEAZIMIA kuasisi (kuanzisha) ISLAM IN AFRICA ORGANIZATION – IAO – yaani SHIRIKA LA UISLAM BARANI AFRIKA, likiwa na malengo yafuatayo:-&lt;br /&gt; Kuanzisha programu ngangari za maendeleo ya nguvu – kazi;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kutumika kama kisemeo kwa uzingatifu wa mambo yenye maslahi kwa Waislam wote barani Afrika na kwa ulimwengu wa Kiislam kwa jumla;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kuteua wataalam na kuwapa kazi ya kuiandika upya Historia ya Uislam kwa Waislam wa Afrika pamoja na mtazamo halisi wa Kiislam na kuokoa / kurejesha kazi za sanaa na kumbukumbu muhimu zinazoambatana navyo;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kuanzisha (neno lisilosomeka) la Kiislam na vituo vya ufundi vilivyokusudiwa kufundisha wafanyakazi wenye jukumu la kueneza Dini ya Kiislam na kuwapatia ujuzi utakaowawezesha kujiajiri na kuwa na tija;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kuhakikisha muendelezo wa kazi iliyo bora kabisa, iliyoanzishwa kwenye Mkutano huu;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kushirikiana na mashirika mengine ya kitaifa na kimataifa kufanikisha upatikanaji wa malengo yao yaliyokusudiwa;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kuimarisha umoja wa hali na mali miongoni mwa Waislam kote ulimwenguni, hususani barani Afrika;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kuimarisha amani, utengamano na maendeleo ya watu wote, na kuongeza jitihada za kuondoa aina zote za ubaguzi;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kuunga mkono, kuongezea nguvu na kuratibu kazi ya uenezi wa Dini ya Kiislam kote barani Afrika na kufundisha elimu juu ya Uislam kila mahali barani Afrika;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kuhamasisha kazi za utafiti juu ya masuala ya Kiislam na kusambaza matokeo ya kazi hizo;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kuchukua jukumu, na kuhamasisha kufanyika kwa tafsiri za kazi za Kiislam katika lugha mbali mbali za kienyeji barani Afrika, uchapishaji na usambazaji wake;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;strong&gt;Kuunga mkono uanzishwaji na matumizi ya sheria za Kiislam (Sharia) kwa Waislam wote;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kuhamasisha ushirikishwaji ngangari wa vijana wa Kiislam katika nyanja na maeneo yote ya shughuli na kuona wanawake wanapatiwa haki na nafasi ya kutekeleza majukumu yao katika jamii kwa mujibu wa sheria za Kiislam (Sharia);&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;strong&gt;Kuhakikisha kwamba ni Waislam pekee ndio wanaoteuliwa kushika nyadhifa muhimu kitaifa na kimataifa katika mataifa wanachama;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;strong&gt;Kukomesha dini zote zisizokuwa Uislam katika mataifa yote wanachama: Dini hizo ni pamoja na Ukristo, Ahamadiyya na namna nyingine za ibada za kienyeji zisizokubalika kwa Waislam katika aina na matawi yake yote;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;strong&gt;Kuhakikisha kuwa ni Waislam pekee ndio wanaochaguliwa kushika nafasi zote za kiutawala na kisiasa katika mataifa wanachama;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt; Kuhakikisha kutawazwa kwa taifa la Nigeria (Mwanachama namba 24 Barani Afrika na namba 46 Duniani, wa OIC) kuwa shirikisho la Kiislam la Kisultani katika tarehe na muda mujarab / muafaka kuanzia tarehe 28 Machi, 1990 na kumsimika Sultani wa Sokoto kuwa Sultani Mkuu mwenye mamlaka ya dola nchini Nigeria;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kuhakikisha kuwa hatimaye sheria za Kiislam (Sharia) zinachukua nafasi ya aina zote za sheria na mifumo ya mahakama za nchi za Magharibi katika mataifa yote wanachama kabla ya Mkutano ujao wa shirika la Uislam Barani Afrika (OIC).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kuandaa mara kwa mara mikutano ya Shirika la Uislam Barani Afrika (OIC) sanjari na semina, mikongamano, warsha na mikusanyiko mingine ya aina hiyo;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa hiyo kwa lengo la kufanikisha maamuzi haya, Kamati ya Utekelezaji ikiwa na wajumbe kutoka nchi zifuatazo (ambazo tayari ni wanachama wa IAO) na pia kutoka katika Baraza la Kiislam, London, na kutoka katika Shirika la Umoja wa Kiislam OIC imeanzishwa ikiwa na mataifa wajumbe kama ifuatavyo:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Nigeria 2. Niger; 3. Gambia;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4. Mauritania; 5. Senegal 6. Libya&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;7. Tanzania&lt;/strong&gt; 8. Sudan 9. Tunisia&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Makao Makuu ya kudumu ya Shirika la Uislam Barani Afrika I.A.O, yatakuwa jijini Abuja, Nigeria.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kamati ya Utekelezaji imepewa jukumu maalum la kubuni/ kutengeneza (formulate) vipengele bayana vilivyoanzisha Shirika la IAO nchini Nigeria, ikiwemo mifumo (structures) na katiba, ndani ya miezi sita (6). &lt;strong&gt;Mkutano uliweka wazi kuwa Kamati ya Utekelezaji lazima itengeneze mipango ya kina ya kugeuza Chama cha Siasa cha Kitaifa katika kila nchi mwanachama kuwa Chama cha Kiislam cha Taifa, na ya kwamba Chama cha National Republican Convention NRC cha Nigeria sharti lifanywe litimize lengo hili kama Chama pekee cha Kiislam cha Taifa nchini Nigeria. Vyama hivi vya kisiasa vitakavyopewa baraka hizo vitakuwa ndivyo pekee vitakavyotoa watendaji waandamizi (wa dola na bunge). Chama cha NRC cha Nigeria na vyama vingine vya aina yake katika nchi wanachama sharti vibadilishe majina yao ili kuakisi dhamiri yao ya kuukumbatia Uislam.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Mkutano pia ulikubali na kuamua kuwa kwa sasa (1989) IAO itafanya kazi kupitia huduma za Baraza la Kiislam, London na siyo kupitia OIC ( ambayo imesababisha gumzo na utata mkubwa nchini Nigeria).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkutano huu kwa pamoja hatimaye uliridhia Nigeria kuwa mwanachama kamili wa Shirika la Umoja wa Kiislam, OIC, na ukatoa shukrani zake kwa serikali na watu wa Nigeria kwa kutoa kwa ukarimu mkubwa msaada wa dola za Kimarekani bilioni ishirini na moja (US $ 21 Billion) kwa Mfuko wa Maendeleo ya Waislam (Islamic Development Fund) ambao ni mali ya OIC, na kwa moyo mkunjufu kuiomba serikali ya Shirikisho la Nigeria itekeleze sera na programu zote za OIC ili kuonyesha ulimwengu mzima kwamba Nigeria kweli ni taifa la Kiislam.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;JUMUIYA YA KIKRISTO TANZANIA&amp;nbsp; &lt;/strong&gt;(&lt;strong&gt;CHRISTIAN COUNCIL OF TANZANIA)&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;PINGAMIZI DHIDI YA UANZISHWAJI WA MAHAKAMA YA KADHI NCHINI NA TANZANIA KUJIUNGA KATIKA USHIRIKIANO NA JUMUIYA KIMATAIFA YA KIISLAM.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sisi Maaskofu na Viongozi wa makanisa na mashirika wanachama wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) tumetafakari kwa Roho ya Kiutume na Kinabii kwa nchi yetu juu ya Uanzishwaji wa Mahakama ya Kadhi nchini na Tanzania kujiunga katika ushirikiano na Jumuiya ya Kimataifa ya Kiislam (OIC)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunazingatia kutambua kwa dhati na fahari kubwa kuwa nchi yetu haina dini na kwamba jambo hili limekuwa ni mojawapo ya tunu na misingi imara ya umoja na utaifa na amani ya nchi hii. Tumeipongeza Serikali yetu mara nyingi kwa kuingiza kaitka Katiba ya Jumuhuri ya Muungano wa Tanzania ibara ya 19 (2) kama ifuatavyo:- Kazi ya kutangaza dini kufanya ibada na kueneza dini itakuwa ni huru na jambo la hiari ya mtu binafsi, na shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya shughuli za mamlaka ya nchi. (Sheria ya Mabadiliko ya Kumi na Nne katika Katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Na ya 2005). Ibara hii imekuwa ni ya muhimu kwa ajili ya kusimamia na kuhakikisha kwamba mambo ya dini yanatenganishwa kabisa na shughuli za uendeshaji wan chi yetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo ndiyo sheria mama ya sheria nyingine zote, imeendelea kuzingatia umuhimu huu. Ilifadhi ya haki zilizotajwa katika ibara hii itakuwa chini ya taratibu zilizowekwa na umoja wa kitaifa. Haya yamewekwa wazi katika Ibara ndogo ya (3) katika Ibara ya 19 (Sheria ya Mabadiliko ya Kumi na Nne Katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Na. 1 ya 2005).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sheria ya Vyama vya siasa (Sura ya 258 R.E 2002) imetii na kuheshimu tuliyotaja na kuyanukuu hapo juu katika kifungu cha 9 (2) (a) (i) ambacho kinasema; Without prejudice to subsection (i) of this section, no political party shall qualify for provisional registration if, by its constitution or policy (a) it aim to advocate or further the interests of-(i) any religious belief or group. Maana yake (tafsiri ni yetu )ni kwamba chama chochote cha siasa hakitakubaliwa usajili wa muda endapo kwa kufuatana na katiba au sera ya chama hcho kinalenga kutetea au kuendelaza maslahi ya imani au kikundi chochote cha kidini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Siku za karibuni Bunge la Tanzania na vyombo vingine vya serikali vimekuwa vikijadili juu ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Mahakama ya Kadhi na kujiunga katika ushirikiano wa OIC.Mswala haya yanapojadiliwa inaashiria uwezekano wa kukubaliwa kwa mambo haya mawili. Kukubalika kwake ni kwenda kinyume na vifungu vya Katiba na sheri tulizotaja au kunukuu hapa juu. Si hivyo tu,bali pia ni kuruhusu kubomoka na kuvunjika kwa amani ya nchi yetu kwa sababu yanagusa hisia na itikadi za Watanzania wote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunatambua kuwa vyama vya siasa katika kueleza sera na ilani zao vinajitahidi kuvutia wapiga kura wengi ili viweze kupigiwa kura ili kuchukua au kuendelea kushika viongozi wan chi.Lakini kamwe na ni hatari isiwe ni ili mradi kushika uongozi wan chi hata kama ni kwa gharama ya kuvunjika kwa umoja wa kitaifa na amani ya nchi hili! Hili ni jambo tusililokubali kwa vyovyote vile kwa Chama chochote cha kisiasa kitakachokubaliwa mambo haya mawili.Hata itabidi tufikirie upya uhusiano huu! Tunatoa tahadhari kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikali yake kuacha mara moja kuruhusu mjadala na kukubalika kwa mambo haya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Msimamo wetu kuhusu mabo haya mawili ni kuyakataa; na mamlaka yoyoyte ya nchi kuendelea kakalibisha mjadala huu ili hatimaye yakubalike ni kupoteza muda wa wenye dhamana ya mamlaka ya nchi hii na rasilimali za nchi hii. Tuna uhakika wa yaliyomo katika nyaraka anzilishi za taasisi hizo na ni hatari kabisa endapo yakikubalika nchi itaingizwa katika migogoroitakayoua maridhiano, mshikamano, amani, utangamano na umoja wa kitaifa.Kama ilivyokuwa wakati wote tangu kupata Uhuru wa nchi hii hadi sasa mambo ya imani zao bila ya kuingiza mmlaka za nchi katika ghalama na kutumia rasilimali na muda ambao ni muhimu kwa maendeleo ya /na ustawi wa familia, umma na Taifa kwa ujumla.Tunaendelea kuweka mkazo kwamba yale mambo yote ambayo yamekuwa ni tunu kwa Taifahili tangu kuasisiswa kwake yasitikiswe wala kuhojiwa kw makusudi ya kuyaondosha au kudhoofisha umuhimu wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kuzingatia wajibu wetu wa Kinabii na Ki-utume,Jumuiya ya Kiiristo Tanzania inatoa wito kwa Bunge letu lisikubali kamwe kuanzishwa kwa Mahakama ya Kadhi nchini kwa kupitia mchakato wa utendaji wa ma,laka ya nchi,wala kuridhia uanachama wa Tanzania katiak OIC. Tanzania yenye amani imetokana na ni tunda la uhuru wa dini, itikadi, makabil, rangi najinsia zote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MUNGU IBARIKI TANZANIA,&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MUNGU IBARIKI AFRIKA&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pingamizi hili limetokea leotarehe…………………………..Oktoba,2008&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&amp;nbsp;Askofu Mkuu Donald Leo Mtetemela&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwenyekiti&lt;br /&gt;Jumuiya ya Kikristo Tanzania&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;TAMKO LA MAASKOFU NA WACHUNGAJI WA P.C.T MKOA WA DAR ES SALAAM KUHUSU UKIUKWAJI WA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MAHAKAMA YA KADHI NDANI YA KATIBA YA NCHI YA TANZANIA NA KUWA MWANACHAMA WA OIC.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa miaka mingi Wakristo wa Tanzania tumekuwa wapole watulivu na wakimya tukiamini kuwa Serikali,Bunge Mahakama,Vyombo vya sheria,dola, Taasisi za dini,Raia na watu wote wliomo humu nchini hawategemewi kukiuka Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Waasisi wan chi hii waliona mbali juu ya suala ya suala la amani ya taifsa hili. Hivyo wakatuwekea misingi ya Katiba ambayo leo tunafurahia matunda yake kwa kuona amani utulivu mshikamano na umoja kati yetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jambo hili limewezekana hivyo tu pale walipoondoa udini na ukabila ambavyo ndivyo vikwazo vya amani.Kwa mujibuwa Katiba serikali haina dini ala kabila,bali watu wake wana dini zao na makabila yao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini tangu serikali ya awamu ya pili,ya tatu,hadi awamu hii ya nne, tumeona kwamba kunafanyika juhudi za makusudi kwa baadhi ya viongozi wa serikali,baadhi ya wabunge na viongozi wa dini ya Kiisilam wakijaribu kushinikiza udini, kama vile kutaka kuingiza Mahakama ya kadhi ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano,pia na nchini ya Tanzania KUJIUNGA NA “Organization of Islamic Conference”(OIC).Pamoja na wabunge kuwa na haki ya kisheria kubadili vipengele ambavyao vinaweza kuhatarisha amani kwa jamii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kuwataharisha. Je! Ndiyo,kwamba kwenu hakuna hata mtu mmoja mwenye hekima awezaye kukata maneno ya ndugu zake bali mwashitakiana ndugu wka ndugu,tena mbele yao wasio amini.Basi imekuwa upungufu kwenu kabisa kwamba mnashitakiana ninyi kwa ninyi! (1 Wakorintho 6:5-7).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama Wakristo hukumu zetu ndogo,hufanyika ndani ya dini za Kikristo bila kulazimisha mambo hayo yaingie katika Katiba ya nchi hii, maana kufanya hivyo itakuwa na kama kulazimisha Watanzania wote kuwa ni wenye imani ya Kikristo.Kwa kuwa Katiba ya nchi yetu haikuhusu serikali ya kidini,hivyo tunashangazwa kama Wakristo ni nini hasa sababu ya Waisilam kulazimisha masuala yao ya imani kuingia na hatimaye kutaka kutambuliwa kinyume na Katiba ya nchi hii.Linalotakiwa ni nini hasa!Na serikali kuendelea kuachilia jambo kurudia rudia bungeni ina ashiria nini! Hata kama jambo limekubaliwa na chama tawala katika ilani zenye hatari kama hizi inapofikia nyakati za uchaguzi waone hatari zilizoko mbele kitaifa,itakuwa haki kwetu mbele za Mungu,mbele za dunia, kikatiba na kama muasisi wa Taifa hili alivyoona mbali akitutaka raia wote wa Tanzania tukumbatie suala la kutoingiza mambo ya udini ndani ya Katiba na serikali ya nchi ya Tanzania. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukimya wetu kudai haki hii ya kimsingi kwa wakristo isichukuliwe kam hatujui iliyo haki yetu kimsingi,bali tunafahamu ni nini maana ya uhuru wa kuabudu na Mungu wa mbingu na nchi (Mwenyezi Mungu) halazimishi mtu kuwa Muisilam au kuwa Mkristo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa hiyo sisi Maaskofu wa madhehebu ya Kipentekoste Dar es salaam kwa pamoja tunatoa tamko kwa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;KUSEMA HATUTAKI, HATUTAKI KABISA KUIONA NCHI HII IKIJIUNGA NA OIC,&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;na WALA HATUTAKI KABISA KUONA KINAINGIZWA KIPENGELE CHA KUWA NA&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MAHAKAMA YA KADHI NDANI YA KATIBA. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mahakama kwa kufanya hivyo itakuwa ni kukiuka Katiba.Katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977,toleo la Novemba 1,200 sehemu ya pili Ibara ya 9 kifungu “g” na sehemu ya 3Ibala ya 12 kifungu cha 5 na Ibala ya 19,(1),(2),(3),na Ibala ya 20 (2) (a) kukiuka vifungu hivyo kutasababisha uvunjifu wa amani na kubomoa mihimili mikuu ya utulivu iliyosimamishwa ndani ya taifa /nchi yetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ahadi za pesa na misaada ya “oic” inayoelezwa na baadhi ya wanayoishinikiza,na mshikamano wetu waliotuachia waasisi wa taifa hili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mungu ibaliki Tanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni sisi Maaskofu na Wachungaji wa madhehebu ya Makanisa ya Kipentekoste&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(PCT) Mkoa wa Dar es salaam.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bishop David Mwasota&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwenyekiti, PCT DSM &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bishop Mgulu Kilimba&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mjumbe&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bishop Barthomew Sheggah &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mjumbe&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bishop Andrew Mwenibungu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mjumbe&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;HOTUBA ILIYOTOLEWA NA ASKOFU MKUU MPYA WA TANZANIA ASSEMLIES OF GOD (TAG),DR.MTOKAMBALI KATIKA SHEREHE YA KUSIMIKWA KWA &lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Mgeni Rasmi,&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Napenda kutumia nafasi hii kuitizamisha serikali na Chama tawala eneo moja la muhimu ambalo naona kuna kuyumba, nalo ni lile linalohusu Utaifa wetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jitihada kubwa zilifanywa na nchi yetu ilijenga utaifa wa nchi, hatua kubwa na ngumu zilichukuliwa kama vile:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kutaifisha shule za msingi, sekondari na vyuo vilivyomilikiwa kwa wingi na madhehebu mbali mbali na hasa ya kikristo. Mashuleni, vyuoni na maofisini zisionyeshe sura ya dini, imani yoyote au ubaguzi wa aina yoyote&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4. Kuifuata mahakama ya kadhi, ili kuepuka kuwa na mifumo miwili ya sheria ndani ya nchi moja, na hili katiba ya nchi ibara ya 19 kifungu cha pili katika katiba ya Jamuhuri ya Muungano inatamka kuwa “kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza dini itakuwa huru na jambo la hiari ya mtu binafsi na shughuli na uendeshaji wa jumuiya za kidini zitakuwa nje ya shughuli za mamlaka ya nchi”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;5. Taifa kutojiunga na kuwa mwanachama wa Taasisi ya kidini, yenye malengo ya kidini, na maslahi ya kidini kama OIC (Rejea Encyclopedia of Islam and Muslim World, Tovuti inayohusu Islamic Summit Conference na maazimio yake, Cairo Declaration on Human Rights in Islam na www.islamtoday.com.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;6. Viongozi wetu kuanzia Rais hadi viongozi wa kata na ngazi zote za uongozi katika jamii ya watanzania wana dini zao. Lakini serikali wala chama hakina dini. Hivyo serikali, chama na viongozi wake hawapaswi kupendelea dini, sehemu wala kabila lolote. Dalili za wazi zinaanza kujitokeza sasa kwa viongozi kuwa watiifu zaidi kwa imani zao, makabila yao na sehemu watokako na siyo nchi ama utaifa wa Utanzania wao. Yapo mengine mengi yamefanywa kukuza utaifa wetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa mgeni Rasmi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na ugumu na uzito wa maamuzi hayo wa-Tanzania walio wengi walikubaliana na maamuzi hayo ya chama na serikali ya awamu ya kwanza. Kwani yalionekana kuwa na lengo la kuleta mustakabali mwema na wa heri kwa Taifa letu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sasa kuna kila dalili kuwa Chama tawala na Serikali yeke kuonekana kuyumba katika usimamizi wa maamuzi hayo na hivyo kuanza ufa mkubwa katika jitihada za ujenzi wa utaifa wa Taifa letu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Mgeni Rasmi,&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Napenda kukibainishia chama tawala na serikali kwamba kwa mwenendo huu tunaokwenda nao hivi sasa punde si punde waliokuwa machifu nao wataanza kudai warudishiwe tawala zao za uchifu, madhehebu ya ki-Kristo nayo yataanza kudai yarudishiwe shule zote na vyuo vyote vilivyotaifishwa, wanajeshi nao wataanza kudai wavae sare kama imani / dini fulani inavyoagiza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jambo moja tu la kubomoa misingi ya utaifa linaweza kuwa cheche ya mato mkubwa na kuleta udhaifu katika chama tawala na serikali yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sisi Tanzania Assemblies of God tumeona tusikae kimya kwa sababu sisi na wa- Kristo wote ni sehemu ya jamii ya Tanzania ambao tunawajibika kulinda uhuru, umoja amani na utulivu wan chi hii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunapenda kuiangaliza serikali na chama tawala kuwa kitendo cha kuanza kulegeza msimamo na kuyakumbatia mambo hayo ni kubomoa na kuvuruga utaifa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika Mkutano Mkuu wa OIC uliofanyika katika jiji la Dakar Senegal, tarehe 14 Machi, 2008, Jumuiya ya Hadhara ya Kiislamu Duniani (OIC), ilifanya marekebisho madogo ya vifungu vya Katiba yake. Marekebisho hayo, yaliridhiwa kuanza kutumika katika Mkutano Mkuu wa OIC uliofanyika katika jiji la Kampala Uganda, tarehe 20 Juni, 2008.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Moja ya kipengele muhimu kilichofanyiwa marekebisho ni kile kinachohusu uanachama. Tofauti na kipengele cha zamani, (angalia uk. 20), kinachoitaka nchi inayotaka kujiunga na OIC lazima kwanza sura ya 2 kifungu cha 3 kuhusu uanachama kinasema hivi: “Any State, member of the United Nations, having Muslim majority and abiding by the Charter, which submits an application for membership may join the Organisation if approved by consensus only by the Council of Foreign Ministers on the basis of the agreed criteria adopted by the Council of Foreign Ministers”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;tafrisiyake:&amp;nbsp; “Dola yoyote, mwanachama wa Umoja wa Mataifa yenye idadi kubwa ya Waislamu, na inayokubaliana na Katiba hii, itakayowasilisha maobi ya kuomba uanachama wa OIC, inaweza kujiunga na Umoja huu ikiwa itakubaliwa na Baraza la Mawaziri wa Mambo ya Nchi za nje kwa misingi ya kigezo kitakachowekwa na Baraza hilo la Mawaziri wa Mambo ya Nchi za Nje”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa takwimu zilizopo idadi ya Wakristo Tanzania ni wengi zaidi kuliko Waislamu na hivyo kuifanya nchi kukosa sifa za kujiunga na jumuia hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Siku zote ni lazima ikumbukwe kuwa, Mawaziri wa Mambo ya Nchi za Nje katika nchi wanachama wa OIC au zile zinazotaka kujiunga wana nafasi kubwa sana ya kufanya maamuzi yanayohusiana na jumuia hii kwa niaba ya nchi zao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ibara ya 21 charter mpya ya OIC inaeleza shauku ya OIC kuutaka mji wa yerusalemu na kuufanya Makao Makuu ya jumuia hiyo &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Article 21 "The Headquarters of the General Secretarial shall be in the city of Jeddah until the liberation of the city of Al-Quds so that it will become the permanent Headquarters of the Organisation". &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;tafsiri:&amp;nbsp; “Makao makuu ya Ofisi ya Katibu Mkuu yatakuwa katika jiji la Jeddah hadi ukombozi wa jiji la Al-Quds (Yerusalem) ndio utakuwa Makao Makuu ya kudumu ya jumuia”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lengo hili ni la kiimani zaidi na wala si la Kisiasa wala Kiserikali. Ibara hii ni sawa sawa na jinsi inavyotajwa katika Katiba ya zamani, (Angalia uk 16 kfungu cha 5).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vifungu vingine ambavyo malengo yake ni sawa nay ale yaliyomo katika Katiba (charter) ya zamani ni vile vinavyohusu kuchangia gharama tokana na pato la kila nchi za kuiendeshea jumuia hiyo, tangu ngazi ya Makao Makuu na shughuli zake zote katika nchi wanachama, Kinga za kisheria kwa viongozi na maafisa wa OIC katika nchi wanachama, Idara ya kuisusia Israel, na Idara ya kulinda maeneo matakatifu ya Kiislamu ikiwemo Palestina.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jumuia ni ya Kidini, yenye malengo na maslahi ya dini ya Kiislamu. Hivyo katiba ya Tanzania ibara 19 (ii) inaiondolea uhalali Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kujiunga na jumuia hii kama Taifa, ili amani, upendo na mshikamano wa kitaifa vidumu kwa kizazi cha leo na kijacho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-7797119977016038802?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/7797119977016038802/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=7797119977016038802' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/7797119977016038802'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/7797119977016038802'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2012/02/book-janga-linalotaka-kuikumba-tanzania.html' title='THE BOOK: JANGA LINALOTAKA KUIKUMBA TANZANIA: O.I.C NA MAHAKAMA YA KADHI (THE CATASTROPHE TO FACE TANZANIA: O.I.C AND SHARIAH COURT)'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-1349872533188153797</id><published>2012-01-18T04:05:00.000-08:00</published><updated>2012-01-18T04:08:50.776-08:00</updated><title type='text'>JE NENO DINI LINAELEKAJE KWAKO</title><content type='html'>&lt;b&gt;Mara nyingi nimewasikia baadhi ya Wakristo, wakisema "Mimi si mtu wa Dini, Mimi nimeokoka" au unaweza kusikia mwingine akisema: "Zamani nilipokuwa kwenye dini, sikumjua Mungu vizuri, lakini nilipotoka kwenye dini ,sasa nimeokoka".&lt;/b&gt;&lt;br /&gt;&lt;b&gt;&lt;br /&gt;&lt;/b&gt;&lt;br /&gt;&lt;b&gt;Kwako neno "Dini" linamaanisha nini? Je linamaanisha wale wasiokoka?&lt;/b&gt;&lt;br /&gt;&lt;b&gt;&lt;br /&gt;&lt;/b&gt;&lt;br /&gt;&lt;b&gt;Kumbuka Biblia tunayoitumia leo ni ile ya tafsiri ya Kiswahili amabacho kimekopa &amp;nbsp;baadhi ya maneno kutoka lugha ya Kiarabu.&lt;/b&gt;&lt;br /&gt;&lt;b&gt;&lt;br /&gt;&lt;/b&gt;&lt;br /&gt;&lt;b&gt;Kama ndivyo, wale waozungumza lugha ya Kiarabu, neno "Dini" wanalitambua kwa maana kama unayoikusudia wewe? .&lt;/b&gt;&lt;br /&gt;&lt;b&gt;&lt;br /&gt;&lt;/b&gt;&lt;br /&gt;&lt;b&gt;Hebu fikiria kitabu cha Yakobo 1:27 " Dini iliyo safi isiyo na taka mbele za Mungu Baba ni hii, kwenda kuwatazama yatima na wajane katika dhiki zao na kujilinda na dunia pasipokuwa na mawaa"&lt;/b&gt;&lt;br /&gt;&lt;b&gt;&lt;br /&gt;&lt;/b&gt;&lt;br /&gt;&lt;b&gt;Ikiwa wewe huna dini , je huhusiki na maagizo hayo?&lt;/b&gt;&lt;br /&gt;&lt;b&gt;&lt;br /&gt;&lt;/b&gt;&lt;br /&gt;&lt;b&gt;1 Tim 6:19-20, Paulo amuonya mtoto wake wa kiroho Timotheo kuwa " ujilinde na maneno yasiyo ya dini"&lt;/b&gt;&lt;br /&gt;&lt;b&gt;&lt;br /&gt;&lt;/b&gt;&lt;br /&gt;&lt;b&gt;Kuna dini nzuri na dini mbaya. Dini nzuri iko Yakobo 1:27 na Dini mbaya iko 1 Fal 10:20-27 Kusanyiko la dini kwa Baali.&lt;/b&gt;&lt;br /&gt;&lt;b&gt;&lt;br /&gt;&lt;/b&gt;&lt;br /&gt;&lt;b&gt;Dini lina asili ya lugha ya Kiarabu na maana yake: Mahusiano ya kiroho kati ya binadamu na Mungu wake; ni njia ya kumwelekea Mungu au taraja lako kwenda kwa Mungu Ayub 4:6&lt;/b&gt;&lt;br /&gt;&lt;b&gt;&lt;br /&gt;&lt;/b&gt;&lt;br /&gt;&lt;b&gt;Pokea changamoto hii na uifanyie kazi. Ubarikiwe&lt;/b&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-1349872533188153797?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/1349872533188153797/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=1349872533188153797' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/1349872533188153797'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/1349872533188153797'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2012/01/ini.html' title='JE NENO DINI LINAELEKAJE KWAKO'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-3930818890282013608</id><published>2011-12-23T23:46:00.000-08:00</published><updated>2012-02-01T06:12:43.721-08:00</updated><title type='text'>THE MAJOR REASON WHY SOME EUROPEANS EMBRACE ISLAM</title><content type='html'>A series of stories in the Europeans media, has experienced the Christian marriage breakages.&lt;br /&gt;The Bible forbids divorce. Those who are not god fearing and are not ready to reconcile with their spouses when mis understanding arises in their marriages would want to find another way out.&lt;br /&gt;The Bible records some couples who are exemplar for the future generations, and yet condemns those who did against&amp;nbsp; it, by calling them the "hardened hearts"&amp;nbsp; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I have seen many Christians who failed to upheld their marriages covenant, some have resorted to Islam searching the freedom of marrying and divorce.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;In ISLAM ,Allah has permitted Muslims to marry up to four wives at a time, and has also permitted them to divorce whenever they feel to do so, because there is no a strong bound of the covenant of marriage in Islam.&lt;br /&gt;&amp;nbsp;Europeans men and woman embrace Islam in order to enjoy this practice of marrying and divorce because to&amp;nbsp; them a woman or a man is like a commodity which can be changed at any time.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Muslims always have in mind the picture of beautiful women (Hourines) with big eyes, which Allah has promised them to reward in his Paradise.So, when&amp;nbsp; they find on earth similar women in Casino or elsewhere, they would begin enjoying them ,while waiting their promise from Allah &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;You can challenge me , if you think I am wrong. I will dig more to elaborate. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-3930818890282013608?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/3930818890282013608/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=3930818890282013608' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/3930818890282013608'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/3930818890282013608'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2011/12/major-reason-why-some-europeans-emrace.html' title='THE MAJOR REASON WHY SOME EUROPEANS EMBRACE ISLAM'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-8195701699465199930</id><published>2011-12-21T23:36:00.000-08:00</published><updated>2011-12-23T02:54:17.881-08:00</updated><title type='text'>CHURCH BURNING AND DEMOLITION CAMPAIGN STILL ON MOVE IN ZANZIBAR</title><content type='html'>Zanzibar still experiencing the church burning.&lt;br /&gt;Recently two churches have been burnt down and Muslims give warnings to other churches and believers that they have decided to do what they call to 'wash' Zanzibar against Christendom. The Government is still silent on this. We ask "Are the minority Christians who live in the Islands have no worshiping right?"&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-8195701699465199930?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/8195701699465199930/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=8195701699465199930' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/8195701699465199930'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/8195701699465199930'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2011/12/church-burning-and-demolition-campaign.html' title='CHURCH BURNING AND DEMOLITION CAMPAIGN STILL ON MOVE IN ZANZIBAR'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-2081826618222490535</id><published>2011-12-10T06:48:00.001-08:00</published><updated>2011-12-13T07:45:56.746-08:00</updated><title type='text'>THE CHRISTIANS-MUSLIMS STRUGGLE FOR PEACE CO-EXISTANCE</title><content type='html'>&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Interfaith cooperation can make major contribution for peace in Tanzania, especially in the matters which ensure to preserve the religious tolerance tendency.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;What both Christians and Muslims in Tanzania, need to take it seriously, is that, interfaith collaboration for peace , is only possible, when there is peaceful co-existence between them regardless their theological and doctrinal differences they have.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Politicians, have, now days, succeeded in giving a religious color any thing that can guarantee their political benefit &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Collaborative programmes for peace in our society at grass root level, as well as on national level, need to be evolved. Such collaborative peace programmes would only be meaningful, if the programmes aimed at peace co-existence between adherents of the various religious are run concurrently.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Below is an article about the Peace Forum organized by the &lt;span style="color: blue;"&gt;Christians-Muslims Youth Peace Forum Committee.&lt;/span&gt; &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-5l1Nm9gC__w/TuN59j2MzCI/AAAAAAAAAFA/UHjS4WJj-iA/s1600/kongamano.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="640" src="http://4.bp.blogspot.com/-5l1Nm9gC__w/TuN59j2MzCI/AAAAAAAAAFA/UHjS4WJj-iA/s640/kongamano.jpg" width="464" /&gt;&amp;nbsp;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://findtruefaith.blogspot.com/p/support-us.html"&gt;To support click&amp;nbsp; here &lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-2081826618222490535?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/2081826618222490535/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=2081826618222490535' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/2081826618222490535'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/2081826618222490535'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2011/12/christians-muslims-struggle-for-peace.html' title='THE CHRISTIANS-MUSLIMS STRUGGLE FOR PEACE CO-EXISTANCE'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-5l1Nm9gC__w/TuN59j2MzCI/AAAAAAAAAFA/UHjS4WJj-iA/s72-c/kongamano.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-7401663128762413104</id><published>2011-11-24T04:32:00.000-08:00</published><updated>2011-11-28T00:22:10.208-08:00</updated><title type='text'>A MISSIONARY COURSE</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;LAKE TANGANYIKA CHRISTIAN COLLEGE&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;S.L.P. 349 KIGOMA, TANZANIA&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;SIMU: O2828O2818, O75246911&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tarehe za kipindi: 1/3/2O12 hadi 5/1O/2O12&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunataka kuchukua nafasi hii, kukukaribisha kuja kusoma katika chuo cha utume&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;cha Afrika ya Mashariki. Chuo hiki kinapatikana mkoani Kigoma, katika eneo la Lake&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tanganyika Christian College (LTCC. Masomo haya yatakutunuku shahada ya pili&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(Bachelor’s degree katika elimu kuhusu kuvuka mila na tamaduni. Masomo haya&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;yanawalenga tu wale wanaojijua kuwa wanao wito wa Mungu ndani yao kuhusu kazi ya&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;utume. Elimu uliyoandaliwa ni kukuandaa kuendea kabila ya watu ambao hawajafikiwa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;na Injili. Ili ufanikishe kukubalika kusoma hapa, lazima kwanza kabisa uwe umekwisha&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;tunukiwa stashahada katika elimu ya kibiblia; pia uwe na barua ya ushuhuda (sifa kutoka&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;kwa viongozi wa kanisa lako, na kutumwa na makanisa ya dhehebu lako kuja kujipatia&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;hii elimu ya utume. Masomo haya si kwa wale wanaojisikia tu kutaka kufanya utume.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapana kabisa, ila ni kwa wale walioitwa na Mungu na wako tayari kabisa, wakiwa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;wamedhamiria kweli kweli kwenda kuishi miongoni mwa wale ambao hawajafikiwa na&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Injili ili wahakikishe hao nao wanaokoka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika Afrika bado tunayo takribani makabila au makundi ya watu mia tisa (9OO&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;wasiokuwa na kanisa miongoni mwao. Katika Tanzania tunayo makabila ishirini (2O&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;ikiwa ndiyo idadi kubwa zaidi kuliko nchi nyingine ile ya kusini mwa Sahara. Lengo na&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;mtazamo wetu ni kwanza kabisa kuwaandaa wamishonari wa kuwafikia watanzania&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;wenzao ambao hawajamjua Yesu Kristo, halafu baadaye kuziendea nchi nyinginezo za&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Afrika. Wamishonari wanaohitimu mafunzo yetu ya utume, watatumwa na makanisa yao&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;ya kiafrika kwa wale ambao hawajafikiwa. Hata hivyo huwa tunajitahidi tuwezavyo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;kumuunganisha kila mtume na kanisa shirikishi kutoka Magharibi kusaidiana katika kazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;hiyo ya shamba mpya. Kanisa la Magharibi linashirikiana na la kiafrika, katika maombi,&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;kufanya mradi, na kutuma vikosi vya wahudumu wakati fulani fulani. Maombi ni nyeti.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakuna tuwezalo kufanikisha bila kutanguliza kwanza maombi. Mradi ni muhimu ili&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;tuwaoneshe wenyeji wasiookoka upendo wa Kristo kabla ya kuwaambia kuwa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;wanamhitaji Yesu Kristo. Mwishowe, vikosi vinavyokuja kutoka Magharibi vinakuja&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;kutumika bega kwa bega na mtume aliye kule katika shamba mpya ili kumtia moyo na&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;kuiunga mkono kazi anayoifanya. Huu ndio ushirikiano wa kweli. Inagharimu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;kujidhabihu kwa mtume kuondoka na kwenda; kwa kanisa la kiafrika kuomba, kutuma,&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;na kumtegemeza mtume; kwa kanisa la Magharibi kusaidia kimaombi, kimiradi, na&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;kutuma watu. Kwa pamoja tunaweza kufanikisha mengi zaidi kuliko yale yeyote kati&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;yetu awezayo kufanikisha akiwa peke yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Endapo Mungu amekwisha kupa mzigo kwa wale ambao hawajafikiwa, njoo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;ujifunze nasi jinsi tuwezavyo kuona (kuhakikisha kuwa nao wamefikiwa na Injili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Matakwa:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Barua ya sifa kutoka kwa wachungaji au mwangalizi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Kujaza fomu ya usajili na kuituma LTCC&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kulipa malipo ya usajili 1O,OOO/= yasiyorudishwa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuambatanisha na picha mbili (2 za paspoti.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tuma transcript rasmi zako, za elimu yako ya stashahada&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunahitaji barua ya udhamini kutoka kwa kanisa linalokutuma chuoni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ada :&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;25O,OOO/= Kwa mwezi; 1OO,OOO/= ya hizo, zitalipwa na kanisa shirikishi la&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Magharibi. Kwa hivyo ni lazima uje na 15O,OOO/= kwa ada ya mwezi wako wa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;kwanza, ikisindikizwa na barua kutoka kanisani mwako yenye kuhakikisha kuwa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;watakuwa tayari kukulipia karo ya 15O,OOO/= kwa kila mwezi hadi umalize miezi saba&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;ya masomo yote bila kukatishwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mpangilio (ratiba ya masomo:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ifuatayo ndiyo ratiba ya mfululizo wa masomo. Mafunzo yako yatalenga maeneo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;makubwa matatu: Ufahamu, jinsi ya kuwa, na utekelezaji. Utakuwa na muda wa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;darasani na ndani ya maktaba ukijifunza mambo mbalimbali unayohitajika kujua.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utakuwa pia na kazi endelevu na mafundisho ya kukusaidia kukua katika mwenendo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;wako na Bwana - Hiyo ndiyo sehemu yako ya kuwa. Hatimaye, utakuwa na mwezi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;mmoja wa kwenda kikundi, kuishi miongoni mwa watu (kabila ambao hawajafikiwa kwa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Injili. Kwa hivyo ratiba iko kama ifuatavyo:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ratiba ya 2O12 ya chuo cha utume cha Afrika ya Mashariki&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I. Msingi wa kibiblia kuhusu utume&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Maelekezo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tarehe 1 – 3 Machi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Utangulizi kwa utume&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tarehe 5 – 1O Machi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Theolojia ya utume kibiblia&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tarehe 12 – 17 Machi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4. Ujengwaji kiroho I – Kujitolea na kufanya&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tarehe 19 – 24 Machi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;wanafunzi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;II. Historia na tamaduni&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Historia ya utume I – Kwa dunia&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Historia ya utume II – Kwa Afrika&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Watu, mila na tamaduni zao&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4. Mazingira ya uelewa wao&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;III. Dini za duniani&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Ujengwaji wa kiroho II&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kumjua na kumsikiliza Mungu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Dini ya jadi ya kiafrika&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Uislamu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4. Uteteaji wa Kikristo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;IV. Mawasiliano&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Ujengwaji kiroho III. Tabia ya mmishonari&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Kujifunza lugha&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Mawasiliano na tamaduni nyingine&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4. Maendeleo/Ukuaji wa uongozi ndani&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;ya wenyeji&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tarehe 26 – 31 Machi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tarehe 2 – 7 Aprili&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tarehe 9 – 14 Aprili&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tarehe 16 – 21 Aprili&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tarehe 23 – 28 Aprili&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tarehe 3O Aprili – 5 Mei&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tarehe 7 – 12 Mei&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tarehe 14 – 19 Mei&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tarehe 21 – 26 Mei&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tarehe 28 Mei – 2 Juni&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tarehe 4 – 9 Juni&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tarehe 11 – 16 Juni&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;V. Maendeleo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Utengenezaji wa hema na maendeleo ya kijamii Tarehe 18 – 23 Juni&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Kulima kwa njia ya Mungu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tarehe 25 – 3O Juni&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Afya ya jamii na ukuzaji wake&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tarehe 2 – 7 Julai&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;VI. Mila na utafiti&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Ujengwaji kiroho IV&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Kutafiti kundi la watu ambao hawajafikiwa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Mbinu za kuingia katika shamba mpya&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;na kujenga timu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;VII. Mafunzo ya shambani (utendaji&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;VIII. Mbinu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Upelelezi wa mazingira na ujengwaji kiroho V&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Kutafiti wa makundi ambayo hayajafikiwa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Mtandao wa utume&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4. Upatikanaji wa rasilimali, usimamiaji&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kutoa hesabu (uajibikaji&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;5. Falsafa binafsi ya utume – uelezaji&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tarehe 9 – 14 Julai&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tarehe 16 – 21 Julai&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tarehe 23 – 28 Julai&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3O Julai – 31 Agosti&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3 – 8 Sept.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1O – 15 Sept.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;17 – 22 Sept.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;24 – 29 Sept.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1 – 5 Oktoba&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;6 October&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Endapo utajiunga na masomo yetu yatakayoanza mwezi wa tatu, tafadhali tupigie simu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;na uombe utumiwe fomu ya maombi ya nafasi. Tunaweza kukutumia fomu kwa njia ya&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;posta au kwa barua pepe. Kama wewe hautakuja kusoma, ila unamjua mtu mwingine&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;ambaye angependa asome, tunakuomba umpe taarifa hizi. Hatimaye, endapo utahitaji&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;nakala zaidi za maelekezo haya, tafadhali tuite au tutumie barua pepe, kwa namba&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;zilizoorodheshwa mwanzoni mwa barua hii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mungu akubariki!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa upanuzi wa ufalme wa Mungu,&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rev. Nathan Rasmussen&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkurugenzi wa LTCC&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;BELOW IS A REGISTRATION FORM. YOUCAN DOWNLOAD. FILL AND SUBMIT TO THE COLLEGE&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;      &lt;span style="font-weight:bold;"&gt; MAOMBI YA NAFASI KWA SHAHADA YA UTUME&lt;br /&gt;       CHUO CHA UTUME CHA AFRIKA YA MASHARIKI&lt;br /&gt;       LAKE TANGANYIKA CHRISTIAN COLLEGE (LTCC)&lt;br /&gt;       S.L.P. 349 KIGOMA, TANZANIA&lt;br /&gt;       SIMU: O2828O2818, O7524O6911, BARUA PEPE: NKR4HISGLORY.COM&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tafadhali jaza maswali yote kikamilifu kwa herufi kubwa.  Unaweza kurudisha (kutuma) maombi yako kwetu kwa njia ya posta au kwa barua pepe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I.  MAELEZO YAKO BINAFSI&lt;br /&gt; 1.  Jina ________________________________ majina mengine ___________________&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Anwani _____________________ simu: ________________ barua pepe __________&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Tarehe ya kuzaliwa _______________________ Mahali _______________________&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4. Uraia _________________________ Nchi ya makazi _________________________&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;5. Kama wewe si Mtanzania, namba ya paspoti ________________ mwisho wake ____&lt;br /&gt;Endapo wewe si Mtanzania, lazima kwanza upate kibali cha kuingia Tanzania kama mwanafunzi au kibali cha mkazi wa muda; usije kusoma LTCC kabla ya kutekeleza hilo kwanza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;6. Zungushia lililo kweli kwako:  Msimbe, una mchumba, una ndoa, umeachika, una talaka, una ndoa mpya.&lt;br /&gt;Kama unayo ndoa, mwenzi wako anaitwa nani_______________________________&lt;br /&gt;Endapo una zaidi ya mwenzi mmoja, eleza __________________________________&lt;br /&gt;Endapo una mchumba, arusi imepangwa lini? _______________________________&lt;br /&gt;Kama unayo ndoa, je, mwenzi wako amekubali usome utume?  _________________&lt;br /&gt;Je, mwenzi wako yu radhi kuja kusoma utume nawe? _________________________&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;II.  MAZINGIRA YA KIDINI NA WITO KWA UTUME  &lt;br /&gt;1. Kanisa unalotoka ___________________ Mchungaji/Mwangalizi _______________ Anwani ya kanisa ______________________________________________________&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Ulizaliwa upya lini? _________________________ Je, umekuwa mshiriki mwajibikaji kanisani kwenu tangu ulipookoka? ______________________________&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Orodhesha aina za kazi za kikristo ambazo umeshawahi kuhusika nazo, ukianza na zile za hivi karibuni:&lt;br /&gt;__________________________________________ Lini ______________________&lt;br /&gt;__________________________________________ Lini ______________________&lt;br /&gt;__________________________________________ Lini ______________________&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4. Kwa nini unataka kusoma umishonari? _____________________________________&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;5. Je, unajua/unajihisi kuwa umeitwa na Mungu kuliendea kundi la watu ambalo halijafikiwa? __________________ Je, unao wito kwa kundi maalumu la watu unalolilenga? _____________________  Je, uko tayari na mwenye ridhaa kwenda popote pale Bwana atakakokuongoza? _____________________________________&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;6.  Baada ya kukamilisha mafunzo yako ya utume, je, uko tayari kwenda kuishi na kuhudumu miongoni mwa kundi la watu ambao hawajafikiwa? ___________ Je, mwenzi wako wa ndoa yuko tayari na mwenye moyo wa kwenda nawe huko? _____&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;7. Tafadhali andika ushuhuda wako kwenye karatasi tofauti, kuhusu ulivyokutana na Kristo na yeye anamaanisha nini kwako.  Pia ainisha kwa njia ya kipekee jinsi Mungu alivyokuita kufanya utume na jinsi unavyofikiri kuwa kusoma hapa chuoni kwetu kutakusaidia kutimiza wito wako huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;III.  TAARIFA ZA AFYA&lt;br /&gt;1. Je, uko katika afya njema?  _________ Je, unao ulema wa aina yoyote ile _________&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Unaweza kuielezea afya yako ndani ya miezi (kumi na miwili12) iliyopita? Mbovu __ Nzuri kidogo____________ Nzuri ______________ Njema sana ________________&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;IV.  ELIMU&lt;br /&gt;1. Orodhesha kimpangilio, shule na vyuo vyote ulivyosomea&lt;br /&gt;Jina Eneo lake Elimu uliyopata Ulitunukiwa   Tarehe&lt;br /&gt;       nini   ulimaliza&lt;br /&gt;______________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Endapo hukumaliza au kuhitimu katika mojawapo ya haya yaliyotajwa hapa juu, tafadhali eleza ni kwa nini? _____________________________________________________________________&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Zingatia:  Nakala za vyeti na transcripts zake zote zinapaswa zitumwe kwetu mapema kabla ya kutoa uamzi wa kukukubali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Je, umeshawahi kufukuzwa (kutimuliwa) kutoka shuleni/chuoni?  _________ ikiwa ndiyo, kwa sababu gani?  ________________________________________________&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;V.  KIUCHUMI&lt;br /&gt;1.  Utalipia masomo yako ya utume kwa pesa zinazotoka wapi?  Kwangu binafsi ______                         wazazi ________ Kanisa________ au nani mwingine?  _________&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2.  Je, unayo madeni yoyote?  _________ Ikiwa ndiyo ni ya kiasi gani, na yatalipwa je, utakapokuwa chuoni?  __________________________________________________&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Je, kuna mtu yeyote anayekutegemea kifedha?  ______ Ikiwa ndiyo, ni nani? Taja majina, umri, na uhusiano wako naye&lt;br /&gt;________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4. Baada ya mahafali, je, kanisa lako liko tayari kukutuma na kukusaidia katika utume?  __________________ &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;VI.  WATU WAKUKUSHUHUDIA&lt;br /&gt;1. Tafadhali toa majina na anwani ya mchungaji/mwangalizi wako.  Endapo wewe mwenyewe ndiwe mchungaji;  basi fomu ya sifa iliyokusudiwa kujazwa na mchungaji ijazwe na mwangalizi na ya mwangalizi ijazwe na mwangalizi aliye juu yake au askofu.  Wenye kukushuhudia hawapaswi kuwa ndugu zako kimwili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jina  S.L.P   Jiji/Mji   Nchi&lt;br /&gt;Mchungaji ____________________________________________________________________&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwangalizi ___________________________________________________________________&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Kwa kuongeza kwa mchungaji na mwangalizi waliokushuhudia, tafadhali tupatie majina, anwani na cheo cha kiongozi (askofu) wa dhehebu lako.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jina _______________________________________ cheo _____________________&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jina la dhehebu _______________________________ anwani __________________&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Endapo utakubalika hapa chuoni, je, unatuahidi kuwa utajitolea kikamilifu kwa maandalizi ya akili na moyo wako kwa kazi ya utume na kujizuia dhidi ya tabia zote mbaya, na matendo yaliyo kinyume na mwenendo pamoja na ushuhuda mzuri wa kikristo? _____________&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4. Endapo utakubalika kusoma hapa, je, unakubali kuishi kwa kuzingatia kanuni na sheria za chuo cha utume cha Afrika ya Mashariki na kuwatii viongozi wake?  _______________&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;VII.  UKUMBUSHO&lt;br /&gt;Unatakiwa kutuma mambo yafuatayo pamoja na fomu hii ili ukubalike katika masomo haya.&lt;br /&gt;1. Stashahada katika mafunzo ya Biblia yenye ang’alau masaa 96 ya darasani na 7O% katika masomo yote. &lt;br /&gt;2. Barua za ushuhuda za mchungaji na mwangalizi.&lt;br /&gt;3. Transcripts halali na nakala ya diploma yako ya Biblia.&lt;br /&gt;4. Utahojiwa na mkuu wa chuo au na mkuu wa taaluma wa Chuo cha Utume cha Afrika ya Mashariki.&lt;br /&gt;5. Ushuhuda wako binafsi kuwa majibu ya swali la saba (7)&lt;br /&gt;6. Picha zako mbili (2)za paspoti.&lt;br /&gt;7. 1O,OOO/= kwa maombi ya nafasi, pesa hizo hazirudishwi hata kama hutakubalika. Kwa asiyekuwa Mtanzania atalipa dola 1O za kimarekani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;VIII.  Zingatia&lt;br /&gt; Kila kitu kinachohusu maombi ya nafasi hakitarudishwa kwa mwanafunzi yeyote baada ya kuwasili ofisini.  Uwe umekataliwa au umeamua mwenyewe kuondoa maombi yako.  Kumbuka kuwa chuo hakitatambua maombi yako endapo hayatatufikia ndani ya muda wa miezi kumi na miwili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;IX.  SAHIHI&lt;br /&gt;Sahihi ya mwenye kuomba (yako) ____________________________ tarehe _______________&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sahihi ya mwenzi wako wa ndoa ______________________________ tarehe _______________&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-7401663128762413104?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/7401663128762413104/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=7401663128762413104' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/7401663128762413104'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/7401663128762413104'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2011/11/missionary-course.html' title='A MISSIONARY COURSE'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-2701751049669893550</id><published>2011-11-22T06:19:00.000-08:00</published><updated>2011-12-14T09:36:05.688-08:00</updated><title type='text'>A CHRISTIAN IMPRISONED 4 MONTHS ACCUSED OF SLAUGHTERING ANIMAL AT KAHAMA, SHINYANGA IN TANZANIA</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight: bold;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;A Catholic Christian &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;Masanja Hamis, 27 yrs&lt;/span&gt; of Kahama Parish, Kahama Disrict, Shinyanga region in Tanzania, on &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;31st Oct, 2011&lt;/span&gt;, was imprisoned for &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;4 months&lt;/span&gt; being accused of slaughtering animals for commercial purpose.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Masanja Hamis was an employee at one of the restaurant at Kahama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The judgement was entered &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;before Hon. Hassan;&lt;/span&gt; the Magistrate of the District Court at Kahama. &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;The case no is CC.430/2011.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The judgement opted the accused to either pay a fine of &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;tsh.700,000/= (U$ 409)&lt;/span&gt;, or a 4 months imprisonment.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The accused failed to pay the fine, therefore he was sent to the prison at Kahama District Prison.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;There is a handful cases similar to this one, face Christians in Tanzania, despite the fact that neither Constitutional nor any by-laws, have set a provision which forbids Non-Muslims to slaughter animals for both domestic and commercial purposes.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Although not all cases were brought before the Court of Law, but as long as animals slaughtering concerns, Non-Muslims, especially Christians, become the victim of the circumstance. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Animals slaughtering crisis has, in recent days, reached its climax as Muslims in Tanzania are struggling to monopolize it,claiming that such exercise preserve their religious rituals, thus would like all meat, must pass through their knives to make it legal &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;(halal)&lt;/span&gt;regardless the diversity of beliefs exist in Tanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;In the contrary, the standing point of the United Republic of Tanzania regarding animal slaughtering, was clearly, made by the then &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;Minister for Livestock, Hon.&lt;/span&gt; &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;Anthony Diallo (MP)&lt;/span&gt; as recorded in the &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;HANSARD&lt;/span&gt; (&lt;span style="font-weight: bold;"&gt;the daily official report book of the Parliament&lt;/span&gt;)of &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;6th Nov,2006.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Honorable Diallo said that the Secular Government of Tanzania, by any means, &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;should not involve in the religious style of slaughtering animal at &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;both private and public Abattoirs,&lt;/span&gt;instead shall be involved in examining whether the slaughtered animal is suitable for human consumption.&lt;/span&gt;.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Muslims in Tanzania ,indirectly,oppose this principle,as they claim that nothing is above Islam, by so doing they can do anything in their disposal and can use any body, to make sure that a Non-Muslim who slaughter an animal must at any cost suffer the consequence.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The Government of the United Republic of Tanzania in one way or another is always silence to take immediate action against the victims, perhaps because of &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;ISLAM PHOBIA&lt;/span&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vivid example of the same crisis can be found at Kagunga and Mnanila in Kigoma region, Kakola in Shinyanga region, and Kagera just to mention a few.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;May I invite all people with good will to pray for Masanja and those who are being persecuted because of their faith, but more let's join hands together to make sure Masanja is released by consulting a lawyer who can file the appeal, otherwise this judgement will become the thorn to other Christians, since it has been recorded in the Court of Law.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://findtruefaith.blogspot.com/p/support-us.html" target="_blank"&gt;SUPPORT US &lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-2701751049669893550?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/2701751049669893550/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=2701751049669893550' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/2701751049669893550'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/2701751049669893550'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2011/11/christian-imprisoned-4-months-accused.html' title='A CHRISTIAN IMPRISONED 4 MONTHS ACCUSED OF SLAUGHTERING ANIMAL AT KAHAMA, SHINYANGA IN TANZANIA'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-2289744167128589844</id><published>2011-10-29T00:07:00.000-07:00</published><updated>2011-12-14T04:28:04.252-08:00</updated><title type='text'>RADICAL MUSLIMS INVADED A CHRISTIAN BUSINESSMAN, INJURED AND DESTROYED PROPERTIES AT TEMEKE IN DAR ES SALAAM,TANZANIA.</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-T0bg3vCf3Mk/Tqu3OLG2cdI/AAAAAAAAAE4/zXvP1SWo3Go/s1600/1%2B001.jpg"&gt;&lt;img alt="" border="0" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5668826010103476690" src="http://4.bp.blogspot.com/-T0bg3vCf3Mk/Tqu3OLG2cdI/AAAAAAAAAE4/zXvP1SWo3Go/s400/1%2B001.jpg" style="cursor: hand; display: block; height: 400px; margin: 0px auto 10px; text-align: center; width: 291px;" /&gt;&lt;/a&gt; &lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight: bold;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Radical Muslims from Makangarawe, Cape Town Mosque, Buza Ward, Temeke District in Dar es Salaam Tanzania, on 17th Oct 2011, at 8:45 pm at night, having killing weapons including pangas (&lt;span style="font-weight: bold;"&gt;bush knives)&lt;/span&gt;, invaded the Pork Kiosk and injured on the head one of its owner &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;Mr. Antelim John,&lt;span style="font-weight: bold;"&gt;(31&lt;/span&gt;)(&lt;span style="font-weight: bold;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;span style="font-weight: bold;"&gt; (&lt;span style="font-weight: bold;"&gt;pictured above&lt;/span&gt;)&lt;/span&gt;. The invaders also destroyed other properties including tables, chairs, scales, charcoal burners, pork and water containers total worth &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;Tsh.1,200,000/= (USD 670)&lt;/span&gt;. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mr. Antelim John said the invaders were shouting &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;Takbir! Allah Akbar!&lt;/span&gt; as they were destroying the properties. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Police were, immediately, informed and arrived at the scene ,took the casualty Antelim John to Makangarawe Police Post, where they filled PF3 form for treatment. He was stitched three threads. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The case was then registered at Chang'ombe Police Post, at Temeke District and given no:-&lt;span style="font-weight: bold;"&gt; CHA/RB/7988/2011&lt;/span&gt; of 17th Oct,2011 with the remarks " &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;UNYANG'ANYI WA KUTUMIA NGUVU". &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Three accused persons, who are believed to be Muslims, were arrested, then remanded but later were all bailed. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;One day before the invasion, the Village Executive Officer (V.E.O) a Muslim too, told Mr. Antelim John, to stop the Pork Project, otherwise Muslims would destroy them. The same happened on the following day. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Earlier, on 8th March,2011, the &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;Temeke District Commissioner Hon. Chiku Gallawa, &lt;/span&gt;summoned Ward and Village Executive Officers of Makangarawe to discuss the problem.The problem was not solved since the Government leaders at Temeke District were very reluctant towards addressing the problem. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The trend of discussion chaired by the District Commissioner, favored more Muslims against Non-Muslims, regardless the fact that the Pork Project pre-existed the settlement. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Muslims from &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;Al-Masjid Jamiatul Islamiyah of Yombo Makangarawe&lt;/span&gt; on &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;9th Nov, 2009 &lt;/span&gt;forwarded their complaining letter to &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;the Village Executive Officer &lt;/span&gt;asking him &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;to immediate ban the pork project because of religious effect.&lt;/span&gt; The letter was signed by the Imam of the Mosque &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;Sheikh Habibu Mgunda.&lt;/span&gt; The invasion was an echo of their former warning letter. The Pork Project is an aid from donors through the DADP's programme, which aimed to support the efforts of Tanzania government to alleviate and eradicate poverty among the Tanzanians. The project was surveyed by the government expertise including environmental authorities, who suggested the Project to be allocated where it is now. Muslims oppose the project to be there, for their religious reasons. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;So far, it is not known when the trial will be brought before the court of law because the investigation continues. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The whole situation revealed the &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;insecure of Non-Muslims against radical Muslims, &lt;/span&gt;who always thirsty to practice Islamic Shariah in the pluralism countries like Tanzania.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://www.findtruefaith.blogspot.com/p/support-us.html" target="_blank"&gt;&lt;strong&gt;TO SUPPORT US&lt;/strong&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-2289744167128589844?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/2289744167128589844/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=2289744167128589844' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/2289744167128589844'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/2289744167128589844'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2011/10/radical-muslims-invaded-christian.html' title='RADICAL MUSLIMS INVADED A CHRISTIAN BUSINESSMAN, INJURED AND DESTROYED PROPERTIES AT TEMEKE IN DAR ES SALAAM,TANZANIA.'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-T0bg3vCf3Mk/Tqu3OLG2cdI/AAAAAAAAAE4/zXvP1SWo3Go/s72-c/1%2B001.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-4347687381810338180</id><published>2011-10-20T04:46:00.000-07:00</published><updated>2011-12-14T04:32:55.130-08:00</updated><title type='text'>RADICAL MUSLIMS DECLARED WAR AGAINST WHAT THEY CALL "CHRISTENDOM SYSTEM" IN TANZANIA</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight: bold;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Radical Muslims in Tanzania on Sunday 16th, October,2011 gathered in Dar es Salaam at Diamond Jubilee Hall, and declared the &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;WAR&lt;/span&gt; against anything which from the Muslims point of view is regarded as what they call &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;"Christendom System in Tanzania"&lt;/span&gt;. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Constitutionally, Tanzania is a secular state. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Speaking furiously, when addressing to the audience of Muslims, Sheikh Ilunga told them that the battle line has been now drawn against Christianity, and Christians. He went further by congratulating radical Muslims who recently burnt three churches in Mwanza Tanzania as &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;HERO&lt;/span&gt; and encourage other Muslims from all over Tanzania must do the same to fight against Christianity. Constitutionally, Commander in Chief of the Armed forces , who is also the President of the United Republic of Tanzania is the only who has power to announce State of Emergency and not otherwise. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Historically Muslims and Christians fought the war known as &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;"The Crusade"&lt;/span&gt; when a good number of Muslims were killed. We also hear the same fightings between Muslims and Christians in African countries e.g Nigeria, Egypt and many other.The wind still blows to different directions. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight: bold;"&gt;Is this wind now blowing in our peaceful country of Tanzania?&lt;/span&gt; &lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight: bold;"&gt;Will the Government tolerate such statements of breaching peace? &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight: bold;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight: bold;"&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp; "A WAKE THE CHURCH IN TANZANIA" &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://findtruefaith.blogspot.com/p/support-us.html" target="_blank"&gt;TO SUPPORT US&lt;/a&gt;&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-4347687381810338180?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/4347687381810338180/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=4347687381810338180' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/4347687381810338180'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/4347687381810338180'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2011/10/radical-muslims-declared-war-against.html' title='RADICAL MUSLIMS DECLARED WAR AGAINST WHAT THEY CALL &quot;CHRISTENDOM SYSTEM&quot; IN TANZANIA'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-5345372468601067157</id><published>2011-10-05T08:51:00.000-07:00</published><updated>2011-12-14T04:36:18.419-08:00</updated><title type='text'>RADICAL MUSLIMS BURNT THREE CHURCHES IN MWANZA</title><content type='html'>ON WEDNESDAY OF 21ST SEPT, 2011 AT 02:00 PM HRS, THREE CHURCHES WERE BURNT BY THE RADICAL MUSLIMS IN MWANZA TANZANIA. THE CHURCHES INCLUDE:- &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;(1)(TANZANIA ASSEMBLIES OF GOD (T.A.G)-LUMALA PARISH (2)TANZANIA ASSEMBLIES OF GOD (T.A.G.)-NYAMANOLO PARISH AND (3)PENTECOSTAL ASSEMBLIES OF GOD (P.A.G.)-PASIANSI PARISH &lt;/span&gt;BOTH AT ILEMELA DISTRICT IN MWANZA CITY.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;THE SOURCE OF THIS CRUELTY AND PROVOCATIVE ACTION, IS THE CLAIM MADE BY RADICAL MUSLIMS, WHO ,FALSELY,ACCUSED &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;FOUR EVANGELISTS FROM T.A.G-LUMALA PARISH TO BURN THE QUR'AN&lt;/span&gt;.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;BISHOP ISABU,AN OVERSEER OF TANZANIA ASSEMBLIES OF GOD IN MWANZA, SAID THAT A MUSLIM WOMAN HUSNA KHAMIS,WHO WAS ALSO A WITCH DOCTOR,INVITED EVANGELISTS AT HER HOME TO PRAY FOR HER, FOLLOWING THE HEALTH PROBLEMS SHE HAD. SHE WAS POSSESSED BY DEMONS OF WITCH DOCTOR AS WELL AS FELL SICK ALWAYS. THE EVANGELISTS WENT THERE AND MINISTERED, UNTIL, FINALLY, ALL THE DEMONS WERE, COMPLETELY, CAST OUT AND WAS HEALED. THIS RESULTED TO SURRENDER HER LIFE TO JESUS. LATER ON, THE WOMAN ASKED EVANGELISTS TO BURN ALL HER FETISHES, INCLUDING WALL PICTURES WHICH DEPICTED ARABS CULTURE.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;WITHIN NO TIME HER BROTHER-IN-LAW, WHO IS AN ISLAM, ( HER HUSBAND HAS DESERTED ALONE FOR A LONG TIME NOW), ARRIVED AND INQUIRED WHY EVANGELIST WERE THERE. THE WOMAN TOLD THE WHOLE STORY AND HOW SHE RECEIVED HEALING AFTER PRAYERS AND THE BURNT OF THE ARAB CULTURE PICTURES.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;THE GUY BECAME FURIOUS AND IMMEDIATELY RUSHED TO THE NEARBY MOSQUE AND REPORTED ABOUT THE BURNT OF THE HOLY QUR'AN.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;FURIOUS MUSLIMS WENT TO THE SCENE AND FOUND ONLY THE ASHES OF THE BURNT FETISHES BUT COULD NEVER FOUND ANY PIECE OF THE QUR'AN. THEY TOOK THE ASHES OF FETISHES BACK TO THEIR MOSQUE AND ON THE NEXT DAY BROUGHT THE SAME TO THE CENTRAL POLICE IN MWANZA CLAIMING THAT THE ASHES WERE OF THE BURNT QUR'AN. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;POLICE OFFICERS REFUSED TO RECEIVE SUCH EXHIBIT, BECAUSE ,LEGALLY, IT HAD, ALREADY, LOST THE LEGITIMACY OF EXHIBIT, SINCE MUSLIMS DECIDED TO TAKE THE ASHES THEMSELVES TO THEIR MOSQUE, WITHOUT THE POLICE CONSENT.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MEANWHILE, WHEN THE EVANGELISTS WENT TO THE POLICE ON 22ND SEPT TO REPORT ABOUT THE BURNT OF THE CHURCH,IN CONTRARY, THEY WERE ARRESTED, REMANDED AND FINALLY CHARGED OF BURNING OF THE QUR'AN AND REMANDED, WHERE LATER WERE SENT TO BUTIMBA PRISON.&lt;span style="font-weight: bold;"&gt; FILE NO:CC 233/2011 BEFORE HON. JANET MAFESA. THE ACCUSED ARE: TUMAINI JUMANNE (30), PETRO MASHAURI (29),DICKSON MAGAI (30) AND CALISTA MLOMO (30)&lt;/span&gt;. &lt;br /&gt;MEANWHILE MUSLIMS WHO BURNT THE CHURCHES, DESPITE, BEING IDENTIFIED BY THE VILLAGE EXECUTIVE OFFICER WHO MENTIONED THEIR NAMES BEFORE THE POLICE OFFICERS WHO CAME AT THE CHURCH, ARE STILL UN ARRESTED TO DATE.THIS IS A SORT OF OPPRESSION AND RELIGIOUS PREFERENCE.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MORE WORSE ON 26TH SEPT,2011 WHEN THE EVANGELISTS WERE BROUGHT BEFORE THE MAGISTRATE FOR PRIMARY HEARING OF THEIR TRIAL, FURIOUS AND RADICAL MUSLIMS CROWDED THE COURT GROUNDS SHOUTING VIOLENTLY PLEDGED THE COURT TO RELEASE THEM BECAUSE THE ACCUSED HAD TO BE ASSASSINATED ACCORDING TO THE ISLAMIC SHARIAH .THE MAGISTRATE REFUSED. CONSTITUTIONALLY, TANZANIA IS A SECULAR STATE.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;THE SITUATION WAS INTERVENED BY THE POLICE FIELD FORCE UNIT, WHO CAME IN THE AID AND ,COERCIVELY, RESTORED THE PEACE AT THE COURT. THE EVANGELISTS WERE TAKEN TO THE NEARBY POLICE POST AT KIRUMBA, WHERE ,LATER WERE SENT BACK TO BUTIMBA PRISON.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;ON SATURDAY OF 1ST OCTOBER, 2011 A HANDFUL NUMBER OF MWANZA CITY PASTORS FROM DIFFERENT DENOMINATIONS, HELD A MEETING AT THE FREE PENTECOST CHURCH BUILDING, NYAMAGANA DISTRICT, TO DISCUSS AMONG OTHERS THE THREATS AND CHURCHES BURNINGS AND FIND THE SOLUTION TO THESE THREATS. THEY RESOLUTED TO JOIN HANDS TOGETHER AND FACE THE SITUATION. THE CHURCH ALSO, WARNED THE GOVERNMENT FOR BEING MUTE AND SPEECHLESS DESPITE THE DAMAGED OCCURRED AND THREATS MADE BY MUSLIMS. REGIONAL GOVERNMENT OFFICERS ALSO ATTENDED THE MEETING.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MUSLIMS IN TANZANIA, AS OTHER MUSLIMS WITH SIMILAR OBJECTIVES TO INSTITUTE SHARIAH PRACTICE IN AFRICAN COUNTRIES, ARE STILL EXECUTING THE ABUJA RESOLUTIONS TO ERADICATE CHRISTIANITY IN ALL AREAS OF THEIR DOMINANCE. THE BODY OF CHRIST (CHURCH)IN TANZANIA, MUST TAKE HEED OF THE ISLAMIC MOVEMENTS.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://findtruefaith.blogspot.com/p/support-us.html" target="_blank"&gt;TO SUPPORT US&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-5345372468601067157?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/5345372468601067157/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=5345372468601067157' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/5345372468601067157'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/5345372468601067157'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2011/10/radical-muslims-burnt-three-churches-in.html' title='RADICAL MUSLIMS BURNT THREE CHURCHES IN MWANZA'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-4289532093177230563</id><published>2011-09-11T04:34:00.000-07:00</published><updated>2011-10-09T02:39:21.941-07:00</updated><title type='text'>ISLAMIC MOVEMENTS: WILL THE COMING CONSTITUTIONAL REVIEW FAVOURS MUSLIMS THAN OTHER RELIGIONS?</title><content type='html'>IN RECENT DAYS ,WE HAVE EXPERIENCED THE ISLAMIC MOVEMENTS IN TANZANIA, WHOSE MAIN AGENDA IS TO ENFORCE THE STATE  TO SURRENDER TO THE APPLICATION OF THE ISLAMIC SHARIAH SYSTEM TO ALL TANZANIANS, REGARDLESS THE RELIGIOUS DIVERSITY WE HAVE.. THEY GATHER IN LARGE CROWDS IN DIFFERENT REGIONS OF THE COUNTRY TO PROPAGATE THEIR CLAIMS, MORE WORSE THEY UTTER DANGEROUS WORDS INCLUDING THREAT OF ASSASSINATION OF THE BISHOPS IN TANZANIA, CONTRARY TO THE CONSTITUTION WHICH PROVIDE THE RIGHT OF DIVERSITY BELIEFS. CONSTITUTIONALLY , TANZANIA IS A PLURALISM STATE AS WE KNOW SUCH MOVEMENTS ARE BACKUP-ED BY OUTSIDERS RADICAL MUSLIMS  WITH SIMILAR OBJECTIVES. AS CHRISTIANS WE MUST BE AWARE OF THE SITUATION AND NOT JUST SIT BACK. PRAY FOR THE DIVINE INTERVENTION TO MAINTAIN  PEACE AND TRANQUILITY IN OUR COUNTRY.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-4289532093177230563?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/4289532093177230563/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=4289532093177230563' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/4289532093177230563'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/4289532093177230563'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2011/09/islamic-movements-is-coming.html' title='ISLAMIC MOVEMENTS: WILL THE COMING CONSTITUTIONAL REVIEW FAVOURS MUSLIMS THAN OTHER RELIGIONS?'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-54644020937501955</id><published>2011-03-14T10:26:00.000-07:00</published><updated>2011-12-14T04:38:19.305-08:00</updated><title type='text'>ONE OF THE  MUSLIM CONVERT AFTER A MUSLIMS-CHRISTIANS DEBATE IN KIGOMA-TANZANIA</title><content type='html'>In our ministry we sometime participate in different debates. These debates normally are organized by Muslims themselves and very rare organized by the Christians. To us being invited to participate in these debates and dialogue is a blessing because is one of the good platform to speak a message of the Gospel and The Holy Spirit touches the hardened hearts of many Muslims who later accept Jesus as Savior and Lord. Some would not like to be known early to escape threat and some times death until they grow strong in faith. But Majaliwa in the picture was ready to be known as he was converted on the first day and the second day receiced baptism.Pray for him.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://findtruefaith.blogspot.com/p/support-us.html" target="_blank"&gt;TO SUPPORT US&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-54644020937501955?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/54644020937501955/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=54644020937501955' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/54644020937501955'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/54644020937501955'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2011/03/one-of-muslim-convert-after-muslims.html' title='ONE OF THE  MUSLIM CONVERT AFTER A MUSLIMS-CHRISTIANS DEBATE IN KIGOMA-TANZANIA'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-1163613707383431786</id><published>2011-03-08T06:43:00.000-08:00</published><updated>2011-12-14T04:39:46.026-08:00</updated><title type='text'>INTOLERABLE  RADICAL PROPAGANDISTS MUSLIMS INVADED THE CHRISTIAN GOSPEL CRUSADE  AND KILLED A PASTOR AT MTO WA MBU IN ARUSHA TANZANIA</title><content type='html'>RADICAL MUSLIMS,ON &lt;strong&gt;25TH FEBRUARY 2011,&lt;/strong&gt;INVADED THE CHRISTIAN CRUSADE, ORGANIZED BY THE UNION OF PENTECOST CHURCHES &lt;strong&gt;(PCT)&lt;/strong&gt; AT MTO WA MBU IN ARUSHA, AND KILLED PASTOR JACKSON JOHN OF THE EVANGELICAL LUTHERAN CHURCH IN TANZANIA &lt;strong&gt;(ELCT), &lt;/strong&gt;ACCUSING OF DEFAMATION OF THE ISLAMIC FAITH.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;EARLIER, MUSLIMS WENT TO THE POLICE POST TO REPORT THE SAME. POLICE WENT TO THE SCENE WHICH WAS AT THE FREE PENTECOST CHURCH'S PREMISE AND INVESTIGATED, WHERE THEY FOUND NO DEFAMATION WAS DONE AS WAS ALLEGED BEFORE, AND LET CHRISTIANS TO CONTINUE WITH THE CRUSADE WHICH BY THE END &lt;strong&gt;20 PEOPLE SURRENDERED THEIR LIFE TO JESUS INCLUDING 5 MUSLIMS .&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MUSLIMS BEING ENGINEERED AND PROVOKED BY THE IMAM OF THE MOSQUE OF MTO WA MBU,THEY ASSAULTED THE CRUSADE AND DESTRUCTED THE P.A SYSTEM, DEMOLISHED THE CHURCH TO THE FLOOR, AND THEN A NEARBY SCHOOL AND INJURED SOME CHRISTIANS WHO LATER WERE SENT TO THE DISTRICT HOSPITAL AT MONDULI WHERE A PASTOR LATER DIED.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;EVANGELIST RICHARD CHENGE AND EV. ELIAS JUSTINE, WITH SOME MUSLIMS, WERE LATER ARRESTED, REMANDED AND FINALLY CHARGED BEFORE THE DISTRICT COURT AT MONDULI ACCUSED OF DEFAMATION OF THE ISLAMIC FAITH, WHILE MUSLIMS WERE EARLIER CHARGED OF BREACHING OF PEACE AND DESTRUCTION OF PROPERTIES. THE CASE FILE IS NO 34/2011.BUT AFTER THE DEATH OF PASTOR MUSLIMS NOW FACE MURDER CASE.BY NOW BOTH EVANGELISTS HAVE BEEN BAILED OUT.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;SINCE 1985 TO DATE, MUSLIMS PROPAGANDISTS HAVE BEEN DISTORTING THE MESSAGE OF THE HOLY BIBLE, CHRISTIAN DOCTRINE AND VALUES, WITHOUT BEING INTERVENED BY EITHER THE GOVERNMENT ,WHERE MANY GOVERNMENT TOP LEADERS CONFESS ISLAMIC FAITH, NOR THE POLICE. BUT THEY ALWAYS INTERVENE CHRISTIANS CRUSADES IN THE NAME OF PEACE AND TRANQUILITY.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;FIVE TIMES A DAY THROUGH THE MINARETS OF DIFFERENT MOSQUES, YOU CAN HEAR A VERY&lt;br /&gt;SARCASTIC WORDS OF BLASPHEMING THE HOLY BIBLE, JESUS CHRIST AND CHRISTIANS.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;SINCE 1996 YOUNG CHRISTIANS FROM EVANGELICAL CHURCHES, JOINED TOGETHER AND STARTED TO ANSWER PUBLICLY, THOSE ALLEGATION POSED BY MUSLIMS,BY READING BOTH CHRISTIAN LITERATURE'S INCLUDING THE HOLY BIBLE, AND BY USING CHURCH HISTORY AS WELL IN ONE SIDE,AND ISLAMIC BOOKS i.e THE HOLY QURAN AND TRADITION (HADITH)ON THE OTHER SIDE OF WHICH THE RESULT MADE MUSLIMS BECAME UP SET AS THEY COULD NOT STAND THE POWERFUL ARGUMENTS AND PROOFS OF THE HOLY BIBLE AGAINST THE WEAK AND VAGUE MESSAGE OF THE QURAN AND ISLAM.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;MUSLIMS REGARD THEMSELVES AS SUPERIOR OVER ALL OTHER RELIGIONS WORLD WIDE WHILE IN THE REAL SENSE THEY ARE VERY WEAK BOTH MORAL AND SPIRITUALLY. I, PERSONALLY ,HAVE PROVED THIS BECAUSE I MINISTER AMONG THEM. THEY WOULD LIKE TO SEE NON-MUSLIMS INCLUDING CHRISTIANS BE SUBORDINATE TO ISLAM AND STAY QUITE AS FALSE ALLEGATIONS AGAINST THEIR FAITH ARE THROWN UPON THEM.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MUSLIMS ARE TRYING HARD TO CONVINCE CHRISTIANS TO EMBRACE ISLAM THROUGH POLITICAL, SOCIAL AND ECONOMICAL MEANS WITHOUT SUCCESS, DUE TO THE BROAD KNOWLEDGE AND AWARENESS WE HAVE SO FAR IMPARTED TO THEM AGAINST ISLAM.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;WHAT HAPPENED IN ARUSHA MTO WA MBU, IS THE RESULT OF MUSLIMS FAILURE TO ANSWER THE RELIGIOUS QUESTIONS FROM THEIR BOOKS INSTEAD THEY USE SWORD OF BLOOD AS THE LAST SOLUTION, THEY DEMOLISH CHURCHES AND BURN THEM.&lt;/strong&gt; BY DOING SO THEY PROCLAIM THE MESSAGE MADE BY THEIR PROPHET MUHAMMAD WHO SAYS IN THE AUTHENTIC HADITH " &lt;strong&gt;ALL HUMAN BEINGS MUST SUBMIT TO ISLAM EITHER BY CHOICE OR COMPULSION " &lt;strong&gt;ISLAM &lt;/strong&gt;IS THE RELIGION OF SWORD AND BLOOD.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;DESPITE ALL THESE PERSECUTIONS WE ARE COMMANDED TO LOVE. I STILL LOVE MUSLIMS BECAUSE THE LORD JESUS DIED FOR THEM TOO.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://findtruefaith.blogspot.com/p/support-us.html" target="_blank"&gt;TO SUPPORT US&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-1163613707383431786?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/1163613707383431786/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=1163613707383431786' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/1163613707383431786'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/1163613707383431786'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2011/03/intolerance-muslims-invaded-christian.html' title='INTOLERABLE  RADICAL PROPAGANDISTS MUSLIMS INVADED THE CHRISTIAN GOSPEL CRUSADE  AND KILLED A PASTOR AT MTO WA MBU IN ARUSHA TANZANIA'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-5160218431514521526</id><published>2011-02-19T04:52:00.000-08:00</published><updated>2011-12-14T04:41:11.660-08:00</updated><title type='text'>MUSLIMS BLAME  BISHOPS IN TANZANIA</title><content type='html'>MUSLIMS IN TANZANIA, RECENTLY, BLAMED THE BISHOPS AS STAMBLING BLOCK AGAINST THEIR MOVEMENTS ON THEIR DEMAND OF ISLAMIC SHARIAH COURTS.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;THE BLAME WAS MADE DURING THE MAKING DAY OF THE COMMEMORATING OF THE BIRTH OF PROPHET MOHAMMAD IN DAR ES SALAAM.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;SENIOR LEADERS OF MUSLIMS MADE A SPEECH BLAMING BISHOPS AS THE RETARDANT OF RESUMING THE KADHI COURT IN THE JUDICIAL SYSTEM.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;BUT THE TRUTH OF THE MATTER IS NEITHER BISHOPS NOR LAYMEN CHRISTIANS HAVE INTERVENED WITH THEIR MOVEMENT. INSTEAD THEY ARE NOT READY TO HEAR AND RECEIVE A THORNY STATEMET THAT WE ARE ALL BOUND BY THE CONSTITUTION OF THE UNITED REBULIC OF TANZANIA WHICH HAS SET A SPECIAL PROVISION REGARDING WORSHIPING MATTERS&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;TANZANIA IS A SECULAR STATE HAVING NO A STATE RELIGION. THEREFORE SUCH DEMAND BY MUSLIMS OF RESUMING KADHI COURTS SYSTEM, IS NOT OTHER THAN SELFISH AND DESPISE THE AUTHORITY OF THE CONSTITUTION.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;THEIR BLAME TO THE BISHOPS IS MEANINGLESS, BECAUSE BISHOPS OBSERVE THE CONSTITUTION. MY ADVICE TO THE MUSLIMS IS TO ORGANIZE NATIONAL DEBATE OVER THE ISSUE AND SEE TOGETHER IF IT IS BENEFICIAL TO ALL TANZANIANS.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://findtruefaith.blogspot.com/p/support-us.html" target="_blank"&gt;TO SUPPORT US&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-5160218431514521526?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/5160218431514521526/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=5160218431514521526' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/5160218431514521526'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/5160218431514521526'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2011/02/muslims-blame-bishops-in-tanzania.html' title='MUSLIMS BLAME  BISHOPS IN TANZANIA'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-5253607862561662772</id><published>2011-02-05T01:08:00.000-08:00</published><updated>2011-09-16T02:42:52.153-07:00</updated><title type='text'>MUSLIMS  DEMAND: DIVIDE TANZANIA</title><content type='html'>Muslims in Tanzania, recently, emerged with the claim to divide the nation of TANZANIA into two parts.&lt;br /&gt; This perhaps is an echo of what happened recently in Sudan, where the country,  through the opinion poll, divided into North Sudan where more Muslims reside and South Sudan where many Christians are found. The statement was made by Sheikh Ally Basaleh of the Mtoro mosque in Dar es Salaam when he was speaking to thousands of Muslims at Diamond Jubilee Hall during Press Realese condemning the statement of Bishops in Arusha who suggested that the election of Mayor is illegal and therefore must be resumed again.CHADEMA party organized the demonstration to protest and called its members, fans and other people in Arusha to participate. Police banned the demonstration, but people demonstrated.Police intervened and three people died when Police opened fire on people who were demonstrating.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The opinion of peace stake holder with other people of good will precaution ed that Such idea is very weak and poor. Because it is irrelevant to compare the political affairs of Tanzania against of that in  Sudan. These are different countries.Perhaps Sheikh Basaleh, has an hidden agenda from the Islamic point of view with Tanzania.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-5253607862561662772?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/5253607862561662772/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=5253607862561662772' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/5253607862561662772'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/5253607862561662772'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2011/02/muslims-demand-divide-tanzania.html' title='MUSLIMS  DEMAND: DIVIDE TANZANIA'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-5752958492653859980</id><published>2011-01-25T23:57:00.000-08:00</published><updated>2011-12-14T04:42:21.374-08:00</updated><title type='text'>MUSLIMS FEED NON-MUSLIMS STRANGLED MEAT (HARAM)</title><content type='html'>It is written " wherefore my sentence is, that we trouble not them, which from among the Gentiles are turned to God (JEHOVA),but that we write unto them that they abstain from pollutions of idols, and from fornication and from things strangled, and from blood" &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;Acts 15:19-20&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;That is what the Bible says. But in the contrary, when Muslims slaughter animals, they directing them towards the Al-Kaaba, Mecca, mentioning upon them the name other than the Name of Jehova. Meat is for both commercial and domestic use for the entire community.Some questions to ponder are: &lt;b&gt;Who legitimated Muslims to do so? a secular government? Law? By-laws?. The answer is None of them.&lt;/b&gt; &lt;b&gt;If none of the above, what happened to the Christians in Tanzania who have been deprived the right of slaughtering animals for their consumptions? &lt;/b&gt;Islam was found in 610 A.D,the era already the Christian faith had been spread nearly all the Middle East area including Mecca and Medina . People of the Middle East who are mainly adhered to either Judaism or Christianity, are famous at keeping cattle for the sake of sacrificial rites. Therefore they had to slaughter animals themselves prior to the emergence of Islam. &lt;b&gt;Why today in some areas non-Muslims are not allowed to slaughter animals for the commercial and domestic purpose? Whose belief is more superior than the other in Tanzania?&lt;/b&gt; Recently in Arusha Tanzania, Muslims officers offered a certificate of recognition to a plant which deals with poultry processing. The question behind is: Are all Tanzanians Muslims? &lt;b&gt;Who permitted Muslims to Islamitize slaughtering animals?&lt;/b&gt; &lt;b&gt;Will those non-Muslims agree to buy a strangled meat offered to idols of Mecca? &lt;/b&gt;. This exercise is used by Muslims as a social weapon to oppress other beliefs and money they collect generate the Islamic fund.. But the Bible has warned true Christians from idols. Abstain from it.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://findtruefaith.blogspot.com/p/support-us.html" target="_blank"&gt;TO SUPPORT US&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-5752958492653859980?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/5752958492653859980/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=5752958492653859980' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/5752958492653859980'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/5752958492653859980'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2011/01/muslims-feed-non-muslims-strangled-meat.html' title='MUSLIMS FEED NON-MUSLIMS STRANGLED MEAT (HARAM)'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-1871802344767313694</id><published>2010-12-16T06:14:00.000-08:00</published><updated>2011-12-14T09:37:42.150-08:00</updated><title type='text'>PINGAMIZI LA UANZISHWAJI WA MAHAKAMA YA KADHI KIKATIBA LILILOTOLEWA NA JUMUIA YA KIKRISTO TANZANIA (CCT)-OKTOBA 2008 (OPPOSOTION OF THE SHARIAH COURT SYSTEM CONSTITUTIONALY, BY THE CHRISTIAN COUNSEL OF TANZANIA (CCT)</title><content type='html'>Siku za hivi karibuni zimeanza kusikika kauli toka kwa watu mbali mbali kuhusu uwezekano wa kuanzishwa kwa mahakama ya Kadhi ambayo hiyo ni maalum kwa Waislamu peke yao . Lakini zipo juhudi mbalimbali zinazofanywa hata na baadhi ya viongozi wa juu wa Kisiasa katika kulishughulikia suala hilo kana kwamba Katiba inawaruhusu kufanya hivyo. Mambo hayo yalikwisha amuliwa katika vikao vya Bunge lililopita kuwa yafanywe na Waislamu wenyewe katika dini yao. Hivi karibuni tumemsikia Makamu wa Rais Dk. Bilal, akiwapa tumaini Waislamu kuwa jambo hilo linawezekana. Hoja yangu ni kwamba kauli ya Makamu wa Rais aliitoa kama mtu binafsi au kama Kiongozi wa ki-Taifa? Kitaifa ilikwisha amuriwa tayari. Kumekuwepo na hoja kuwa suala la udini katika nchi yetu linaota mizizi na kuhatarisha amani ya nchi. Kama viongozi wao ndiyo wanaolichochea unategemea nini kitatokea ? Hii ndiyo iliyonisukuma kukurushia kumbukumbu ya Tamko la CCT-JUMUIA YA KIKRISTO TANZANIA walilolitoa mwaka 29008 kuhusiana na kadhia hiyo. Lisome halafu tafakari kauli zinazotolewa na viongozi wa upande wa Waislamu kuhusu Mahakama ya kadhi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight: bold;"&gt;JUMUIYA YA KIKRISTO TANZANIA (CCT)&lt;br /&gt;PINGAMIZI DHIDI YA UANZISHWAJI WA MAHAKAMA YA KADHI NCHINI NA TANZANIA KUJIUNGA KATIKA USHIRIKIANO NA JUMUIYA KIMATAIFA YA KIISLAMU.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Sisi Maaskofu na Viongozi wa makanisa na mashirika wanachama wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) tumetafakari kwa Roho ya Kiutume na Kinabii kwa nchi yetu juu ya Uanzishwaji wa Mahakama ya Kadhi nchini na Tanzania kujiunga katika ushirikiano na Jumuiya ya Kimataifa ya Kiislamu (OIC).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunazingatia na kutambua kwa dhati na fahari kubwa kuwa nchi yetu haina dini na kwamba jambo hili limekuwa ni mojawapo ya tunu na misingi imara ya umoja na utaifa na amani ya nchi hii. Tumeipongeza Serikali yetu mara nyingi kwa kuingiza katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 19 (2) kama ifuatavyo:- &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;Kazi ya kutangaza dini , kufanya ibada na kueneza dini itakuwa ni huru na jambo la hiari ya mtu binafsi, na shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya shughuli za mamlaka ya nchi. [Sheria ya Mabadiliko ya Kumi na Nne katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na ya 2005].&lt;/span&gt; Ibara hii imekuwa ni ya muhimu kwa ajili ya kusimamia na kuhakikisha kwamba mambo ya dini yanatenganishwa kabisa na shughuli za uendeshaji wa nchi yetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo ndiyo sheria mama ya sheria nyingine zote, imeendelea kuzingatia umuhimu huu. Hifadhi ya haki zilizotajwa katika ibara hii itakuwa chini ya taratibu zilizowekwa na sheria  ambazo ni muhimu katika jamii na umoja wa kitaifa. Haya yamewekwa wazi katika Ibara ndogo ya (3) katika Ibara ya 19 [Sheria ya Mabadiliko ya Kumi na Nne Katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania . Na. 1 ya 2005]&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sheria ya Vyama vya siasa [Sura ya 258 R.E 2002] imetii na kuheshimu tuliyoyataja na kuyanukuu hapo juu katika kifungu cha 9 (2) (a) (i) ambacho kinasema; &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;Without prejudice to subsection (i) of this section, no political party shall qualify for provisional registration if by its constitution or policy (a) it aims to advocate or further the interests of – (i) any religious belief or group.&lt;/span&gt; Maana yake (tafsiri ni yetu) ni kwamba &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;chama chochote cha siasa hakitakubaliwa usajili wa muda endapo kwa kufuatana na katiba au sera ya chama chicho kinalenga kutetea au kuendeleza maslahi ya imani au kikundi chochote cha kidini.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Siku za hivi karibuni Bunge la Tanzania na vyombo vingine vya serikali vimekuwa vikijadili juu ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Mahakama ya Kadhi na nchi kujiunga katika ushirikiano wa OIC. Maswala haya yanapojadiliwa inaashiria uwezekano wa kukubalika kwa mambo haya mawili. Kukubalika kwake ni kwenda kinyume na vifungu vya Katiba na sheria tulizotaja au kunukuu hapo juu. Si hivyo tu, bali pia ni kuruhusu kubomoka na kuvunjika kwa amani ya nchi yetu kwa sababu yanagusa hisia na itikadi za Watanzania wote. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight: bold;"&gt;Tunatambua kuwa vyama vya siasa katika kueleza  sera na ilani zao vinajitahidi kuvutia wapiga kura wengi ili viweze kupigiwa kura ili kuchukua au kuendelea kushika uongozi wa nchi. Lakini kamwe na ni hatari isiwe ni ili mradi kushika uongozi wa nchi hata kama ni kwa gharama ya kuvunjika kwa umoja wa kitaifa na amani ya nchi hii! Hili ni jambo tusilolikubali kwa vyovyote vile kwa Chama chochote cha kisiasa kitakachokubali mambo haya mawili. Hata kama uhusiano wetu na chama hicho ni mzuri kwa sasa itabidi tufikirie upya uhusiano huu! Tunatoa tahadahari kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikali yake kuacha mara moja kuruhusu majadala na kukubalika kwa mambo haya.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Msimamo wetu kuhusu mambo haya mawili ni kuyakataa; na mamlaka yoyote ya nchi kuendelea kukaribisha mjadala huu ili hatimaye yakubalike ni kupoteza muda wa wenye dhamana ya mamlaka ya nchi hii na raslimali za nchi hii. &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;Tuna uhakika wa yaliyomo katika nyaraka anzilishi za taasisi hizo na ni hatari kabisa endapo yakikubalika nchi itaingizwa katika migogoro itakayoua maridhiano, mshikamano, amani, utangamano na umoja wa kitaifa.&lt;/span&gt; Kama ilivyokuwa wakati wote tangu kupata Uhuru wa nchi hii hadi sasa mambo ya imani zao bila ya kuingiza mamlaka za nchi katika gharama na kutumia rasilimali na muda ambavyo ni muhimu kwa maendeleo ya /na ustawi wa familia, umma na Taifa kwa ujumla.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunaendelea kuweka mkazo kwamba yale mambo yote ambayo yamekuwa ni tunu kwa Taifa hili tangu kuasisiwa kwake yasitikiswe  wala kuhojiwa kwa makusudi ya kuyaondosha au kudhoofisha umuhimu wake. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kuzingatia wajibu wetu wa Kinabii na Ki-utume, Jumuiya ya Kikristo Tanzania inatoa wito kwa Bunge letu lisikubali kamwe kuanzishwa kwa Mahakama ya Kadhi nchini kwa kupitia mchakato wa utendaji wa mamlaka ya nchi, wala kuridhia uanachama  wa Tanzania katika OIC. Tanzania yenye amani imetokana na ni tunda la uhuru wa dini, itikadi, makabila, rangi na jinsia zote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI AFRIKA.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pingamizi hili limetolewa leo tarehe ……………………… Oktoba, 2008&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;……………………………&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight: bold;"&gt;Askofu Mkuu Donald Leo Mtetemela&lt;br /&gt;MWENYEKITI &lt;br /&gt;JUMUIYA YA KIKRISTO TANZANIA   &lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-1871802344767313694?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/1871802344767313694/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=1871802344767313694' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/1871802344767313694'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/1871802344767313694'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2010/12/pingamizi-la-uanzishwaji-wa-mahakama-ya.html' title='PINGAMIZI LA UANZISHWAJI WA MAHAKAMA YA KADHI KIKATIBA LILILOTOLEWA NA JUMUIA YA KIKRISTO TANZANIA (CCT)-OKTOBA 2008 (OPPOSOTION OF THE SHARIAH COURT SYSTEM CONSTITUTIONALY, BY THE CHRISTIAN COUNSEL OF TANZANIA (CCT)'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-784775884926125222</id><published>2010-12-09T23:19:00.000-08:00</published><updated>2011-12-14T04:43:30.592-08:00</updated><title type='text'>MY COMPLAIN AGAINST ISLAMIC NEWSPAPER'S OWNERS FOR DEFAMATION</title><content type='html'>&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_-xyCnC8m5wE/TQHVpzjkpcI/AAAAAAAAADg/kfVHYY-_mXs/s1600/arb%255B1%255D.jpg"&gt;&lt;img alt="" border="0" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5548951130087925186" src="http://3.bp.blogspot.com/_-xyCnC8m5wE/TQHVpzjkpcI/AAAAAAAAADg/kfVHYY-_mXs/s400/arb%255B1%255D.jpg" style="cursor: hand; display: block; height: 146px; margin: 0px auto 10px; text-align: center; width: 300px;" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rev. Daniel Mwankemwa stresses a point at the session of the Ethics Committee of the Media Council of Tanzania (MCT) where he had lodged complaints against Taifa Tanzania newspaper. Left is the Chairman of the Editorial Board of the newspaper, Prince Bagenda and centre is its editor, Salum Mnete.(Photo by Shekha Hussein).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rev Mwankemwa claimed that the newspaper had wrongly projected him as a political fanatic for allegedly reporting that a book he had authored was used in campaigns during the last year’s elections for a Member of Parliament for the Mbeya Rural Constituency.&lt;br /&gt;The case consumed considerable long time before it was settled by the Ethics Committee. &lt;br /&gt;It was amicably resolved that Taifa Tanzania should give Rev. Mwankemwa the right of reply by publishing his article in which he would explain his concerns on what the newspaper had reported so as to clear his image.&lt;br /&gt;Taifa Tanzania News Editor, Salum Mnette, agreed to publish the article.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://findtruefaith.blogspot.com/p/support-us.html" target="_blank"&gt;TO SUPPORT US&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-784775884926125222?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/784775884926125222/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=784775884926125222' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/784775884926125222'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/784775884926125222'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2010/12/my-complain-against-muslims-newspapers.html' title='MY COMPLAIN AGAINST ISLAMIC NEWSPAPER&apos;S OWNERS FOR DEFAMATION'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_-xyCnC8m5wE/TQHVpzjkpcI/AAAAAAAAADg/kfVHYY-_mXs/s72-c/arb%255B1%255D.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-6559909102695818140</id><published>2010-12-09T08:56:00.000-08:00</published><updated>2011-03-14T10:23:54.519-07:00</updated><title type='text'>JE WAISLAMU NI WATOTO WA ISHMAEL? BABA YAO NI IBRAHIM YUPI? (ARE  MUSLIMS  SPRITUAL DESCENDANTS OF ABRAHAM IBN TERAH?)</title><content type='html'>&lt;strong&gt;Ni Mtoto Yupi Aliyekusudiwa Kuchinjwa Ishmael au Isaka?&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;         Ni muda mrefu sasa umepita upatao miaka 1428 tangu kuanza kwa dini ya Kiislam, iliyoanzishwa na Mohammad (S.A.W), Mtume wa Waislam (Dini ya Kiislam ilianza mwaka &lt;strong&gt;610 B .K)&lt;/strong&gt; waislam wanadai na kufundisha  watu kuwa eti nao ni wana wa Ibrahim Kiimani,  pia wanawafundisha watu “eti mtoto aliyekusudiwa kutolewa sadaka ya kuteketezwa na Ibrahim kati ya watoto wake wawili yaani Ishmael na Isaka ni ISHMAEL”. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;        Maneno haya wanayafundisha katika Misikiti yao na kwenye mihadhara. Pia  wamechapisha vitabu, na kutengeneza Kanda za audio na video ambavyo wamevisambaza ulimwenguni wakifundisha jambo hilo.&lt;br /&gt;Suala la Msingi kwetu mimi na wewe kujua ni je: Madai hayo ni ya kweli? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;        Ibrahim ni mtu wa muhimu sana hasa linapo kuja suala la kiimani. Hii ni kwa sababu, Wayahudi wanamtaja Ibrahim, Wakristo nasi tunamtaja Ibrahim na hata Waislam nao utawasikia wakimtaja Ibrahim. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;         Hivyo kwa  maelezo haya, kama usipofanya uchunguzi wa kina unaweza kushawishiwa kuwa makundi ya dini hizo tatu zilizotajwa hapo juu yaani &lt;strong&gt;WAYAHUDI,&lt;/strong&gt; &lt;strong&gt;WAKRISTO &lt;/strong&gt;na &lt;strong&gt;WAISLAM&lt;/strong&gt; wote wanahusika na yule Ibrahim mmoja. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;           Niliwahi kuongea  na rafiki yangu Muislam, ambaye amebahatika kupata elimu ya kidini kwa kiwango cha kutosha, tulipokuwa tukiongea mambo yanayohusu dini hususani dini hizi mbili ya Kikristo na Kiislam, tulipofika kumjadili Ibrahim, huyo rafiki yangu alisema  Dini ya Kiyahudi, Kikristo na Kiislam hizi ni dini za Ki- Ibrahim (&lt;strong&gt;ABRAHAMIC RELIGIONS&lt;/strong&gt;) . Lakini nilipotaka ufafanuzi zaidi  kuhusu uhusiano huo, rafiki yangu huyo hakuwa tayari kuutoa akidai maswali  nitakayomuuliza kumhusu Ibrahim kwa mtazamo wa dini ya Kiislamu, yatamsababishia  amkufuru Mungu wake Allah (s.w) kwa kile ambacho Mungu wake amekisema ndani  ya kitabu chake yaani Qurani, kumhusu Nabii Ibrahim. Hivyo hakuwa tayari kuendelea na mazungumzo hayo. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;       Hili limekuwa tatizo kubwa sana kila mara hasa linapokuja suala linalomhusu Ibrahim, na kwa sababu ya athari kama hizi imefikia hata baadhi  ya Wakristo nao wanapotaka kuwaita Waislamu huwaita &lt;strong&gt;“WATOTO WA MAMA MDOGO&lt;/strong&gt;”. Lakini ukiwauliza ni kwa vipi  Waislamu waitwe watoto wa mama mdogo jibu utakaloambiwa ni kuwa “eti Waislamu ni watoto wa Ishmael”, jambo ambalo SIYO KWELI . Hii ni kwa sababu Ishmael na Uislam hawajawahi kukutana hata siku moja. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;           Kwa mujibu wa Quran yenyewe Uislam ulianzishwa na Mohammad mnamo mwaka 610 BK.  Tunasoma katika Quran &lt;strong&gt;Suratul Yusuf, 12:20&lt;/strong&gt; “Na wakamuuza kwa thamani pungufu kwa pesa (kidogo tu hivi) za kuhisabika, na hawakuwa na haja naye (ya kumuweka wakiogopa wasitokee jamaa zake  kuja kumtafuta huko).” Unaposoma Ufafanuzi wa aya hiyo uliyomo ndani ya Quran hiyo hiyo kama ilivyotafsiriwa na &lt;strong&gt;Sheikh Abdallah Saleh Farsy,&lt;/strong&gt; anafafanua hivi “ unaona kuuzana kulikuwako zaidi ya &lt;strong&gt;miaka 4000&lt;/strong&gt; kabla ya kuja dini ya Kiislamu aliyokuja nayo Nabii Mohammad halafu wakausingizia Uislam kuwa ndiyo uliokuja  na kuuza watu.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;         Katika aya hii na ufafanuzi wake panaelezwa na mwanazuoni mkubwa wa Kiislam, muda ambao Uislam ulianza, hasa pale Uislam ulipohusishwa na biashara ya kuuza watu. Kwa maelezo haya anamaanisha kuwa mwaka wa 610 B.K ulipoanzishwa Uislam na Mohammad, tayari biashara ya utumwa ilikwisha kuwepo, muda huo Ishmael alikuwa tayari amekwisha kufa kwa karne nyingi.  Hivyo Ishmael na Uislamu hawafahamiani  na wala hajui lolote kuhusu dini hiyo. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;          Jambo ambalo ninapenda ulijue ni kwamba siku zote tunapoongea au kusoma habari za Ibrahim ndani ya Quran na Biblia ni habari zisizo patana kabisa, Hii ni kuanzia vizazi vyao .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika Biblia Takatifu, tunasoma habari za vizazi ya Abram katika &lt;strong&gt;MWANZO11:10&lt;/strong&gt;“Shemu, akamzaa Arfaksaid, naye akamzaa Sela, naye akamzaa Eber, naye akamzaa Pelegi, naye akamzaa Reu, naye akamzaa Serugi, naye akamzaa Nahori, naye akamzaa Tera, naye akamzaa Abram, na Nahori, na Haram. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa kuna vizazi kumi toka kwa Shemu hadi kwa Abram. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini tuitazamapo Qur’an katika Suratul &lt;strong&gt;An-Am, 6:74  (Wanyama)&lt;/strong&gt; inasema  “Kumbukeni Ibrahim alipomwambia baba yake AZAR………Hivyo aya hii inaonesha kuwa baba yake Ibrahim kwa mujibu wa Qur’an ni AZAR . Na kuhusu kizazi chake, tunaposoma ndani ya kitabu Kiitwacho “&lt;strong&gt;Mkweli Mwaminifu”, &lt;/strong&gt;kilichoandikwa na Sheikh Said Moosa Mohammed al- Kindy, wa Muscat Oman kwenye &lt;strong&gt;juzuu 3-4 uk 226&lt;/strong&gt;, mwanazuoni huyu  mkubwa wa Kiislam amejaribu kueleza vizazi vya Ibrahim kwa mujibu wa mafundisho ya kiislam ameeleza hivi:- Naye ni Ibrahim bin Naarikh, bin Yaajur, bin Saaru’uu bin Qaahi bin Anbir, bin Arfakh shad, bin Saam, bin Nuuh (A.S).”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;              Katika kitabu hicho, tunaona vizazi vinane tu vya Ibrahim,na ndivyo ilivyo hata ndani ya Quran na hadithi zake , jambo ambalo ni kinyume kabisa na habari za Abram ndani ya Biblia, ambaye tumeona ana vizazi 10. Pia Quran haimtaji Abram bali Ibrahim tu, hii ni kwa sababu Uislamu haujui kitu chochote kuhusu mtu aliyeitwa hapo kwanza Abram.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa Biblia, safari ya Mzee Abram inaanzia pale alipokuwa katika Uru wa Wakaldayo. &lt;br /&gt;Tunasoma hayo katika &lt;strong&gt;MWANZO 11:27-32&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;“Tera akamtwaa Abram  mwanawe, na Sarai mkwewe, mke wa Abram  mwanawe wakatoka wote katika Uru wa Wakaldayo waende nchi ya Kaanani, wakafika mpaka Harani wakakaa huko. Siku za Tera zilikuwa miaka mia mbili na mitano (205), Tera akafa katika Harani” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya Mzee Tera kufa katika Harani, Mungu alimtokea tena Ibrahim.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika &lt;strong&gt;MWANZO 12:1-5&lt;/strong&gt;“ Bwana akamwambia Abram toka wewe katika nchi yako na jamaa zako, na nyumba ya Baba yako, uende mpaka nchi nitakayokuonyesha, nami nitakufanya wewe kuwa Taifa kubwa na kukubariki na kulikuza jina lako; nawe uwe baraka nami nitawabariki wakubarikio naye akulaaniye nitamlaani, na katika wewe jamaa zote za dunia watabarikiwa.  Basi akaenda kama Bwana alivyomwamuru; Lutu akaenda pamoja naye. Naye Abram alikuwa mtu wa miaka sabini na mitano (75) alipotoka Harani.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;                   Hivyo kwa kifupi tunaona safari ya Mzee Abram ikianzia toka Uru wa Wakaldayo, hadi Harani halafu toka Harani hadi Kaanani (Israel leo) ,kisha Misri. Huko Misri Farao aliambiwa na watu wake kuwa mwanamke mzuri ameingia katika nchi yao, ndipo Farao akaamuru aletwe kwake huyo mwanamke yaani Sarai, mke wa Abram, huku akikusudia alale naye na kumfanya mkewe. Ndipo Bwana akampiga Farao na nyumba yake yote kwa ajili ya Sarai ( &lt;strong&gt;Mwanzo 12:10-20). &lt;/strong&gt;Mfalme wa Misri hakuweza kutimiza lengo lake kwa Sarai.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapo walipotoka katika nchi ya Misri ndipo  walipomchukua na Hajir ambaye kuanzia wakati huo alikuwa mjakazi (&lt;strong&gt;House girl&lt;/strong&gt;) wa Sarai. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baadaye Mungu  alifanya agano na Abram.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Katika &lt;strong&gt;MWANZO 15:1-6”&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt; “Baada ya mambo hayo, neno la Bwana likamjia Abram katika Njozi likinena Usiogope Abram mimi ni ngao yako na thawabu yako kubwa sana . Abram akasema Ee Bwana Mungu! Utanipa nini nami naenda zangu hali sina mtoto atakaye miliki nyumba yangu ni huyu Eliezari Mdameski? Abram akasema tazama hukunipa uzao na mtu aliyezaliwa nyumbani mwangu ndiye mrithi wangu. Nalo neno la Bwana likamjia  likinena huyu hatakurithi, bali atakayetoka  katika &lt;strong&gt;VIUNO&lt;/strong&gt; vyako ndiye atakayekurithi. Akamleta nje akasema tazama sasa mbinguni kazihesabu nyota kama ukiweza kuzihesabu nyota. Akamwambia ndivyo utakavyokuwa uzao wako. Akamwamini.  Bwana naye  akamhesabia  jambo hili kuwa haki. Kisha akamwambia mimi ni Bwana niliyekuleta toka Uru wa Waldayo ni kupe nchi hii ili uirithi” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ndipo Katika &lt;strong&gt;MWANZO 15:13-16&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;“ Bwana akamwambia Abram ujue hakika ya kwamba uzao wako utakuwa mgeni katika nchi isiyo yake watawatumikia watu wale nao watateswa muda wa miaka mia nne. Hata na Taifa lile watakaowatumikia nitawahukumu, baadaye watatoka na mali mengi. Lakini wewe utakwenda kwa baba zako kwa amani utazikwa katika Uzee mwema, Na kizazi cha Nne kitarudi hapa” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;      Ndugu yangu msomaji, katika kifungu hiki tunaona Mzee Abram akiomba mtoto wa kumrithi. Lakini Mungu alimwambia atakayemrithi Abram atatoka  katika viuno vyake. Hapa  ndipo Waslamu wanapoanzia kujenga hoja zao kuwa huyo ni Ishmael kwa vile Ishmael alizaliwa kwa mwili, basi huyu ndiye aliyetoka katika viuno vya Abram na kwa hiyo ndiye anayestahili baraka zote ambazo Mungu alimwahidi Abram. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;            Sasa je kusema katika “Viuno vyako” maana yake nini? Ni kwamba kwa sababu Mzee Abram ndiye mkuu wa familia hivyo uzao wote ni mali yake. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunaposoma katika kitabu cha  &lt;strong&gt;Ebr 7:4 &lt;/strong&gt; “Basi angalieni mtu huyo alivyokuwa Mkuu ambaye Ibram baba yetu Mkuu alimpa sehemu ya kumi kwa watu wao yaani ndugu zao kwa agizo la sheria ijapokuwa wametoka katika Viuno vya Ibrahim.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;          Pengine unaweza kujiuliza hivi Ibrahim alikuwa na Viuno vingapi? Bila shaka alikuwa na kiuno kimoja tu, lakini  lililokusudiwa hapa ni kuwa ilimhusu yeye pamoja na mkewe Sarai. &lt;br /&gt;Neno viuno  liliwakilisha  uzao wowote utakao husika naye sawa na vile tulivyoona kwa Walawi ambao wao ni kizazi cha nne kutoka Ibrahim. &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Katika  &lt;strong&gt;Mwanzo 16: 1-6“&lt;/strong&gt;Basi Sarai mkewe Abram  hakumzalia mwana naye alikuwa na mjakazi Mmisri jina lake Hajir. Sarai akamwambia Abram,  Basi sasa Bwana amenifunga tumbo nisizae, Umwingilie mjakazi wangu labda  NITAPATA Uzao kwa yeye. Abram akaisikiliza sauti ya Sarai. mkewe Abram akamtwaa Hajir  Mmisri, Mjakazi wake , baada ya kukaa Abram katika nchi ya Kaanani miaka kumi akampa Abram mumewe awe mkewe. Basi akamwingilia Hajir naye akapata mimba, naye alipoona ya kwamba amepata mimba, bibi yake alikuwa duni machoni pake. Sarai akamwambia Ubaya ulionipata na uwe juu yako nimekupa Mjakazi wangu kifuani mwako naye alipoona ya kwamba amepata mimba mimi nimekuwa duni machoni pake . Bwana na ahukumu kati ya mimi na wewe. Naye Abram akamwambia Sarai tazama Mjakazi wako yu mikononi mwako mtendee lililo jema machoni pako. Sarai akamtesa naye akakimbia kutoka mbele yake …..Malaika wa Bwana akamwuuliza wewe Hajir Mjakazi wa Sarai unatoka wapi na unakwenda wapi? &lt;br /&gt;Hapa tunaona mkazo wa usemi kumhusu Hajir.&lt;br /&gt;Sarai anamwita Hajir  Mjakazi wangu siyo mke mwenzangu&lt;br /&gt;Abram anamwita Hajir Mjakazi wa Sarai siyo mke mwenza&lt;br /&gt;Malaika anamwita Hajir Mjakazi wa Sarai &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hii ni kinyume na madai ya waislam wanapodai kuwa eti Hajir alikuwa mke wa Abram , wao wanasema  Abram alikuwa na wake watatu. Ukweli ni kwamba Abram hajawahi kuwa na wake watatu, kwa sababu Hajir hakuwa mkewe. Na hata Biblia ilipoandika  kuwa Sarai alimpa mumewe awe mkewe , hiyo ilimaanisha kuwa Abram angefanya tendo la ndoa na Hajir ambalo kwa kawaida hufanywa na mtu na mkewe tu. Kwa sababu Hajir alikuwa  mjakazi wa Sarai na yeye Sarai alikuwa hazai, hivyo  aliitoa nafasi yake kwa Hajir kwa kusudi la kupata mtoto tu na hata huyo mtoto asingekuwa wa Hajir alipaswa awe wa Sarai mama mwenye nyumba ndiyo maana Sarai alisema labda NITAPATA Uzao kwa yeye. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika &lt;strong&gt;MWANZO 25:1 &lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;“Tunasoma kuwa baada ya kufa Sara  mkewe Ibrahim (&lt;strong&gt;Mw 24:66-67)&lt;/strong&gt; ndipo Ibrahim alipooa mke mwingine yaani Ketura, hivyo Ibrahim hajawahi kuwa na wake watatu  kwa wakati mmoja kama wanavyodai waislam. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yapo mafundisho ya ajabu yanayomhusu Ibrahim wa Kiislam.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunaposoma katika kitabu kiitwacho “&lt;strong&gt;Mkweli Mwaminifu”&lt;/strong&gt; kilichoandikwa na Sheikh Said Musa al-kindy wa Muscat Oman &lt;strong&gt;&lt;strong&gt;juzuu 3-4 &lt;/strong&gt;&lt;/strong&gt;ule uk. 304 anasema”. Na baada ya Nabii Ibrahim  (A.5) alizuru Maka tangu karne arubaini na AKAOA huko baada ya kuondoka Palestina na hapo ndipo alipoijenga Al- Kaaba” .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa hoja yetu ni kutaka kujua huyo mke mwingine ambaye Ibrahim alimuoa huko Maka ni nani? Bila shaka huu ni udanganyifu wa kiimani na jambo la hatari sana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika kitabu kiitwacho &lt;strong&gt;Mkweli Mwaminifu &lt;/strong&gt;,cha Sheikh Said Moosa Mohamed&lt;strong&gt; Al- Kindy,Juzuu 3-4, uk. 215&lt;/strong&gt; inasomeka “Nabii Nuuh (A.S) akawausia wanawe na kuwaamrisha  wasimamishe sala, na watoe zaka, na wawatazame jamaa zao, na wawatii, na waamrishe mema, na na wakataze mabaya na wafunge saumu ya kila mwezi siku tatu, na siku ya Ashura na kutimiza ahadi, na kuhiji nyumba ya AL-KA’ABA na mengi yaliyo mema. Na kabla ya kufa Nabii Nuuh (A.S) aliwachukua wanawe kuhiji AL-KA’ABA, na akawafundisha vitendo vyote vya kuhiji na walikuwa wakisema”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini tunaposoma suala linalohusiana na Al-Kaaba kama kweli ilijengwa na Ibrahimu  mwenyewe, lina utata hata kwa Waislamu wenyewe. Katika kitabu kiitwacho &lt;strong&gt;Tafsiri al- Kashif uk .153&lt;/strong&gt; kinaeleza utata huo kuihusu Al-Kaaba. Ninanukuu  “ Wafasiri wengi na wana historia wa Kiislamu wamesema kuwa ilikuwako kabla ya Ibrahim kwa miaka mingi. Baadhi wamesema ilianzishwa na Ibrahim (a.s); wengine wamenyamaza na kusema: “Mwenyezi Mungu ndiye ajuaye zaidi . “Nasi tuko pamoja na hawa. Kwani akili haina nafasi, na njia ya kujua itategemea athari au Aya za Qur’an au Hadithi mkato.” Huo ndiyo utata wa Al-Kaaba.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ndugu msomaji agano alilolifanya Abram na mkewe Sarai la kumzaa Ishmael kwa Hajir, Mungu hakupendezwa nalo na kwa sababu hiyo Abram akawa amepoteza ukamilifu wake mbele ya Mungu,  na Mungu hakuzungumza tena na Abram mara kwa mara kama alivyofanya awali, hivyo kwa muda wa miaka 13 Mungu hakusema na Abram hadi alipofikisha  umri wa miaka 99 yaani tangu akiwa na miaka 86.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika &lt;strong&gt;MWANZO 17:1-5&lt;/strong&gt;“Abram alipokuwa mtu wa miaka tisini na kenda, Bwana akamtokea Abram akamwambia Mimi ni Mungu Mwenyezi uende  mbele yangu ukawe mkamilifu Nami nitafanya Agano langu kati ya mimi na wewe nami nitakuzidisha sana sana . Abram akaanguka kifudifudi. Mungu akamwambia akasema Mimi agano langu nimefanya nawe, nawe utakuwa baba wa Mataifa mengi, wala jina lako hutaitwa tena Abram, lakini jina lako litakuwa Ibrahim kwani nimekuweka uwe baba wa Mataifa mengi”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa pia katika &lt;strong&gt;MWANZO 17:15&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Sarai anabadilishwa jina toka Sarai kuwa Sara jambo ambalo hulikuti katika habari za Ibrahim ndani ya Qur’an &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo ndugu msomaji kuanzia sasa tutaongea habari za mtu aitwae Ibrahim na wala sio Abram.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mungu alimpa Ibrahim ahadi ya kupata mtoto kupitia Sara. Lakini Ibrahim alitamani ahadi hizo zipitie kwa Ishmael Mungu alikataa .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MWANZO 17:17-18&lt;/strong&gt;“Ibrahim akamwambia Mungu Lau kama Ishmael angeishi mbele yako, Mungu akasema SIVYO lakini Sara mkeo atakuzalia mwana wa kiume nawe utamwita ISAKA. Nami nitafanya &lt;strong&gt;agano langu IMARA kwake kuwa AGANO LA MILELE&lt;/strong&gt;”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo ndugu siyo sisi tuliomkataa Ishmael kama vile wanavyodai waislam bali ni Mungu mwenyewe . Mungu alijua kuwa kupitia Ishmael kisingefanyika kile ambacho alikikusudia kwa ISAKA. Ishmael aliahidiwa kuwa Taifa kubwa ambalo hata hivyo halikuwezekana kupatikana kwa sababu kizazi cha Ishmael kiliungana na kizazi cha Midian na kwenda kupigana na kizazi cha Isaka  na hivyo kupoteza kabisa ahadi ya Taifa ambalo Mungu aliwaahidi Baba zao kwa sababu walitaka kwenda kinyume na mpango na Mungu&lt;br /&gt;( &lt;strong&gt;Waamuzi 8:22,28).&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo mbali  ya  Mungu kuwabadilisha majina yao Ibrahim na mkewe Sarai, Mungu anampa Ibrahim agano la Tohara.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika &lt;strong&gt;MWANZO 17:9 - 14,24-27 &lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;“Mungu akamwambia Ibrahim nawe ulishike agano langu wewe na uzao wako kwa vizazi vyao baada yako. Hili ndilo agano langu utakalolishika, kati ya mimi na wewe, na uzao wako  baada yako. Kila mwanamume wa kwenu &lt;strong&gt;ATATAHIRIWA&lt;/strong&gt;. Mtatahiriwa nyama ya magovi yenu na jambo hilo litakuwa ishara ya agano kati ya mimi na ninyi , mtoto wa siku nane atatahiriwa kwenu, kila  mwanaume katika  vizazi vyenu mzaliwa  nyumbani na mnunuliwa  kwa fedha kila mgeni asiyekuwa wa uzao wako. Mzaliwa nyumbani mwako na mnunuliwa kwa fedha yako lazima atahiriwe na agano langu litakuwa katika mwili wenu kuwa agano la milele. Na Mwanamume mwenye govi asiyetahiriwa nyama ya govi lake mtu yule atatengwa na watu wake amelivunja agano langu” &lt;br /&gt;Ibrahim alitahiriwa akiwa na miaka 99 na Ishmael akiwa na miaka 13.&lt;br /&gt;Hapa tunajifunza kuwa n iwale walio wa uzao wa Ibrahim tu yaani WAYAHUDI au WAISRAELI(&lt;strong&gt;Yer 34:8-9)&lt;/strong&gt; ndiyo waliopewa agano la tohara katika miili yao kama agano kati yao na Mungu (&lt;strong&gt;Mdo 7:1-8). &lt;/strong&gt;Maagano hayo yote yanayotolewa kwa Ibrahim wa ndani ya Biblia lakini agano la jinsi hiyo hulikuti hata moja kwa Ibrahim wa ndani ya Quran. &lt;br /&gt;Hivyo mtu yeyote nje ya Waebrania  au Wayahudi au Waisrael kama wanavyojulikana leo anapotahiriwa hatahiriwi kwa sababu  ya agano  la Ibrahim bali ni kwa suala la usafi tu. Hii ni pamoja na  WAARABU WOTE kwa sababu wao pia  siyo  Waebrania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunaposoma habari za Mtume Paulo katika&lt;strong&gt; Gal 2:7-8 &lt;/strong&gt;anasema&lt;br /&gt;“Walipoona nimepewa Injili ya wasiotahiriwa kama Petro alivyopewa ya waliotahiriwa……………..&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Paulo safari yake ya kwanza alienda Uarabuni kwa sababu hao hawana agano la tohara na kwa sababu hiyo hawatahiriwi kama walivyofanya Waebrania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;strong&gt;Gal 1:17&lt;/strong&gt;” Wala sikupanda kwenda Yerusalem kwa hao waliokuwa mitume kabla yangu, bali nalikwenda zangu Arabuni, kisha nikarudi  tena Dameski” kwahiyo Waarabu hawana agano la tohara maana ni watu wa Mataifa .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika &lt;strong&gt;MWANZO 21: 1-4&lt;/strong&gt; &lt;br /&gt;“Bwana akamjia Sara kama alivyonena na Bwana  akamfanyia   kama alivyosema Sara akapata mimba akamzalia Ibrahim mwana wa kiume katika Uzee wake kwa muhula alioambiwa na Mungu. Ibrahim akamwita jina lake ISAKA yule mwana aliyezaliwa ambaye Sara alimzalia &lt;strong&gt;Ibrahim AKAMTAHIRI Isaka mwanawe alipokuwa mwenye SIKU NANE &lt;/strong&gt;kama Mungu alivyomwamuru”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Siku ambayo huyo mtoto Isaka aliachishwa kunyonya, Ishmael alimfanyia dhihaka Isaka, hivyo Sarai akamwambia Ibrahim amfukuze huyu Mjakazi pamoja na mwanawe &lt;strong&gt;(Mw 21:8-13). &lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika &lt;strong&gt;MWANZO 21: 14,20&lt;/strong&gt;“Ibrahim akaamka asubuhi na mapema akatwaa mkate na kiriba cha maji akampa Hajir akimtwika begani pake na kijana, akamruhusu, naye akatoka akapotea katika jangwa la Beer-sheba” Mungu akawa pamoja na huyo kijana naye akakua, akakaa katika jangwa la Parani, mama yake akamtwalia mke katika nchi ya Misri”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yeye mwenyewe Ibrahim hakuwahi kwenda huko pamoja na Hajir kama wanavyodai waislam kuwa hapo ni MAKKA walikuwa jangwani yeye na mama yake Hajir na maji yaliwaishia. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika &lt;strong&gt;MWANZO 18:20&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;“Ondoka ukamwinue kijana ukamshike mkono wako kwa kuwa nitamfanya kuwa taifa kubwa. Mungu akamfungua  macho  naye akaona kisima cha maji akaenda akakijaza kiriba maji akamywesha kijana”&lt;br /&gt;Lakini tunapo soma Quran katika &lt;strong&gt;Suratul, Ibrahim 14:37&lt;/strong&gt; pamoja na ufafanuzi  wake uliomo ndani ya Quran ya Tafsiri ya Kiingereza  ya &lt;strong&gt;The Noble Quran &lt;/strong&gt;tafsiri ya King Fahdi Uk 334,” inasema Hajir alimwona Malaika akichimba kisima cha Zamzam kwa kutumia kisigino chake au bawa lake. Ingawa katika tafsiri hiyo  hiyo  na ukurasa huo huo inasema huyo Hajir mama yake Ishmael alikuwa karibu na Al- kaaba chini ya mti kwenye kisima cha Zam zam, kwa maana hiyo ni kuwa hicho kisima kilikuwepo hata kabla Hajir na mwanawe Ismail hawajaenda kwenye Al- kaaba “. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hoja ni hii je kisima hicho kilichimbwa na nani? Bila shaka kilichimbwa na wapagani na washirikina wa pale Maka kwa ajili ya miungu yao. Quran inasema Hajir alimwona malaika akichimba na huku Quran hiyo hiyo inasema kilikuwepo, hizi ni hoja zinazopingana.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Ni katika kisima hicho cha Zam zam Waislam wanapokwenda Maka kwa ajili ya Hija huchota maji yake na kuyauza huku wakiitikadi kuwa ni matakatifu na wakiwadanganya Waislam wenzao kuwa kisima kile kilichimbwa na Malaika jambo ambalo siyo kweli. Wanaogopa kusema kilichimbwa na wapagani na washirikina wa Maka hata kabla ya Uislam. Kwa hiyo Waislam leo wamewanyang’anya wapagani na washirikina  kisima chao cha Zam zam halafu wakakihusisha na Hajir na Ishmael. Ndani ya Biblia Mungu alimfunua macho Hajir akaona kisima cha maji siyo kilichimbwa na Malaika kama Quran inavyoripoti. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mpaka hapa baada ya Hajir na Ishmael kufukuzwa nyumbani kwa Ibrahim, pale nyumbani kwa Ibrahim wamebaki Mzee Ibrahim, Sara mkewe Ibrahim na Isaka akiwa mwana wa pekee. Na kumbuka kuwa Ibrahimu alimlilia Mungu ampe mtoto wa kumrithi (&lt;strong&gt;MW. 15:4)&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika &lt;strong&gt;MWANZO 25:5&lt;/strong&gt;“ Ibrahim akampa Isaka yote aliyokuwa nayo, lakini wana wa Masuria aliokuwa nao Ibrahim, Ibrahim akawapa zawadi naye &lt;strong&gt;AKAWAONDOA katika mahali alipokaa Isaka mwane wakati wa uhai wake waende pande za  Mashariki &lt;/strong&gt;mpaka nchi ya Kedemu. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo Isaka alipata  urithi wa mali na Baraka ambazo Mungu alikusudia.&lt;br /&gt;Wana wa Ishmael wakakaa  Havila ( &lt;strong&gt;Mw. 25: 13-18)&lt;/strong&gt; na huko wakawa karibu na wana wa Midiani, Midiani ni miongoni mwa watoto wa mzee Ibrahim kwa mke mwingine wa Ibrahim aliyeitwa Ketura, ambaye Ibrahim alimwoa baada ya kufa Sara &lt;strong&gt;( Mw 25:1)&lt;/strong&gt; huko walioana baina ya Waishmael na Wamidiani. Hivyo hata leo Waishmael wanaitwa Wamidiani (&lt;strong&gt;Mw. 37:25-28,39:1&lt;/strong&gt;) pia Wamidiani  wanaitwa Waishmael ( Waamuzi 8: 22-24)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Muungano huo pia umeandikwa katika The Encyclopedia hawa wote yaani Waishmael, Wamidian, na Waisraeli wote ni WAEBRANIA. Lakini Waishmael na Wamidiani siyo Waisraeli kwa sababu Waisrael walikuja kupatikana baadaye wakati huo Waishmael na Wamidian wamekwisha fukuzwa kwa mzee Ibrahim na baadaye akapatikana mtoto Yuda kutoka kwa Yakobo, ni katika ukoo wa Yuda ndiko Yesu ametokea (Ebr 7:14). Naye Yesu akasema &lt;strong&gt;WOKOVU WATOKA KWA WAYAHUDI (Yoh 4:22), &lt;/strong&gt;kwa hiyo Waishmael na Wamidian ni Waebrania lakini siyo Wayahudi na kwa hiyo hawahusiki na mpango wa Mungu wa kumkomboa mwanadamu, na Mohammad siyo Mwebrania hata idaiwe kuwa yeye ni mtoto wa Ishmael, bali ni Mwarabu kutoka kabila la MAKURESHI. Kwa sababu Mmakonde hawezi kuzaa mtoto Msukuma !!!.Hivyo hakuna agano lolote kupitia Waarabu .&lt;br /&gt; Na kwa kutambua hili Muhammad mwenyewe amejieleza katika vitabu vya ahadithi kuwa kabila hili la Makureysh litawateketeza watu. &lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Sahih Al-Bukhari Vol.1.Hadithi Na. 801,Al-Lu’lu Kitabu cha 3. Uk.1089&lt;/strong&gt;.&lt;strong&gt;Hadithi Na.1846 &lt;/strong&gt;Hadithi ya Abu Huraira (r.a) amesema,“Mtume wa Allah (s.a.w) amesema,Kabila hili la Makuraish litawateketeza watu.’ Wakauliza, ‘Unatushauri nini?’ Akasema,Nashauri watu wajitenge nalo.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa hadithi hii kitendo cha Muhammad mtume wa Waislamu kujiita kuwa anatoka katika kizazi cha Ibrahim kupitia Ishmael huku jambo hili likiwa si kweli, ni dhahiri wale wote wanaoamini hivyo watakuwa wamepotoshwa na Muhammad, na hivyo kuteketea kama alivyosema Muhammad&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baadaye Mungu alimjaribu Ibrahim &lt;strong&gt;MWANZO 22:1-3 &lt;/strong&gt;“ Ikawa baada ya mambo hayo Mungu alimjaribu Ibrahim akamwambia Ee Ibrahim naye akasema mimi hapa akasema umchukue mwanao Mwana wako wa pekee umpendaye Isaka ukaende zako mpaka nchi ya Moria, ukamtoe sadaka ya kuteketezwa huko juu ya mlima mmoja wapo nitakaokuambia” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;      Hapo tunapata uhakika kuwa  Mungu alikusudia Isaka atolewe sadaka ya kuteketezwa huko Moria.Ingawa Isaka hakutolewa sadaka, badala yake mwanakondoo aliyepatikana vichakani ndiye aliyemwokoa Isaka. Mwanakondoo yule alikuwa ni Yesu. Soma hayo katika &lt;strong&gt;Yoh.8:56-58.&lt;/strong&gt; Huo mlima Moria  una historia nzuri kuhusiana na Imani ya Kikristo na Kiyahudi kwa sababu ni katika mlima huo Isaka anatakiwa kutolewa sadaka, pia katika mlima huo huo mfalme Suleiman alimjengea Mungu Hekalu (&lt;strong&gt; 2 Nyakati  3:1)&lt;/strong&gt; Hekalu  hilo lililojengwa na Mfalme Suleman, Waislam wanadai ni MSIKITI, huu ni upotoshaji mkubwa wa ukweli. na wanasema Ni katika msikiti huo , Mohammad alipelekwa wakati wa safari yake ya MIRAJI kwenda mbinguni. &lt;strong&gt;Hizi zote ni HEKAYA!!! Na ubabaishaji&lt;/strong&gt;. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;      Katika kitabu cha &lt;strong&gt;Mwanzo 11:26 &lt;/strong&gt;“ Tera akaishi miaka sabini akamzaa Abramu, na Nahori na Harani”&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa Biblia Takatifu, baba yake na Ibrahimu anaitwa Tera&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sasa hebu tuangalie habari za Ibrahim na Ishmael ndani ya Quran.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;      Kwa mujibu wa &lt;strong&gt;Qur’an Suratul An-Am, 6:74 &lt;/strong&gt;“ Na (kumbukeni) Ibrahim alipomwambia baba yake, Azar: “ Unawafanya masanamu kuwa waungu? Hakika ninakuona wewe na watu wako wako mumo katika upotefu upotevu ulio dhahiri”?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;       Kwa mujibu wa Qura’n baba yake na Ibrahim ni Azar. Hii ni tofauti sana na jinsi Biblia inavyomweleza baba yake Ibrahim wa ndani ya Biblia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;       Katika kitabu kiitwacho &lt;strong&gt;Mkweli Mwaminifu, Juzuu 3-4  uk.226-227,&lt;/strong&gt; kilichoandikwa na  Sheikh Said Moosa Mohamad Al- Kindy kuna historia ya Ibrahim inasomeka hivi: Na alipokuja Nabii Ibrahim (A.S) ilikuwa wakati wa Ufalme wa Namrudi na alikuwa kafiri na mshirikina huyu Namrudi, ndiyo Mola akamtuma kipenzi chake Baba yetu Ibrahim (A.S)... Basi Baba yake Nabii Ibrahim (A.S) Azara ambaye ni Naarikh. Lakini katika katajwa kwa jina la &lt;strong&gt;“AAZARA&lt;/strong&gt;”. Basi huyu Aazara alipomuingilia mama yake  Ibrahim (A.S) akabeba mimba ya Nabii Ibrahim (A.S). Wale wakapiga bao (RAMLI) wa Mfalme Namrudi wakamwambia Namrudi yule mtoto tuliyokwambia basi mama yake kisha beba mimba yake. Na mama yake akawa anaificha ile mimba yake isijulikane, mpaka alipokaribia kuzaa,alipoona uchungu ya uzazi akatoka mama mtu kwa uficho jangwani akamzaa mwanawe Nabii Ibrahim (A.S) akamfunga mwenye nguo akamuweka chini ya mti mahali pazuri, kisha akaenda nyumbani akamwambia mumewe Aazara kuwa nimemzaa mtoto na nimemficha mahali fulani. Akatoka  Baba mtu kwenda mahali alipo mtoto wake akamkuta akamchukua akatafuta mahali pazuri akachimba shimbo zuri akamwekea  mito kisha akaziba kwa jiwe ili wasije mbwa mwitu au mnyama akamdhuru, kisha akarudi. Kisha akarudi kumjulisha na kumwambia mkewe awe anakwenda kwa mwanawe kumnyonyesha.. Basi ikaendelea hali hiyo kwa siri sana bila kujua mtu yoyote. Na kwa upande wa pili yule Namrudi kawatenganisha wanaume mbali na wake zao, na kila  mwanamke akizaa  mtoto wa kiume anauwawa. Na katika Hadithi ya Mtume (s.a.w)  kasema kuwa siku aliyozaliwa Nabii Ibarahim (A.S) basi kila sanamu katika masanamu yaliyokuwa yakiabudiwa na makafiri tangu mashariki ya ardhi mpaka magharibi yake masanamu yote yalianguka kifulifuli kusujudu kwa kuzaliwa kwa kuzaliwa Ibrahimu (A.S). Basi aliishi katika hali ya namna hii kufichwa humo shimoni kwa miaka kumi; alipotoka nje ya shimo akawa anatupia macho juu mbinguni nyakati za usiku, akaona nyota  inapita akasema huyu ndiye Mola wangu, ilipotua ile nyota akasema huyu si Mola mimi sipendi kinachopotoa, siku ya pili akaona mwezi unang’aa akasema huyu ndiye Mola wangu, ulipopotea ule mwezi akasema huyu si Mola, mimi sipendi vinavyoondoka, siku ya tatu akaona jua limetoa mwenge akasema huyu ndiye Mola wangu mkubwa”. &lt;br /&gt;Maneno hayo leo yapo ndani ya Qur’an katika Suratul &lt;strong&gt;Al- An’ Am (wanyama), 6:76-78&lt;/strong&gt; &lt;br /&gt;       Tunapoanza kuitazama Quran pamoja na hadithi zake, ni vyema niweke msingi wa maelezo kwa kuanzia na Encyclopedia Britanica Vol 2 Uk 276 inasema kuwa maandishi yanayohusiana na Jamii ya Kiarabu yana vyanzo vyake yenyewe kutoka kwenye historia ya kale lakini yote ni kama hekaya tu. Pia katika Encyclopedia ya Kiislam vol.1 uk 184 inasema Mohammad hakuwahi kuambiwa lolote kuhusu familia ya Mzee Ibrahim. Ndipo tunaposoma kitabu cha mwanazuoni mkubwa wa Kiislam aitwaye Sayid Abul A’la Maududi aliyekufa mwaka 1979 katika kitabu chake maarufu kiitwacho &lt;strong&gt;Towards Understanding Islam ( katika kuufahamu Uislam) ule 42-44 &lt;/strong&gt;anasema “Bara Arabu mwina wa kiza wafanyabiashara waarabu walijikokota masafa marefu., ilikuwa vigumu kwao kupata hata chembe ya elimu. Wachache wao waliojua kusoma na kuandika walikuwa wakiabudu mawe, miti, masanamu, nyota na pepo, kwa kifupi kila kilichowapitia akilini mwao. Hawakujua hata kidogo MAFUNZO YA MITUME WALIOWATANGULIA, &lt;strong&gt;walikuwa na DHANA kuwa Ibrahim na Ishmail walikuwa babu zao &lt;/strong&gt;lakini walikuwa hawajui kitu kuhusu mafunzo yao ya dini na Mungu waliyemwabudu. &lt;br /&gt;Tunapoanza kuitazama Quran nzima, hatuoni mahali popote panapoonesha kuwa Ibrahim wa ndani ya Quran alimtoa mtoto wake Ishmael wala agano lolote la tohara. &lt;br /&gt;Waislam wengi wanaitegemea sana Suratul, As- safaat, 37:99-109. Unaposoma aya  hizo bila kusoma maneno yaliyomo kwenye mabano ambayo yaliongezwa na Mwanazuoni wa Kiislam, Sheikh Abdallah Saleh Farsy mwaka 1953, aliyekufa mwaka 1982, hatuoni mahali popote ndani ya Quran , ambayo inaonyesha kuwa Ishmael ndiye aliyetakiwa kutolewa sadaka. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Unaposoma aya hizo bila hayo mabano inasomeka hivi:-&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;37:99 &lt;/strong&gt;- Na akasema nakwenda Mola wangu ndiye atakayeniongoza&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;37:100&lt;/strong&gt;- Ee Mola wangu nipe miongoni mwa watenda mema&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;37:101-&lt;/strong&gt; Ndipo tukampa habari njema ya mtoto mpole&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;37:102&lt;/strong&gt;- Basi alipofika kwenda na kurudi pamoja naye, alimwambia Ee mwanangu hakika nimeona katika ndoto ya kwamba ninakuchinja basi fikiri waonaje? Akasema Ee baba  fanya unavyoamrishwa utanikuta Inshallah miongoni mwa wanaosubiri. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;37:103&lt;/strong&gt;- Basi wote wawili walipojisalimisha na akamlaza kifudifudi&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;37:104&lt;/strong&gt;- Pale pale tulimwita Ee Ibrahim!&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;37;105-&lt;/strong&gt; Umekwisha sadikikisha ndoto kwa yakini hivi ndivyo tunavyowalipa   watendao   wema.&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;37:106&lt;/strong&gt;- Bila shaka hili ni jaribio dhahiri.&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;37:107&lt;/strong&gt;- Basi tukamkomboa kwa mnyama wa kuchinjwa mtukufu.&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;37:108&lt;/strong&gt;- Na tukamwachia  waliokuja baadaye&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;37:109-&lt;/strong&gt; Amani kwa Ibrahim&lt;br /&gt;Mpaka  hapa hatujaona mtoto Ishmael akitajwa  kutolewa sadaka. Neno Ishmael limeongezwa katika aya ya 101 na Farsy na liko katika mabano lakini katika kiarabu ambayo ndiyo lugha ya asili ya Qur’an halimo . Zaidi ya haya ushahidi mwingine  kuhusu kuvurugwa kwa historia ya Ibrahim na Ishmael ni pale tunaposoma katika kitabu kiitwacho “ Mkweli Mwaminifu” Mohamed Al- Kindy wa Muscut Oman Juzuu 3-4 uk 232, yeye anasema “Ibrahim alipotahiriwa alikuwa na umri wa miaka themanini (80) jambo ambalo ni tofauti kabisa na jinsi ilivyoelezwa  ndani ya Biblia (Mw 17:24); Pia katika Quran ya kiingereza inasema umri wa Sara wakati  analetewa habari za kumzaa Isaka alikuwa na umri wa miaka 99. Tazama ( The Noble Qur’an. Tafsiri ya King Fahd uk 709 na Tafsir Al- Qurtubi) . Hii ni tofauti kabisa na jinsi Biblia inavyoripoti umri wa Sara wakati anapewa habari za kumzaa Isaka ambayo inasema alikuwa na miaka themanini na tisa (89) na ule wa tisini akazaa&lt;strong&gt; (Mw 17:17-18)&lt;/strong&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;        Jambo la kusitusha zaidi ni pale tunapo soma kuwa fundisho la kuwa Ibrahimu wa ndani ya Qur’an alitaka kumtoa kafara mtoto wake Ishmael, ni lenye utata mkubwa sana, katika imani ya Kiislamu, kama vile lilivyo tata  tukio la kujenga Al-Kaaba. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa tuangalie madhehebu mawili ya Kiislamu ya Sunni na Shia wanatoa tafsiri gani kuhusiana na  mtoto aliyekusudiwa kuchinjwa.Wakifafanua aya 102, ya Suratul Swaafat, 37:102, Waislamu wa Kisuni wanasema “&lt;strong&gt;Mchinjwa hapa ni nabii Is-haqa.” &lt;/strong&gt;Wananukuu kutoka vitabu vifuatavyo: Addurul Manthur Juzuu.5 uk. 530-535, Tafsirul Qurtub juzuu 15 uk 99, Tafsirul Kabiir juzuu 26 uk 153, Ruuhul Maany juzuu 23 uk197-201, . Maelezo haya yamo katika kitabu kiitwacho “&lt;strong&gt;Kitabu Kinachobainisha cha Ali Jumaa Mayunga uk1060.” &lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Waislamu wa madhehebu ya Kishia wao wakiitafsiri aya hiyo ya 102 ya Suratul Swaafat, wanasema : “Mchinjwa hapa ni nabii Ismail (a.s). Wananukuu kutoka vitabu vifuatavyo: Alburhan fyitafsiril Qur’an juzuu 1 uk 440-446, Almizan fyitafsiril Qur’an juzuu 17 uk 141-142, Al-Amthal fyitafsir Kitabillahi juzuu 14 uk 336-339, Tafsirul Basairi juzuu 34 uk 722-728. Maelezo ya utata huo wa Masuni na Mashia kuhusu utata wa mtoto aliyetakiwa kuchinjwa na Ibrahimu, umeelezewa katika kitabu kiitwacho “&lt;strong&gt;Kitabu Kinachobainisha, cha Ali Jumaa Mayunga uk.1060.”&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt; Katika kuhitimisha suala linaohusu utata huo wa kuhusu nanai aliyekusudiwa kuchinjwa, unapoisoma tafsiri ya Jalaleyn  Swuyut, ile sahifa ya 450 ambayo hiyo ndiyo inatafsiri ile aya ya 37:107 “Basi tukamkomboa kwa mnyama wa kuchinjwa mtukufu!. Tafsiri iliyomo ndani ya Jalaleyn inayoelezea aya hiyo inasema “&lt;strong&gt;ay al- ma’muwr bi dhubihahu huwa Isma’ila aw Is-haqa qawlayn” yaani “ aliye amuriwa kuwa dhabihu yake  ni Ishmael au Ishaqa kauli mbili!.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt; Hapa maana yake ni kuwa ulimwelingu wa Kiislam wote unakubali kuwa Ibrahim  alipaswa kumtoa kafara mwanawe, ila kinachowatatanisha  kujua ni iwapo mtoto huyo alikuwa ni Ishmael au Ishaqa. Ndiyo maana  limetumika neno “QAWLAYN”  yaani hizi ni kauli mbili hatujui hasa ni nani aliyepaswa kuchinjwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Hapa ndipo sisi Wakristo tunashangaa kuwa sasa hawa wanapata wapi hayo wanayosema ni Ishmael aliyetakiwa kutolewa kafara? Pili wanapata faida gani Kiimani wanapotangaza kuwa ni Ishmael ilhali hawana uhakika? Huu wote ni uzushi tu na udanganyifu wa kiimani .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;                    Pia zingatia kuwa Waislam wanasikukuu yao inayoitwa IDD AL- ADHA- HA yaani Id ya kuchinja. Wanasema ni kwa ukumbusho wa MUHANGA mkubwa ambao Ibrahim na mwanawe Ismail waliotoa katika kutekeleza amri ya Mwenyezi Mungu (soma katika Uislam katika Biblia uk 33) Je haya yote wanapata wapi kuhusu Ishmael? Je wanamfahamu Ibrahim hawa au ni hekaya tu? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;                     Umri wa Sara kusogezwa hadi miaka 99 kama Quran na hadithi inavyosema ni MBINU inayotumiwa na wasomi wa Kiislam ili kuonesha kuwa mpaka Sara alipokuwa na umri huo, Isaka alikuwa bado hajazaliwa na hivyo kuilazimisha  DHANA  ya “&lt;strong&gt;Umwana wa pekee kwa Ishmael”, &lt;/strong&gt;jambo ambalo halileti maana yoyote. Kwa kusema umri wa Sara ulikuwa &lt;strong&gt;miaka 99&lt;/strong&gt; maana yake pia wanalazimisha umri wa miaka 109 ya Ibrahim ya kumzaa Isaka badala  ya ile mia moja (100) iliyotajwa ndani ya Biblia (&lt;strong&gt; Mw. 17:17-18&lt;/strong&gt;) ili kuonesha kuwa Ibrahim hakuwa na mtoto aitwaye Isaka kwa wakati huo, isipokuwa alikuwa na mtoto wa pekee Ishmael .&lt;br /&gt;Huku ni kujidanganya nafsi yako na kujikuta ukishindana na Mungu wako. &lt;strong&gt;HAKUNA MAHALI NDANI YA QURAN PANAPOONESHA ISHMAEL AKITOLEWA KAFARA!!! ISAKA NDIYE ALIYEKUSUDIWA KUTOLEWA KUWA SADAKA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;NI NANI WANA WA IBRAHIM KIIMANI KATI YA WAKRISTO NA WAISLAM?&lt;br /&gt;Tangu mwanzo Mungu alitoa agano la tohara kwa Ibrahim. Agano hili la tohara lilibadilika wakati wa Agano jipya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika &lt;strong&gt;Kolasai 2:11&lt;/strong&gt; “ katika yeye (Yesu) mmetahiriwa kwa tohara isiyofanyika kwa mkono, kwa kuuvua mwili wa nyama, kwa tohara  ya Kristo. Mkazikwa  pamoja naye katika ubatizo na katika huo mkafufuliwa  pamoja naye kwa kuziamini nguvu za Mungu aliyemfufua katika wafu na nyinyi mlipokuwa mmekufa kwa sababu ya makosa yenu na kutotahiriwa kwa mwili wenu aliwafanya  hai pamoja naye”&lt;br /&gt;Hivyo UBATIZO katika agano jipya unasimama mahali pa TOHARA katika agano la kale, hivyo Ibrahim alipopewa agano la tohara alikuwa AKIBATIZWA. Je Waislam wanabatizwa leo ili wawe wana wa Ibrahim?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika &lt;strong&gt;GAL 3:7&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;“ Fahamuni basi ya kuwa wale walio na Imani, hao ndiyo wana wa Ibrahim.  Ndiyo sababu Mtume Paul katika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;strong&gt;Gal 5:5”&lt;/strong&gt;anasema&lt;br /&gt;Tazama , mimi Paul nawaambia ninyi ya kwamba mkitahiriwa Kristo hatawafaidia neno”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;strong&gt;Gal 3:26-29&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;“kwa kuwa ninyi nyote mmekuwa  wana wa Mungu kwa njia ya Imani katika Kristo Yesu. Kwa kuwa nyinyi nyote mliobatizwa katika Kristo mmemvaa Kristo. Hapana Myahudi wala Myunani, Hapana Mtumwa wala Huru, Hapana  mtu mume wala mtu Mke, maana nyinyi nyote mmekuwa mmoja katika Kristo na kama nyinyi ni WAKRISTO basi mmekuwa uzao wa IBRAHIM na warithi sawa sawa na Ahadi!!.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo ndiyo WAKRISTO tulivyofanyika wana wa Ibrahim Kiimani kwa UBATIZO.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je? Umetambua kuwa agano la tohara kwa sasa ni Ubatizo?&lt;br /&gt;Je unajua kuwa Ibrahim alikuwa na uhusiano mzuri na Mungu YESU hata kabla Yesu HAJAJA ulimwenguni? &lt;strong&gt;Yoh 8:40 56-59&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Je umegundua kuwa yule Mwanakondoo aliyemwokoa Isaka alikuwa Yesu (&lt;strong&gt; Yoh 1:29, 8:56-59)&lt;/strong&gt;Je umegundua kuwa Uislam hauhusiani na Ishmael? Wala Mohammad hajui kitu kuhusu Ishmael?&lt;br /&gt;Je umegundua kuwa Waislamu siyo watoto wa mama mdogo?&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-6559909102695818140?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/6559909102695818140/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=6559909102695818140' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/6559909102695818140'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/6559909102695818140'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2010/12/je-waislamu-ni-watoto-wa-ishmael-baba.html' title='JE WAISLAMU NI WATOTO WA ISHMAEL? BABA YAO NI IBRAHIM YUPI? (ARE  MUSLIMS  SPRITUAL DESCENDANTS OF ABRAHAM IBN TERAH?)'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-8268904321331538862</id><published>2010-11-28T23:25:00.000-08:00</published><updated>2011-12-14T04:45:52.824-08:00</updated><title type='text'>MOCKING OF MUSLIMS OVER THE SUPREMACY OF JESUS CHRIST</title><content type='html'>I read with dismay about the position and rank of the two famous persons: Jesus Christ and Muhammad s.a.w, the prophet of Islam, as described in the book titled:" &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;The Making Of Islam In East Africa,1993, by J.F. Safari.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;In &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;pg 25&lt;/span&gt;, J.F.Safari writes: " Another important distinguishing is about the roles of Mohammad and Jesus. &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;According to Islam, Muhammad and Jesus are great prophets, but they are not divine, they are mere men. Of the two, Muhammad is greater and is the seal (last) of prophets"&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight: bold;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;My questions are&lt;/span&gt;:&lt;br /&gt;Jesus said He is greater than Jonah (&lt;strong&gt;Math 12:38-40)&lt;/strong&gt; while Muhammad said " do not exaggerate me more to Jonah &lt;strong&gt;(Bukhar)&lt;/strong&gt;.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;In another hadith says: Narrated Ibn Abbas (r.a) from the apostle (s.a.w) said that "It is not good for the creature to say I am noble than Jonah son of Matta. The prophet mentioned the name of his father and his" &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;(Al-Lu'lu'wal-marjan, Vol.3 hadith no. 1537) &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;OUR QUESTION&lt;/strong&gt;:Should we believe J.F Safari with his mere conjecture, or Muhammad s.a.w, who is the sole recipient of the revelation of the Qur'an?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;How can a sinner Muhammad be greater than the Holy Jesus Christ?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;How Muhammad who was born of biological parents Abdallah and Amina be greater than Jesus whose origin is of Divine nature?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;How a mortal man Muhammad s.a.w who died and still in his grave to date, be greater than the immortal Jesus Christ who rose from the dead, and shall resurrect the dead including Muhammad(&lt;span style="font-weight: bold;"&gt;Rom 6:9,John 6:38-40, Rev 1:17-18)? &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;How a bewitched Muhammad be greater than Jesus Christ under whom all witchcraft and sorcery practices are subdued before Him?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;My friend Muslims promoting a sinner Muhammad than Jesus is an absurd! Think about it and take action.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://findtruefaith.blogspot.com/p/support-us.html" target="_blank"&gt;TO SUPPORT US&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-8268904321331538862?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/8268904321331538862/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=8268904321331538862' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/8268904321331538862'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/8268904321331538862'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2010/11/mocking-of-muslims-over-supremacy-of.html' title='MOCKING OF MUSLIMS OVER THE SUPREMACY OF JESUS CHRIST'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-247703077063504648</id><published>2010-11-28T01:58:00.000-08:00</published><updated>2011-12-14T04:47:18.499-08:00</updated><title type='text'>MUSLIMS-CHRISTIANS DEBATE IN MWANZA TANZANIA</title><content type='html'>MUSLIMS ALWAYS HAVE HUNGRY SOULS ABOUT THE TRUE WAY TO KNOW THE ALMIGHTY GOD. SOMETIME THEY ,THEMSELVES,ORGANIZE OPEN AIR MEETINGS&lt;span style="font-weight: bold;"&gt; (DAWAH)&lt;/span&gt;AND INVITE CHRISTIANS TO DEBATE WITH THEM. IN &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;OCTOBER,2010&lt;/span&gt; THE CHURCH TOO, ORGANIZED AN OPEN AIR OUTREACH AND INVITED MUSLIMS TO DEBATE .THE AIM OF THESE DEBATES FROM THE CHRISTIANITY POINT OF VIEW IS NOT JUST TO WIN THE ARGUMENT, BUT MAINLY TO WIN THEIR SOULS TO CHRIST, THE SAVIOUR. BELOW IS ONE OF THIS EVENT. IN THE PICTURES, &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;EV.DANIEL MWANKEMWA&lt;/span&gt; IS PRESENTING ONE OF THE THEME. &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;THE THEME WAS&lt;/span&gt; : &lt;span style="font-weight: bold;"&gt;IS ADAM THE SECOND(JESUS CHRIST)FOUND IN ISLAM?&lt;/span&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_-xyCnC8m5wE/TPIs5sDNBGI/AAAAAAAAADQ/i7XQYbeAGTA/s1600/SOME%2BMEN%2BAND%2BWOMAN%2BMUSLIMS%2BWHO%2BATTENDED%2BTHE%2BDEBATE.jpg"&gt;&lt;img alt="" border="0" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5544543460835263586" src="http://4.bp.blogspot.com/_-xyCnC8m5wE/TPIs5sDNBGI/AAAAAAAAADQ/i7XQYbeAGTA/s320/SOME%2BMEN%2BAND%2BWOMAN%2BMUSLIMS%2BWHO%2BATTENDED%2BTHE%2BDEBATE.jpg" style="cursor: hand; display: block; height: 240px; margin: 0px auto 10px; text-align: center; width: 320px;" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_-xyCnC8m5wE/TPIsLvBKkxI/AAAAAAAAADI/i7UZw6RXDkI/s1600/THE%2BPART%2BOF%2BAUDIENCE%2BDURINF%2BDEBATE.jpg"&gt;&lt;img alt="" border="0" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5544542671358038802" src="http://1.bp.blogspot.com/_-xyCnC8m5wE/TPIsLvBKkxI/AAAAAAAAADI/i7UZw6RXDkI/s320/THE%2BPART%2BOF%2BAUDIENCE%2BDURINF%2BDEBATE.jpg" style="cursor: hand; display: block; height: 240px; margin: 0px auto 10px; text-align: center; width: 320px;" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_-xyCnC8m5wE/TPIsERCnPgI/AAAAAAAAADA/LkjZeR4DcBk/s1600/SHEIKH%2BOMARY%2BSPEAKS%2BDURING%2BDEBATE.jpg"&gt;&lt;img alt="" border="0" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5544542543051963906" src="http://1.bp.blogspot.com/_-xyCnC8m5wE/TPIsERCnPgI/AAAAAAAAADA/LkjZeR4DcBk/s320/SHEIKH%2BOMARY%2BSPEAKS%2BDURING%2BDEBATE.jpg" style="cursor: hand; display: block; height: 240px; margin: 0px auto 10px; text-align: center; width: 320px;" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_-xyCnC8m5wE/TPIr_DVa5lI/AAAAAAAAAC4/vmFyFUQG7VA/s1600/PRESENTATION%2BCONTINUES.jpg"&gt;&lt;img alt="" border="0" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5544542453473404498" src="http://3.bp.blogspot.com/_-xyCnC8m5wE/TPIr_DVa5lI/AAAAAAAAAC4/vmFyFUQG7VA/s320/PRESENTATION%2BCONTINUES.jpg" style="cursor: hand; display: block; height: 240px; margin: 0px auto 10px; text-align: center; width: 320px;" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_-xyCnC8m5wE/TPIr4nqZKQI/AAAAAAAAACw/CHlXnIp0250/s1600/PART%2BOFTHE%2BAUDIENCE%2BDURING%2BDEBATE.jpg"&gt;&lt;img alt="" border="0" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5544542342965963010" src="http://4.bp.blogspot.com/_-xyCnC8m5wE/TPIr4nqZKQI/AAAAAAAAACw/CHlXnIp0250/s320/PART%2BOFTHE%2BAUDIENCE%2BDURING%2BDEBATE.jpg" style="cursor: hand; display: block; height: 240px; margin: 0px auto 10px; text-align: center; width: 320px;" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_-xyCnC8m5wE/TPIrvaehFwI/AAAAAAAAACo/norLVH5OOv0/s1600/MUSLIMS%2BSPEAKERS.jpg"&gt;&lt;img alt="" border="0" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5544542184807667458" src="http://3.bp.blogspot.com/_-xyCnC8m5wE/TPIrvaehFwI/AAAAAAAAACo/norLVH5OOv0/s320/MUSLIMS%2BSPEAKERS.jpg" style="cursor: hand; display: block; height: 240px; margin: 0px auto 10px; text-align: center; width: 320px;" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_-xyCnC8m5wE/TPIrofWM8KI/AAAAAAAAACg/iSZh46TSEtA/s1600/MUSLIM%2BSPEAKERS%2BARE%2BDISCUSSING%2BDURI.jpg"&gt;&lt;img alt="" border="0" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5544542065855885474" src="http://2.bp.blogspot.com/_-xyCnC8m5wE/TPIrofWM8KI/AAAAAAAAACg/iSZh46TSEtA/s320/MUSLIM%2BSPEAKERS%2BARE%2BDISCUSSING%2BDURI.jpg" style="cursor: hand; display: block; height: 240px; margin: 0px auto 10px; text-align: center; width: 320px;" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_-xyCnC8m5wE/TPIri59o4VI/AAAAAAAAACY/Vlq33hzZvL4/s1600/DURING%2BTHE%2BDEBATE%2BIN%2BMWANZA.jpg"&gt;&lt;img alt="" border="0" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5544541969921401170" src="http://4.bp.blogspot.com/_-xyCnC8m5wE/TPIri59o4VI/AAAAAAAAACY/Vlq33hzZvL4/s320/DURING%2BTHE%2BDEBATE%2BIN%2BMWANZA.jpg" style="cursor: hand; display: block; height: 240px; margin: 0px auto 10px; text-align: center; width: 320px;" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_-xyCnC8m5wE/TPIrZaSk57I/AAAAAAAAACQ/1H5ecb_3fdc/s1600/DEBATE%2BMWANZA.jpg"&gt;&lt;img alt="" border="0" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5544541806800463794" src="http://2.bp.blogspot.com/_-xyCnC8m5wE/TPIrZaSk57I/AAAAAAAAACQ/1H5ecb_3fdc/s320/DEBATE%2BMWANZA.jpg" style="cursor: hand; display: block; height: 240px; margin: 0px auto 10px; text-align: center; width: 320px;" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_-xyCnC8m5wE/TPIqafNLhDI/AAAAAAAAACI/K_uK-HP60kQ/s1600/AS%2BI%2BWAS%2BPRESENTING%2BDURING%2BDEBATE.jpg"&gt;&lt;img alt="" border="0" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5544540725788247090" src="http://1.bp.blogspot.com/_-xyCnC8m5wE/TPIqafNLhDI/AAAAAAAAACI/K_uK-HP60kQ/s320/AS%2BI%2BWAS%2BPRESENTING%2BDURING%2BDEBATE.jpg" style="cursor: hand; display: block; height: 240px; margin: 0px auto 10px; text-align: center; width: 320px;" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://findtruefaith.blogspot.com/p/support-us.html" target="_blank"&gt;TO SUPPORT US&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-247703077063504648?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/247703077063504648/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=247703077063504648' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/247703077063504648'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/247703077063504648'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2010/11/muslims-christian-debate-in-mwanza.html' title='MUSLIMS-CHRISTIANS DEBATE IN MWANZA TANZANIA'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_-xyCnC8m5wE/TPIs5sDNBGI/AAAAAAAAADQ/i7XQYbeAGTA/s72-c/SOME%2BMEN%2BAND%2BWOMAN%2BMUSLIMS%2BWHO%2BATTENDED%2BTHE%2BDEBATE.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-6602747065967530692</id><published>2010-11-20T00:07:00.000-08:00</published><updated>2011-12-14T09:39:11.643-08:00</updated><title type='text'>A SOOTH SAYER SHEIKH  YAHAYA HUSSEIN'S PREDICTION  PROVED FAILURE</title><content type='html'>SHORTLY BEFORE TANZANIA GENERAL ELECTION CAMPAIGNS BEGAN ,AN ISLAMIC PROMINENT ASTROLOGER SHEIKH YAHAYA HUSSEIN PREDICTED THERE WOULD BE NO GENERAL ELECTION THIS YEAR. IN CONTRAST TO HIS PREDICTION, THE GENERAL ELECTION WAS TIMELY HELD. THIS IS A PROOF THAT HE IS NOT ONLY LAIR,BUT ALSO BREACHES THE 2002 WITCHCRAFT ACT WHICH FORBIDS A PERSON TO PRACTICE SORCERY AND WITCHCRAFT.I WOULD EXPECT MUSLIMS TO SCOURGE THIS ABOMINABLE AND HEINOUS SIN PRACTICED BY THIS MAN, UNLESS IS ACCEPTABLE IN ISLAM. TO ME AS A CHRISTIAN SHEIKH YAHAYA  NEEDS JESUS CHRIST TO REDEEM HIM FROM FURTHER DESTRUCTION. I PRAY FOR HIM TO BE SAVED.AMEN.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://findtruefaith.blogspot.com/p/support-us.html" target="_blank"&gt;SUPPORT US &lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-6602747065967530692?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/6602747065967530692/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=6602747065967530692' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/6602747065967530692'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/6602747065967530692'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2010/11/sooth-sayer-sheikh-yahaya-husseins.html' title='A SOOTH SAYER SHEIKH  YAHAYA HUSSEIN&apos;S PREDICTION  PROVED FAILURE'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-1649352318511223564</id><published>2010-11-06T02:28:00.000-07:00</published><updated>2011-09-18T04:29:13.447-07:00</updated><title type='text'>KWA  NINI TATIZO LA UDINI KATIKA SIASA ZA TANZANIA? (THE RELIGIOSITY PROBLEM IN TANZANIA)</title><content type='html'>HUENDA UNAWEZA KUSHANGAA SANA UNAPOSOMA SWALI LA AINA HII KATIKA BLOGU HII. HAPA TANZANIA TUMESHUHUDIA KATIKA KIPINDI HIKI CHA KAMPENI ZA KUWANIA UDIWANI, UBUNGE NA URAIS, KAULI MBALIMBALI ZENYE NIA YA KUIONYA JAMII KUHUSU  KUTOJITUMBUKIZA KATIKA SIASA ZENYE MLENGO WA KIDINI. LILILONISHANGAZA MIMI, HATA WALE AMBAO NDIYO WAANZILISHI WA KUINGIZA MAMBO YA UDINI KATIKA SIASA ZAO, NAO TUMEWASHUHUDIA WAKIPIGA KELELE KUHUSU UDINI. &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;CHAMA CHA MAPINDUZI&lt;/span&gt; KATIKA ILANI YAKE YA UCHAGUZI &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;YA 2005 UK .132&lt;/span&gt; ILIANDIKWA KUHUSU KULIPATIA  UFUMBUZI SUALA LA  MAHAKAMA YA KADHI ,HUKU KIKIJUA KABISA JAMBO HILO NI LA UDINI KWA MUJIBU WA KATIBA YA TANZANIA IBARA YA &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;19 i-iv NA 20(i)&lt;/span&gt; (a). LAKINI KWA SABABU LENGO LAO LILIKUWA NI KUPATA KURA KUTOKA KWA WAFUASI WA DINI HIYO AMBAYO WAO &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;CCM&lt;/span&gt; WALIONA HAWAUNGWI MKONO SANA NALO . CHAMA CHA WANATAALUMA WAKATOLIKI &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(CPT)&lt;/span&gt; WALITOA MWONGOZO WA ELIMU YA URAIA LAKINI BILA KUELEZA NI CHAMA GANI WANACHOKIUNGA MKONO. LAKINI KWA MASIKITIKO MAKUBWA KABISA &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;KAMATI YA SIASA YA SHURA YA MAIMAMU MKOA WA DAR ES SALAAM&lt;/span&gt; NA WAO PIA WALITOA &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;'MWONGOZO'&lt;/span&gt; WAO KWA WAPIGA KURA WAO WAISLAMU, AMBAO UNAPOUSOMA UNAWEZA KUSHTUKA SANA ,NA KUKUFANYA USIAMINI UNACHOKISOMA. KWA MFANO KATIKA U&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;K.39-41 &lt;/span&gt;WA MWONGOZO HUO KAMATI YA SIASA YA SHURA YA MAIMAMU WANASEMA KATIKA UCHAGUZI WA MWAKA HUU WA 2010 WAISLAMU &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;WANASHIRIKI UCHAGUZI HUU KAMA WAISLAMU&lt;/span&gt; NA SIYO KAMA WATANZANIA, NA PIA &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;KUWA UCHAGUZI WA MWAKA HUU KWAO NI IBADA,&lt;/span&gt; HUKU MAIMAMU WAKISISITIZWA KUHAKIKISHA JAMBO HILO LINAFANYIKA KWA USAHIHI. SI HAYO TU PIA KAMATI HIYO INASEMA WAISLAMU WAMEWEKEZA NGUVU ZAO KATIKA VYAMA VYA &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;CCM&lt;/span&gt; NA &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;CUF&lt;/span&gt; . JE WATANZANIA WENGINE WASI WA VYAMA HIVYO WAO WAMCHAGUE NANI IKIWA MGOMBEA SI WA DINI YAO?. NILITEGEMEA SERIKALI INGEKUWA KALI SANA KUHAKIKISHA KUWA MACHAPISHO KAMA HAYO HAYARUHUSIWI KUTOLEWA KATIKA JAMII YETU KAMA KWELI NA WAO HAWAFAIDIKI KWA NAMNA FULANI NA KAMPENI ZA NAMNA HII. HILI LILIJITOKEZA HATA KWA VYOMBO VYA HABARI VYA KIISLAMU HUSUSANI &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;REDIO HERI  &lt;/span&gt;ILIYOKUWA IKITANGAZA KWA UWAZI KABISA BILA KIFICHO IKIWAHIMIZA WAISLAMU &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;WAMCHAGUE MWISLAMU MWENZAO KIKWETE&lt;/span&gt; BILA KUCHUKULIWA HATUA NA TUME YA MAWASILIANO &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(TCRA)&lt;/span&gt; . TUNAAMINI WALISIKIA YOTE.JE WATU WA DINI ZINGINE WALIPOKUWA WANAIONA HALI HIYO NA KUSIKIA KAULI HIZO UNAFIKIRI WANGEKAA KIMYA TU? SIYO RAHISI&lt;span style="font-weight:bold;"&gt; KWA SABABU IMANI INA NGUVU KULIKO SIASA&lt;/span&gt; . TAMBUA HIVYO. HICHO NDICHO CHANZO KIKUU KUHUSU SUALA LA UDINI KUJITOKEZA KWA NGUVU SANA KATIKA KAMPENI ZA MWAKA HUU. NA LIKIACHIWA LIENDELEE MADHARA YAKE NI MAKUBWA KWA TAIFA HILI. SUALA LA TANZANIA KUJIUNGA NA OIC LILILOAHIRISHWA MPAKA MWAKA 2012 NALO INAFAA LIACHIWE WENYE DINI HUSIKA BILA KULIJADILI KWENYE BUNGE LETU LISILO NA DI NI  &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(SECULAR STATE&lt;/span&gt;) TAFAKARI!!!!!!!!!!!!!&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-1649352318511223564?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/1649352318511223564/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=1649352318511223564' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/1649352318511223564'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/1649352318511223564'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2010/11/kwa-nini-tatizo-la-udini-katika-siasa.html' title='KWA  NINI TATIZO LA UDINI KATIKA SIASA ZA TANZANIA? (THE RELIGIOSITY PROBLEM IN TANZANIA)'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-3511010646497183213</id><published>2010-10-17T05:58:00.000-07:00</published><updated>2011-12-14T09:40:51.027-08:00</updated><title type='text'>KIGOMA AND PAHI-DODOMA OUTREACH PICTURES</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_-xyCnC8m5wE/TLrz_Z4uI5I/AAAAAAAAACA/2Xo4NDBry1I/s1600/Pahi-Outreach.gif"&gt;&lt;img alt="" border="0" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5528999763156804498" src="http://4.bp.blogspot.com/_-xyCnC8m5wE/TLrz_Z4uI5I/AAAAAAAAACA/2Xo4NDBry1I/s320/Pahi-Outreach.gif" style="cursor: pointer; display: block; height: 320px; margin: 0px auto 10px; text-align: center; width: 226px;" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_-xyCnC8m5wE/TLrz_B_ueMI/AAAAAAAAAB4/4PnEJ3kxzbY/s1600/Kigoma-outreach.gif"&gt;&lt;img alt="" border="0" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5528999756743735490" src="http://3.bp.blogspot.com/_-xyCnC8m5wE/TLrz_B_ueMI/AAAAAAAAAB4/4PnEJ3kxzbY/s320/Kigoma-outreach.gif" style="cursor: pointer; display: block; height: 320px; margin: 0px auto 10px; text-align: center; width: 226px;" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_-xyCnC8m5wE/TLrz_B_ueMI/AAAAAAAAAB4/4PnEJ3kxzbY/s1600/Kigoma-outreach.gif"&gt;&lt;img alt="" border="0" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5528999756743735490" src="http://3.bp.blogspot.com/_-xyCnC8m5wE/TLrz_B_ueMI/AAAAAAAAAB4/4PnEJ3kxzbY/s320/Kigoma-outreach.gif" style="cursor: pointer; display: block; height: 320px; margin: 0px auto 10px; text-align: center; width: 226px;" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;img alt="" border="0" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5528999763156804498" src="http://4.bp.blogspot.com/_-xyCnC8m5wE/TLrz_Z4uI5I/AAAAAAAAACA/2Xo4NDBry1I/s320/Pahi-Outreach.gif" style="cursor: pointer; display: block; height: 320px; margin: 0px auto 10px; text-align: center; width: 226px;" /&gt;&lt;a href="http://findturefaith.blogspot.com/p/support-us.html" target="_blank"&gt;SUPPORT US&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-3511010646497183213?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/3511010646497183213/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=3511010646497183213' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/3511010646497183213'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/3511010646497183213'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2010/10/kigoma-nad-pahi-dodoma-outreach.html' title='KIGOMA AND PAHI-DODOMA OUTREACH PICTURES'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_-xyCnC8m5wE/TLrz_Z4uI5I/AAAAAAAAACA/2Xo4NDBry1I/s72-c/Pahi-Outreach.gif' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-7698787389183725766</id><published>2010-10-16T06:26:00.000-07:00</published><updated>2010-10-16T06:53:44.184-07:00</updated><title type='text'>MUSLIMS-CHRISTIANS DEBATE</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_-xyCnC8m5wE/TLmrt9pCiII/AAAAAAAAABg/0uhTi4IXd5s/s1600/PAHI-CHRITIAN-MUSLIM-DEBATE.gif"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 226px; height: 320px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_-xyCnC8m5wE/TLmrt9pCiII/AAAAAAAAABg/0uhTi4IXd5s/s320/PAHI-CHRITIAN-MUSLIM-DEBATE.gif" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5528638823703152770" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-7698787389183725766?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/7698787389183725766/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=7698787389183725766' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/7698787389183725766'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/7698787389183725766'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2010/10/muslims-christians-debate.html' title='MUSLIMS-CHRISTIANS DEBATE'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_-xyCnC8m5wE/TLmrt9pCiII/AAAAAAAAABg/0uhTi4IXd5s/s72-c/PAHI-CHRITIAN-MUSLIM-DEBATE.gif' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-2023289493776491268</id><published>2010-10-11T03:08:00.000-07:00</published><updated>2010-11-17T01:41:17.715-08:00</updated><title type='text'>FUNDISHO LA UTATU MTAKATIFU: JE NI UPAGANI KAMA WAISLAMU NA MASHAHIDI WA JEHOVA WANAVYODAI? IS TRINITY PAGANISM?</title><content type='html'>Utangulizi : Siku zote Mkristo Mwana wa Mungu ,anapomuelezea Mungu katika ukuu na uwezo wake,kwa wale wasioamini hususani Waislam na Mashahidi wa Jehova (Jehova’s  Witness), na akamtaja Mungu huyo kuwa ni Mungu katika Utatu Mktakatifu,  huzuka malumbano au mabishano kuhusu   jambo hilo. Mashahidi wa Yehova  husema wale wanaomini katika Utatu Mtakatifu  wamefuata imani za kipagani  kwa sababu  katika Biblia  nzima hakuna mahali popote palipoandikwa Utatu Mtakatifu  upinzani huo huandikwa mara kwa mara katika vijarida mbali mbali .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;  Hoja kuu kuwahusu ni  kuwa siku zote hawapendi kukupa nafasi uwaelekeze kwa nini unasema hivyo , bali wakati wote hukutaka uoneshe neno “Utatu  Mtakatifu “  ndani ya Biblia. Na kwa hakika hupati neno hilo “ Utatu Mtakatifu” ndani  ya Biblia .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Swali la ufahamu : Je kukosekana neno  UTATU MTAKATIFU ndani ya Biblia kama wanavyodai mashahidi wa Yehova kuna mfanya Mungu asiwe wa  Utatu ?     Jibu  la swali hili ni rahisi sana SI KWELI. Hii ni kwa sababu, kuna maneno ambayo hayapo ndani ya Bblia yakimhusu Mungu, lakini yatumikapo huleta maana nzuri na yenye uhakika kuhusu yeye  Mungu .Maneno  hayo yanapotamkwa kwa lugha ya kigeni  ni Omnipotence yaani Mungu ni mwenye nguvu zisizo shindikana na   chochote , Omnipresence yaani Mungu  yupo mahali pote kwa wakati wote na Omniscience yaani Mungu anajua yote maneno haya yaani Omnipotence , Omnipresence na Omniscience hayajaandikwa katika Biblia ya lugha ya  Kiingereza, lakini yatamkwapo hueleza  jambo la maana na lenye umuhimu  kumhusu Mungu. Ndivyo ilivyopia kwa neno “Utatu Mtakatifu” yaani Trinity”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Waislam wao hupinga utatu mtakatifu kwa kujaribu kusoma baadhi ya aya zilizomo ndani ya Quran, kitabu kinachoongoza imani yao  hasa pale wanaposema katika Suratul Al- Maidah,(meza), 5:73  “Kwa hakika wamekufuru wale waliosema mwenyenzi Mungu ni mmoja katika (wale waungu) watatu (yeye ndiye watatu wao ) hali hakuna mungu ila Mwenyezi Mungu mmoja ( tu peke yake) na kama hawataacha hayo wasemayo  kwa yakini itawakamata wale wanaoendelea na ukafiri miongoni mwao adhabu iumizayo”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Unaposoma ufafanuzi wa aya hiyo ya 73 iliyomo ndani ya Qurani hiyo hiyo unasema “unatajwa ukafiri wa kinasara (Ukristo) kwa itikadi  zao zote tatu kuwa Nabii Issa (a) Mungu au  (b) Mtoto wa Mungu au (c) Mmoja  katika waungu hao watatu “yeyote katika itikadi hizi ni ukafiri usiokuwa na shaka na jaza yake ni moto tu”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pengine jambo linalowasumbua waislam ni ukosefu wa ufahamu kuwa siku zote wanapomfikiria Issa kuwa ndiye Yesu wanapotoka sana .Hii ni kwa sababu Issa siye Yesu na tunatambua hayo hasa tunaposoma vitabu vya kiislam vilivyoandikwa na wanazuoni (wasomi ) wakubwa wa kiislam. Kwa mfano katika Qurani ya Tafsiri ya Imam Baidhwaw, juzuu 1 uk 160 ,anasema Issa maana yake ni wekundu unaozidiana na weupe, na wengine husema Issa maana yake ni dume la ngamia .Hoja  hizi zinaungwa mkono na hadithi mbalimbali za kiislamu, zinazomzungumzia Issa, hasa ile inayopatikana katika Sahihi Bukhari Juzuu 4  Hadithi 653, na katika  Al-lulu wal- Marjan,kitabu cha 3 Hadithi na 1528 uk.883  “Hadithi ya Abu Huraira  (r.a) kutoka kwa Mtume (s.a.w) amesema “Issa Ibn Mariam (a,s) alimwona mtu anaiba akamuuliza !umeiba? akasema hapana ,Naapa kwa Allah ambaye hakuna mola isipokuwa yeye .Issa (a.s) akasema nimemuamini Allah na limeniongopea jicho langu”.&lt;br /&gt;Huyu Issa hawezi kuwa ndiye Yesu kwa sababu Yesu anayajua yote hahitaji kuelezwa na mtu .Katika Injili ya Yohana 1:47-48 “ Basi Yesu akamwona Nathanael anakuja kwake, akanena habari zake “Tazama Mwizraeli kweli kweli hamna hila ndani yake. Nathaeli akamwambia umepataje kunitambua? Yesu akajibu akamwambia, Kabla Filipo hajakuita ulipokuwapo chini ya mtini nilikuona” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;   Hivyo maelezo  yaliyomo katika Quran pamoja na vitabu vya hadithi za kiislam yana thibitisha kuwa Issa siyo Yesu kwa sababu jina Yesu  ni sawa na jina la kiebrania Yehshua ambalo maana yake Mwokozi  Math 1: 21, Lk 2: 10- 11. Pia Yesu aliyajua  yote hata yaliyomo katika mioyo ya watu  hata bila ya wao kusema Marko 2: 8 , Yoh 1: 48-50 tofauti na Issa ambaye hajui jambo lolote na  kwa mujibu wa Quran na hadithi zake Issa atahukumiwa kwenda Jehanamu ya moto (Suratul Anbiyaa, (manabii) 21:98, na 5:116-117). Kwa msaada zaidi wa kujua tofauti ya Issa na Yesu  agiza kwetu somo hili tunalo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hoja wanazotumia mashahidi wa Yehova kupinga fundisho la utatu.&lt;br /&gt; Math 4: 1 “ Yesu alijaribiwa na Ibilisi”&lt;br /&gt;Yakobo 1: 13 “ Mungu hajaribiwi “&lt;br /&gt;Yoh 8: 40 “ Yesu alisema mimi mtu”&lt;br /&gt;Yoh  17: 3 “ Yesu alisema wakujue wewe mungu wa pekee.&lt;br /&gt;I Tim  2: 5 “ Yesu ni mwanadamu tu ( siyo Mungu)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;  Pia unaposoma katika jarida litolewalo na Mashahidi wa Yehova liitwalo ‘Je Tuamini Utatu” ule  uk 20-23 linaelezea kuwa “Roho Takatifu (Na siyo Roho Mtakatifu ) huonyesha  kwamba ni kani yenye kudhibitiwa ambayo Yehova Mungu hutumia kutimiza makusudi yake ya namna mbalimbali. Kwa namna fulani,  yaweza kufananishwa na nguvu za umeme , kani  ambayo yaweza kutumiwa kwa njia tofauti ili iendeshe mambo kwa hiyo Roho Takatifu si mtu na si sehemu ya utatu , wala si sehemu ya Uungu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;  Tunapoangalia uislam na waislamu, wao kwao, Roho Mtakatifu  ni malaika maarufu katika dini hiyo aitwaye Jibril. Katika Suratul  Al- Bagarah (ng’ombe jike) 2:87 “Na hakika tulimpa Musa  kitabu na tukawafuatisha mitume (wengine) baada yake na tukampa Issa mwana wa Mariam hoja zilizo wazi wazi na tukamtia nguvu kwa roho takatifu (Jibril)---------------“&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;`Unaposoma ufafanuzi wa aya hiyo ya 87 ndani ya Quran unasema &lt;br /&gt; “Kwa waislam Roho  Mtakatifu ni malaika  Jibril si yule wanayedai Wakristo kuwa ni mmoja wa asili ya Utatu (Trinity).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa ufafanuzi huu Wasomi wa Kiislamu wanajua kuwa namna fundisho la Utatu Mtakatifu  tunavyolizungumza sisi Wakristo kwa mujibu wa Biblia Takatifu, ni tofauti kabisa na vile watu wengine wasio Wakristo wanavyolizungumzia fundisho hilo wakiwemo Waislamu na Mashahidi wa Yehova. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bado lipo kundi la watu wengine ambao si waislamu wala mashahidi wa Yehova wao pia wanasema:- &lt;br /&gt;1.      Utatu ulianzishwa katika Mkutano uliofanyika mji wa Nicea, mwaka 325            B.K Chini ya usimamizi wa mfalme Constantino  wa Roma na kuhudhiriwa na maaskofu wapatao 300 toka sehemu mbali mbali duniani .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Utatu Mtakatifu  ulianzishwa  mwaka  wa 381 B.k. katika mkutano uliofanyika mji wa Constanti Nipol (kwa sasa ni Napol Italy) chini ya mfalme Theodousius.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Wengine wanasema utatu ulianzishwa mwaka  362 B.K. katika mji wa   Aleksandiria Misri  ambako ulifanyika mkutano wa viongozi  wa kawaida.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4. Wengine wanasema fundisho la Utatu lilianzishwa  na kasisi Mkatoliki aitwaye Athanasio aliyekufa mwaka 373.B.K.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;5. Wengine husema Utatu ni fundisho lililotungwa kusini mwa  Ufaransa kwenye karne ya  5 B.K.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;6. Wengine wanasema Utatu uliingizwa katika liturgia na baadaye Roma Italy&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;7. Na waislam siku hizi wanasema Utatu Mtakatifu ni fundisho alilolianzisha Paulo kule Antiokia baada ya Yesu kuondoka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huu ni uthibitisho kuwa suala linalohusu  Utatu Mtakatifu wanaoumini  Wakristo yaani Baba, Mwana na Roho Mtakatifu kuwa ni kitu  kimoja ,huleta shida ya kufahamu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Tusomapo Biblia inatupa mwanga mzuri kuhusu Mungu.&lt;br /&gt;Sasa tuangalie tunaposema Mungu ni Utatu jambo hilo linaelezekaje kwa yule asiye amini.&lt;br /&gt;Mungu ni wa Utatu yaani Baba, Mwana,  na Roho Mtakatifu , hizi ni nafsi tatu za Mungu Mmoja, na wala  siyo miungu mitatu,hizi nafsi tatu  ambazo kwa Kiebrania,ambayo ni  lugha ya asili  iliyotumika katika Agano la Kale huitwa “Elohim”  ambalo linaonesha wingi wa Mungu,  zinazofanya kazi  kwa pamoja  na wakati huo huo kila moja ikiwa  peke yake (unity in diversity). Hivyo :&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;UTATU NI MUNGU&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;1. Baba ni Mungu Fil 1:2 “ Neema na iwe kwenu na amani zitokazo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo”.&lt;br /&gt;• Mwana ni Mungu -  Yoh 1:1:14 Kol 2:9&lt;br /&gt;• Hapo mwanzo kulikuwako Neno , naye Neno alikuwako kwa Mungu naye Neno alikuwa Mungu ------------, Naye Neno alifanyika mwili akakaa kwetu nasi  tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba amejaa neema na kweli”&lt;br /&gt;• Kol 2: 9 “ Maana katika yeye unakaa utimilifu wote wa Mungu kwa jinsi ya kimwili”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;• Roho Mtakatifu ni Mungu&lt;br /&gt;Mdo 5:3-4 “ Petro akasema Anania kwa nini  shetani amekujaza moyo wako kumwambia uwongo  Roho Mtakatifu na kuzuia kwa siri sehemu  ya thamani ya kiwanja? Kilipokuwa kwako hakikuwa mali yako? Na kilipokuwa kimekwishauzwa, thamani yake haikuwa katika  uwezo wako?.Ilikuwaje hata ukaweka neno hili moyoni mwako? Hukumwambia uongo mwanadamu bali Mungu”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;N.B.Roho Mtakatifu  ni ,nafsi ya tatu ya Mungu  yenye hisia “&lt;strong&gt;emotion”,&lt;/strong&gt; huhuzunika (Ef 4:30),hunena, (Uf 2:7), anaweza kuzimishwa ((1Thes 5:19), Hufurahi  (Rum 14:17) .Hivyo Roho Mtakatifu ni Mungu  Mwenyewe na wala siyo kitu tu (impersonal) (Yoh 4:24) .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Pia katika kitabu cha Isaya 63:7-10 “ Nitautaja wema wa BWANA, Sifa za BWANA kwa yote aliyotukirimia BWANA; na wingi wa wema wake kwa nyumba ya  Israel, aliyowakirimia kwa rehema zake, na kwa wingi wa wema wake. Maana alisema, hakika ndiyo watu wangu hawa, wana wasio na hila; akawa Mwokozi (Yehoshua) wao. Katika mateso yao yote yeye aliteswa, na malaika wa uso wake akawaokoa; kwa mapenzi yake, na huruma zake, aliwakomboa mwenyewe; akawainua, akawachukua siku zote za kale. Lakini wakaasi, wakamhuzunisha Roho yake Mtakatifu; kwa hiyo akawageukia , akawa adui , akapigana nao”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;UTATU NI MUUMBAJI&lt;/strong&gt;2. (a)Nafsi ya Baba.  Mwanzo 1:1 “ Hapo mwanzo Mungu (Elohim) aliumba (bara)  mbingu na nchi.&lt;br /&gt; Katika mstari huu tunaanza kupata maana ya Utatu. Neno la lugha ya Kiebrania Elohim lenye maana ya Mungu, limesimama kwenye uwingi na neno la Kiebrania bara lenye maana ya “aliumba” limesimama katika umoja.Ingekuwa neno “bara” limeandikwa “barahim” ambalo ni uwingi wa bara ,hapo lingeonesha uwingi na kwa kiswahili lingesomeka “Mungu waliumba” jambo ambalo kamwe Biblia haifundishi hivyo. Maneno hayo hayo ya Kiebrania Elohim na barah yametumika tena katika” Mwanzo 1:26-27.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;  Isaya 64:8 ,  “Lakini sasa Ee BWANA, wewe u baba yetu sisi  tu udongo, wewe u mfinyanzi wetu ,sisi sote  tu kazi ya mikono yako “&lt;br /&gt;Isaya 44:24  “BWANA mkombozi  wako yeye aliyekuumba tumboni asema hivi Mimi  ni Bwana nifanyaje vitu vyote ,nizitandaye mbingu  peke yangu nienezaye nchi ni nani aliye  pamoja nami ?”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(a) Mwana  Yoh 1:3 Kol 1:15-17  &lt;br /&gt;“ Vyote  vilifanyika kwa huyo ,wala pasipo yeye hakikufanyika chochote kilichofanyika “.&lt;br /&gt; Kol 1:15-17”&lt;br /&gt;Naye ni mfano wa Mungu asiyeonekana, mzaliwa  wa kwanza wa viumbe vyote, kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa , vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi, vinavyoonekana na visivyo onekana, ikiwa ni viti vya enzi au usultani au enzi au mamlaka, vitu vyote viliumbwa  kwa njia yake, na kwa ajili yake ,naye amekuwako kabla ya vitu vyote na vitu vyote  hushikana  katika yeye” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(c) Roho Mtakatifu   Ayub 33:4 “ Roho ya Mungu imeniumba na pumzi za Mwenyenzi  hunipa  uhai”&lt;br /&gt;Ayub 26:13 “Hizo mbingu hupambwa kwa roho yake-----------------------“&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3.&lt;strong&gt;UTATU HUFUFUA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;(a) BABA: I Thes 1:10 “Na kumngojea mwanawe kutoka mbinguni ambaye alimfufua katika wafu, naye ni Yesu ,mwenye  kutuokoa na ghadhabu itakayokuja”&lt;br /&gt;(b) MWANA:  Yoh 2:19 “Yesu akajibu akawaambia livunjeni Hekelu hili nami katika siku tatu  nitalisimamisha “-----------------------&lt;br /&gt;Yoh 10: 17 “ Ndiposa Baba anipenda kwa sababu nautoa uhai wangu ili ni utwae tena&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(C) ROHO MTAKATIFU-Rum 8:11&lt;br /&gt;“Lakini ikiwa Roho wake yeye aliyemfufua Yesu katika wafu anakaa ndani yenu , yeye aliyemfufua Kristo Yesu katika wafu ataihuisha na  miili yenu iliyo katika hali ya kufa kwa Roho wake anayekaa ndani yenu”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4.&lt;strong&gt;UTATU HUKAA NDANI YA WATU &lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;(a) BABA: 2 Kor 6:16&lt;br /&gt;“Tena pana mapatano gani kati ya Hekalu la Mungu aliye hai, kama Mungu alivyosema ya kwamba nitakaa ndani yao na kati yao nitatembea nami nitakuwa Mungu wao nao watakuwa watu  wangu”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(b) MWANA : Kol 1:27 &lt;br /&gt; “ ambao Mungu alipenda kuwajulisha jinsi ulivyo utajiri wa utukufu wa siri hii katika mataifa nao ni Kristo ndani yenu tumaini la utukufu”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(c) Roho Mtakatifu – Yoh 14:17&lt;br /&gt; “Ndiye Roho wa kweli ambaye ulimwengu hauwezi kumpokea kwa kuwa haumwoni wala haumtambui: bali ninyi  mnamtambua maana anakaa kwenu naye atakuwa ndani yenu.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;5. &lt;strong&gt;UTATU UPO MAHALI POTE&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;(a) Baba: 1Fal 8:27&lt;br /&gt;“Lakini Mungu je? Atakaa kweli kweli juu ya nchi? tazama mbingu hazikutoshi wala mbingu za mbingu ,sembuse nyumba hii niliyojenga?”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(b) Mwana: Math 28:  19- 20&lt;br /&gt; “Basi enendeni , mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana  na Roho Mtakatifu na kuwafundisha kuyashika  yote niliyowaamuru ninyi na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote hata ukamilifu wa dahari “&lt;br /&gt;(c) Roho Mtakatifu – Zaburi 139: 7-10&lt;br /&gt; “Niende wapi nijiepushe na roho yako? Niende wapi niukimbie uso wako? Kama ningepanda mbinguni wewe uko, ningefanya kuzimu kitanda changu wewe uko. Ningekuwa na mbawa za asubuhi na kukaa pande za mwisho za bahari huko nako mkono wako utaniongoza na mkono wako wa kuume utanishika”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;6. &lt;strong&gt;UTATU HUJUA YOTE&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;(a) Baba – 1Yoh 3:20&lt;br /&gt;“Ikiwa mioyo yetu inatuhukumu kwa maana Mungu ni mkuu kuliko mioyo yetu naye anajua yote”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(b) Mwana- Yoh 16; 30 &lt;br /&gt;“Sasa tumejua ya kuwa wewe wafahamu mambo yote wala huna haja ya mtu akuulize, kwa hiyo twasadiki ya kwamba ulitoka kwa Mungu”&lt;br /&gt;Yoh 21:17&lt;br /&gt;“Akamwambia mara ya tatu Simoni  wa Yohana wanipenda? Petro alihuzunika  kwa vile alivyomwambia mara ya tatu wanipenda? Akamwambia Bwana wewe wajua yote , wewe umetambua ya kuwa nakupenda, Yesu akamwambia lisha kondoo zangu” (Marko 2:8)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;          (c) Roho Mtakatifu – 1 Kor 2: 10- 11&lt;br /&gt;              “ Lakini Mungu ametufunulia sisi kwa Roho maana Roho huchunguza  yote hata  mafumbo ya Mungu .Maana ni nani katika binadamu ayajuaye mambo ya binadamu, ila roho ya binadamu iliyo ndani  yake? Vivyo hivyo na mambo ya Mungu ,hakuna ayafahamuye ila Roho wa Mungu”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;7.&lt;strong&gt;UTATU HUTAKASA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;(a) Baba – I Thes 5: 23&lt;br /&gt;” “Mungu wa amani mwenyewe awatakase kabisa nafsi zenu na roho zenu na miili yenu mhifadhiwe muwe kamili ,bila lawama, wakati wa kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(b) Mwana- Ebr 2:10-11&lt;br /&gt;“ Kwa kuwa ilimpasa yeye ambaye kwa ajili yake na kwa njia yake vitu vimekuwepo akileta wana wengi waufikirie utukufu, kumkamilisha  Kiongozi Mkuu wa wokovu  wao kwa njia ya mateso .Maana yeye atakayesema hao wanaotakaswa wote pia wataka  kwa mmoja kwa ajili hii haoni haya kuwaita ndugu zake.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(c) Roho Mtakatifu – 1 Pet 1:&lt;br /&gt; “ Kama vile Mungu Baba alivyotangulia kuwajua katika kutakaswa na Roho hata mkapata kutii na kunyunyiziwa damu ya Yesu ,Neema na amani na ziongezwe kwenu”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;8.&lt;strong&gt;UTATU NI MTOA UZIMA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;(a) Baba – Mw 2: 7  &lt;br /&gt;   “ BWANA Mungu akamfanya mtu  kwa mavumbi ya ardhi , akampulizia puani  pumzi ya uhai, mtu akawa nafsi hai” Yoh 5: 21 “ Maana kama Baba awafufuavyo wafu na kuwahuisha vivyo hivyo na Mwana awahuisha wale awatakao”&lt;br /&gt;(b) Mwana- Yoh 5:21&lt;br /&gt;   “ maana kama Baba awafufuavyo wafu  na kuwahuisha  vivyo hivyo na mwana  huwahuisha wale awatakao”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(c) Roho Mtakatifu –2 Kor 3: 6,8&lt;br /&gt;  “ Naye ndiye aliyetutosheleza kuwa walidumu wa agano jipya , si wa andiko bali wa Roho kwa maana andika huua bali roho huhuisha --------- “ je huduma ya roho haitazidi  kuwa katika utukufu ?”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;9.&lt;strong&gt;UTATU NI USHIRIKA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;(a) Baba – 1 Yoh 1:3&lt;br /&gt; “ Hilo tuliloliona na kulisikia twawahubiri na nyinyi  ili nanyi pia mpate kushirikiana nasi na ushirika wetu ni pamoja na Baba na pamoja na Mwana wake Yesu Kristo.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(b) Mwana – I Kor 1:9&lt;br /&gt; “Mungu ni mwaminifu ambaye mliitwa na yeye mwingie katika ushirika wa mwanawe Yesu Kristo Bwana wetu”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(c) Roho Mtakatifu – 2 Kor 13:14  “Neema ya Bwana Yesu Kristo na pendo la Mungu na ushirika wa Roho Mtakatifu ukae nanyi nyote”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Filipi 2: 1-2&lt;br /&gt;“Basi ikiwako faraja yoyote katika Kristo yakiwako matulizo yoyote ya mapenzi ukiwako ushirika wowote wa Roho ikiwako huruma yoyote na rehema, ijalizeni furaha yangu ili mwe na nia moja wenye mapenzi mamoja wenye roho moja mkinia mamoja”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;10. &lt;strong&gt;UTATU NI  WATU MILELE&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;(a) Baba – Zaburi 90: 2&lt;br /&gt; “ Kabla haijazaliwa milima, wala hujaiumba dunia na tangu milele  hata milele ndiwe Mungu”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(b) Mwana- Mika 5: 2 , Math 2: 4-6&lt;br /&gt; “Bali wewe Bethlehemu Efrata uliye mdogo  kuwa miongoni mwa elfu za Yuda kutoka  kwako wewe atanitokea mmoja atakayekuwa mtawala  katika Israel  ambaye matokeo yake yamekuwa tangu zamani za kale, tangu milele “       (Math 2:4-6)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(C) Roho Mtakatifu – Ebr 9:14&lt;br /&gt; “Basi si zaidi damu yake Kristo ambaye kwamba kwa roho wa milele alijitoa nafsi yake kwa Mungu kuwa sadaka isiyo  na mawaa itawasafisha dhamiri zenu na matendo mafu mpate kumwabudu Mungu aliye hai?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;11.&lt;strong&gt;UTATU UNA UTASHI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;(a) Baba – Lk 22: 42&lt;br /&gt;“ Akisema  Ee Baba ikiwa ni mapenzi yako, uniondolee kikombe hiki walakini si mapenzi yangu bali yako yatendeke”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(b) Mwana- Lk 22:42&lt;br /&gt; “Akisema Ee Baba ikiwa ni mapenzi  yako uniondolee kikombe hiki walakini si mapenzi yangu bali yako  yatendeke”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(c) Roho Mtakatifu – I Kor 12:11&lt;br /&gt;  “Lakini kazi hizi zote huzitenda Roho huyo  mmoja, yeye yule akimgawia kila mtu peke yake kama apendavyo yeye”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;12. &lt;strong&gt;UTATU HUNENA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;(a) Baba – Math 3: 17&lt;br /&gt; “Na tazama sauti kutoka mbinguni ikisema huyu ni mwanangu mpendwa wangu ninayependezwa naye”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(b) Mwana- Lk 5:20 , 7:48&lt;br /&gt; “Naye alipoiona imani yao alimwambia Ee rafiki umesamehewa dhambi zako”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kisha alimwambia mwanamke umesamehewa dhambi zako”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(c) Roho Mtakatifu – Mdo 8:29 &lt;br /&gt;  “Roho akamwambia Filipo ,sogea karibu na gari hili ukashikamane nalo”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mdo 11: 11- 12&lt;br /&gt;“ Na tazama mara hiyo watu watatu wakasimama mbele ya nyumba tuliyokuwamo waliotumwa kwangu kutoka Kaisaria, Roho akaniambia nifuatane nao nisione  tashwishi.Ndugu hawa sita  nao wakaenda pamoja nami tukaingia katika nyumba ya mtu yule”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mdo 13:2 &lt;br /&gt;  “Basi hawa walipokuwa wakimfanyia Bwana ibada na kufunga Roho Mtakatifu akasema nitengeeni Barnaba na Sauli kwa kazi niliyowaitia”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;13. &lt;strong&gt;UTATU NI UPENDO&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;(a) Baba – Yoh 3:16&lt;br /&gt; “Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanawe pekee ili kila mtu amwaminiye asipotee bali awe na uzima wa milele”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(b) Mwana- Efeso 5:25&lt;br /&gt; “Enyi waume wapendeni wake zenu kama Kristo naye alivyolipenda kanisa akajitoa kwa ajili yake.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(C)Roho Mtakatifu – Rum 15:30&lt;br /&gt; “Ndugu zangu nawasihi kwa Bwana wetu Yesu Kristo na kwa upendo wa Roho jitahidini pamoja nami katika maombi yenu kwa ajili yangu mbele za Mungu”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hoja inayohusu Utatu Mtakatifu iko wazi sana unaposoma Maandiko  Matakatifu na ukiyafanya ndiyo dira yako .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yesu mwenyewe alipokuwa hapa duniani  alisema &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;  Yoh 15: 24 “ kama nisingalitenda kwao kazi  asizozitenda mtu mwingine wasingalikuwa na dhambi ,lakini sasa wametuona mimi  na Baba yangu  na kutuchukia “&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Swali la ufahamu : Hao watu pale walikuwa wanamuona nani? Baba au Yesu au walikuwa wana muona Yesu ambaye ni Baba? Tafakari.&lt;br /&gt;Katika Yoh 16:13-16&lt;br /&gt;“Lakini yeye atakapokuja huyo Roho wa kweli atawaongoza  awatie kwenye kweli yote kwa maana hatanena kwa shauri lake mwenyewe lakini yote atakayoyasikia atayanena na mambo yajayo atawapasha habari zake .Yeye atanitukuza mimi kwa kuwa atatwaa katika yaliyo yangu na kuwapasha habari .Na yote aliyonayo Baba ni yangu kwa hiyo nalisema ya kwamba atatwaa katika yaliyo yangu   kuwapasheni habari .Bado kitambo kidogo  nanyi  hamtaniona”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Swali la ufahamu: Yesu yuko mbinguni na  bado tena yuko duniani pote akiwa nani?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mdo 20:28&lt;br /&gt;“ Jitunzeni nafsi zenu na lile kundi lote  nalo ambalo Roho Mtakatifu amewaweka nyinyi kuwa  waangalizi ndani yake mpate kulilisha Kanisa lake Mungu  alilolinunua kwa damu  yake mwenyewe”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Swali la ufahamu:&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;“Aliyesulubiwa msalabani ni Mungu,Yesu au Roho Mtakatifu? Bila shaka ni Yesu Kristo”&lt;br /&gt;- Kwanini Kanisa lisiwe mikononi mwa Yesu aliyesulubiwa? Ni kwa sababu Mungu ,Baba,Mwana,na Roho Mtakatifu  ni umoja (1 Yoh 5:6-7)&lt;br /&gt;- Mwana amemtukuza Baba duniani (Yoh 17: 4)Baba amewaketisha mwana  katika mkutano wake wa kuume wa kiti chake cha enzi mbinguni.&lt;br /&gt;- (Uf 22:1, Marko 16:19)&lt;br /&gt;- Mwana amempa Roho Mtakatifu kazi ya kulitunza kanisa ambalo Mungu alilinunua kwa damu yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ayub 11:7-10&lt;br /&gt;  “ Je wewe waweza kuuvumbua ukuu wa Mungu? Waweza kuufikiria upeo wa huyo mwenyenzi? Ni juu mno kama mbingu waweza kufanya nini wewe?  Ni wenye  kina kuliko kuzimuni kufanya nini wewe cheo chake ni kirefu kuliko dunia ni kipana  zaidi ya bahari”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;HASARA YA KUPINGA UTATU MATAKATIFU&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;  Katika I Yoh 2:23 &lt;br /&gt;“Kila amkanaye mwana  hanaye Baba ,amkiriye mwana anaye Baba pia” &lt;br /&gt;  Marko 3:29 “ bali mtu atakayemkufuru Roho Mtakatifu hana msamaha hata milele ila atakuwa na dhambi ya milele”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I Yoh 5:6-7 &lt;br /&gt; “ Huyu ndiye aliyekuja kwa maji na damu ,Yesu Kristo; si katika maji tu, bali katika maji na katika  damu. Naye roho ndiye ashuhudiaye, kwa sababu Roho ndiye kweli kwa maana wako watatu washuhudiao mbinguni, Baba na Neno na Roho Mtakatifu na watatu hawa ni umoja”.Yoh 10:30 ‘ Mimi na Baba tu umoja&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;SISI  NI  MALI  YA  UTATU.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;BABA: Yoh 17: 9 &lt;br /&gt;“ Mimi nawaombea hao siuombei ulimwengu bali hao ulionipa kwa kuwa hao ni wako”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwana: Yoh 17: 6&lt;br /&gt;“Jina lako nimewadhihirishia wale ulionipa katika ulimwengu walikuwa wala ukanipa mimi na neno lako wamelishika.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;strong&gt;UTATU NI MWOKOZI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Baba :I Tim 1:1&lt;br /&gt;“Paulo mtume wa kristo Yesu kwa amri ya Mungu mwokozi wetu na kristo Yesu taraja letu”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I Tim 2: 3 &lt;br /&gt;“ Hili ni zuri nalo lakubalika mbele za Mungu Mwokozi wetu”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I Tim 4: 10&lt;br /&gt; “ Kwa maana twajitaabisha  na kujitahidi kwa kusudi hili kwa sababu  tunatumaini  Mungu aliye hai aliye Mwokozi wa watu wote, hasa wamwaminio”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwana : 2 Tim 1:10&lt;br /&gt;“ Na sasa  inadhihirishwa kwake Mwokozi wetu Kristo Yesu, aliye batili mauti na kuufunua uzima na kutoharibika kwa ile injili.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tito 1:4&lt;br /&gt;“ Kwa Tito mwanangu hasa katika imani tuishirikiyo .Neema na iwe kwako na amani zitokazo kwa Mungu Baba na kwa Kristo Yesu Mwokozi   wetu.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;TUNAUTUMIKIA  UTATU&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Baba Math 4: 10&lt;br /&gt;“ Ndipo Yesu alipomwambia nenda zako shetani kwa maana imeandikwa msujudie Bwana Mungu wako, umwabudu yeye peke yake”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwana: Kol 3: 24 &lt;br /&gt;“ Mkijua ya kuwa mtapokea kwa Bwana ujira wa urithi mwamtumikia Bwana Kristo”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;TUNAAMINI  KATIKA UTATU&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Baba : Yoh 14:1&lt;br /&gt; “ Msifadhaike mioyoni mwenu ,mnamwamini Mungu ni aminini na mimi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwana: Yoh 14: 1&lt;br /&gt; “Msifadhaike mioyoni  mwenu, mnamwamini Mungu  niaminini na mimi” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo Utatu Mtakatifu ambao katika Kiebrania umeelezewa kwa neno la “ELOHIM”   hili ndilo fundisho linalomfunua Mungu  kihalisi katika  Utatu Mtakatifu yaani, Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-2023289493776491268?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/2023289493776491268/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=2023289493776491268' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/2023289493776491268'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/2023289493776491268'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2010/10/fundisho-la-utatu-mtakatifu-je-ni.html' title='FUNDISHO LA UTATU MTAKATIFU: JE NI UPAGANI KAMA WAISLAMU NA MASHAHIDI WA JEHOVA WANAVYODAI? IS TRINITY PAGANISM?'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-5652220429830225728</id><published>2010-10-04T08:02:00.000-07:00</published><updated>2011-09-18T04:35:34.892-07:00</updated><title type='text'>MAFUNZO: UINJILISTI KWA WASIO WAKRISTO:WAISLAMU</title><content type='html'>HUDUMA YA UINJILISTI YA BIBLIA NI JIBU, INATARAJIA KUFUNGUA  MAFUNZO YA MUDA MFUPI YA KIWANGO CHA &lt;strong&gt;CHETI&lt;/strong&gt; &lt;strong&gt;MIEZI MITATU (3)&lt;/strong&gt; ,YATAKAYOHUSU NAMNA YA KUWAINJILISHA WASIO WAKRISTO HUSUSANI WAISLAMU, NA UTETEZI WA IMANI &lt;strong&gt;(APOLOGY&lt;/strong&gt;). MAFUNZO HAYA YATAANZA RASMI TAREHE 15 JANUARI 2012 MAHALI PA MASOMO MTAJULISHWA MWEZI DESEMBA. MASOMO HAYO YATATOLEWA KWA LUGHA ZOTE MBILI KIINGEREZA NA KISWAHILI.RATIBA ZITAKUWA MBILI YAANI ASUBUHI NA MCHANA. KWA WALE WATAKAOKUWA NJE YA DAR ES SALAAM, WATAJIFUNZA KWA NJIA YA KUANDIKIANA (&lt;strong&gt;CORRESPONDENCE).&lt;/strong&gt; UTATUMIWA MASOMO POPOTE ULIPO NA MASWALI YAKE KISHA UTAYAJIBU NA KUYATUMA TENA KWETU.KOZI NZIMA ITAKUWA NA MADA (&lt;strong&gt;TOPICS)&lt;strong&gt;11&lt;/strong&gt;&lt;/strong&gt;.WALIMU WAZURI NA WENYE MZIGO WA KUWAFUNZA WENGINE KWA AJILI YA INJILI HIYO WAKO TAYARI KUKUHUDUMIA NA KUKUSAIDIA ILI UFIKIE LENGO LAKO.KUTAKUWA NA VITABU NA VITINI VYA MADA KWA KILA SOMO.ADA YETU NI NAFUU SANA AMBAYO KILA MWENYE NIA YA KUPATA ELIMU HIYO KWA KINA, ATAKUWA NA UWEZO WA KUICHANGIA NI &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;TSH.45,000/&lt;/span&gt;=&lt;/span&gt; KWA MWEZI AU TSH.135,000/= KWA KOZI NZIMA.GHARAMA HIZI HAZIJUMLISHI GHARAMA ZA MALAZI NA CHAKULA AMBAZO HIZO ZITAKUWA NI JUU YA MWANAFUNZI MWENYEWE. NA KILA KITINI (HAND-OUT) KWA AJILI YA SOMO HUSIKA NI &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;TSH.2,000/=&lt;/span&gt;. HATA HIVYO IWAPO MWANAFUNZI ANATAKA KUPATA VITABU NA MAJARIDA MENGINE ZAIDI ANAWEZA KUFANYA HIVYO KWA GHARAMA ZAKE MWENYEWE.UANDIKISHAJI UNAENDELEA . KAMA UKO MBALI TUPIGIE:   &lt;strong&gt;+255 755 680101, 0716 305120.&lt;/strong&gt;UTAONGEA NA MRATIBU MWALIMU DANIEL MWANKEMWA.AU TUANDIKIE KWA BARUA PEPE:&lt;strong&gt;dmwankemwa@gmail.co.uk &lt;/strong&gt;.KWA SASA HATUNA HOSTEL MPAKA MWAKANI.&lt;strong&gt;ADA KWA MWEZI NI TSH 45000/=&lt;/strong&gt; .UNAPOJIANDIKISHA &lt;strong&gt;UTATAKIWA KULIPA NUSU YA ADA YOTE NDIPO UTASAJILIWA.&lt;/strong&gt; VYETI VITATOLEWA.RATIBA ITATOLEWA MAPEMA ILI UWEZE KUJIANDAA. MAFUNZO HAYA SI YA KIDHEHEBU HIVYO MADHEHEBU MBALI MBALI YA KIKRISTO WENYE MZIGO NA WITO HUU WANAWEZA KUTUMA WATU WAO HAPA KITUONI PETU.UANDIKISHAJI  UNAENDELEA&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-5652220429830225728?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/5652220429830225728/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=5652220429830225728' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/5652220429830225728'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/5652220429830225728'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2010/10/mafunzo-uinjilisti-kwa-wasi.html' title='MAFUNZO: UINJILISTI KWA WASIO WAKRISTO:WAISLAMU'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-607225169213505337</id><published>2010-09-14T09:34:00.000-07:00</published><updated>2011-09-18T04:38:49.157-07:00</updated><title type='text'>MBINU ZINAZOTUMIKA NA WAISLAMU ILI KUHARIBU IMANI YA KIKRISTO KATIKA KARNE YA 20-21 (21st CENTURY ISLAMIC STRATERGIES TO ELIMINATE/CORRUPT CHRISTIANITY IN AFRICA)</title><content type='html'>Utangulizi:&lt;br /&gt;Leo hii, ukitembea sehemu mbalimbali hapa duniani utakutana na waislamu wengi. Waislamu wameenea kila Bara kama vile Ulaya, Afrika, Asia, na America. Inaaminika kuwa kwa kila watu watano hapa duniani, mmoja kati yao ni mwislamu. Tunashuhudia baadhi ya wakristo wakiacha imani yao na kukumbatia uislamu. Katika Bara la Afrika, uislamu umeenea kwa kasi ya ajabu. Je, ni nini kinachofanya uislamu uenee hivyo? Je, ni mbinu gani zinazotumika ili kueneza uislamu? Fuatilia somo hili ili uweze kujua hayo yote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Maana ya neno "lslam" &lt;br /&gt;Neno 'Islam' Asili yake ni lugha ya 'kiarabu' lenye maana ya 'utii' au 'amani'.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Mwanzo wa Dini ya Kiislamu &lt;br /&gt;Neno "Islam" ni tofauti na "Dini ya Kiislamu". Hii ni kwa sababu neno "Islam" lilitumika na waarabu hata kabla ya kuanza kwa dini ya kiislamu. Kwa hivyo "Dini ya kiislamu", maana yake ni "kujisalimisha chini ya amri za Allah" au "Amani chini ya sheria za Allah".&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;i. Muhammad aliambiwa na Allah asema: -&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Quran 39: 12&lt;/strong&gt; Suratul Zumar (Makundi / Vikosi)&lt;br /&gt;"Na pia nimeamrishwa niwe wa kwanza wa (viumbe) wanaojisalimisha (kwa mwenyezi Mungu)"&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Quran 6: 14&lt;/strong&gt; Suratul Al- An'am (Wanyama)&lt;br /&gt;Sema "je nifanye mola (wangu) asiyekuwa Mwenyezi Mungu, (Ambaye ndiye) muumba wa mbingu na ardhi" naye hulisha wala halishwi" sema hakika mimi nimeamrishwa niwe wa kwanza katika wenye kusilimu na (nikaambiwa). usiwe miongoni mwa wanaomshirikisha (Mwenyezi Mungu).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika ufafanuzi wa aya ya&lt;strong&gt; 19-20,&lt;/strong&gt; katika Suratul &lt;strong&gt;Yusuf 12:20&lt;/strong&gt; kuna maneno haya--&lt;br /&gt;Unaona kuuzana kulikuwako zaidi ya &lt;strong&gt;miaka 4000 kabla&lt;/strong&gt; ya kuja dini ya kiislamu aliyokuja nayo nabii Muhammad. Kisha wakausingizia uislamu kuwa ndio uliokuja na kuuza watu. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kadiri ya aya hizi zote tunaona ya kuwa dini ya kiislamu ilianzishwa rasmi hapa duniani Ramadhan siku ya Jumatatu mwezi 17 sawasawa na Tarehe 27 December mwaka 610 Baada ya Kristo (B.K), na mtu aitwae Muhammad Bin Abdalah Bin Abd-Muttalib Bin Hashim Bin Abd Manafu Bin Kusay. Mama yake aliitwa Amina Bint Wahab.&lt;br /&gt;Ama baada ya kuona mwanzo wa Dini ya uislamu sasa tuanze kuangalia mbinu za waislamu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Mbinu Zinazotumika na Waislamu &lt;br /&gt;Mwanzoni Muhammad, mtume wa waislamu, alitumia mbinu hata za kivita ili kueneza dini yake ya kiislamu. Hata wafuasi wake waliamrishwa kupigana kwa ajili ya dini yao. Qurani inasimulia hivi---&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Qurani 5:35 Suratul Al -Maidah (Meza)&lt;br /&gt;Enyi mlioamini mcheni mwenyezi Mungu na tafuteni njia ya kumfikilia (kufikilia pepo yake). Na piganeni kwa ajili ya Dini yake ili mpate kufaulu.&lt;br /&gt;Katika Qurani, kitabu kinachowaongoza waislamu, zipo aya nyingi zinazowaamrisha waislamu &lt;br /&gt;wapigane. Baadhi ya aya hizo ni Qurani 47:4 Suratul Muhammad na Qurani 9:123 Suratul At - Tawba. Muhammad mwenyewe alisema hivi katika kitabu cha hadithi zinazoaminiwa na waislamu wote:-&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sahih Al-Bukhari Vol. 4 Hadith na 196, Ukurasa wa 124:&lt;br /&gt;Imesimuliwa na Abu- Huraira: Mtume wa Allah akasema, Nimeamrishwa kupigana na watu hadi watakaposema hakuna apasaye kuabudiwa ila Allah; Na yule atakayesema kwamba hakuna apasaye kuabudiwa ila Allah, maisha yake na mali yake yataokolewa nami…&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tafsiri ya Kiingereza:&lt;br /&gt;Narreted Abu-Huraira Allah's Apostle said, I have been orderedt fight with the people till they say, none has the right to be worshipped but Allah ; his life and property will be saved by me…&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi ndivyo alivyosema mtume wa waislamu Muhammad,aliye mfano mwema wa waislamu wote (Qurani 33:21 Suratul Al-Ahzab). Muislamu ni lazima atekeleze kama alivyoamurishwa Muhammad na Allah. Tena tunajua kwamba, watu wote hawawezi kusema "hakuna apasaye kuubudiwa ila Allah". Hao wasiosema hivyo, kadiri ya Hadith hii, wanatakiwa kupingwa na kuawawa mara moja. Kadiri ya Qurani, miongoni mwa watu wanaotakiwa kuangamizwa ni "Wayahudi na Wakristo" (Qurani 9:30 sSuratul At-tawba). Katika kufanikisha uendelezaji wa uislamu hivi sasa,  waislamu wamebuni na kutumia mbinu mbalimbali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I. Kuunda Jumuiya na Taasisi Mbalimbali za Waislamu&lt;br /&gt;Hatua ya kwanza iliyotumika na waislamu ni kuunda jumuiya. Waislamu wana jumuiya nyingi hivi sasa na taasisi nyingi Lakini nitazieleza baadhi yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;i.Jumuiya ya Organization of Islamic Conference &lt;strong&gt;(O. I. C.)&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Jumuiya hiyo ilianzishwa baada ya kumalizika vita kati ya Israeli na mataifa kumi na tatu (13) ya kiarabu. Vita hivyo vilipiganwa kwa siku sita na vikamalizika tarehe 5/6/1967. Katika vita hivyo waisraeli waliyashinda mataifa yote 13 ya kiarabu. Ina aminika kuwa wakati huo waisraeli walikuwa ni watu wachache wapata watu 400,000 tu. Baada ya kushindwa huko ndipo mataifa hayo 13 ya kiarabu yakafanya kikao cha kutathimini vita hivyo. Mkutano huo ulifanyika mjini Rabat nchini Morocco chini ya mfalme Hassani. Kikao hicho kilifanyika tarehe 25/9/1969 (kalenda ya kiislamu ni mwezi 12 Rajabu 1389), ndipo mataifa hayo yakaanzisha rasmi jumuiya hiyo ya Organization of Islamic Conference (O.I.C.). Hadi kufikia mwaka wa 2001, jumuiya hiyo imeweza kuwa na wanachama mataifa 56 duniani. Na juhudi zinafanyika ili kupata wanachama zaidi. Jumuiya hiyo ndiyo inayopanga na kutekeleza mbinu ya kuendeleza uislamu duniani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;ii.Kuanzisha kwa Jumuiya ya Islam in Africa Organization (I. A. O.) &lt;br /&gt;Jumuiya hii ya 'Islam in Africa Organization' ilianzishwa chini ya O. I. C. na wawakilishi wa dini ya kiislamu kutoka mataifa 24 walikutana na kuunda jumuiya hiyo. Mkutano uliounda jumuiya hiyo ulifunguliwa na aliyekuwa Raisi wa Nigeria aliyeitwa Ibrahim Babangida.&lt;br /&gt;Jumuiya hiyo ndiyo inayohusika kupanga na kutekeleza namna ya kuendeleza uislamu katika bara la Afrika. Jumuiya hiyo ilianzishwa tarehe 28/11/1989 kule Abuja Nigeria chini ya usimamizi wa O.I.C.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;iii.Taasisi za Fedha (Tafakari kuhusu Sharia Banking System)&lt;br /&gt;Ili kuendeleza dini ya kiislamu, mataifa ya kiarabu ambayo yana utajiri mkubwa unaotokana na mafuta yamezipatia nchi hizo mtaji usiotazamiwa kumalizika. Utajiri wao unatumika kueneza uislamu kwa kuishambulia imani yetu wakristo. Taasisi za fedha zilizoundwa chini ya jumuiya ya O.I.C. na I.A.O. ni hizi: -&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Islamic Development Bank&lt;/strong&gt; &lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Islamic Development Fund&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Jukumu la taasisi hizo za fedha ni kuhakikisha kuwa wanatoa fedha za kuendeleza shughuli za kukuza na kusaidia nchi wanachama katika kuendeleza miradi ya uchumi, viwanda, biashara, hospitali, visima vya maji, barabara na mashule. Vile vile, taasisi hizo zinatoa fedha ili kuwashawishi hata viongozi wa mataifa mbalimbali ili wajiunge na jumuiya za O. I. C. na I. A. O. Kwa mfano, taifa ambalo lilipewa fedha nyingi mara baada ya kujiunga na jumuiya hizo za kiislamu ni Nigeria ambayo ilipewa dola za kimerikani US $ 21 BILLION. Kwa ajili ya maendeleo ya waislamu. Hata aliyekuwa Raisi wa nchi hiyo, Ibrahimu Babangida, alipokubali nchi yake iwe mwanachama wa O. I. C. na I. A. O., &lt;strong&gt;November 1989&lt;/strong&gt; kule Abuja Nigeria, Account yake iliyokuwa katika Bank inayoitwa Arab-African lnternational Bank, ilionyesha alikuwa na dola za kimarekani US $ 57.48 Billion. Aidha mawaziri wawili na mkuu wa jeshi, Account zao zilikuwa na fedha nyingi nazo zilionyesha fedha hizi:- &lt;br /&gt;Mmoja alikuwa na US $ 15.2 Billion&lt;br /&gt;Mwingine alikuwa na US $ 17.8 Billion&lt;br /&gt;Mwingine account yake ilikuwa na US $ 24.9 Billion&lt;br /&gt;Na hii ilikuwa ni motisha kwao. Jambo hili linatishia kuangamizwa kwa imani yetu sisi wakristo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;II.  Uandishi wa Vitabu&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Waislamu wa sehemu mbalimbali hapa duniani wameandika vitabu na bado wangali wanaendelea kuandika. Vitabu ambavyo vinaisema vibaya imani yetu wakristo. Vitabu hivyo vimeandikwa katika lugha mbalimbali Kama kiingereza, Kiswahili na lugha nyinginezo. Baadhi ya waandishi wanaojulikana sana ni hawa: -&lt;br /&gt;Ahmed Deedat&lt;br /&gt;Mtu huyo Deedat ndiye mwandishi maarufu wa vitabu. Ahmed Deedat anaishi kule Durban, Afrika Kusini. Shirika lao linaitwa 'The Islamic Propagation Centre'. Ukisoma vitabu vyake utaona jinsi anavyotumia hisia zake kutoa tafsiri potofu kupotosha maandiko matakatifu ya Biblia. Deedat ndiyo chanzo kikubwa cha mihadhara iliyoenea sana duniani na hasa katika nchi za Afrika Mashariki na Kati. Vitabu vyake pia vinatumika katika Makongamano, Semina, Mihadhara na kwenye Website mbalimbali. Waendesha mihadhara wamechukua hoja zipatazo 150 alizoziandika. Katika kitabu chake kinachoitwa "The God That Never Was" (Mungu Asiyekuwepo Kamwe), chenye kurasa 15 alichokiandika mwaka wa 1983, Deedat anasema hivi, "Kusema kwamba Yesu ni Mungu siyo tu kudhihaki Mungu, bali ni kukufuru kwa aina mbovu kabisa na ni kutukana hata akili ya mwanadamu". Anaendelea kusema "Yesu ni Mungu mlafi na mlevi" (Mathayo 11:19), "Mungu ambaye hakujua kusoma na kuandika" (Yohana 7:14-15), "Mungu aliyekuwa wa kabila la wayahudi" (Ufunuo 5:5), "Mungu aliyezidiwa na hisia zake" (Marko 14:33), na  "Mungu bubu na asiyejikinga" (Matendo 8:32). Ukisoma kitabu hiki utasikitishwa sana na lugha mbaya za Deedat ambazo waislamu wanazishangilia na kuzitumia katika mihadhara yao. Isitoshe jumuiya kubwa za O.I.C., Islamic Development Bank na Mfalme Fahad wa Saudi Arabia ndio wafadhili wake wanaomsaidia kusambaza vitabu hivi duniani kote. Hii ni hatari kwa imani yetu sisi wakristo. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sayyid Abul A’la Maududi  &lt;br /&gt;Mtu huyu alikuwa mwandishi maarufu wa kiislamu aliyekuwa anaishi bara Hindi kati ya mwaka 1903 na 1979. Aliandika kitabu kinachoitwa "Katika Kuufahamu Uislamu", mwaka 1932. Kinasambazwa na 'The Islamic Foundation', Nairobi, Kenya. Kitabu hiki kimechapishwa upya mwaka wa 1974, kina kurasa 136. Kupitia kitabu hicho, Maududi anasema katika ukurasa wa 84 kuwa "vitabu vitakatifu vya awali (Torati, Zaburi, Manabii na Injili) viliteremshwa katika lugha zilizokufa zamani". Anaendelea kusema kuwa "Hakuna nchi wala jamii inayozungumza lugha hizo sasa na ni watu wachache wanaodai kuwa wanazifahamu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Prof, M. H. Maliki &lt;br /&gt;Profesa Maliki ndiye mshauri wa wanafunzi waislamu katika chuo kikuu cha Nairobi. Ameandika kitabu kinachoitwa "The Mission of Jesus" (Ujumbe wa Yesu). Amekiandika mwaka wa 1993, kina kurasa 117 na kinaenezwa na "Islamic Foundation" Nairobi, Kenya. Katika kitabu chake anasema maneno mabaya ya kuvuruga wakristo. Naye anasema hivi: -&lt;br /&gt;Yesu amemtabili Muhammad &lt;br /&gt;Vitabu vya injili haviaminiki &lt;br /&gt;Injili ya barnaba ni injili halisi &lt;br /&gt;Paulo alibadili injili ya Yesu &lt;br /&gt;Kumkubali Paulo ni kumkataa Yesu&lt;br /&gt;Isitoshe profesa Maliki ameandika mara nyingi katika gazeti maarufu la kiislamu linaloitwa 'Al-Islam' kwa miaka mingi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ali Muhsin &lt;br /&gt;Ali Muhsin ni mtu maarufu ambaye zamani alikuwa waziri katika nchi ya Zanzibar. Na  alifungwa jela miaka kumi 10 Kitabu alichoandika kinaitwa "Let the Bible Speak" (Acha Biblia Ihukumu), chenye kurasa.169 Kimechapishwa na Ansaar Muslim Youth Organization, Mombasa, Kenya. Katika kitabu chake, Muhsin anasema hivi…&lt;br /&gt;Yesu alikuwa Nabii mwema wa uislamu lakini alikufa kabla hajakamilisha utume wake, maisha yake mafupi yalimzuia kukamilisha utume ambao alitumwa aulete duniani. &lt;br /&gt;Mwanzilishi wa ukristo ni Paulo &lt;br /&gt;Paulo ni mtu mbaya aliyeingiza imani ya dhambi ya asili, wokovu kwa njia ya damu. Na fumbo lisilo eleweka kabisa la utatu. &lt;br /&gt;Muhsin anaendelea kusema kuwa, mafundisho ya Paulo yamewachanganya wafuasi wa Yesu na kuwazuia wasimkubali Muhammad.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sheikh Muzaffar Ahmad Durani &lt;br /&gt;Vitabu alivyoandika ni vingi. Hapa ninavitaja viwili tu :-&lt;br /&gt;Silaha za mahubiri&lt;br /&gt;Zawadi kwa wakristo&lt;br /&gt;Waenezaji wa vitabu hivyo ni jumuiya ya waislamu wa Ahmadiyya. Yaliyomo katika kitabu cha zawadi kwa wakristo ni haya:&lt;br /&gt;Ukurasa wa 21  Yesu si Mungu kwa sababu alioa&lt;br /&gt;" 22  Mke wa Yesu Mariam Magdalena&lt;br /&gt;" 28   Yesu alitumwa kwa wana wa waisraeli tu (Mathayo 15:24)&lt;br /&gt;" 31   Yesu aliteta upanga (Mathayo 10:34-35)&lt;br /&gt;" 39   Paulo ni mhalifu wa Yesu( Matendo 26:9)&lt;br /&gt;" 43   Bwana Yesu hakufia msalabani (Waebrania 5:7)&lt;br /&gt;" 96  Nyimbo hazitakiwi (Amosi 5:23)&lt;br /&gt;Nchini Kenya, jumuiya ya Ahamadiyya Muslim Mission imetafsiri Qurani katika Lugha za Kiswahili, na pia wametafsiri Qurani ya Kikuyu iliyotafsiriwa mwaka wa 1988, pia wana mpango wa kutafsiri Qurani kwa lugha za Kikamba na Kijaluo. Je mkristo, vitabu hivi vinaashiria nini kwako? Vinalenga kuharibu imani yetu au la? Tafakari.&lt;br /&gt;Dar-es-Salaam, Tanzania Waislamu walikuwa na njama ya kuchapisha Biblia potofu, milioni 15, ambazo zingeonyesha utabili wa Muhammad. Angalizo kuna injili ya upotofu iitwayo "Injili ya Barnaba".&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;III. Vijarida (Tracts)&lt;br /&gt;Waislamu wanachapisha vijarida na kugawa. Vingine vinawekwa hata mashuleni ili visomwe. Kijarida kimoja kilichoandikwa chasema "Yesu hakuzaliwa Tarehe 25 December".&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;IV  Vikundi vya mihadhara.&lt;br /&gt;Vikundi hivyo ni vingi na vimeenea sana katika za Afrika Mashariki na kati, na hadi kufikia mwaka 2001 kulikuwa na vikundi 15. Vikundi hivyo vinatumia Biblia Takatifu na wanatoa mafundisho potofu.&lt;br /&gt;  &lt;br /&gt;V. Magazeti (Newspaper)&lt;br /&gt;Yapo magazeti mengi yanayoandika habari za kupotosha maandiko matakatifu ya kweli ya Biblia. Baadhi ya magazeti yameingizwa katika 'Internet' na 'Website' -&lt;br /&gt;i. Magazeti yanayochapishwa nchini Tanzania:&lt;br /&gt;Al – Nur. &lt;br /&gt;Nasaha. . &lt;br /&gt;Mapenzi ya Mungu.&lt;br /&gt;ii. Magazeti yanayochapishwa nchini Kenya:&lt;br /&gt;Al – Islam. &lt;br /&gt;International Bulletin&lt;br /&gt;Al-Madrasah &lt;br /&gt;Sauti ya Umma&lt;br /&gt;The Guide &lt;br /&gt;Dunia-e-Farsi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;VI. Internet na Website &lt;br /&gt;Mafundisho ya kupotosha Biblia na hoja potofu zilizotengenezwa na waislamu dhidi ya wakristo siku hizi yanaonekana sana katika intenet na website nyingi Baadhi yake ni hizi: -&lt;br /&gt;AI. Haramain Foundation (www. Alharamain .org ) &lt;br /&gt;Islam 101 (http://www.islam101.com/)&lt;br /&gt;Al. Huda/the qur’an .com&lt;br /&gt;The shia home page (http://www.shia.org/)&lt;br /&gt;Jambo la kushangaza unaloweza kukutana nalo katika websites zao ni kuwa Qur’an iko sawa, haina makosa kwa asilimia 100. Lakini wanasema kuwa Biblia ina makosa 50,000.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;VII. Kanda za Audio na Video (Cassettes) &lt;br /&gt;Hizi ziko nyingi tu katika kanda mojawapo Ahmed Deedat anasema kwa kusisitiza kuwa katika Biblia hakuna injili wala Torati, bali iliyokuwepo ni injili kama, yaani "The Gospel according to Matthew, Mark, Luke and John".&lt;br /&gt;Vile vile waendesha mihadhara wanarekodi kanda nyingi za video na audio na kuzisambaza sehemu mbalimbali duniani. Kwa mfano, nchini Kenya, kanda hizo zinasambazwa na Iranian Cultural Centre.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;VIII. Ujenzi wa Misikiti (Building of Mosques)&lt;br /&gt;Miongoni mwa mbinu zinazotumika kueneza uislamu ni ujenzi wa misikiti mizuri na mikubwa. Katika misikiti hiyo vimewekwa vipaza sauti (loud speaker) ambavyo vinatoa sauti kubwa sana. Wapiga adhana huanza kuwahamasisha watu waende kuswali (kusali) kuanzia saa kumi alfajiri (4:00 A.M.). Wapiga adhana hao wanatumia maneno makali ya kuwatisha watu wanaposema "hicho kitanda chako ni jeneza, chumba chako ni kaburi na shuka lako ni sanda".&lt;br /&gt;Ujenzi wa misikiti hivi sasa unazidi kuenea kwa kasi ya ajabu  baadhi ya nchi ni hizi --&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uingereza, Ujerumani na Ufaransa - kila baada ya wiki mbili msikiti mmoja mpya unafunguliwa. &lt;br /&gt;Ethiopia – wakati wa utawala wa kikomusti nchini humo kwa miaka mitano (5) tu,  misikiti 5002 ilijengwa &lt;br /&gt;Malawi – kila umbali wa kilometa (15) msikiti mmoja umejengwa &lt;br /&gt;Botswana – miaka kadhaa iliyopita walikuwepo waislamu wachache sana. Lakini hivi sasa, nchini humo imejengwa misikiti mingi. &lt;br /&gt;Tanzania – nchini humo ukitembelea katika mji wa Dar-es-salaam utaona kuna misikiti mingi mikubwa na gharama kubwa ukienda katika barabara ya Iringa na Mbeya utaona kuwa kwa kila kilometa 10, msikiti mmoja umejengwa. &lt;br /&gt;Siera leone - ijapokuwa nchi hiyo ndiyo ya kwanza kufikiwa na Injili kati ya mataifa ya Afrika magharibi yapata miaka 200 iliyopita. Lakini kwa sasa, idadi ya wakristo haipiti asilimia kumi. Nchi hiyo ina Misikiti ipasayo 3,812 na idadi ya waislamu kwa sasa ni asilimia 40. Watu wa makabila ya Yalunka, Temne, Mende, Koranko na Loko wanasilimu na kujiunga na uislamu kwa wingi sana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;IX. Ndoa (Marriage)&lt;br /&gt;Hii ni mojawapo ya njia inayotumika katika kuendeleza uislamu kwani Qur’an inawaagiza waislamu waoe wake wengi, nayo inasimulia hivi--&lt;br /&gt;Qurani 4:3 Suratul An Nisaa (wanawake)&lt;br /&gt;Na kama mkiogopa kutowafanyia uadilifu mayatima (basi ogopeni vilevile kutowafanyia uadilifu wanawake). Basi oeni mnaowapenda katika wanawake, (maadamu mtawafanyia insafu) wawili au watatu au wanne (tu)…&lt;br /&gt;Aidha Qur’an inatoa ruhusa ya kubadili mke kwa kumuacha mke wa zamani na kuoa mwingine (Surah 4:20) waislamu hufanya bidii ya kuwatafuta wasichana wakristo na kuwabadilisha dini na kuwaoa. Hivyo kusababisha  kuongezeka haraka. Ili kuhakikisha idadi yao inaongezeka waislamu pia wameunda vikundi vya wanawake, kwa mfano Tanzania kuna vikundi viwili ambavyo wanasaidiwa kifedha ili kuwatafuta wasichana wakristo hata vijijini katika mikoa mbalimbali kwa kisingizio cha kuwapatia kazi za house girl kisha wanawasilimisha na kuwaozesha. &lt;br /&gt;Vikundi hivyo ni hivi: -&lt;br /&gt;Saraffiya women Development Islamic Group &lt;br /&gt;Al-Mubaraghat Islamic Group&lt;br /&gt;Nchini Kenya kuna kikundi cha wanawake kinachoitwa "Ahli- Sunat Women Group". Je wakristo, tunafanya juhudi gani kuwafikishia injili watu wasio wakristo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;X. Ajira (Employment)&lt;br /&gt;Kupitia jumuiya ya kiislamu ya O.I.C. na I.A.O. pamoja na Taasi za fedha za Islamic Development Fund, Islamic Development Bank na African Muslim Agency, fedha nyingi zinatolewa kufungua miradi mbalimbali ya uchumi, biashara na viwanda. Kwani O.I.C. inatoa mikopo na kujenga viwanda katika nchi mbalimbali. Wafanya biashara wakubwa wa kiislamu hupewa fedha za kufungua viwanda ambapo wanawashawishi watu kwa vigezo vya kuajiriwa na hatimae wanawasilimisha. &lt;br /&gt;Baadhi ya viwanda vinavyomilikiwa na waislamu nchini Tanzania wamejenga misikiti ndani yake, na hata katika vituo vya kuuza mafuta (Petrol Station) kuna misikiti. Je, ni wakristo wangapi wanajenga makanisa katika viwanda?. Maajenti wa O.I.C. ina aminika wapo hata katika kiwanda kimoja cha kutengeneza sukari, ambacho kinamiliki timu ya mpira. Kupitia maajenti hao hivi sasa tayari mchezaji mmoja, mlinda mlango(goal keeper) na kocha mmoja (asiye raia wa Tanzania) wamesilimishwa ili wawe na ajira bora. Nchini Uganda, Chuo Kikuu cha Kiislamu kinawavutia wasomi wengi, hata maprofesa wakristo, kwa sababu kinatoa mishahara minono.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;XI. Elimu (Education)&lt;br /&gt;Nchini Botswana ambapo miaka kadhaa iliyopita walikuwepo waislamu wachache hivi sasa shule nyingi zimejengwa zikiambatana na misikiti wanafunzi hupata elimu bure hadi kiwango cha shahada (Degree). Na wakati mwingine masomo katika nchi za ng’ambo katika vyuo vikuu vya kiislamu. &lt;br /&gt;Nchini Uganda chuo kikuu cha kiislamu kinawavutia sana wanafunzi wakristo kwani waweza kupatiwa masomo bila malipo. &lt;br /&gt;Nchini Tanzania pale Dar-es-salaam kuna shule moja inadhaminiwa na kuwett masomo kwa waislamu kuanzia primary hadi secondary ni bure. Isitoshe waislamu kabla ya uhuru na baada ya uhuru hadi kufikia mwaka wa1990 walikuwa chini kielimu kwa asilimia 10. Lakini kuanzia mwaka wa 1991-2001, waislamu wamepanda kielimu na kufikia asilimia 48. Hivi sasa wanaendelea kujenga shule zaidi.&lt;br /&gt;Nchini Kenya, mashirika ya Iranian Cultural Centre, Al-Rasul Al-Akram Islamic Centre, Islamic Foundation na International Islamic Relief Organization of Saudi Arabia wanafadhili miradi ya shule na madrassa. Pia, mashirika hayo yanafadhili wale wanaotaka kujiendeleza zaidi kielimu.&lt;br /&gt;Vilevile nchini Kenya shirika la African Muislim Agency wamejenga chuo kiuu cha kiislamu kipo huko Thika na kilifunguliwa mwaka wa 1978. kila mwanafuzi anapata elimu bure kwa miaka minne, na kinafadhiliwa na nchi za Kuwet na Saudi Arabia. Je, wakristo tunafanya nini?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;XII. Afya (Health)&lt;br /&gt;Shirika la maendeleo la waislamu liitwalo African Muslim Argency limefungua hospitali mbalimbali, na kupitia hospitali hizo utashangazwa kuona gharama ya matibabu inaweza kuwa kubwa kwa mkristo, na ikawa ni ndogo kwa mwislamu. Wahudumu wa hospitali hizo wanawashawishi wakristo ili wasilimu ili wawasaidie kwa matibabu mazuri. Nchini Kenya, shirika la International Islamic Relief Organization of Saudi Arabia limefadhili miradi ya ujenzi wa vituo vya matibabu (Dispensaries) katika miji ya Mombasa, Machakos, Wajir na Elwak. Hii ni hatari kwako mkristo kuacha imani yako.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;XIII. Visima vya Maji&lt;br /&gt;Visima hivi vimejengwa kwa wingi na African Muslim Agency katika mji wa Dar-es-salaam. Misikiti mingi ina visima vya maji ambavyo vinatumika. Pia vinawavutia baadhi ya wakristo kwa sababu ukitaka maji katika visima hivyo ni lazima usalimie "Asalam aleykum". Nchini Kenya, shirika la International Islamic Relief Organization of Saudi Arabia limefadhili miradi ya kuchimba visima vya maji sehemu kame. .Je, hilo linaashiria nini kwako mkristo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;XIV. Vituo vya Watoto Yatima (Centre for Orphans)&lt;br /&gt;Nchini Kenya, mashirika ya Iranian Cultural Centre, Al-Rasul Al-Akram Islamic Centre, Islamic Foundation na International Islamic Relief Organization of Saudi Arabia yanafadhili vituo vya watoto yatima. Vituo hivyo vya kulelea watoto yatima vinawasilimisha wale ambao ni wakristo. Vile vile, wale wanaowalea wanasilimishwa ili wasaidiwe. Je, kumsaidia mtu ni lazima awe wa imani yako?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;XV. Uchawi na Ushirikana (Witchcraft and Sorcery)&lt;br /&gt;Waganga wakienyeji ambao wengi ni waislamu wanawashawishi wagonjwa wakristo wasilimu kwa madai kuwa ili matibabu yafanye kazi. Basi jina la kikristo libadilishwe na upewe jina la kiislamu, ndipo matibabu yatafanikiwa. Tahadhari kwa wakristo wenye tabia za kwenda kwa waganga wa kienyeji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;XVI. Vituo vya Radio na Televisheni (Radio Station and Television) &lt;br /&gt;Njia nyingine inayotumika kueneza uislamu ni vituo vya radio na televisheni ambavyo waislamu wamevijenga. Kwa mfano, Televisheni ya Al-jazira mara kadhaa inatoa matangazo ya kuonyesha kuwa wakristo wa nchi za magharibi ni maadui wa uislamu. Nchini Kenya, ipo Radio Station itwayo IQRA  F.M. 95.1. Wanaendesha kipindi kinachoitwa "Dini ya Haki". Wanatoa mafundisho potofu kwa kusema, "Yesu hakufa msalabani", "Paulo si mtume wa Mungu", "Ukristo siyo dini", na "Yesu sio Mungu". Pia huko Mashariki ya Kati  imejengwa stesheni ya redio ambayo ina nguvu kubwa ya kupeleka matangazo. Redio hiyo ina 'transmitters' zenye nguvu za 2000 K.W., wakati stesheni ya redio kubwa ya wakristo ya kueneza injili ina 'transmitters' zenye nguvu ya 50 K.W. Wakristo tuwe makini na utangazaji wa injili tukikumbuka kuwa lnjili ndiyo uweza wa Mungu unaoleta wokovu (Warumi 1:16; na Marko 16:15-16). Isitoshe lnjili ndilo neno pekee la kweli ya Mungu (Wakolosai 1:15).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;XVII. Misaada ya Vyakula&lt;br /&gt; Shirika linaloitwa Ahmadiyya Muslim Mission linatoa misaada ya vyakula ili kuwavutia watu wasilimu na kuwa waislamu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4.  Idadi ya Waislamu &lt;br /&gt;Ongezeko la waislamu duniani linatisha sana, kwani miaka mia moja 100 iliyopita, yaani 1900, waislamu dunia nzima walikuwa 14 Million. Lakini idadi ya waislamu imeongezeka kwa kasi ya ajabu, kwani hadi kufikia mwaka wa 2000, waislamu duniani kote wamefika 1.5 Billion. Ongezeko hilo la waislamu ni kubwa sana ukilinganisha na ongezeko letu wakristo. Kwani wakristo duniani kote miaka 100 iliyopita walikuwa 558 Million na hadi kufika mwaka wa 2000 wakristo duniani kote tumefikia 2.1 Billion tu. Katika Bara la Afrika peke yake, kuna idadi ya waislamu ni 324 Million. Yafuatayo ni baadhi ya mataifa yenye waislamu wengi:-&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bara la Afrika&lt;br /&gt;Nchi  Waislamu   Asilimia(%) Wakristo  Asilimia (%) &lt;br /&gt;Tanzania 13 Million  40  17,234,449  51.42 &lt;br /&gt;Kenya  3.3 Million  10  23,655,205       78.64 &lt;br /&gt;Uganda 2.0 Million  7  19,306,596       88.65 &lt;br /&gt;Moroco 28,178,512  99.85    28,221   0.10 &lt;br /&gt;Libya  5,408,557  86.52    168,142  3.00 &lt;br /&gt;Misri  59,239,980  86.52     8,887,366  12.98&lt;br /&gt;Nigeria 45,717,499  41.00  58,663,357  52.61 &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bara la Asia &lt;br /&gt;Nchi  Waislamu   Asilimia (%) Wakristo  Asilimia (%) &lt;br /&gt;Bangladesh 110,556,810     85.63    929,917  0.72 &lt;br /&gt;India  126,707,722     12.50    25 Million  2.40&lt;br /&gt;Pakistan 150,349,015     96.08    3,614,761  2.31&lt;br /&gt;Indonesia 171,032,517     80.30    34,078,708  16.00&lt;br /&gt;Saudi Arabia 20,057,491  92.83  980,944  4.54&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bara la Ulaya&lt;br /&gt;Nchi   Waislamu   Asilimia (%) Wakristo  Asilimia (%) &lt;br /&gt;U/ Kingdom  1,176,603 2.00      39,786,837  67.63&lt;br /&gt;Ufaransa  5,907,971 10.00    40,008,779  67.72&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Haya ni mambo ya kutafakari. Tukumbuke kuwa Bwana Yesu alianzisha kanisa miaka 577 kabla ya Muhammad hajaanzisha Dini ya Kiislamu. Yatufaa tujue kupigwa vita huku kwa ajili ya imani yetu. Lazima tuamke sasa. Wakati wa kulala umepita. Tutumie wakati wetu wote tukiongozwa na Roho Mtakatifu ili tuliokoe kanisa la kristo. Yatupasa kuanzia katika bara letu la Afrika na baadaye dunia nzima. Watu wa bara hili la Afrika wanatakiwa kujua habari njema na wakupeleka injili hiyo ni sisi sote. Yafaa kila mkristo kujiuliza swali hili akiongozwa na aya hii..&lt;br /&gt;Warumi 8:35-36&lt;br /&gt;Ni nani atakayetutenga na upendo wa kristo? Je! ni dhiki, au shida, au adha, au njaa, au uchi, au hatari, ua upanga?. Kama ilivyoandikwa ya kwamba, kwa ajili yako, tunauawa mchana kutwa, tumehesabiwa kuwa kama kondoo wa kuchinjwa. Ndugu mpendwa, natumai kwamba umezijua mbinu zinazotumiwa kueneza uislamu. Utajitahidi kuwafahamisha wengine ili wasiongozwe na elimu za uongo na tamaa ya mali na kumwacha Bwana Yesu (Waefeso 4:15).&lt;br /&gt;KWA UWEZO WA MWNYEZI MUNGU, MAJIBU YOTE BIBLIA INAYO.TUNATAMANI NA SISI KUCHAPA VITABU VINGI ILI KUJIBU MASWALI YOTE NA KUWAELEKEZA WAISLAMU KWENYE MSALABA WA KRISTO ILI WAPATE WOKOVU.KANISA KAA MACHO NA MBIZU HIZI NA NYINGINE NYINGI ZA AINA HIYO ZITAKAZOJITOKEZA. MILANGO YA KUZIMU HAITALISHINDA KANISA (MATH 16:18)&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-607225169213505337?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/607225169213505337/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=607225169213505337' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/607225169213505337'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/607225169213505337'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2010/09/mbinu-zinazotumika-na-waislamu-ili.html' title='MBINU ZINAZOTUMIKA NA WAISLAMU ILI KUHARIBU IMANI YA KIKRISTO KATIKA KARNE YA 20-21 (21st CENTURY ISLAMIC STRATERGIES TO ELIMINATE/CORRUPT CHRISTIANITY IN AFRICA)'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-2654459499150640108</id><published>2010-09-14T08:44:00.000-07:00</published><updated>2010-09-14T09:19:35.435-07:00</updated><title type='text'>HIVI RAIS WETU NI MSHIRIKINA?</title><content type='html'>SHEIKH YAHAYA NI MCHAWI NA MSHIRIKINA. MWEZI MACHI MWAKA HUU NILIALIKWA NA KITUO CHA REDIO WAPO KATIKA KIPINDI CHAKE MAARUFU CHA MEZA YA BUSARA ILI KUONGELEA SUALA HILI LA UNAJIMU WA SHEIKH YAHAYA, NA HASA BAADA YA YEYE KUTANGAZA KWAMBA ATAKAYEMPINGA RAIS KIKWETE KATIKA KUGOMBEA NAFASI  YA URAIS KATIKA CHAMA CHA CCM ATAKUFA. NILIIWASILISHA MADA HIYO . KWA UPANDE WA WAISLAMU ALIALIKWA  USTAADH SULEYMAN MBOGO ILI AELEZE UISLAMU UNASEMA NINI KUHUSU AINA YA WATU KAMA AKINA SHEIKH YAHAYA NA UNAJIMU WAO. USTAADH SULEYMAN ALIWAAMBIA WASIKILIZAJI WA KIPINDI HICHO KUWA NI USHIRIKINA KUJIHUSISHA NA MAMMBO YA UNAJIMU. MWENDESHA KIPINDI HICHO AMBAYE NI MTANGAZAJI WA REDIO WAPO FM NDUGU SABINUS MBOGO ALIOMBWA NA WASIKILIZAJI KUWA ASIHITIMISHE MADA HIYO MPAKA ATAFUTWE SHEIKH YAHAYA MWENYEWE TUWE NAYE PALE STUDIO TUMUULIZE MASWALI KWA MUJIBU WA IMANI ZETU NA YAKE KUHUSU HUO UNAJIMU WAKE. ALISEMWA ANAUMWA NA MPAKA LEO HAJAKWENDA REDIO WAPO. NILIAMUA KUANDAA SOMO LINALOHUSU UNAJIMU WA NYOTA KATIKA DINI YA UISLAMU NA UKRISTO BAADA YA KUONA SHEIKH HUYO AKIHUSISHA NYOTA ILIYOJITOKEA ALIPOZALIWA YESU NA AINA YA UNAJIMU WAKE, AMBAYO MPAKA SASA INAENDELEA KUCHAPISHWA KILA WIKI KATIKA GAZETI LA KIKRISTO LA NYAKATI LIKIWA KATIKA TOLEO LA TANO WIKI HII. (TAFUTA NAKALA HIZO TOKA 1-5).KATIKA MAKALA HIYO NILIMTAJA KWA JINA SHEIKH YAHAYA KUWA YEYE NI MJUMBE WA IBILISI NA SHETANI KWA AJILI YA HIZO KAZI ZAKE NA NILIMUULIZA MASWALI MAGUMU KUHUSU CHANZO CHA UNAJIMU WAKE AMBAYO MPAKA LEO HAYAJAJIBIWA.NILIJUA HAWEZI KWA SABABU MUNGU ALIKWISHA WAKATAA WANAJIMU TANGU NYAKATI ZA MFALME NEBKADREZA &lt;strong&gt;(DAN 2:26) &lt;/strong&gt;WA BABELI. NINAPOONA USHIRIKINA HUO HATA RAIS WANGU ANAHUSISHWA KWA MARA NYINGINE TENA BILA YEYE BINAFSI KUKANUSHA,INA MAANA YOTE SHEIKH YAHAYA ANAYOSEMA  KUMHUSU RAIS WETU, RAIS MWENYEWE ANAYAAMINI, WAKATI CHANZO CHA UNAJIMU WAKE NI MAJINI (MASHETANI)? NINAMUOMBA RAIS WANGU AMJIBU SHEIKH YAHAYA YEYE MWENYEWE BILA KUWAACHIA WASAIDIZI WAKE KWA MAANA JAMBO HILI NI LA BINAFSI SANA. RAIS AKIJIBU NITATOA SOMO KUHUSU HAYO MAJINI NA HUO UNAJIMU KUWA NI NINI. HIVI RAIS WETU NI MSHIRIKINA?&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-2654459499150640108?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/2654459499150640108/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=2654459499150640108' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/2654459499150640108'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/2654459499150640108'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2010/09/hivi-rais-wetu-ni-mshirikina.html' title='HIVI RAIS WETU NI MSHIRIKINA?'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-8887414641648620944</id><published>2010-09-13T09:16:00.000-07:00</published><updated>2010-09-18T03:39:42.708-07:00</updated><title type='text'>LYING: SOURCE OF THREAT OF BURNING  THE QURAN</title><content type='html'>The intimidation of burning the Quran in America by Pastor Jonnes, must be put into consideration by all people of good will. I'm not supporting this idea because I know the outcome of it from the intolerable Muslims world wide. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The most important here is the &lt;strong&gt;"agreement entered between the Imam of the nearby mosque in one hand and Pastor Jonnes with his congregation in the other hand"&lt;/strong&gt; of ceasing building an Islamic centre at the zero ground. Muslims in many ways are hypocrites and lairs.&lt;br /&gt;Worst enough the traditions &lt;strong&gt;(ahadith)&lt;/strong&gt; of their prophet Mohammad (s.a.w)( speak clearly of Muslims to tell lies when defending their religion before non-muslims.In the 3rd-4th edition of the book titled "Al Swadiq al Amin" (&lt;strong&gt;the truth and faithful&lt;/strong&gt;) (swahili-arabic edition)by &lt;strong&gt;Sheikh Moosa Mohammad Al- Kindy of Mascut Oman, pg 57, hadith no 855 &lt;/strong&gt;it says (the translation is mine)"&lt;em&gt;All lies are sin except what shall benefit a muslim" &lt;strong&gt;it further says &lt;/strong&gt;"You can tell lie when reconciling people who fight, or when a Muslim want to make a marriage proposal, and in defending Islam"&lt;/em&gt;.&lt;br /&gt;Therefore, what the Imam did (telling lies)to Pastor Jonnes is among the instructions from their prophet Mohammad (s.a.w).They have been,also ,frequently,doing  to me as we make dialogue about their faith.They speak the other while intending to do the other. That is their way of life.Very sad !!!!!&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-8887414641648620944?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/8887414641648620944/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=8887414641648620944' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/8887414641648620944'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/8887414641648620944'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2010/09/lies-source-of-threat-of-burning-quran.html' title='LYING: SOURCE OF THREAT OF BURNING  THE QURAN'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-6401361352080321622</id><published>2010-09-04T02:28:00.000-07:00</published><updated>2010-09-04T03:06:10.800-07:00</updated><title type='text'>HOJA ZA KISIASA DHIDI YA DINI BINAFSI YA MTU</title><content type='html'>KATIKA KITABU KIITWACHO "JIHADI IN ISLAM"  , KILICHOANDIKWA NA MWANAZUONI MKUBWA ANAYEHESHIMIWA NA WAISLAMU WOTE ULIMWENGUNI, KATIKA KUFUNDISHA MISIMAMO MIKALI YA KIDINI HUSUSANI YA KIISLAMU, AITWAYE AL MAWDUD UK. 5 ANASEMA NINAMNUKUU &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"UISLAMU NI ITIKADI YA KIMAPINDUZI  NA MPANGO AMBAO UNATAKA KUGEUZA TARATIBU ZOTE ZA KIJAMII NA UNATAKA KUONDOSHA TAWALA NA SERIKALI ZOTE ZILIZOKO JUU YA USO WA DUNIA AMBAZO ZIKO KINYUME NA ITIKADI NA TARATIBU ZA UISAMU" MWISHO WA KUNUKUU.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; MADAI YA KUWA DK.SLAA KATUMWA NA KANISA KATOLIKI  HUKU KANISA LENYEWE LIKIKANUSHA MADAI HAYO NI SAWA? JE KIKWETE NAYE AMETUMWA NA BAKWATA KUGOMBEA URAIS? MBONA MPAKA LEO HAJATUAMBIA WATANZANIA KUHUSU MPANGO WAKE WA KUILETA OIC TANZANIA  HAMLISEMI?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;AU ANASUBIRI BAADA YA KUPEWA KURA? WAISLAMU IWENI WAUNGWANA HASA MAGAZETI YA AN NUUR NA AL- HUDA YA KIISLAMU SOMENI ALAMA ZA NYAKATI- 0755 680101&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-6401361352080321622?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/6401361352080321622/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=6401361352080321622' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/6401361352080321622'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/6401361352080321622'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2010/09/hoja-za-kisiasa-dhidi-ya-dini-binafsi.html' title='HOJA ZA KISIASA DHIDI YA DINI BINAFSI YA MTU'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-5775865404663873424</id><published>2010-08-17T03:27:00.000-07:00</published><updated>2011-09-18T04:32:30.779-07:00</updated><title type='text'>NI NANI WACHAMUNGU WA KWELI KATI YA WAISLAMU NA WAKRISTO? NA JE WANAUPATAJE? (WHO ARE THE TRUE PIOUS BETWEEN CHRISTIANS AND MUSLIMS? ,AND HOW?)</title><content type='html'>UTANGULIZI&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mara kwa mara waislamu wanapopata nafasi ya kuongea na wakristo kuhusu mambo yanayohusu upendo wa Mungu kwa mwanadamu, hukana kabisa kuwa SI LAZIMA MUNGU AMTOE MTU FULANI KUWA KAFARA KWA AJILI YA UPATANISHO WA DHAMBI ZA MWANADAMU NA MUNGU ALIYE MTAKATIFU!!!!&lt;br /&gt;Dhana yao hiyo imesababisha mtazamo tofauti kwa mwislamu kuhusu  neno dhambi na namna inavyopaswa kuondolewa sawasawa na mpango wa Mungu Muumbaji. Katika Ukristo tunaamini kwamba kafara ya Yesu Kristo ndiyo msingi mkuu uliopangwa na Mungu ili kuondoa dhambi ya mwanadamu na kupatanishwa na Mungu aliye Mtakatifu sana&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;DHAMBI NI NINI? KWA MUJIBU WA BIBLIA NA QUR’AN&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1Yoh 3:4 “Kila atendaye dhambi afanya uasi kwa kuwa dhambi ni uasi”&lt;br /&gt;1Yoh 5:17 “ Kila lisilo la haki ni dhambi”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa mafundisho ya uislamu dhambi ni SHIRKI. Shirki ni kumshirikisha Allah (s.w) na  kitu kingine.&lt;br /&gt;Katika Suratul Ikhlas, 112:1-4 “ Sema Yeye ni Mwenyezi Mungu mmoja (tu).Mwenyezi Mungu (tu) ndiye anayestahiki kukusudiwa na viumbe vyake vyote kwa kumwabudu na  kumuomba na kumtegemea, Hakuzaa wala hakuzaliwa, wala hana anayefanana naye hata mmoja”&lt;br /&gt;.Pia jambo hilo limeelezewa katika vitabu mbalimbali vya hadithi za Kiislamu,&lt;br /&gt;Katika Sahih Muslim,Juzuu ya 6 Hadithi Na 4&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hadithi ya Abdillah bin Mas’uudi(r.a) amesema nilimuuliza Mtume(s.a.w) “Dhambi ipi ni kubwa   zaidi mbele ya Allah?” Akanijibu “ Ni kumuwekea Allah mshirika hali ya kuwa  yeye ndiye aliye kuumba” Nikasema hakika hilo ni kubwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi ndivyo Qur’an na hadithi zake zinavyoeleza kuhusu dhambi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jambo ambalo halikanushiki katika vitabu vyote viwili yaani Biblia Takatifu na Qur’an Tukufu ni kuwa vyote vinaonesha kuwa MWANADAMU NI MWENYE DHAMBI!!!!!&lt;br /&gt;Kinachotofautiana ni jinsi Uislam na Ukristo unavyoitazama dhambi hiyo na namna ya kuiondoa sawasawa na mpango wa Mungu Mtakatifu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Neno UPATANISHO linapatikana mara 75 katika Biblia.Moja ya aya hizo ambazo iko katika Agano Jipya ni Rum 5:11 “wala si hivyo tu, ila twajifurahisha katika Mungu kwa Bwana wetu Yesu Kristo ambaye kwa yeye sasa tumeupokea huoUPATANISHO”.&lt;br /&gt;Kolosai 2:13-14&lt;br /&gt;“Na ninyi mlipokuwa mmekufa kwa sababu ya makosa  na kutokutahiriwa kwa  mwili wenu,aliwafanya hai pamoja naye,akiisha kutusamehe makosa yote, akiisha kuifuta ile hati  iliyoandikwa ya kutushtaki kwa hukumu zake,iliyokuwa,ilyokuwa na uadui kwetu akaiondoaisiwepo tena  akaigongomelea msalabani”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika Agano la Kale, sura yote ya 16 ya Kitabu cha Mambo ya Walawi ambacho kiliandikwa mwaka 1500 K.K kinaelezea kuhusu siku ya upatanisho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika Agano la Kale Mungu aliagiza kuwa  baada ya mtu kutenda dhambi( siyo zile za makusudi),mkosaji ilimpasa lazima kulipia kosa la dhambi alizozifanya ili kufanya UPATANISHO na Mungu na hiyo ilikuwa ni kwa njia ya kafara ya wanyama, njia hiyo ya wanyama Mungu aliibadilisha alipoanzisha Agano Jipya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati mwingine ndugu zetu waislamu wanachanganywa sana na neno UPATANISHO, hasa wanapoona au kusoma tendo la Mungu la kukitoa kafara kitu kingine kisicho husika na dhambi hiyo iliyotendwa kwa ajili ya msamaha wa dhambi wa yule aliyeitenda na kwa sababu hiyo adhabu yote ya mkosaji inachukuliwa na yule au kile kilichotolewa kafara.Wao waislamu wanaona si haki kwa Mungu mwenye haki kumuadhibu mtu asiye kosa kwa kosa la mkosaji. Wao wanaona wale wote wenye haki lazima wapewe mambo mema na wale wasio haki yaani wenye dhambi wapewe taabu kwa makosa yao.Jambo la aina hii linaleta maudhi sana katika fikra za mwislamu kuhusu haki .HII NDIYO SABABU KUBWA WAISLAMU WANAPINGA KWA NGUVU ZOTE KUWA YESU HAKUSULUBIWA WALA HAKUFA KWA AJILI YA KUWA KAFARA YA MUNGU YA KUONDOA DHAMBI ZA MWANADAMU.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo kwa fikra kama hizo muislamu huyu anakwenda kinyume na  maelekezo ya aina hiyo yaliyomo katika Qur’an tunayoyasoma  katika Suratul Jinn, 72:13(mashetani)&lt;br /&gt; “Nasi tulipousikia uongofu tuliuamini.Basi anayemwamini Mola wake hataogopa  kupunjwa wala kutwikwa(kubebeshwa )dhambi (za mtu mwingine)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika aya hiyo hapo juu tunaona Allah mungu anyeabudiwa na waislamu akiwaelezea kuwa inawezekana mtu mmoja mwenye haki,kuchukua dhambi za yule asiye haki, ingawa  ndani ya Qur’an haijaelezwa huyo mwenye stahili hiyo ni nani, lakini ndani ya Biblia mtu huyo mwenye haki ambaye anaweza kuchukua dhambi za mtu mwingine ametajwa naye ni Yesu Kristo !!!!!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Historia ya Kibiblia ya mzee Ibrahim kutaka kumtoa  kafara  mwana wake wa pekee Isaka (Mw 22:1-6), kwa namna fulani imedokezwa katika  Qur’an. Tunayasoma hayo katika Suratul  As-Saaffat,37:107&lt;br /&gt;“Basi tukamkomboa kwa mnyama wa kuchinjwa mtukufu”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ingawa mtoto huyo aliyekombolewa kuchinjwa anayekusudiwa katika aya hiyo hakutajwa kwa jina lake halisi tunaona ile dhana ya  kitu kingine kikitaka kutolewa kafara badala ya mtoto wa Ibrahim na hivyo mtoto alikombolewa na mnyama wa kafara  dhana ambayo ni sawasawa na jinsi Biblia inavyoelezea kuhusu kafara ya Mungu,yaani Yesu.Hivyo kwa kuiadhibu dhambi Mungu alielezea HAKI yake na kwa kuichukua adhabu ya dhambi yeye mwenyewe,Mungu alielezea huruma yake na upendo wake. Kinyume na hayo kulikuwa hakuna namna nyingine ambayo Mungu mwenye haki angeweza kuwa mwenye huruma pia wakati huo huo &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;KATIKA AGANO LA KALE                                    KATIKA AGANO JIPYA&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kondoo wa sadaka ya upatanisho                             Kondoo wa sadaka ni Bwana Yesu &lt;br /&gt;Walikuwa wanyama (Kut 12:1-5)                             mwenyewe (Yoh 1:29, I Kor 5:7-8)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kondoo mnyama alichi njwa                                         Mwanakondoo Bwana Yesu &lt;br /&gt;Awe sadaka kwa Mungu                                                alichinjwa (1Kor 5:7,Uf 5:8-14)&lt;br /&gt;(Kut 12:1-6,12,Kumb 16:1-2)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Damu ya mwanakondoo ilipakwa                                  Damu ya Yesu ilimwagika &lt;br /&gt;Juu ya kizingiti cha miimo miwili                                 msalabani(Yoh 19:25-37) miimo&lt;br /&gt;Ya mlango (Kut 12:7,22)                                               ya milango kwa sasa ni sisi&lt;br /&gt;                                                                                       Wakristo tulionyunyiziwa damu ya&lt;br /&gt;.                                                                                       Yesu mioyoni mwetu( 1 Pet 1:2&lt;br /&gt;                                                                                         Uf 1:5, 1Pet 1:18-19)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Haya yote Yesu aliyafanya kwa njia ya msalaba.Hivyo kwa Mkristo msalaba ni njia ya :&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;• Kuondoa sadaka zote za wanyama zilizoamuriwa na Mungu kwa njia ya Musa(Ebr 10:10-18), pia&lt;br /&gt;• Sheria ilifanywa batili (Ebr 7:18) kwa sababu Kristo ndiyo mwisho wa sheria(Rum 10:4)&lt;br /&gt;Yesu akiwa mwanakondoo na mwana wa Mungu aliyatimiza hayo yote ili mwanadamu mwenye dhambi awe huru mbali na dhambi, tunayasoma hayo katika &lt;br /&gt;2 kor 5:19 “ yaani Mungu alikuwa ndani ya Kristo  akiupatanisha ulimwengu na nafsi yake asiwahesabie makosa yao naye ametia ndani yetu neno la upatanisho”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika uislamu hakuna Hakikisho la ondoleo la dhambi. Hii ni kuanzia mtume wao Mohammad mwenyewe mpaka wafuasi wake, Ni kwasababu wao wanafikiri wakiishi kwa sheria wataweza kushinda dhambi. Lakini tumeona juhudi zozote za kibinadamu haziwezi kumhakikishia mwanadamu msamaha wa dhambi na hivyo kujipatanisha na Mungu mwenye haki.&lt;br /&gt;Tunapoanza Kuangalia Qur’an tunaona wazo tofauti kabisa na mpango wa Mungu Muumba katika Kumkomboa mwanadamu na dhambi katika &lt;br /&gt;    Suratul Zukhruf (Mapambo) 43:81 inasema&lt;br /&gt;Sema’ (Mwenyezi Mungu) mwingi wa rehema angalikuwa na Mtoto, ningekuwa wa kwanza wa kumuabudu mtoto huyo kwa kuwa ni mtoto wa Mungu wangu.&lt;br /&gt;Katika aya hii tunaona mtume wa Waislamu Muhammad anasema kuwa Mungu hana mwana, Kauli hiyo imeendelea  kurithiwa na waislamu wote binaadamu pamoja na Majini na hivyo kutojua mpango wa Mungu kupitia mwanae Yesu (Yohana 3:16)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tumeona katika Biblia Mungu akibadilisha sadaka toka mnyama na kuwa mwanawe mwenyewe, lakini leo muislamu huyu anatoa kafara za wanyama tena wengi tu hasa anapokuwa hijja. Katika…&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;        &lt;br /&gt; Suratul Hajji 22:37 inasema&lt;br /&gt;Nyama zao (wanyama hao wanaochinjwa) hazimfikii mwenyezi Mungu wala damu zao, lakini inamfikia (Mwenyezi Mungu) toba yenu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo kwa aya hii inahakikisha kuwa Muislamu huyu hajui atasamehewa vipi dhambi zake nyingi alizonazo na wala hajui kuwa Mungu tayari alikwisha batilisha kafara ya mnyama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sasa hebu tuangalie baadhi ya mambo ambayo muislamu akiyafanya yeye anaamini amesamehewa dhambi zake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;• Mwiba Huondoa Dhambi&lt;br /&gt;Katika Sahih Bukhari na Muslim juzuu ya 7 Hadith 544&lt;br /&gt;“ Hadith ya Aisha (r.a), mke wa mtume (SAW) alisema mtume wa Allah amesema “Hakuna tatizo litakalompata Muislamu isipokuwa Allah atafuta madhambi kwa tatizo hilo kwake, hata kama ni mwiba utakaomtoboa”  (al lu’lu war-marjan vol.3 H.1663 UK.969)_&lt;br /&gt;• Mtu aliyefiwa watoto watatu&lt;br /&gt;Katika sahih Bukhar na Muslim juzuu ya 9 Hadith 413&lt;br /&gt;“Hadith ya Abu Said Al-khudri (r.a) amesema, alikuja mwanamke fulani kwa Mtume wa Allah! Na akasema kumwambia mtume wa Allah (SAW) “ Wanaume ndio pekee wenye kufaidika na mafundisho yako, kwa hiyo tutengee siku moja, tunakuja, unatufundisha katika katika aliyokufundisha Allah. Mtume (SAW) jikusanyeni siku kadha wa kadha mahala kadha wa kadha, wakajikusanya. Mtume wa Allah (SAW) akawaendea akafundisha katika aliyomfundisha Allah kisha akasema, Hakuna Mwanamke miongoni mwenu atakayetanguliza watoto wake watatu, isipokuwa watakuwa pazia ya kumkinga  na moto, Mwanamke mmoja katika wao akauliza, Ewe mtume wa Allah, Wawili je? Yule mwanamke akalirudia swali lake mara mbili, Mtume (SAW) akasema wawili na wawili na wawili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;• Muislamu akipatwa na Homa ya siku moja&lt;br /&gt;Katika kitabu kiitwacho Mkweli Mwaminifu kilichoandikwa na Sheikh Said Moosa Mohammed al-Kindy wa Muscat Oman. Juzuu 3-4 uk 74 hadith na 924 inasema&lt;br /&gt;“Homa ni bahati ya kila Muislamu kwa (adhabu ya) moto. Na homa ya siku moja inafuta (madhambi ya) mwaka (mmoja) kamili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;• Tendo la Ndoa&lt;br /&gt;Katika kitabu kiitwacho Mkweli Mwaminifu juzuu 1-2 cha Mohammed al-Kindy uk 206 Hadith 467 inasema&lt;br /&gt;“ Hakika Mwanamme akimtazama mkewe  (kwa  matamanio ya kuingiliana) nae (mke) akamtazama mumewe (kwa ajili hiyo) basi anawatazama Mwenyezi Mungu utazamaji wa rehema, (mume) akimshika mkewe kwa mkono wake ( kwenda kutimiza haja yao) basi yanadondoka (yanatoka) madhambi yao kwenye vidole vyao”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;• Kuoga siku ya ijumaa&lt;br /&gt;Katika Kitabu kiitwacho Mkweli Mwaminifu kilichoandikwa na Sheikh Moosa Mohammed al-Kindy Juzuu ya 1-2 Hadith no 66 uk 41 inasema&lt;br /&gt;“ Ogeni siku ya ijumaa, kwani anaeoga siku ya Ijumaa basi inakuwa kafara kwake (yanafutwa madhambi yake) baina ya Ijumaa mpaka Ijumaa, na nyongeza siku tatu”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini tunaposoma Biblia Takatifu Yer  2:22 “Maana ujapojiosha kwa magadi na kujipatia sabuni nyingi, lakini uovu wako umeandikwa mbele zangu asema Bwana MUNGU”  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi ndivyo mafundisho ya Kiislamu yanavyofundisha kuhusu  kuondoa dhambi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jambo ambalo ningependa ulijue katika Uislamu , mbali ya kufanya sala mara tano kama walivyoamriwa na Qur’an bado Muislamu huyu hana uhakika wa Msamaha wake wa dhambi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mohammad ambaye ndiye  kiongozi wao, mpaka siku aliyokufa tarehe 8/6/632 B.K alikuwa hana uhakika kama amesamehewa dhambi zake au hapana na  hivyo hivyo ndivyo ilivyo  kwa wafuasi wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika Suratul Muhammad 47:19&lt;br /&gt;“Jua ya kwamba hakuna aabudiwaye kwa haki ila Mwenyezi Mungu na Omba maghufira kwa dhambi zako, na waislamu wanaume na waislamu wanawake.&lt;br /&gt;Unapomuuliza Muislamu ni lini Mohammad alipotangaza uhakika wa Msamaha wa dhambi zake mwenyewe, jibu utakalopewa utaambiwa katika…..(Soma pia 40:55).&lt;br /&gt;Katika Qur’an kuna habari za Mohammad S.A.W  kurogwa kwa mwaka mmoja huku akiwa Mtume kama alivyojiita mwenyewe Q. 113:1-6 pamoja na fafanuzi zake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Qur’an Suratul Al-Fath 48:1-2&lt;br /&gt;Bila shaka tumekupa kushinda kuliko dhahiri ili mwenyezi mungu akusamehe dhambi zako zilizotangulia na zijazo na kukutimizia neema zake na kukuongoza katika njia iliyonyooka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika Sahih Muslim juzuu I hadith 133&lt;br /&gt;Mohammad alimwambia mwanae Fatuma&lt;br /&gt;“Iokoe nafsi yako kutoka kwenye moto, niombe chochote unachotaka kutoka kwenye mali yangu kwa hakika mimi sitokufaa na chochote mbele ya Mwenyezi Mungu, Iokoe nafsi yako na Moto.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini tunaposoma ndani ya Biblia tunaonya onyo la Bwana Mungu wa Israel katika Zaburi 49:7-8 inasema&lt;br /&gt;“Hakuna mtu awezaye kumkomboa ndugu yake wala kumpa Mungu fidia kwa ajili yake. Maana fidia ya  nafsi zao ina  gharama, wala hana budi kuiacha hata milele”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini unaposoma hadithi inayofafanua aya hiyo katika Sahih al-Bukhar juzuu ya 6 hadith 360 inayosema&lt;br /&gt;“Ilisimuliwa na al-Mughira Mtume (SAW) alikuwa akifanya sala mpaka usiku mpaka miguu yake ikavimba, MTU FULANI akamwambia Allah amekusamehe dhambi zako zilizopita na zijazo”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika aya iliyo katika Sura hiyo ni maneno ya mtu fulani ambaye hajulikani ni nani, ndiye anamtamkia Mohammad maneno hayo na kwa sababu hiyo ni maneno ya mtu fulani tu wala si ya Allah , mungu wanayemwabudu waislamu wala ya kiongozi yeyote wa kidini, Hii ni kwa sababu katika Uislamu mwenye mamlaka ya kupokea ujumbe wowote kutoka kwa Mungu wao ni Mohammad peke yake na si mtu mwingine yeyote. Sasa basi hata yeye mwenyewe Mohammad hana uhakika wa msamaha wa dhambi zake itakuwaje kwa wafuasi wake?&lt;br /&gt; Katika Uislamu hakuna watu waliobora isipokuwa hawa  Muhammad mwenyewe, Abu Bakar,Umar ibn Khattab, na Ali Ibn Talib,&lt;br /&gt; MOHAMMAD! Tumeona yeye mwenyewe hana uhakika wa msamaha wa dhambi zake.&lt;br /&gt; ABU BAKAR! Ameripotiwa katika katika kitabu kiitwacho Da’irat al Ma’arif juzuu 2 uk 39,40 amekaririwa akisema “ Laiti ningekuwa mti wa kukatwa chini na kuliwa, Ninatamani ningekuwa nyasi nyororo ili niliwe  na Mbwa mwitu. Na alikuwa akipatwa na majonzi makubwa na huzuni kiasi kwamba mtu angeweza kusikia harufu ya ini lake lililoungua na harufu hiyo kutoka mdomoni mwake.. &lt;br /&gt; Hana uhakika na msamaha wa dhambi zake&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;  &lt;br /&gt;     Pia ukisoma katika Kitabu kiitwacho Al-‘Iqd al-Farid juzuu 2 uk 256 inasema&lt;br /&gt;Al-Qasim Ibn Mohammad alisimulia kuwa  Abu-Bakar alimwambia Bint yake Aisha alipokuwa anakaribia kufa “Binti yangu, Leo ndiyo siku sadaka zangu zote zinaachwa pembeni kama ni furaha basi furaha hiyo ni ya milele na kama ni Huzuni basi ni Huzuni ya Milele,&lt;br /&gt; Huyu nae hana uhakika wa  msamaha wa dhambi zake na amekufa bila kutubu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; ALI IBN ALI TALIB&lt;br /&gt;Katika kitabu kiitwacho Al-kitab al- Mustatraf cha al-khatib al-ibshihi uk 165&lt;br /&gt;Dhihar Ibn Hamza alisema kumwelezea, Nilimwana katika Hali fulani wakati usiku ulipoingia na nyota zilipozimika, Alikuwa akikaa kwenye sehemu yake ya heshima akiwa amekamata ndevu zake katika hali ya kufadhaika na kujuta kama vile mtu aliye katika huzuni kubwa, Nikasikia hata sauti masikioni mwangu akisema “ Ewe maisha ya Dunia  Je ulikuwa ukinitafuta mimi tu? Lakini Oh! Mdanganye mwingine pia, Nimekupa vitu vitatu ewe Dunia ambavyo kamwe sitavipata tena kwako, Muda mfupi hapa Duniani, maisha yenye kujitweza na kujitia hatarini Oh chakula chake ni kidogo na njia yake ni ya kutia  huzuni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;           Huyu nae hana uhakika na msamaha wa dhambi zake na amekufa bila kutubu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; UMAR IBN KHATTAB &lt;br /&gt;Katika kitabu  al- Iqd al- Farid inasema &lt;br /&gt;“Laiti ningekuwa namiliki mlima wenye Dhahabu  ningelikuwa nimeitoa kwa fidia kwa ajili yangu mwenyewe kutokana na adhabu ya Mwenyezi Mungu , anayetukuzwa sana kabla sijaonana nae. (Al- Bukhari).&lt;br /&gt;Lakini ndani ya Biblia tunaona tayari gharama  kubwa ikiwa ni pamoja na fidia ilikwisha lipwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; 1 Pet 1:16-19 “Kwa maana imeandikwa mtakuwa watakatifu kwa kuwa mimi ni Mtakatifu, na ikiwa mnamwita Baba , yeye ahukumuye kila mtu pasipo upendeleo kwa kadri ya kazi yake, enendeni kwa hofu katika wakati wenu wa kukaa  hapa kama wageni. Nanyi mfahamu mfahamu kwamba mlikombolewa si kwa vitu viharibikavyo, kwa fedha ,au dhahabu mpate kutoka katika  mwenendo wenu usiofaa mlioupokea kwa baba zenu, bali kwa damu ya thamani kama ya Mwanakondoo asiye na ila na waa yaani, ya Kristo”&lt;br /&gt;Umar hajui lolote kuhusu uthamani wa damu ya Yesu wala dini yake ya Kiialamu haijawahi kumweleza, anadhani anaweza kujiokoa mwenyewe lakini hjawezi ndiyo maana anaijutia nafsi yake. Amekufa bila kutubu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia katika  Dawud,  Ibn Hind amesimulia akimnukuu Qatada.&lt;br /&gt;“Umar alipokuwa mgonjwa sana alimwambia mwanae Abdallah nilaze shavu langu kwenye ardhi lakini huyo mwanae hakutaka kufanya hivyo. Ndipo Umar alipolaza shavu lake mwenyewe ardhini na akasema “ Ole kwa Umar na pia ole kwa mama yake na Umar Mungu asipowasamehe!&lt;br /&gt;Kumbuka kuwa Dini ya Kiislamu imekuja baadaye baada ya Ukristo mwaka wa 610 B,K baada ya kuwa kazi ya ukombozi wa mwanadamu imekwishafanywa na Yesu kwa karne 6.Hivyo Waislamu wako nje ya mpango wa Mungu wa ukombozi kwa kukataa kafara ya Mungu yaani Yesu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi ndivyo mafundisho ya Uislamu yanavyosema kuhusu tumaini la msamaha wa dhambi kwa wale ambao ni viongozi wakubwa kabisa katika dini ya Kiislamu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wazo jingine walilonalo ni kwamba wanaamini kuwa siku ya hukumu Allah atapima matendo yao katika mzani. Ikiwa matendo mema ni mengi basi wataingizwa peponi, lakini ikiwa matendo mabaya ni mengi basi mtu huyo ataingizwa katika jehanamu ya moto. Je mwanadamu ataweza kumpendeza Mungu kwa matendo yake?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Tunapoaangalia wafuasi wao, na hasa tunaposoma katika Qur’an Suratul Hud 11:114&lt;br /&gt;“Na simamisheni sala katika ncha mbili za mchana (nayo ni adhuhuri na laasiri) na nyakati za usiku zilizokaribu na mchana. ( nayo ni Magharibi na Isha ziko karibu na mwisho wa mchana wa alfajiri iko karibu na mwanzo wa mchana). Hakika mema Huondoa maovu. Huu ni ukumbusho kwa wanao kumbuka. ( Haya ni mawaidha kwa wanaokubali kuwaidhika)”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Unaposoma ufafanuzi wa aya hiyo ya 114 unasema&lt;br /&gt;“Kwa huku kusali mara tano kutwa Mwenyezi Mungu atamfutia mtu baadhi ya dhambi zake nyingi alizofanya baina yake yeye na Mwenyezi Mungu”. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa hiyo huyu mtu hapati uhakika wa utakaso  wa dhambi zake na anakuwa hajui ngapi zimesamehewa na ngapi bado kwa sababu katika dini  yake ya kiislamu hakuna mwenye mamlaka ya kumtangazia msamaha wa dhambi kama vile ilivyo kwa viongozi wa dini ya Kikristo ambao wamepewa mamlaka hayo ya kuwatangazia wafuasi wa Yesu na wale wote wanaomwamini kwa kuamini kafara yake..Tunayasoma hayo katika Injili ya Yesu kama ilivyoandikwa katika&lt;br /&gt; Yohana 20:22-23 “Naye akiisha kusema hayo akawavuvia  akawaambia,Pokeeni roho Mtakatifu ,wowote mtakaowaondolea dhambi  wameondolewa na wowote mtakaowafungia dhambi wamefungiwa”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hii ndiyo sababu viongozi wa dini ya Kikristo husema Mungu kwa neema yake, na kwa nguvu ya neno lake na kwa ajili ya Yesu Kristo amekusamehe dhambi zako zote, kwa sababu ndivyo Mungu alivyoagiza.&lt;br /&gt;Jambo lingine la kushtua zaidi kuhusu ibada inayofanywa  na Waislamu ni kuwa Vitabu vya Kiislamu vinaeleza kuwa wanapokuwa katika sala shetani anawaendea kuwafanyia mambo mabaya.&lt;br /&gt;Tunayasoma hayo katika kitabu kiitwacho Mkweli Mwaminifu ,Juzuu 1. Hadithi 74 uk.42  Anamwijia mmoja wenu shetani katika sala,basi anapuliza (anampuliza) katika matako yake. Basi (yule mtu) inamwijia fikra ya kuwa  umemtoka upepo (kafusa) nae haukumtoka basi akiona  namna hiyo asiondoke (kwenye sala) mpaka asikie sauti (ya kutoka upepo) au anuse harufu (ya huo upepo uliyomtoka ndiyo aondoke)”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ndugu yangu msomaji, Hija ni Ibada kubwa kabisa kwa Muislamu ambayo hutakiwa kuifanya angalu mara moja katika maisha yake kwa mwenye uwezo (fedha) na kwa kawaida Hija hii hufanywa katika nchi ya Saud Arabia katika mji wa Maka amabao waislamu wanaitikadi kuwa ndio mji wao mtakatifu. Mwislamu anapokuwa Hija kuna Ibada ya kutoa Kafara (kuchinja) wanyama k.m Ngamia, Kondoo, Mbuzi ili iwe kama fidia  ( ransom) kwa dhambi alizofanya.&lt;br /&gt;Katika kitabu  kiitwacho “VIPI UHIJI”  kilichoandikwa na A.Suleiman uk 22 kinaelezea kafara anayopaswa kuifanya Muhirim anayehiji kwa kufanya mapenzi akiwa Maka, &lt;br /&gt; “Kafara ya Mhirim kwa kufanya Mapenzi  ni kuchinja (bila kuchelewa katika siku         za hija) Ngamia mwenye umri wa miaka mitano. Ikiwa hutapata ngamia utachinja ng’ombe, ikiwa hatapata ng’ombe basi kondoo au mbuzi saba, ikiwa hawatapatikana basi atakisia dhamani ya ngamia na kwa dhamani hiyo  atanunua ngano na kuwagawia maskini wa Maka. Ikiwa yote hayo hakuweza basi itampas afunge siku moja kwa kila lita 0.51 za ngano ambazo zingeweza kununuliwa katika dhamani ya ngamia”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi ndivyo anavypaswa kutoa kafara Mwislamu akiwa Hija huku akiamini kuwa dhambi alizofanya kwa kufanya Mapenzi zitasamehewa kwa kutoa kafara ya wanyama au ngano (unga) lakini tusomapo Biblia katika &lt;br /&gt;Amosi 5:21,26 Inasema&lt;br /&gt;Mimi nazichukia sikukuu zenu, nazidharau, nami sitapendezwa na makutano yenu ya dini naam ijapokuwa mnanitolea sadaka zenu za kuteketezwa na sadaka zenu za unga, SITAZIKUBALI wala sitaziangalia sadaka zenu za amani na wanyama walionona. Naam mtamchukua Sikuthi mfalme wenu, na Kiuni sanamu zenu, nyota ya mungu wenu mliojifanyizia wenyewe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwislamu huyu anapokuwa hija pamoja na kuiita kuwa ile ni ibada takatifu ,lakini maneno anayoyatamka siku hiyo ya mwisho wa hija ni maneno ya kukatisha tama sana , kwa sababu yanadhihirisha kuwa pamoja na  mambo yote anayoyafanya  huyu Mwislamu lakini bado hajapata uhakika wa msamaha wa dhambi zake.&lt;br /&gt;Tunasoma katika kitabu kiitwacho VIPI UHIJI ule Uk.66-67&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Ee Mola  nyumba ni  yako, mja wako mwana wa waja wako wawili. Umenileta  juu ya kiumbe uliyemfanya anitii, kunileta mji wako kunionyesha neema yako ili niweze kutimiza amal zako. Ikiwa umependezwa na mimi, basi zidi zaidi kupendezwa nami. Ikiwa hujapendezwa nami nibariki hivi sasa kabla nyumbani  kwangu na kwahala ninakokwenda  hakujawa mbali na nyumba yako. Sasa hivi wakati wa kuondoka umewadia ukiniruhusu. Sitafuti chochote isipokuwa ridhaa yako na nyumba yako. Ewe Mola nipe afya ya kiwiliwili na unihifadhi katika dini yangu. Ifanye hali yangu kuwa bora na unidumishe katika utiifu kwako kwa muda wote utakao niweka hai. Nipe yaliyo bora katika huu ulimwengu na katika akhera kwani wewe ni muweza wa kila kitu” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rafiki yangu mpendwa Mwislamu napenda nikujulishe kuwa Yesu kama kafara ya Mungu mwenye haki alalipia dhambi zako msalabani. Mkristo ameondolewa na kuwekwa huru katika Hukumu ya Mwisho.Yesu ametufanya tuhesabiwe haki kutoka na mashtaka na lawama aya shetani, Mkristo haishi tena chini ya sheria (sharia) bali anaishi katika neema ya Mungu. Hawasumbuki kujiokoa wenyewe kwasababu wanae Mwokozi kwa bahati mbaya neno upatanisho (atonement) au wazo linalohusika na wokovu wa neema halimo katika Qur’an na Uislmau kwa ujumla.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkristo anaishi katika neema ya msamaha uliofanya na Bwana wetu Yesus Kristo. Kwa Hiyo anao mpango maalum wa Mungu kuhusu msamaha na upatanisho. Mslaba wa Yesu ndio mlango wake. Tunapomfahamu Yesu ndipo neema yake huitangulia sheria.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mungu wanayemwabudu waislamu amejieleza wazi katika kitabu chake Quran kuhusu wacha Mungu kuwa ni akina nani.&lt;br /&gt;Tunasoma hayo katika  Quran Suratul Al-Maidah,5:82 inasema&lt;br /&gt;“ Hakika utawakuta walio maadui zaidi kuliko watu (wengine) kwa waislamu ni Mayahudi, na wale mushirikina (wasiyokuwa na kitabu), na utawaona waliokaribu kwa urafiki na waislamu ni wale wanaosema “sisi ni Wakristo” (Hayo)  ni kwa sababu  wako miongoni mwao wanazuoni na wamchao Mungu, na kwa sababu wao (Wakristo) hawatakabari, wakiijua haki huifuata”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakristo wamepata ucha Mungu kwa kupokea sadaka na dhabihu ya Mungu ambayo ni Yesu Kristo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunasoma hayo katika Efeso 5:1-2 “Hivyo mfuateni Mungu kama watoto wanaopendwa, mkaenende katika upendo kama Kristo naye alivyowapenda ninyi; tena akajitoa kwa ajili yetu, sadaka na dhabihu kwa Mungu, kuwa harufu ya manukato”&lt;br /&gt;Hatimaye tunaona Mungu akitoa hukumu yake ya mwisho kwa pande zote za  ulimwengu, kwa kigezo kimoja tu cha ucha Mungu upatikanao kwa njia ya dhabihu.Na tayari tumeona kuwa dhabihu hiyo ni Yesu Kristo.&lt;br /&gt;Tunasoma hayo katika&lt;br /&gt; Zaburi 50:3-6&lt;br /&gt;“Mungu wetu atakuja wala hatanyamaza, Moto utakula mbele zake na tufani yavuma sana ikimzunguka pande zote, ataziita Mbingu zilizo juu na nchi pia atawahukumu watu wake. Nikusanyieni wacha Mungu wangu waliofanya agano nami kwa dhabihu.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwisho! Ninaamini umeona tofauti kubwa iliyopo baina ya maisha yenye kufadhaisha na kuogofya uliyonayo wewe ndugu yangu Mwislamu katika Dini (njia) yako, na yale ya Mkristo, ambaye anatamani kwenda akakae na Mungu huku akiisubiri siku ya ufufuo kwa furaha akijua kuwa atapokea taji ya uzima.&lt;br /&gt;Ninakupa shauri anza upya kutafuta utambulisho wako mbele za Mungu nao ni Yesu katika Maisha yako tu. Nenda katika kanisa lolote linalohubiri habari za kufa na kufufuka kwa Yesu kama alama ya kafara kwa ajili ya wokovu nawe HAKIKA UTAPATA hakikisho la msamaha wa dhambi zako. Fanya uamzi huo sasa!!!!!!!!!!!!1&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-5775865404663873424?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/5775865404663873424/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=5775865404663873424' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/5775865404663873424'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/5775865404663873424'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2010/08/ni-nani-wachamungu-wa-kweli-kati-ya.html' title='NI NANI WACHAMUNGU WA KWELI KATI YA WAISLAMU NA WAKRISTO? NA JE WANAUPATAJE? (WHO ARE THE TRUE PIOUS BETWEEN CHRISTIANS AND MUSLIMS? ,AND HOW?)'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-5765487034629439715</id><published>2010-07-29T01:27:00.000-07:00</published><updated>2010-07-30T06:19:44.090-07:00</updated><title type='text'>ISLAM:Spiritually Myth!, Historically False!, Mathematically Absurd!</title><content type='html'>The spiritual myth,false of history and mathematical absurd of Islam, have led the religion to found itself false. Spiritually, no any Muslim even Mohammad (s.a.w) himself, their Prophet had assurance of forgiveness of his own sins, hence fall short of the Glory of the Holy God. Since he has ceased, no any other hope of him. Just died as a sinner. Jesus is a Redeemer, but Mohammad denied to receive His mercy of forgiveness and behind him has left a series of spiritual myth statements which for sure can not serve a sinner as he himself was(&lt;strong&gt;Quran 53:32- The Noble Quran, 47:19&lt;/strong&gt;). Historically in Islam, there is just imagination of people, place and time which can not be proved beyond doubt. Mathematically,in Islam they always claim that Christians worship three gods. i.e Father, Mary and Jesus &lt;strong&gt;(QURAN 5:71-73)&lt;/strong&gt;.But the mistake they always make is that,they add this sum instead of multiplying. Multiplication is one of God's attribute .Christians do not worship three gods but One God who is Triune (ELOHIM in hebrew). Shame on them!&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-5765487034629439715?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/5765487034629439715/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=5765487034629439715' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/5765487034629439715'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/5765487034629439715'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2010/07/islamspiritually-myth-historically.html' title='ISLAM:Spiritually Myth!, Historically False!, Mathematically Absurd!'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-4991330913626069279</id><published>2010-07-16T07:29:00.000-07:00</published><updated>2010-07-16T07:49:19.754-07:00</updated><title type='text'>JE,  ALLAH (S.W) MUNGU ANAYEABUDIWA MSIKITINI NA WAISLAMU, NDIYE MWENYEZI MUNGU YEHOVA ANAYEABUDIWA KANISANI NA WAKRISTO?</title><content type='html'>Utangulizi&lt;br /&gt;Imekuwa ni kawaida sasa kwa miaka zaidi ya ishirini hivi, kusikia katika mihadhara inayoendeshwa na wahadhiri wa dini ya Uislamu, ambayo imeenea sehemu mbalimbali Duniani na haswa katika nchi za Africa Mashariki na Kati,(East  and Central Africa). Wahadhiri hao hufundisha jamii kupitia Qurani na Biblia kwa kusema kuwa Mungu ni Mmoja tu. Wasema Mungu kwa Kiebrania anaitwa Yehova , kwa Kiarabu Allah, kwa Kiingereza God na kwa Kiswahili ni Mungu. Kwa hivyo wasema Mungu Allah kama Qurani inavyofundisha, ndiye Yehova kama Biblia inavyofundisha. Mihadhara hiyo inayoendeshwa na Waislamu imeenea sana, mfano Nchini Tanzania kuna vikundi vingi na kimoja wapo kinaitwa Al-Marid International Propagation Center. Hawa wameandika katika bango lao kwa kunukuu katika Biblia maneno aliyoandika Mtume Paulo katika Waefeso 4:4-6. Maneno waliyoyanukuu yanasema hivi “Bwana mmoja , Imani moja ….., Mungu mmoja , naye ni Baba wa wote, aliye juu ya yote. Nilipotembelea mkoa wa Morogoro pale mjini, eneo la kiwanja cha ndege nikaona Msikiti mmoja umeandikwa maneno haya ya Waefeso 4:4-6. Na nilipotembelea mji wa Nairobi Nchini Kenya pia nikaona kuna vikundi vingi vinavyoendesha mihadhara na kikundi kimoja wapo kinaitwa Kibera Islamic Propagation Centre. Hawa nao katika bango lao wameandika ujumbe unaosema hivi “Acha Biblia Ijisemee na kunukuu injili aya hii” Yohana 8:32 Tena  mtaifahamu kweli nayo hiyo kweli itawaweka huru. &lt;br /&gt;Kwa hivyo utaona kuwa wahadhiri hao wa Dini ya Uislamu hufundisha jamii kwa kutumia Qurani na Biblia na kusema Allah Sub-Hana Wataala  ndiye YEHOVA. Fundisho hili wanalieneza kwa kupitia Radio, Vijarida, Mihadhara, vitabu na Kanda (cassettes) za Video na Audio. Na hivyo kuwafanya baadhi ya Wakristo kuacha Imani yao na kuingia katika Dini ya Uislamu. Na baadhi ya Wakristo wengine ingawa hawajabadili dini wanaamini hivyo. Swali la muhimu la kujiuliza kwa kila mkristo, je, ni kweli Mungu Allah kama inavyotuhadithia Qurani ndiye Yehova kama Biblia inavyotufundisha? Nakusihi fuatilia somo hili kwa makini ili kujua Ukweli……&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;SEHEMU KUU ZA SOMO HILI NI HIZI……&lt;br /&gt;1. Hoja za waislamu kusema  Allah ndiye Yehova.&lt;br /&gt;2. Je, jina la Mungu kadiri ya Qurani na Biblia ni moja?&lt;br /&gt;3. Je, Malaika mkuu wa Allah ndiye wa Yehova?&lt;br /&gt;4. Je, ni nani muumba,Allah au Yehova?&lt;br /&gt;5. Mji aliochagua Allah je, ni sawa na wa Yehova?&lt;br /&gt;6. Allah anavyofundisha kuhusu kujitakasa nafsi je, ni sawa na Yehova?&lt;br /&gt;7. Je, mbingu ya Yehova ni sawa na ya Allah?&lt;br /&gt;8. Mwisho wa wanaomwabudu Allah ni wapi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Hoja za waislamu kusema  Allah ndiye Yehova&lt;br /&gt;Wahadhiri wa Dini ya Uislamu wanasema Mungu Allah ndiye Yehova kwa sababu Manabii wa Mungu kadiri ya Biblia na Qurani walifundisha kwa kusema Mungu ni mmoja tu. Na wanasoma aya hizi…&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nabii Musa alivyosema&lt;br /&gt;Kumbukumbu la Torati 6:4&lt;br /&gt;Sikiza ee Israeli; BWANA Mungu wetu BWANA ndiye mmoja.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nabii Isaya alisema hivi &lt;br /&gt;Isaya 45:18,21&lt;br /&gt;Maana BWANA , aliyeumba mbingu, asema hivi, yeye ni Mungu ,ndiye aliyeumba Dunia na kuifanya ….. si mimi BWANA? Wala hapana Mungu zaidi ya mimi. Mungu mwenye haki , mwokozi hapana mwingine zaidi ya mimi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nabii Daudi Alisema &lt;br /&gt;Zaburi 86:10&lt;br /&gt;Kwa kuwa ndiwe uliye mkuu, wewe ndiwe mfanya miujiza , ndiwe Mungu peke yako.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yesu alisema hivi &lt;br /&gt;Yohana 17:3&lt;br /&gt;na uzima wa milele ndio huu wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliye mtuma&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Paulo naye Alisema hivi &lt;br /&gt;1 Wakorintho 8:4&lt;br /&gt;Basi kwa habari ya kuvila vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu; twajua ya kuwa sanamu si kitu katika ulimwengu, na yakuwa hakuna Mungu ila mmoja tu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa wahadhiri wa Dini ya Uislamu wanasema Manabii wote kadiri ya Biblia wanafundisha kuwa Mungu ni mmoja tu. Je, Muhammad (s.a.w.) alifundisha nini kuhusu Mungu? Wanasoma aya hizi za Qurani……..&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Qurani 41:6 Suratul Haa Mym Sajdah (Kusujudu)&lt;br /&gt;Sema; bila shaka mimi ni mtu kama nyinyi. Nimeletewa Wahyi (inafunuliwa kwangu)ya kwamba Mungu wenu ni Mungu mmoja tu……&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa wahadhiri wanasema kama vile manabii wote walifundisha Mungu mmoja ndivyo ilivyo fundisha Muhammad. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Qurani 29:46-47 Suratul Al- Ankabuut (Buibui)&lt;br /&gt;Wala mshibishane na watu waliopewa kitabu (kabla yenu) ila kwa yale (majadiliano) yaliyo mazuri, isipokuwa wale waliodhulumu miongoni mwao. Na semeni :tunaamini yaliyoteremshwa kwetu, na yaliyoteremshwa kwenu. Na mungu wetu na Mungu wenu ni mmoja : nasi ni wenye kunyenyekea kwake. Na namna hivi tumekuteremshia  kitabu (hiki cha Qurani) basi wale tuliowapa kitabu (kabla ya hiki kama taurati na injili) wanakiamini (hiki kitabu ulichoteremshiwa kwani hakipingani na hivyo walivyoteremshiwa). Na miongoni mwa hawa (Waarabu wasiokuwa na Kitabu chochote)wako wanaokiamini. Na hawazikatai aya zetu isipokuwa wale wanaotaka kuficha haki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa wahadhiri wa kiislamu wakisha soma aya hizi husema vitabu vya Torati na Injili havipingani na Qurani, na vitabu hivyo walipewa Wayahudi na Manasara(yaani Wakristo) na Mungu wa Waislamu na Wakristo ni mmoja tu.&lt;br /&gt;Je, hoja hii ni kweli? Nitaijibu huko mbele.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Majibu kuhusu Mungu mmoja&lt;br /&gt;Ukitazama kwa haraka haraka namna wahadhiri hao wa Dini ya Uislamu wanavyolinganisha aya za Qurani na Biblia unaweza ukashawishika kuamini hicho wanachokifundisha, lakini ni vyema tukajifundisha kwa undani kadiri ya Qurani na Biblia na kisha tuone kama kuna ukweli juu ya hayo mafundisho yao, ya kusema Allah Sub-hana Wataala ndiye Yehova.tukumbuke kuwa Mungu tunayeabudu alitutahadhalisha sana Wakristo kwa kusema hivi…&lt;br /&gt;Kutoka 20:1-3&lt;br /&gt;Mungu akanena maneno haya yote akasema Mimi ni BWANA Mungu wako, niliyekutoa katika nchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa usiwe na Miungu mingine ila mimi.&lt;br /&gt;Tahadhari hii Ya Mungu wetu ya kusema usiwe na Miungu inamaanisha kuwa Miungu mingine yenye kuabundiwa na watu ipo. Kwa sababu katika Biblia neno Mungu Kiebrania“Elohim” Kiyunani "Theos" limetanjwa mara 3979 lakini pia miungu ya uongo imetanjwa mara 271. baadhi ya miungu hiyo ya uongo ni hii&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;mungu Dargoni    Waamuzi16:23&lt;br /&gt;mungu Baal     Wafalme 18:21&lt;br /&gt;mungu mke wa Waefeso aitwae Artemi Matendo 19:24-28.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Aidha tusomapo Qurani pia imetaja miungu mbalimbali iliyokuwa inaabundiwa kule Makka nayo ni hii;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Qurani 53:19-20,23 Suratul An- Najm (Nyota).&lt;br /&gt;19. Je, mumewaona Lata na Uzza? 20. Na Manata (mungu wenu) mwingine wa tatu (kuwa ndio waungu hao badala ya mwenyenzi mungu)? 23. hayakuwa haya (majina ya Lata mungu mwanamke na Uzza mungu mwanamke mwenye enzi. Na Manata mungu mwanamke anayeneemesha ila ni majina tu mliowapa nyinyi na baba zenu…..&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo basi tunaona kuwa miungu yenyewe kuabudiwa ni mingi na kila mwenye kuabudu humtegemea huyo mungu wake na kusema ni mmoja. Mfano waliyemuabudu  Dagoni walisema ni mungu mmoja, waliyemwabudu Baali walisema ni mungu mmoja , waliyemwabudu Artemi walisema Artemi ndiye mungu mkuu. Kadharika Manabii.&lt;br /&gt;walimtumikia Mungu mmoja aitwaye Yehova, naye Muhammad alimwabudu mungu mmoja aitwaye Allah. Ninachotaka kukifundisha kwa jamii ijue je, huyo Allah ndiye Yehova?, &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2: Je, jina la Mungu kadiri ya Qurani na Biblia ni moja?&lt;br /&gt;Jambo moja la msingi linalo tambulisha kitu au mtu, mnyama au chochote kile ni jina , hivyo ili tuweze kujua kama Mungu anayeabudiwa na Waislamu ndiye tunayemuabudu Wakristo, ni lazima tuangalie jina. Je, ni moja?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Qurani 17: 110 Suratul Bani Israil (Wana wa Israil)&lt;br /&gt;Sema; muombeni (Mwenyenzi Mungu) kwa (jina la )Allah au muombeni (kwa jina la ) Rahman. Kwa jina lolote mnalomwita (katika haya itafaa). Kwani ana majina mazuri mazuri………&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa tunaona Allah anafundisha kwa Waislamu kuwa wamuombe kwa jina la Allah au Rahman. Ukisoma Qurani utaona jina Allah limetajwa mara 2,866, kumbuka Qurani ina Juzu 30 Sura 114. hivyo Mungu anaye abudiwa na Waislamu kadiri ya Qurani jina lake anaitwa Allah.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jina la Mungu anayeabudiwa na Wakristo ni hili;&lt;br /&gt;Kutoka 6:2-3&lt;br /&gt;Kisha Mungu akasema na Musa akamwambiaaa “Mimi ni YEHOVA Nami nalimtokea Ibrahimu, na Isaka na Yakobo, kama Mungu mwenyenzi, bali kwa jina langu YEHOVA sikujulikana kwao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa tunaona Mungu tunayemuabudu Wakristo analitambulisha jina lake kwamba ni Yehova katika Biblia limetumika neno au jina BWANA, kwa Kiingereza wanasema LORD, likimaanisha jina lililo Takatifu sana la Mungu katika Biblia jina hili limetanjwa mara 6751. kumbuka Biblia ina jumla ya vitabu 66 Sura 1189 Aya 31,102.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3: Je, Malaika mkuu wa Allah ndiye wa Yehova?&lt;br /&gt;Ikiwa Allah ndiye Yehova, basi ni wazi kuwa malaika mkuu atakuwa mmoja pia. Ikiwa si mmoja hata malaika mkuu watakuwa tofauti. Tuanze kuangalia Allah anavyosimulia katika Qurani naye anasema hivi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Qurani 81:19-21 Suratul At-Takwyr( Kukunja/jua litakapokunjwa)&lt;br /&gt;Kwa hakika hii (Qurani ) ni kauli (aliyokuja nayo) mjumbe mtukufu (Jibrili) Mwenye nguvu,mwenye cheo cha hishima kwa mwenyenzi Mungu. Anayetiiwa huko (mbinguni na malaika wenziwe) kisha muaminifu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ufafanuzi wa aya hizi.&lt;br /&gt;ulio ndani ya Qurani unaelezea aya hizi 19-21, unafundisha hivi…….&lt;br /&gt;Mjumbe mtukufu na mwenye kutiiwa huko mbinguni ni Jibrili, ambaye ndiye mkubwa wa malaika wote&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Malaika mkuu wa Mungu Yehova ni huyu;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yuda 1:9&lt;br /&gt;Lakini Mikaeli Malaika mkuu, aliposhindana na Ibilisi na kuhojiana naye kwa ajili ya mwili wa Musa, hakuthumbutu kumshitaki kwa kumlaumu bali alisema Bwana na akukemee&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;hapa tunaona aya zinatufundisha waziwazi kuwa malaika mkubwa wa Mungu aitwae Allah anaitwa Jibril na Malaika mkuu wa Mungu wetu Yehova anaitwa Mikaeli. Swali; Kwa kuwaMalaika hao ni tofauti, je, Allah ndiye Yehova? Kwa kujua zaidi tofauti ya malaika, jipatie nakala ya somo la: Malaika Jibrili na Gabrieli, je ni Malaika mmoja. Somo hilo tunalo, jipatie.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4: Je, ni nani muumbaji, ni Allah au Yehova?&lt;br /&gt;Kila mtu mwenye kufuata Dini huamini kuwa Mungu ndiye muumbaji ambaye ameumba wanandamu, wanyama na vyote tunavyoviona na vile tusivyoviona. Hivi yafaa tuangalie kile kinachosemwa na Yehova kuhusu uumbaji na vile Allah anavyosema. Je, kauli zao zinapatana au zinatofautiana?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je, mtu ameumbwa kwa mfano wa nani?&lt;br /&gt;Allah anasema hivi;-&lt;br /&gt;Qurani112:1-4 Suratul Al-Ikhlas (utakaso)&lt;br /&gt;Sema: Yeye ni Mwenyenzi Mungu mmoja (tu) Mwenyenzi Mungu (tu) ndiye anayestahiki kukusudiwa (na viumbe vyake vyote kwa kumuabudu na kumuomba na kumtegemea) Hakuzaa wala hakuzaliwa Wala hana anayefanana naye hata mmoja.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kadiri ya aya hii Allah asema kuwa mungu hakuzaa wala hakuzaliwa wala hana mfano wa mtu au watu Yehova anasema hivi kuhusu mtu au watu……&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwanzo1:26-27&lt;br /&gt;Mungu akasema “Na tufanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu, wakatawale samaki wa baharini, ndege wa angani na wanyama , na nchi yote, pia na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.&lt;br /&gt;Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba mwanamume na mwanamke aliwaumba.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa tunaona Mungu wetu Yehova ameumba mtu kwa mfano wake, lakini Allah anasema hana anayefanana naye hata mmoja……Swali kwako mfuatiliaji: Je, Allah ndiye Yehova? Tafadhali usome aya hizi ili kujua zaidi (Mwanzo 5:1-2, 9:6, 1Korintho 11:7, Kolosai 1:15, 3:10, Matendo 17:28-29, Yakobo 3:9). Pengine waweza kusema Je, Mungu amefanana na mimi kivipi?Jua kwamba Mungu ni Roho (Yohana 4:24) Naye alitupa pumzi(yaani roho ya uhai (Mwanzo 2:7))isitoshe Mungu ndiye Baba wa roho zetu (Waebrania 12:9) Mungu anasema Roho zetu ni mali yake(Ezekieli 18:4,Hesabu 16:22) &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuapa kwa Mungu kuhusu viumbe&lt;br /&gt;Qurani 91:1-7 Suratul Ash-Shams (Jua)&lt;br /&gt;Naapa kwa jua na kwa mwangaza wake. Na kwa mwezi unapoliandama. Na kwa mchana unapolidhihirisha.  Na kwa usiku unapolifunika.Na kwa mbingu na kwa Aliyezijenga. Na kwa ardhi na Aliyeitandaza. Na kwa nafsi (roho) na Aliyeitengeneza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Qurani 92:1-3 Suratul Al-Layl (Usiku)&lt;br /&gt;Naapa kwa usiku ufunikapo (kila kitu). Na kwa mchana uangazapo. Na kwa aliyeumba kiume na kike.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa tunaona Allah Mungu anayeabudiwa na Waislamu anaapa kwa mbingu na kwa aliyezinjenga, kwa ardhi na aliyeitandaza. Je, huyo mtandazi wa ardhi na mjengaji wa mbingu ni nani? Qurani inaendelea kuhadithia hivi……..&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Qurani 45:22 Suratur AL- Jathiyah (kiyama/ kupiga magoti)&lt;br /&gt;Na mwenyenzi Mungu ameziumba mbingu na ardhi kwa haki…&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Qurani 44:7-8 Suratul Ad-Dukhan (moshi)&lt;br /&gt;Mola wa mbingu na ardhi na vilivyomo ndani yake,ikiwa mnayo yakini (basi yakinisheni haya) Hakuna aabudiwaye kwa haki ila yeye anahuisha na kufisha. Mola wetu na ni mola wa wazee wenu (wote) wa mwanzo (na mola wa kila kitu)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa tunaona kuwa Allah kupitia Qurani anasema kuwa mwenyenzi Mungu ameziumba mbingu na ardhi na tena anasema hakuna aabudiwaye ila yeye. mjengaji wa mbingu na mtandazaji wa ardhi anajieleza hivi ……&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Isaya 44:24&lt;br /&gt;BWANA,mkombozi wako yeye aliyekuumba tumboni, asema hivi, “Mimi ni BWANA, nifanyaye vitu vyote, nizitandaye mbingu peke yangu, niienezaye nchi. Ni nani aliye pamoja nami?”&lt;br /&gt;Mungu wetu Yehova anasema mimi ninafanya vitu vyote.&lt;br /&gt;(Soma Isaya 45:6-7, 11-12, Yeremia 27:5) Bila shaka Yehova ndiye muumbaji wa vitu vyote&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je Mungu Yehova aliapia vitu alivyoviumba kama Allah?&lt;br /&gt;Isaya 45:22-23&lt;br /&gt;Niangalieni mimi mkaokolewe, Enyi ncha zote za dunia. Maana mimi ni Mungu  hapana mwingine. Kwa nafsi yangu nimeapa, neno hili limetoka kinywani mwangu katika haki, wala halitarudi, ya kwamba, mbele zangu kila goti litapigwa, kila ulimi utaapa.&lt;br /&gt;Waebrania 6:13-16 &lt;br /&gt;Kwa maana Mungu alipompa Ibrahimu ahadi, kwa sababu alikuwa hana mkubwa kuliko yeye mwenyewe wa kumwapa, aliapa kwa nafsi yake. akisema “Hakika yangu kubariki nitakubariki, na kuongeza nitakuongeza, Na hivyo kwa kuvumilia akaipata ile ahadi. maana wanadamu huapa kwa yeye aliye mkuu kuliko wao na kwao ukomo wa mashindano yote ya maneno ni kiapo kwa kuyathibitisha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa tunaona Mungu wetu Yehova haapi kwa mtu wala vitu alivyoviumba kama Allah anavyoapa, bali Yehova anasema “Naapa kwa nafsi yangu”.Waweza pia kusoma jinsi Yehova alivyoapa kwa nafsi yake katika aya hizi;-(Isaya 14:24 na Mwanzo 22:16)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;5: Je, mji aliouchagua Allah ni sawa na wa Yehova?&lt;br /&gt;Mji wa Allah:&lt;br /&gt;Qurani 27:91 An-Naml  (sisimizi/mchwa/wadudu chungu)&lt;br /&gt;Bila shaka nimeamrishwa nimuabudu mola wa mji huu (wa Makka) ambaye ameutukuza na ni vyake tu (Mwenyezi Mungu) vitu vyote…&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Qurani 3:96 Suratul Aal-Imran (watu wa Imram)&lt;br /&gt;Kwa yakini nyumba ya kwanza iliyowekwa kwa ajili ya watu (kufanya ibada) ni ile iliyo Makka yenye baraka na uwongozi kwa ajili ya walimwengu wote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Qurani 106:3-4 Suratul Quraysh (Makureshi-kabila)&lt;br /&gt;Basi nawamuabudu Bwana wa nyumba hii (Al-ka'ba) Ambaye anawalisha (wakati Waarabu wenzi &lt;br /&gt;wao wamo) katika njaa na anawapa amani wakati wenzi wao wamo katika khofu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo tunaona kuwa Allah ndiye bwana wa Al-ka'ba kadiri ya aya hii na Al-ka'ba iko katika Makka. Kupitia aya hizi tunaona Allah mungu anayeabudiwa na Waislamu amechagua mji wa Makka kuwa ndio mji wake mtakatifu na tena Muhammad (s.a.w) aliamrishwa amuabudu mola wa mji huo wa Makka ambaye ndiye Allah. &lt;br /&gt;Je, Mungu wetu aitwae Yehova alichagua mji gani? Endelea ……..&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mji aliouchagua Mungu wetu Yehova ni huu…&lt;br /&gt;2 Nyakati 6:4-6&lt;br /&gt;Akasema, BWANA, Mungu wa Israeli, ahimidiwe, aliyenena kwa kinywa chake na baba yangu Daudi, akalitimiza kwa mikono yake, akasema, Tangu siku ile nilipowatoa watu wangu katika nchi ya Misri, sikuchagua mji wowote wa kabila zote za Israeli ili kujenga nyumba, jina langu liwe humo; wala sikumchagua mtu yeyote awe mkuu juu ya  watu wangu Israeli, lakini nimeuchagua Yerusalemu, jina langu liwe humo, na Daudi nimemchagua awe juu ya watu wangu Israeli.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maandiko hayaelezi mji mwingine wowote aliouchagua Mungu wetu hapa duniani bali ni mji wa Yerusalemu tu. (tazama 2 Nyakati 12:13,Ezra 6:12; 7:15,27; Zaburi 26:8; Zakaria 2:12) &lt;br /&gt;Kupitia aya hizi tunaona Mungu wetu Yehova, mji wake aliouchagua niYerusalemu. Neno Yerusalemu ni la lugha ya Kiebrania na maana yake ni "chimbuko la amani". Hata Waisraeli walipokuwa mbali na mji wa Yerusalemu bado walipiga magoti na kuelekeza nyuso zao Yerusalemu. (Tazama Danieli 6:10). Mji aliouchagua Yehova ni Yerusalemu, na mji aliouchagua Allah ni Makka. Na hii ndio tofauti ya mji wa Allah na Yehova. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;6: Allah anavyofundisha kujitakasa nafsi, je ni sawa na Yehova?&lt;br /&gt;Allah anafundisha hivi….&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Qurani 53:32 Suratul Al-Najm (nyota)&lt;br /&gt;Ambao wanajiepusha na madhambi makuu na vitendo vichafu, isipokuwa makosa hafifu (hakuma aliyesalimika nayo) bila shaka, mola wako ndiye mwenye maghufira mengi yeye ndiye anayekujueni sana tangu alipokuumbeni katika ardhi na mlipokuwa mimba matumboni mwa mama zenu. basi msizitakase nafsi zenu…. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Qurani 12:53 Suratul Yusuf&lt;br /&gt;Nami sijitakasi nafsi yangu, kwa hakika (kila) nafsi ni yenye kuamrisha sana maovu isipokuwa ile ambayo mola wangu ameirehemu. Hakika mola wangu ni mwingi wa kusamehe (na) mwingi wa kurehemu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kadiri ya Qurani Allah anayo nafsi pia Tazama Qurani 5:116. Kwa hivyo hapa tunaonaAllah ana agiza watu wasizitakase nafsi zao na tena anasema sijitakasi nafsi yangu. Hii ni ajabu  sana!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mungu wetu Yehova anavyosema kuhusu kujitakasa nafsi, yaani utakatifu:&lt;br /&gt;Isaya 43:3&lt;br /&gt;Maana mimi ni BWANA Mungu wako, mtakatifu wa Israeli, mwokozi wako. Nimekutoa Misri kwa ukombozi wako, nimetoa Kushi na Sheba kwa ajili yako. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa tunaona Mungu anasema ‘Mimi ni mtakatifu’, hili pia ni jina la sifa la Mungu wetu Yehova kwa lugha ya Kiebrania husema ‘kadosh’. Nabii Isaya ameandika kuwa Mungu ni Mtakatifu mara 32 kwa ufupi tu soma Isaya 40:25, 48:17 na 57:15. Isitoshe kwa kuwa Mungu wetu Yehova ni mtakatifu pia aliagiza kwetu hivi…&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Walawi 11:44&lt;br /&gt;Kwa kuwa mimi ni BWANA Mungu wenu takaseni nafsi zenu basi; iweni watakatifu, kwa kuwa mimi ni mtakatifu, wala msitie uchafu nafsi zenu…&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mtume Petro anatuagiza hivi;&lt;br /&gt;1 Petro 1:15-16&lt;br /&gt;Bali kama yeye aliyewaita alivyo mtakatifu, ninyi nanyi iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote.Kwa maana imeandikwa, mtakuwa watakatifu kwa kuwa mimi ni mtakatifu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mtume Paulo pia ameagiza kujitakasa nafsi na kuwa watakatifu(2 Wakorintho 7:1) waweza pia kusoma agizo hilo la kuwa watakatifu katika Walawi 19:2, 20:26.&lt;br /&gt;Kwa hivyo tunaona Yehova anaagiza tujitakase nafsi zetu ili tuwe watakatifu, lakini Allah anaagiza kwa Waislamu kuwa wasizitakase nafsi zao. &lt;br /&gt;Swali kwako mfuatiliaji, Je, Allah ndiye Yehova?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;7: Je, mbingu ya Yehova ni sawa na pepo (mbingu) ya Allah?&lt;br /&gt;Mbingu ya Yehova:&lt;br /&gt;Luka 20:34-36&lt;br /&gt;Yesu akawaambia wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa, lakini, wale wahesabiwao kuwa wamestahili kuupata ulimwengu ule. Na kule kufufuka katika wafu hawaoi wala hawaolewi. wala hawawezi kufa tena. Kwa sababu huwa sawa sawa na malaika, nao ni wana wa Mungu kwa vile walivyo wana wa ufufuo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maandiko haya yanatuthimbitishia Wakristo kuwa tutakapofufuliwa na kuingia mbinguni, hakuna mambo ya kuolewa wala kuoa, maana tutakuwa na miili ya kiroho (1 Korintho 15:43-54) Aidha maandiko yanatufundisha kuwa ufalme wa Mungu siyo kula wala kunywa bali ni haki na amani na furaha katika Roho Mtakatifu. (Tazama Warumi 14:17). Mungu wetu anafundisha wazi wazi kuwa kule mbinguni katika ufalme hakuna njaa, wala kiu wala jua kutupiga (Ufunuo 7:16-17.) &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pepo au Mbingu ya Allah itakuwa hivi:&lt;br /&gt;i).  Maghorofa&lt;br /&gt;Qurani 39:20 Suratul Zumar (makundi/vikosi)&lt;br /&gt;Lakini waliomcha mola wao watapata ghorofa zilizojengwa juu ya ghorofa chini (mbele) yake hupita mito. Ndiyo ahadi ya Mwenyenzi Mungu, Mwenyenzi Mungu havunji ahadi yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;ii) mito ya maji, maziwa, ulevi, asali na matunda&lt;br /&gt;Qurani 47:15 Suratul Muhammad&lt;br /&gt;Mfano wa pepo waliyoahidiwa watawa (wacha Mungu itakuwa hivi). Imo mito ya maji yasiyovunda, na mito ya ulevi wenye ladha kwa wanywao na mito ya asali iliyosafishwa. Tena humo watapata matunda ya kila namna, na samahani kutoka kwa mola wao. Basi hao watakuwa sawa na wale wataokaa motoni na kunyweshwa maji yachemkayo yatakayokata chango zao?.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je Matunda hayo ni sawa na ya wapi?&lt;br /&gt;Qurani 2:25 Suratul Al- Baqarah (ngombe jike)&lt;br /&gt;Na wabashirie walioamini na kufanya vitendo vizuri, kwamba watapata mabustani yapitayo mito mbele yake. Kila mara watakapopewa matunda humo kuwa ni chakula watasema “haya ndiyo yale tuliyopewa zamani (ulimwenguni) kwani wataletewa (matunda hayo) hali yatakuwa yamefanana (na yale waliyokuwa wakiyajuwa ulimwenguni wataletewa kwa sura hiyo lakini &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;utamu mwingine kabisa) na humo watapata wake waliotakasika (na kila mabaya na machafu) na watakaa milele humo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;iii). Watapata wanawake aina hizi na nyama za ndege&lt;br /&gt;Qurani 56:15-23 Suratul Al Waaqiah (Tukio) nanukuu aya ya 21-23 tu&lt;br /&gt;Na nyama za ndege kama watakavyotamani (wenyewe). Na wanawake wenye macho mazuri na makubwa (ya vikombe). (wanapendeza na safi) kana kwamba ni lulu zilizofichwa (katika machaza yake, ndio kwanza zinapasuliwa)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Qurani 37:48-49 Suratul As-Saaffat (Wapangao mistari)&lt;br /&gt;Na pamoja nao watakuwa wanawake wenye macho mazuri makubwa. (Safi) wanawake hao kama mayai (ya mbuni) yaliyohifadhiwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Qurani 37:44-46 Suratul As-Saaffat (Wapangao mistari)&lt;br /&gt;Wako juu ya vitanda (viti vya enzi vya fahari), wamekabiliana (wanazungumza). Wanazungushiwa gilasi zenye (vinywaji) safi.Vyeupe yenye ladha kwa hao wavinywao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kupitia aya hizi tumeona kuwa Allah Sub-haana Wataala Mungu anayeabudiwa na Waislamu ametoa ahadi ya kuwaingiza Waislamu peponi (mbingu) na kuwa watapata mito ya maji, mito ya maziwa na ulevi na pia mito ya asali vilevile watapata matunda,nyama ya ndege na pia wataozeshwa na Allah mungu wao wanawake wenye macho makubwa kama mayai ya mbuni. na wengine makubwa  kama vikombe.&lt;br /&gt;Jambo la kushangaza zaidi ni pale tunaposoma kitabu cha Hadithi, maana imani ya Dini ya Uislamu imejengwa pia katika vitabu vya hadithi. Soma &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Qurani 42:10 Suratul Ash-Shuura (mashauriano)&lt;br /&gt;Mkihitalifiana katika jambo lolote (rejeeni kitabu cha Mwenyenzi Mungu na Hadithi za mtume kwani)…&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunaposoma kitabu cha Hadithi ya mtume kiitwacho Sunnan Ibn-1- Majah vol 5 ukurasa wa 546 Hadithi No: 4337 kuna maelezo haya &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Imesimuliwa na Abu' Umama ya kuwa mjumbe wa Allah (baraka na amani ya Allah iwe juu yake) alisema Allah hatamruhusu yeyote kuingia peponi ila kwa idhini ya Allah, Mwenye nguvu na utukufu naye atamwozesha mwanamume wake sabini na mbili. Wawili watakuwa mabikira (mahurul-ain) yaani wanawake wa peponi wenye macho makubwa, na sabini watakao warithi ambao watu (mabwana zao) wametupwa katika moto wa jahanamu kila mmoja wao (hao wanawake) wana uke wa kupendeza. Na mwanamume, Nguvu ya uume wake katika kujamiana hautapinda (kusinyaa) bali utadumu sana&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kwa kiingereza Hadithi hii inasomeka hivi:-  &lt;br /&gt;Abu-Umama (Allah be pleased with him) reported that Allah's messenger (peace and blessings of Allah be upon him)said Allah will not admit anyone in the paradise but Allah the mighty and Glorous, will marry him with seventy two wives two will from virgins (haurine) with big eyes and seventy will be his inheritance from the people of the Hell- Fire (1).Everyone of them will have apleasant vagina and he (the man) have sexual organ that does not bend down (during sexual intercouse)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi ndivyo Allah Mungu wa Waislamu alivyoahidi. Hili ni jambo ambalo kwa Mkristo linamshangaza sana kwani jambo hili linalofundishwa na Allah halipo kabisa kwa Mungu wetu Yehova hapa ulimwenguni ndiko kwenye ulevi,matunda,nyama za ndege, kuoana, maghorofa, magari, mito, bahari na vinginevyo. &lt;br /&gt;Tafakari, je huyo Allah ni nani? &lt;br /&gt;8: Mwisho wa wanaomwabudu Allah ni wapi?&lt;br /&gt;Tunajua kuwa Wakristo tutaishi na Mungu wetu Yehova milele (tazama 1Thesalonike 4:13-17 na Ufunuo 21:3-7) Hivyo Mungu wetu hana mwisho ni wa milele. Lakini tunaposoma Qurani na Hadithi za Muhammad, mtume wa Waislamu tunaona mafundisho haya…&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Qurani 51:56 Suratul-Adh-Dhaariyat (upepo) &lt;br /&gt;Sikuwaumba majini na watu ila wapate kuniabudu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Qurani 6:128 Suratul Al An-Am (Wanyama)&lt;br /&gt;Na (wakumbushe) siku atakapowakusanya wote (awaambie) "Enyi makundi ya majini! Hakika nyinyi mmechukua wafuasi wengi katika wanaadamu" na marafiki wao katika wanadamu (watawagombania) waseme "mola wetu! Tulinufaishana sisi na wao, na tumefikia muda wetu uliotuwekea" Basi (Mungu) atasema:"moto ndio makazi yenu, mtakaa humo milele….. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika aya hizi tunaona kuwa majini pamoja na watu wote watatupwa motoni. Je Allah naye ni vipi? tunaposoma kitabu cha hadith za mtume (s.a.w) cha Sahih al-Bukhari Vol: VI Hadithi No: 371.ukurasa wa 353 Kuna maneno haya:&lt;br /&gt;   &lt;br /&gt;Qurani 50:30 Suratul Qaf (kuapa)&lt;br /&gt;Siku tutakayoiambia Jahanamu, ‘Je! Umejaa?’ Nayo itasema ‘Je kuna ziada (zaidi?Naije tu!&lt;br /&gt;)&lt;br /&gt;Imesimuliwa na Anas kuwa:  mtume alisema watu watatupwa jahanamu, Naye Allah ataiuliza jahanamu  akisema je umejaa nayo jahanamu itasema kwani kuna nyingine zaidi na ije tu? Mpaka Allah atakapo ingiza mguu wake nayo jahanamu itasema inatosha! Inatosha &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kiingereza Hadithi hii inasomeka hizi:-&lt;br /&gt;Allah's statement:It (Hell) will say Are there any more (to come)? (50:30).&lt;br /&gt;Narrated Anas: The prophet said the people will be thrown into the (Hell) Fire and it will say Are there any more (to come)?' (50:30) till Allah puts His Foot over it and it will say Qai! Qat!(Enough! Enough!) &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika aya hii tunaona Allah mungu wa Waislamu anaiuliza Jehanamu kama imejaa, nayo Jehanamu itamuuliza Allah je, kuna zaidi. Yaani swali hili linaonyesha kuwa Jahanamu ilikuwa bado haijajaa,.&lt;br /&gt;Maelezo ya Hadithi hii inadhibitisha kuwa Allah ataingiza mguu katika Jahanamu na ndipo Jahanamu itakaposema kuwa inatosha! Inatosha!, yaani imejaa kwa tendo la Allah kuingiza mguu wake humo. Jambo hili ni tofauti kabisa na ilivyo kwa Mungu wetu Yehova., Mungu wetu ameiweka jahanamu maalum kwa ajili ya watu wabaya, na ibilisi, pamoja na malaika zake. Tafadhali soma aya hizi; Mathayo 25:41,46, Ufunuo 20:10, 21:8.&lt;br /&gt;Aya hizi zote zinaonyesha kuwa mwisho wa wabaya, Ibilisi na malaika zake ni katika ziwa la moto. Swali kwako Ndugu mpendwa, Je, Allah ni nani?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni matumaini yangu kuwa umeweza kujua kwa undani kupitia  Qurani na Biblia na vitabu vya Hadith za mtume wa Waislamu aitwae Muhammad kuwa Allah Sub-Haana Wataala Mungu anayeabudiwa na Waislamu. Siyo Yehova Mungu tunaye muabudu Wakristo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mungu akubariki sana. ufikishe ujumbe huu kwa watu wa mataifa ili wamwamini Mungu Yehova, waokolewe.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-4991330913626069279?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/4991330913626069279/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=4991330913626069279' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/4991330913626069279'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/4991330913626069279'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2010/07/j-allah-sw-mungu-anayeabudiwa-msikitini.html' title='JE,  ALLAH (S.W) MUNGU ANAYEABUDIWA MSIKITINI NA WAISLAMU, NDIYE MWENYEZI MUNGU YEHOVA ANAYEABUDIWA KANISANI NA WAKRISTO?'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-8126813427178837415</id><published>2010-07-05T01:55:00.000-07:00</published><updated>2010-07-05T02:10:33.999-07:00</updated><title type='text'>MADAI YA WAISLAMU KUHUSU MAHAKAMA YA KADHI: WAISLAMU MNA AJENDA YA SIRI NA TANZANIA!!!</title><content type='html'>WAISLAMU TANZANIA WAMEKUWA WAKIDAI WAREJESHEWE MAHAKAMA YA KADHI, LAKINI HAWAWAAMBII WATANZANAI WAREJESHEWE HIYO MAHAKAMA YA KADHI NA NANI? KWA SABABU SERIKALI HAIHUSIKI NA SUALA HILO. SI HIVYO TU SHERIA ZA NDOA NA MIRATHI KWA MISINGI YA KIISLAMU ZINAFANYWA KATIKA MAHAKAMA ZA MWANZO NA MAHAKIMU WALIOANDALIWA VYUONI KLE CHUO CHA MAHAKAMA LUSHOTO. INA MAANA WAISLAMU WANATAKA MAHAKIMU WALIOPO WAAACHISHWE KAZI ZA UHAKIMU NA NAFASI ZA UHAKIMU WAPEWE WAO!!! HUU NI UHUNI .KWANI MLIPOMCHAGA MUFTI MLIIOMBA SERIKALI IWASAIDIE? MBONA MLIMCHAGUA WENYEWE? HAPA NDIPO MNAPOKOSA HOJA MNAPOITAKA SERIKALI ISIYO NA DINI IWATEULIE KADHI . KWANI LEO HAMUOANI? HAMUACHANI? HAMRITHISHANI? HAMNA WAKFU KWA MISINGI YA DINI YENU? NA KAMA SIVYO TAMKENI KWAMBA HAYO YOTE MLIYOYAFANYA KABLA YA KUWA NA KADHI NI BATLI ILI TUWAELEWE. NA KAMA NI HALALI KWA NINI MTAKE TENA HAKIMU MWINGINE TENA ALIPWE NA SERIKALI ISIYO NA DINI? HUU NI UFISADI WA KIDINI. TUOMBENI MICHANGO TU YA KUITISHA KIKA CHA KUMCHAGUA KADHI TUTAWACHANGIA KULIKO HIVI MNAVYOTAKA KUTULETEA MAMBO YA AIBU TANZANIA . HAMJAONA KILICHOTOKEA KENYA? HAMJIFUNZI?&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-8126813427178837415?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/8126813427178837415/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=8126813427178837415' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/8126813427178837415'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/8126813427178837415'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2010/07/madai-ya-waislamu-kuhusu-mahakama-ya.html' title='MADAI YA WAISLAMU KUHUSU MAHAKAMA YA KADHI: WAISLAMU MNA AJENDA YA SIRI NA TANZANIA!!!'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-2580244194898930531</id><published>2010-06-16T09:48:00.000-07:00</published><updated>2010-06-16T09:58:44.345-07:00</updated><title type='text'>HIVI UNAJUA KUWA MAJINI (MASHETANI )NI NDUGU ZA WAISLAMU? (JINNIE (EVIL SPIRITS) HAVE SPIRITUAL RELATION WITH MUSLIMS)</title><content type='html'>Soma ufafanuzi wake huu uMAJINI (MASHETANI) NI&lt;br /&gt;NDUGU ZA WAISLAMU&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;UTANGULIZI: &lt;br /&gt;Majini ni viumbe visivyoonekana kwa macho ya kawaida ya wanadamu. Hii ni kwa sababu  viumbe hivi viko katika asili ya roho ya kutokuonekana. Majini huitwa pia Ibilisi, Shetani, Pepo mchafu au Joka la zamani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;ASILI YAO:&lt;br /&gt;Majini yalikuwa ni malaika kabla ya kuungana na yule Muasi Mkuu wa Mungu, yaani Lucifer aliyemuasi Mungu mbinguni na kutaka ukubwa wa kufanana na Mungu, na ndipo akatupwa huku duniani yeye pamoja na malaika zake, na huku wakiwa wamenyang’anywa utukufu waliokuwa nao hapo awali. Vita hiyo iliongozwa na Malaika Mkuu wa Mungu wa Mbinguni yaani Jehova kumtupa chini huyo malaika muasi pamoja na malaika zake. Viumbe  hivyo vilivyotupwa ndivyo leo vinavyoitwa MAJINI au MASHETANI au PEPO WACHAFU au IBILISI au JOKA LA ZAMANI.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uf. 12:7-12 “ Kulikuwa na vita mbinguni, Mikael na Malaika zake wakapigana na yule joka, yule joka naye akapigana nao pamoja na malaika zake, nao hawakushinda, wala mahala pao hapakuonekana tena mbinguni. Yule joka akatupwa  yule mkubwa nyoka wa zamani aitwaye Ibilisi na shetani audanganyaye ulimwengu wote, akatupwa hata nchi, na malaika zake wakatupwa pamoja naye. Nikasikia sauti kuu mbinguni ikisema sasa kumekuwa wokovu, na nguvu na ufalme wa Mungu wetu kwa maana ametupwa chini mshtaki wa ndugu zetu yeye awashtakiye mbele za Mungu wetu. Mchana na usiku. Nao wakamshinda  kwa damu ya mwanakondoo na kwa neon la ushuhuda wao ambao hawakupenda maisha yao hata kufa. Kwa hiyo shangilieni enyi mbingu, nanyi mkaao humo. OLE WA NCHI NA BAHARI! Kwa  maana yule Ibilisi ameshuka kwenu mwenye ghadhabu nyingi akijua ya kuwa ana wakati mchache tu”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo kwa mistari au aya hizo unaanza kupata taswira ya kile tunachijifunza kuliusiana na majini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ki- Biblia Malaika ni viumbe walio katika hali ya roho ila wanaweza kuonekana kwa umbile la mwanadamu Mw. 18:1-18, Lk 1:26-28, Kut 3:1-6&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika Ebr 1:13-14 “ Yuko Malaika aliyemwambia wakati wowote uketi mkono wangu wa kuume hata nitakapowaweka adui zako chini ya nyayo zako? Je, hao si ROHO watumikao wakitumwa kuwahudumia wale watakaourithi wokovu?&lt;br /&gt;Biblia inazidi kubainisha namna ya kuumbwa kwao&lt;br /&gt;Mw. 2:1 “ Basi mbingu na nchi zikamalizika na JESHI LAKE LOTE”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni katika jeshi hilo ambapo tunawapata hawa viumbe vya kiroho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na katika Kol 1:1:16 “ kwa kuwa katika yeye vitu viliumbwa vilivyoko mbinguni na vilivyo juu ya nchi. Vinavyoonekana na visivyoonekana……”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jeshi hilo ni huru linaweza kujiamulia lolote  na ndiyo maana 1/3 ya hao roho yaani malaika waliasi na kufanya machukizo mbele za Mungu na wakafukuzwa (Uf 12:7-12) na wengine wamefungwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika Yuda 6 “ Na malaika wasioilinda enzi yao wenyewe, lakini wakayaacha makao yao yaliyowahusu amewaweka katika vifungu vya milele chini ya fiza kwa hukumu ya siku ile kuu”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunasoma pia katika 2 Petro 2:4&lt;br /&gt;“ Kwa maana ikiwa Mungu hakuwaachilia malaika waliokosa, bali aliwatupa shimoni akawatia katika vifungu vya giza walindwe hata ije hukumu”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;kwa hiyo Majini ndiyo mashetani na mashetani ndiyo majini.Katika kitabu Lawi 17:7 &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Wala hawatatoa tena sadaka zao kwa wale MAJINI ambao huwafuata ili wafanye uasherati nao, sheria hii itakuwa sheria ya milele kwao kizazi baada ya kizazi”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa sababu majini hayo tangu yalipotupwa toka mbinguni wana wa Israel hawakuwa na ufahamu wa kutosha kuyahusu baadhi yao walijikuta wakiyatolea sadaka huku wakiamini kuwa wamemtolea Mungu sadaka. Na kumbuka kuwa mara nyingi wana wa Israel walipotoa sadaka  zao nyingi zilikuwa za wanyama na hivyo kutakiwa kuchinja na kutoa damu ambayo ni sehemu kubwa ya chakula cha majini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika Zaburi 106:34-40.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“ Hawakuwaharibu wtu wa nchi kama BWANA alivyowaambia, bali walijichanganya na mataifa wakajifunza matendo yao, wakazitumikia sanamu zao nazo zikawa mtego kwao naam walitoa wana wao na binti zao kuwa dhabihu kwa MASHETANI wakamwaga damu isiyo na hatia, damu ya wana wao na binti zao walio watoa dhabihu kwa sanamu za Kaanani. Nchi ikatiwa unajisi kwa damu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ndivyo walivyotiwa uchafu kwa kazi zao, wakafanya uasharati kwa matendo yao. Hasira ya Bwana ikawa juu ya watu wake akauchukua urithi wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo kutokana na kutokuonekana kwao hayo majini yaliwahujumu wana wa Israel hata yakawasababishia wamwasi Mungu kwa kuyatolea sadaka kinyume cha Mungu wa mbinguni aliyehai.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika Kumb. 32:17-20.&lt;br /&gt;“ walitoa sadaka kwa Pepo si Mungu, kwa miungu wasioijua, kwa miungu mipya iliyotokea  siku zilizo karibu ambayo baba zetu hawakuiogopa,&lt;br /&gt;Humkumbuki muumba aliyekuzaa Mungu aliyekuzaa humkumbuki. Bwana akaona akawachukia kwa sababu ya kukasirishwa na wanawe na binti  zake. Akasema nitawaficha uso wangu  nitaona mwisho wao utakuwaje  maana ni kizazi cha ukaidi mwingi watoto wasio Imani ndani yao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia katika Math 12:43-45&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“ Pepo Mchafu amtokapo mtu hupitia mahali pasipo maji akitafuta mahali pa kupumzikia asipate. Halafu husema nitarudi nyumbani kwangu nilikotoka hata akifa aiona tupu imefagiwa na kupambwa, mara huenda akachukua pamoja naye pepo mengine saba walio waovu kuliko yeye mwenyewe, nao huingia na kukaa humo, na  mtu yule  hali yake ya mwisho huwa mbaya kuliko ya kwanza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika Biblia tunaona kipindi  Yesu alipotwaa mwili na kuja duniani, hao majini, au mashetani au Ibilisi au Mapepo wachafu yalimfahamu na yalianza kulalamika mbele zake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Math 8:28-31 “ Naye alipofika ng’ambo katika nchi ya Wagerasi, watu wawili wenye pepo (Majini) walikutana naye, wanatoka makaburuni wakali mno, hata mtu asiweze kuipitia njia ile. Na tazama wakapiga kelele wakisema tuna nini nawe mwana wa Mungu? Je, umekuja kututesa kabla ya muhula wetu……………….  (MK 5:1-9).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Majini hayo yanafahamu kuwa Yesu ndiye atakayewahukumu ila yalichoshangaa ni kwamba mbona amewahi  kabla ya kipindi chenyewe  cha yeye Yesu kuyahukumu kwenda Jehanamu ya Moto?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yesu alikuja duniani ili kumwokoa mwanadamu kutokana na mateso  ya hayo majini au mashetani kwa sabahu katika Uf. 12:12 Malaika Mikael alipokuwa anawafukuza hao malaika waasi yaani hao majini au mashetani alisema OLE WA NCHI NA BAHARI ndiyo maana Yesu ilibidi aje duniani  kupambana na huyo shetani, Joka, Ibilisi kwa niaba yetu maana sisi tusingeweza na wale, majini walisema kumuambia Yesu ukitutoa tuache tukawaingie nguruwe na ngurume  wale wapatao 2000 waliona bora kufa baharini kuliko kuishi na viumbe hivi majini au mashetani miilini mwao na hivyo kutimiza ujumbe wa malaika Mikaeli “ Ole wa nchi na bahari”. Baharini ni sehemu mojawapo ambapo majini huishi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Unabii wa kuangushwa mji mkubwa uliojisifu sana (Babeli) ulipotolewa, ilitabiriwa kuwa, hayatakuwa tena makazi, bali patabaki yatafanya makazi huko.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Isaya 13:12. lakini huko watalala hayawani wakali wa nyikani na nyumba zao zitajaa bundi, mbuni watakaa huko, na majini atacheza huko.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ndipo tunaposoma katika Yoh 12:31, Yesu anasema “ sasa hukumu ya ulimwengu huu ipo, sasa Mkuu wa ulimwengu huu atatupwa nje”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na katika 1 Yoh 3:8&lt;br /&gt;“ atendaye dhambi ni wa Ibilisi kwa kuwa Ibilisi hutenda dhambi tangu mwanzo. Kwa kusudi mwana wa Mungu alidhihirishwa ili azivunje kazi za Ibilisi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama tulivyosoma toka sura na aya mbalimbali ndani ya Biblia kuwa majini hayo yanasubiri  adhabu Biblia inatueleza atakaye yahukumu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Math 25:31, 41 “ Hapo atakapokuja mwana wa Adamu  pamoja malaika watakatifu pamoja naye…………… Kisha atawaambia na wale  walioko mkono wake wa kushoto ondokeni kwangu mliyolaaniwa mwende katika moto wa milele aliyowekewa tayari Ibilisi na malaika zake”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo kwa mujibu wa Biblia Majini yaani mashetani ni Adui yetu na ndiyo maana alipokuja Mohammad yalianza kukanusha kuwa  Mungu hana mwana ili kuwavuruga  waislamu wasiijue kweli (Soma Quran 112:1-4, Al- Kahf, 18:3) ya kumwamini mwana wa Mungu Yesu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa bahati mbaya sana mambo yahusuyo majini katika imani ya Kiislamu ni tofauti sana na vile tulivyosoma katika Biblia. Ingawa Quran na Hadithi za Muhammed, Mtume wa Waislamu, Vinatutaka sisi wakristo tumwamini allah S.W. mungu anayeabudiwa na Waislamu Misitikini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika Suratul Waqia 51:56.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“ Sikuwaumba majini  na watu ila wapate kuniabudu” katika Quran Suratul Al- Ankabut (Buibui), 29:46-47) “ Wala msibishane na watu waliopewa kitabu (kabla yenu) ila kwa yale (majadiliano) yaliyo mazuri isipokuwa wale waliodhulumu miongoni mwao na semeni tunaamini yaliyoteremshwa kwetu na yaliyoteremshwa kwenu na Mungu wetu na Mungu wenu ni mmoja nasi  ni wenye kunyenyekea kwake”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Waliopewa kitabu kwa mujibu wa Quran ni Wayahudi na Wakristo. Je, hoja kuwa Mungu wetu na Mungu wao wanayemwabudu kuwa ni mmoja  je ni sahihi?. Tuchunguze kuhusiana na  mafundisho ya Allah S.W. wa misikitini kuhusu majini ndipo tutajua ni mmoja au la!.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Muislam yeyote ili imani yake ikamilike ni lazima aamini yanayoonekana na yasiyoonekana katika Suratul Al- Baqarah (Ng’ombe Jike la Njano), 2:1-3.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“ Alif Lam Mym. Hiki ni kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake ni uongozi kwa wamchao mwenyezi Mungu ambao huyaamini yasiyoonekana (maadaam) yamesemwa na mwenyezi Mungu na Mtume wake) husimamisha sala na hutoa katika yale tuliyowapa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Quran  peke yake ukiichunguza utaona kuwa majini yamechukuliwa kama ni viumbe tofauti   na mashetani, wanasema hivyo kwa sababu katika uislamu majini yamepewa hadhi kubwa sana na ya kipekee. Hadhi hiyo ni kwa sababu  majini waliamini Quaran.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tusomapo katika Quran Suratul al- Ahqaf, (Kichuguu cha mchanga) 46:29&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“ Na (wakumbushe) tulipokuletea kundi la majini (kuja kwako) kusikiliza Quran. Basi walipoihudhuria walisema (kuambiana):- “ Nyamazeni (msikilizeni maneno ya Mwenyezi Mungu)” Na ilipokwisha (Somwa) walirudi kwa jamaa zao wakiwaonya”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na ndani ya Quran kuna sura nzima inayoitwa sura ya majini (Mashetani) hiyo ni sura ya 72. katika sura hiyo inasema  72:1-3, 14. “ Sema: imefunuliwa kwangu  ya kuwa  kundi moja la majini liliisikia (Qurani) likasema hakika tumesikia Qurani ya ajabu inaongoza katika uongofu. Kwa hivyo tumeiamini wala hatutamshirikisha yoyote tena na Mola wetu na kwa hakika utukufu wa Mola wetu umetukuka kabisa. Hakujifanyia mke wala mwana……………………. Nasi wamo miongoni mwetu na wamo miongoni mwetu waliokengeuka waliosilimu hao ndiyo waliotafuta uwongofu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa hiyo aya hizi zinaonyesha kuwa Quran ilipokuja ndipo majini waliposilimu. Kumbuka kuwa Quran imeanza mwaka 610 B.K kipindi ambacho Biblia tayari ili kuwepo kwa karibu karne 6.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akifafanua asili ya majini Mwanazuoni mkubwa wa kiislamu aitwaye Abdalllah Saleh Farsy aliye kuwa Kadhi Mkuu Zanzibar, kisha akawa  Kadhi Mkuu Kenya katika kitabu alichoandika kiitwacho “ Maisha ya Nabii Mohammad” ule Uk. 31 anasema “ Katika safari yake ya kurejea Taif ndipo walipomjia  majini  wakasilimu kama inavyoonesha haya katika Suratul Jinn. Majini ni viumbe vyepesi vinavyokaa angani. havina viwiliwili kwa hiyo haviwezi kuonekana na wanadamu ila vinapojibadili  kwa umbo lenye kiwiliwili. Na vina uwezo huo wa kujibadili kwa sura ya kuweza kuonekana. WAO NA MASHETANI WANA ASILI MOJA. Kwa hiyo asili ya majini ni shetani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Suala linalohusu malaika linawasumbua sana waislam hata hawana uhakika wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tumesoma ndani ya Biblia kuwa kuna kundi la malaika  waliokosa ambao ndiyo wanaoitwa majini lakini tusomapo Quran inatoa maelezo tofauti.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Quran suratul As- Sajdah, (kusujudu) , 32:13 “ Na tungelitaka tungempa kila mtu uwongofu  wake (kwa lazima kama tulivyowapa malaika lakini binadamu amepewa huria ya kufanya alitakalo- lililo jema na baya).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika ulimwengu wa Kiislamu Malaika wote ni8 wema na wanamwabudu mungu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa ndiyo tatizo linapoanzia. Quran iliyokuja baadaye inasema malaika wote ni wema wakati biblia kitalu     kilichoitangulia Quran kinasema kuna malaika walioasi na wakafukuzwa katika utukufu wa Mungu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika Quran Suratul, al- Kahf, (Pango) 18:50 “ Na (Kumbukeni) tulipowaambia Malaika, Msujudieni  Adamu. Basi wakamsujudia isipokuwa Ibilisi yeye alikuwa miongoni mwa majini na akavunja amri ya mola wake……..”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika aya hiyo tunaona ibilisi akilaumiwa kwa kutomsujudia Adamu ingawa amri ya kusujudu walipewa malaika kumbe kwa mujibu wa Quran Ibilisi alikuwa  miongoni mwao hao malaika yaani na yeye akiwa malaika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa sababu Quran haina habari kuhusu malaika walioasi yaani majini ndiyo maana wanapata tabu kuhusu jambo hilo. Na ndiyo maana pamoja na kujua kuwa hayo majini ni mashetani, Muilsamu amehiari kushirikiana nayo kwa kuswali nayo msikitini. Na hata mwislamu huyu anapomaliza kusali  husalimia  kulia na kushoto akiwasalimia watu malaika na majini (mashetani) waliokuja kushiriki naye katika Ibada yake, soma katika (Irshadul Muslimiin, Sheikh Said Musa, Uk. 38).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika Tafsiri ya Quran ya Iman Jalalaini Uk. 6:151 anasema kuhusu majini “ Hao ni watoto wa Ibilisi”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hii ndiyo sababu hata wanawake wa Kiislamu wakiwa katika kipindi cha hedhi hawaendi msikitini kwa sababu kuna majini na chakula cha majini ni damu. Tafakari kwa hiyo sifa ya hayo majini au mashetani kwa ujumla ni kuwa “ hujaribu kwa bidii sana kuwa karibu na waamini wale wanaosali, kufunga na kusoma Qurani “ (Asili ya majini, Dk. Ahmed H. Sakr Uk. 28) ndiyo maana baadhi ya waislam wao binafsi wasingependa kuwa waislamu lakini majini huwashurutisha kwenda kuswali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa sababu wao waislamu hawajui kupambanua kati ya majini ambayo ni roho chafu na wale malaika watakatifu wa Mungu Jehova, ndiyo maana hata akiwa katika sala yake hana uhakika kwa sababu huyo jinni (shetani) amemteka na anamfanyia atakavyo na yeye ni mtumwa wa huyo jinni (shetani)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika kitabu kiitwacho Mkweli Mwaminifu cha Sheikh Said Moosa Mohamed Al- Kindy wa Muscut Oman, juzuu 1-2 Uk 42 Hadithi Na. 74.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“ Anamwijia mmoja wenu shetani (Jini) katika sala basi anapuliza (anampuliza) katika matako yake, basi  (yule mtu) inamuijia fikra ya kuwa umemtoka  upepo (kafusa) naye haukumtoka, basi akiona namna hiyo asiondoke (kwenye sala}) mpaka asikie sauti ( ya kutoka upepo) au anuse harufu ( ya huo upepo uliyomtoka, ndio aondoke).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huyo shetani, au jinni anayekuwa karibu  sana na huyu mwamini wa kiislamu  hamchezei tu mwislamu katika matako yake kama tulivyosoma hapo juu bali pia  anapofanya tendo la ndoa .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika kitabu  kiitwacho Asili ya Majini, cha Sheikh Dr Ahmad  H. Sakr Uk. 116 anasema “ Hadithi ya Mtume inathibitisha jambo hili kuwa majini (mashetani) na watu wanaweza kuoana aliposema kwamba iwapo mtu ataingia katika uhusiano wa kindoa na mkewe anatakiwa  ataje jina la Mwenyezi Mungu ajilinde kwa Mwenyezi Mungu dhidi ya shetani aliyefukuzwa mbali na rehema.  Vinginevyo shetani hujiviringisha katika dhakari (sehemu ya siri za mwanaume) ya mtu huyo na atashirikiana naye katika tendo hilo. Tafakari yetu  kuwa hiyo  jinni anayeshiriki naye tendo la ndoa pamoja naye kwa mkewe ametumwa na huyo huyo Mungu wao. Hiyo ni kesi ya ngedere kumpelekea nyani! Utashindwa tu!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;• Huhakikisha haweki wazi utambulisho wake vinginevyo watu wanaweza kumkwepa au hata kukimbia. Jina lake linawatisha watu wengi. Hivyo ni vyema asijitambulishe kama ni shetani , jini.&lt;br /&gt;• Huwapotosha watu kutoka kwa Mwenyezi Mungu ili waende naye Jehanamu, badala ya kwenda peke yake. (Kumbuka hukumu ya Yesu kwa Ibilisi na Malaika zake (Math 25:41)&lt;br /&gt;• Huwakatisha watu tamaa kwa sababu hana cha kuwapa ila matumaini ya uongo (Mf Q. 52:20)&lt;br /&gt;• Huhakikisha kwamba watu wanamheshimu kumfuata shetani maana yake ni kuwa mtu wa namna hiyo amejisalimisha (Kumbuka waislamu wanapowasalimia majini kulia na kushoto katika sala (Irshadul Muslimin Uk 38).&lt;br /&gt;• Huhakikisha kuwa hadhihirishi jina lake  kama shetani lakini kama rafiki aliyejificha anayewatakiwa mema.&lt;br /&gt;• Huanzisha vurugu vinginevyo maisha yake huwa ya taabu. Huwa anafurahia kuona watu wakipigan wao kwa wao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika kipengele hiki tunaposoma katika Quran, Suratul – Al- Maidah, (Meza) 5:14.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“ Na kwa wale waliosema sisi ni Wakristo tulichukua ahadi kwao, lakini wakaacha sehemu (kubwa) ya yale waliyokumbushwa kwa hivyo tukaweka  baina yao (wenyewe kwa wenyewe) uadui na bughudha mpaka siku ya kiama na mwenyezi Mungu atawaambia waliyokuwa wakiyafanya”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;allah S.W. ndiye anayewaletea uadui na bughudha wakristo. Yeye atakuwa nani?&lt;br /&gt;Tafakari.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;• Hufundisha uchawi watu wanapaswa watoe kiapo cha utii kwake kabla ya kufundisha uchawi wa aina yoyote. Elimu ya uchawi ni kuwadhuru watu wengine hasa hasa waume na wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika sehemu hii tumwangalie huyo shetani au jinni anayeruhusu na kufundisha uchawi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika Suratul, al- Bagarah, (ng’ombe jike), 2:102 “ Wakafuata yale waliyoyafuata mashetani wakadai kuwa yalikuwa katika ufalme wa nabii suleimani na Suleiman hakukufuru  bali mashetani ndiyo waliokufuru, wakiwa fundisha watu uchawi waliokuwa wakiujua wenyewe tangu zamani. Na uchawi  uliteremshwa kwa malaika  wawili Haruta na Maaruta katika mji wa Babeli wala malaika hao hawakumfundisha yeyote mpaka wamwambie hakika sisi ni mtihani wa kutazamwa kutii kwenu basi usikufuru wakajifunza kwao ambayo waliweza kumfarakisha mtu na mkewe na mengineyo wala hawakuwa wenye kumdhuru yeyote kwa hayo ila kwa idhini ya Mwenyezi Mungu……………………&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika aya hiyo inaeleza  kuwa uchawi ni kazi ya Allah na ndiye anaye idhinisha. Yeye atakuwa nani? Na pia kuna waganga  wa kienyeji wa kiislamu ambao hutumia Quran katika uganga wao. Hiyo Quran na majini na uchawi, ulioletwa na Allah S.W. vina uhusiano gani? Tafakari&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“ Juhudi kubwa anayoifanya shetani (Jini) ni kuleta mfarakano baina ya waume na wake. Kwa kufanya hivyo huhakikisha kuwa wanachukiana wao kwa wao. Kwa ajili hiyo huishia, katika talaka.  Kwa hiyo  matatizo yanajengwa katika  familia hiyo. Utengano au talaka inapotokea, watoto hawawezi kulelewa kisawasawa  na mzazi mmoja. Watakosa uimara katika utu wao, shetani (jinni) anapata urahisi  kuingia ndani ya mioyo na akili za watoto. Atawaongoza kuelekea mahali pasipofaa na hapo anawafanya wawe wahalifu katika jamii (Asili ya majini, sheikh Dr. Ahmad H. Sakr Uk 39)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa Quran na vitabu vya kiislam huyo anayeamuru talka ni allah. S.W. Mungu wanayemuabudu waislamu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika suratul, Ahzab(Makundi), 33:49. &lt;br /&gt;“ enyi mulioamini mtakapowaona wanawake wenye kuamini, kisha mkawapa talaka kabla ya kuwagusa hamna eda juu yao mtakayohesabu. Wapeni cha kuwauliza na muachane muachano mzuri”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika Suratul al- Baqarah, (Ng’ombe) 2:230.&lt;br /&gt;“ Na kama amempa talaka ya tatu basi mwanamke huyo si halali kwake baada ya hapo mpaka aolewe na mume mwingine, na mwanamume huyo mwingine akimwacha basi hapo hapana dhambi kwao mume yule wa kwanza na mwanamke huyo kurejeana  wakiona watasimamisha mipaka  ya Mwenyezi Mungu.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama shetani (jinni) huleta faraka ili talaka zitokee, basi Allah S.W. yeye ameamrisha talaka kwa wafuasi wake bila kujali athari za watoto zitakazotokea. Tafakari yeye ni nani?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kumuabudu shetani (Jini)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika Suratul Sabaa, 34:40-41&lt;br /&gt;“ Na kumbuka siku atakayowakusanya wote, kisha atawaambia malaika, “ Je hawa walikuwa wakikuabuduni?” waseme umeepukana na kila upungufu! Wewe ndiwe kipenzi chetu si hao bali walikuwa wakiwaabudu MAJINI; wengi wao waliwaamini hao majini”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“ Shetani anapoamuru watu wamfuate pia anawaamuru wafanye madhambi na wakose maadili. Huwataka waseme uongo kuhusu Mwenyezi Mungu kutokana na kutokujua kwao. Wanaweza kusema kuwa sisi wanaadamu tumeumbwa kwa mfano wa Mungu. Mungu alijifanyisha na kuwa umbile la kibinadamu. Mungu amezaa, na mwanaye niwa pekee. Zaidi ya hayo mwanaye si mtoto tu bali ni Mungu pia. Huyo mwana ni Bwana Yesu. Asiyeamini hivyo huchukulika kuwa ni kafiri au muasi hivyo ameangamia na atakwenda jehanamu” (Asili ya Majini, Sheikh Dr. Ahmad H. Sakr Uk 54)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa ndipo sura halisi ya huyu shetani  yaani jinni inapojitokeza. Yesu alipokuwa duniani kabla Muhammad hajazaliwa, wala Uislamu haujaanzishwa na Mohamed wala Quran haijaandikwa na wale waarabu wanne Seyidna Abubakar, Omar, Othuman na Ally, Majini yaani mashetani yalipomuona Yesu yalimwita “ Mwana wa Mungu tuna nini nawe? Je, umekuja kututesa kabla ya muhula wetu? (Math 8:28-31) Mwaka 610 B.K majini hayo hayo yakaanza kuwadanganya waislamu kuwa Mwenyezi Mungu hana mwana (Quran 72:1-3) Na bila kuitafakari. Nao wao wanaamini tu kuwa Quran ni maneno ya Mungu bila kupambanua huyo ni Mungu yupi!!.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika Suratul An- Nisaa (Wanawake) 4:120&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“ Shetani hawaahidi ila uwongo…………..”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hii ndiyo sababu Mohammad mtume wa waislamu katika kitabu “ Wakeze Mtume Wakubwa na Wanawe kilichoandikwa na Sheikh Abdallah Saleh Farsy Uk. 12, Mohammad anasema:-&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“ Najikhofia nafsi yangu kuchezewa na mashetani na kuni haribu akili yangu na kunizuga………………”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;aliyasema maneno hayo baada yakubanwa na shetani (jinni) kule pangoni alikokuwa na baada ya hapo akaanza kujiita mtume. Hoja yetu ni mtume wa nani?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika Kitabu cha Ibn Ishaq 132-133&lt;br /&gt;“ Kama huyu shetani (jinni) ambaye amekupagaa wewe ni yule ambaye huwezi kumtoa, tutamtafuta mganga na tutatumia vyote tulivyonavyo kukutibu kwa kuwa mara kwa mara shetani (jinni) humpagaa mtu. Lakini anaweza kuondolewa. Mtume alikuwa akisikiliza  kwa makini”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kisha baadaye na yeye Mohammad  katika Sahihi Muslim Juzuu 4 Hadithi na. 2814 kasema&lt;br /&gt;“ Wala hakuna yeyote katika nyinyi isipokuwa amepewa nguvu zinazotokana na majini. Wakasema (maswahaba) hata wewe mtume wa allah? Akasema hata mimi isipokuwa allah hunirahisishia juu yake hunyenyekea wala hayaniamrishi ila yaliyo mazuri”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa hiyo majini ni ndugu za waislam Q. 46:29- ufafanuzi wake. Katika kitabu Asili ya Majini cha Sheikh Dr. Ahmad H. Sakr Uk 80 anasema “ Imepokewa na Khalid Ibn Walid kuwa kuna wakati alipatwa na ukosefu wa usingizi basi mtume (S.A.W) akamwambia “ Nikufundishe maneno ambayo ukiyasema utapata usingizi? Sema Ewe mola! Wewe ni mola wa mbingu saba na kile kilichofunikwa nazo. Nawewe ni mola wa ardhi na kilichomo humo. Nawe ni mola wa mashetani (majini) na maovu yao. Nakuomba uwe mlinzi wangu dhidi ya viumbe vyako vyote………..”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hadithi  hii inaonesha jinsi allah S.W. alivyo na uhusiano wa karibu na mashetani. Je, yeye ni nani?. Pia katika Q: 21:82, 34:12, 38:37 zinaeleza Allah alivyomtishia majini suleiman na yeye akiwa mlinzi wao hata kuwaadhibu wasiofanya vizuri.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika Quran 19:83 “ Je, huoni ya kuwa tumewatuma mashetani juu ya makafiri wanaowachochea kufanya mabaya?”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Katika Sahihi Muslim vol. IV H. 2667, Sahihi Al Bukhari Vol Vii H. 6243, Sunan Abuw Daud Vol II  H. 2152.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“ Hakika Allah amemkadiria  kila mtu kipimo chake cha zinaa, ambavyo haikosi kutimia kwake”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tumeona kuwa majini au mashetani au pepo mchafu au Ibilisi walikuwa malaika walioasi walipotupwa chini huku duniani walitaka kurudi huko mbinguni lakini walishindwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika Q 72:8-10 (majini) majini yanasema &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“ Nasi tulizigusa mbingu (tulikwenda mbinguni) tukaziona zimejaa walinzi wenye nguvu na nyota (zing’arazo) na hakika tulikuwa tukikaa humo katika baadhi ya makao ili kusikiliza lakini anayetaka kusikiliza sasa atakuta kimondo (kijinga cha moto) kinamvizia. Nasi hatujui kama wanatakiwa shari wale wanaokaa katika ardhi au mola wao anawatakia (heri).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Moja kati ya majina ya Allah ni AL-MUQADIM yaani, wa zamani (majina 99 ya Allah) majini yanajieleza  kuwa hayajui Mungu wao ana watakia mazuri au mabaya wale wakaao duniani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mungu wa mbinguni anasema katika Biblia kitabu  kilichokuweko kabla ya Quran.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yer. 29:11 “ Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi asema BWANA ni mawazo ya mani wala si ya mabaya kuwapa nyinyi tumaini siku zenu za mwisho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Majini (mashetani) yanajua tu kuwa Yesu atayahukumu na hayajui lolote kuhusu mpango wa Mungu kumwokoa mwanadamu toka kwa shetani (majini)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mtume Paul katika 2 Kor 11:14 “ Wala si ajabu shetani mwenyewe hujigeuza awe mfano wa malaika wa Nuru…………..” Pia katika 1 Tim 4:1 “ Basi roho anena wazi wazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine (waislamu)  watajitenga na imani wakisikiliza roho zidanganyazo na mafundisho ya mashetani (majini)” Tafakari Kuu: Allah katuma mashetani (majini) wako katika dini yake ya uislamu, yeye mwenyewe pamoja na wafuasi wake walikuwa wakifanyia kazi Suleiman wa ndani ya Quran na yeye allah S.W. akiwa msimamizi (Foreman)  wao, mwisho wao wote pamoja na allah S.W. mwenyewe ni katika Jehanamu ya moto.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yeye Allah atakuwa nani??? Tafakari wewe ndugu yangu Mkristo shika sana  ulichonacho asije mtu akakunyang’anya!!!.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na wewe rafiki yangu mwislamu okoa roho yako. Nenda kanisani ukajisalimishe upate nusura ya Mwenyezi Mungu!!.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tuandikie:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huduma ya Uinjilisti ya Biblia ni Jibu Tanzania &lt;br /&gt;S.L.P. 45290 Dar es Salaam,Tanzania &lt;br /&gt;Simu: +255 755-680101&lt;br /&gt;E- mail: tcc@yahoo.com&lt;br /&gt;             d_mwankemwa@yahoo.co.uk&lt;br /&gt;         &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;fuatao&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-2580244194898930531?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/2580244194898930531/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=2580244194898930531' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/2580244194898930531'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/2580244194898930531'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2010/06/hivi-unajua-kuwa-majini-mashetani-ni.html' title='HIVI UNAJUA KUWA MAJINI (MASHETANI )NI NDUGU ZA WAISLAMU? (JINNIE (EVIL SPIRITS) HAVE SPIRITUAL RELATION WITH MUSLIMS)'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-1768926556473402446</id><published>2010-06-07T08:30:00.000-07:00</published><updated>2010-06-07T09:26:33.145-07:00</updated><title type='text'>THE SECRET AGENDA OF ISLAM IN EAST AFRICA: BE AWARE</title><content type='html'>On 28th of November, 1989 a summit was held in Abuja Nigeria, whose main objectives was to form an Islamic body which will excute the objectives and movements of Islamic propaganda in African countries. The body is known as Islam in Africa Organization (IAO).The summit with one voice appointed Col.Gaddaf, President of Libya to lead the body.Uganda is already a member of the Organization of Islamic Conference. She joined in 1974, during the fascist Idd Amin era, and to date is still a member.Muslims in Tanzania have not sit back on these movements. They, too,through their media, are still blaming the secular state of Tanzania for removal of the Kadhi (CADI) bill last year.You can hear them shouting " We are maginallized and not respected" Which respect do Muslims of Tanzania need than that mentioned in the provision of article 19 (i-iii) of freedom of worship in our constitution?. Frequent articles in Islamic newspapers bear headlines of these claims.Worse enough, Muslims in Tanzania escape to debate  with other religions on this.I,personally, have tried several times to ask Muslims if they are ready to debate on the Kadhi and OIC issues but all in vain.They want to discuss themselves and feed us the resolution without any question, claiming that they outnumberd other religions and beliefs while is not true.What is the secret behind of all these tireless movements which by the way is against the constitution? The answer is obvious, to excute the Abuja Declaration to take over the entire continent of Africa under Islam regime. God forbid !!!! . Kenya, one of the East African country members is facing the same haddles as Islamic groups are enforcing the constitution referendum to favour their religion i.e to have  Kadhi (Cadi) office in it,regardless their fewness, so that they can obtain special favour from the government comparing to other religion and beliefs. This is too selfish. The Qur'an  in Baqarah, 2:256 SAYS " NO COMPULSION IN RELIGION" DONT YOU READ THIS?&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-1768926556473402446?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/1768926556473402446/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=1768926556473402446' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/1768926556473402446'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/1768926556473402446'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2010/06/secret-agenda-of-islam-in-east-africa.html' title='THE SECRET AGENDA OF ISLAM IN EAST AFRICA: BE AWARE'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-3252886069313358340</id><published>2010-06-04T00:07:00.000-07:00</published><updated>2010-06-04T00:20:45.347-07:00</updated><title type='text'>MOHAMMAD S.A.W MTUME WA WAISLMU, HAJAWAHI, SIYO , NA WALA HATAKUWA MTUME NA NABII WA KWELI</title><content type='html'>Nimesoma kwenye blog ya jamii forums na kuona Waislamu wakiwashawishi watu wengine wamuamini Mohammad kuwa naye ni miongoni mwa manabii na mitume wa Mungu aliye hai, jambo ambalo si kweli.Fuatilia.....&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;WAJUE MANABII WA UONGO&lt;br /&gt;                                                   Na Mwalimu Daniel Mwankemwa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;UTANGULIZI:&lt;br /&gt;        Suala linalohusu kuwajua manabii wa uongo , limekuwa linaleta shida sana kwa watu wengi, kwa sababu manabii hao wa uongo wanapokuja kwa watu kuleta ujumbe wao hudai “ tumetumwa na Mwenyezi Mungu kuleta ujumbe wake na hivyo kuwataka wanadamu  kuupokea, kuuamini na kuufuata”. Inapotokea nabii amekuja kwa mtindo huo na akakutana na watu wasiojua kuwapambanua manabii na mitume kwa misingi ya Neno la Mungu, ndipo ukengeufu hutokea, na makundi ya aina mbalimbali ya imani za uongo hujitokeza.&lt;br /&gt;     &lt;br /&gt;      Kwa hapa kwetu Tanzania,unaposoma katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Ibara ya 19 (i-iii)  utakutana ma maelezo kuwa ,mfuasi wa dini yoyote anao uhuru  wa kubadili dini yake ya awali na kujiunga na dini nyingine anayoona yeye kwake inamfaa. Lakini pamoja na uhuru huo si kila dini (njia) inafaa zingine zinaishia kwenye mauti ya milele. &lt;br /&gt;Mith 14:12 “Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti”. (Angalia pia Mith 16:25).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;      Miongoni mwa wanadamu wanaoitwa nabii na mtume, ni mtu aitwaye Muhammad s.a.w ibn Abdullah,ibn Abdu Mutallib, ambaye ni mtume na nabii katika dini ya Kiislamu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;      Pengine wewe msomaji wa somo hili unaweza kushangaa ni kwa vipi sisi ambao si Waislamu bali Wakristo tuanze kuhoji habari za Muhammad s.a.w  mtume wa Waislamu?. Jibu lake ni kwamba  kitabu cha Qur’an kinachotumiwa na Waislamu kimetutaja sisi Wakristo mara 62 kikitutaka kuupokea ,kuuamini na hatimaye kuufuata ujumbe wa Muhammad s.a.w kwa madai ya kuwa yeye ni nabii na mtume wa mwisho hata kwetu  Wakristo, aliyetumwa na Mungu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;    Tunasoma hayo ndani ya Qur’an  katika Suratul, Baqarah, (ng’ombe jike wa manjano), 2: 62  “Katika walioamini (Mitume ya zamani huko ) na Wayahudi na Wakristo na Wasabai, yoyote miongoni mwao atakayemwamini Mwenyezi Mungu (Sasa kama anavyosema Nabii Mohammed ) na akaamini siku ya mwisho na akafanya vitendo vizuri basi watapata thawabu zao kwa Mola wao, wala haitakuwa khofu juu yao wala hawatahuzunika”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;     &lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kwetu sisi kama  Wakristo japo katika aya hii tumetajwa , kuna swali ambalo tunajiuliza kuhusu unabii na utume wa Muhammad nalo ni hili “ HIVI MWENYEZI MUNGU ALISAHAU NINI KATIKA KAZI YAKE YOTE KAMILIFU YA KUMKOMBOA MWANADAMU  KUTOKA KATIKA DHAMBI MPAKA AMLETE MUHAMMAD S.A.W?”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nabii ni mtu gani? Nabii ni mtu aliyeteuliwa rasmi kwa vigezo vya Kiungu ili kuleta ujumbe wa Mungu kwa wanadamu, kwa maneno mengine nabii ni msemaji wa siri za Mungu.&lt;br /&gt;Nabii: Ni mtu ambaye ni msemaji wa Mungu (a mouthpiece of God) .Husimama kati ya Mungu na binadamu, mwenye jukumu la kupeleka  ujumbe wa Mungu kwa watu. Nabii anapokuwa msemaji wa Mungu, huvuviwa na Roho wa Mungu, bila ujumbe wake kuwa na makosa. Nabii hujizuia kabisa utashi wake, nafsi yake,,na mawazo yake, anapokuwa anatoa ujumbe wa Kinabii toka kwa Mungu. Wakati mwingine Mungu mwenyewe hutia maneno yake vinywani mwao (Kum 18:18, Yer 1:9). Nabii ni mtumishi wa Mungu (Zekaria 1:6) na mjumbe wa Mungu 2 Nyak 36:15). Unabii wao umegawanyika katika makundi matatu: Unabii unaoelezea hatima ya Waisrael, Nabii zinazohusiana na ujio wa Masihi, na nabii zinazoelezea mambo yajayo (Eschatological prophets). Kwa hiyo Sheria na Manabii inahusiana na Torati (Pentateuch) yaani Mwanzo, Kutoka, Mambo ya Walawi, Hesabu na Kumbukumbu la Torati. Na manabii ni vile vingine vyote visivyo kuwa Torati.&lt;br /&gt;Kitabu cha nabii Amos 3:7 “Hakika Bwana MUNGU hatafanya neno lolote, bila kuwafunulia watumishi wake manabii siri yake”Neno nabii asili yake ni katika lugha ya Kiebrani na maana yake mwonaji.   1Sam 9:9 “ Hapo zamani  katika Israel, mtu alipokwenda kuuliza neno kwa Mungu, husema hivi, Haya! twende kwa mwonaji; maana mtu aitwaye sasa Nabii hapo zamani aliitwa mwonaji”.&lt;br /&gt;        Katika mstari huo hapo juu unatuonesha kuwa manabii wa kweli wa Mungu ni lazima chanzo cha ufunuo au ujumbe wao kiwe Mwenyezi Mungu mwenyewe (Roho Mtakatifu),  au ndoto kutoka kwake, au maono kutoka kwake (Hes 12:6), au kupitia malaika watakatifu  (Dan 8:15-21) . kinyume na hapo ni nabii wa uongo .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tahadhari ya Bwana Yesu: Bwana Yesu alipokuwa hapa duniani alituonya kuhusu kuwatambua manabii na mitume wa uongo kabla Muhammad hajazaliwa (amezaliwa 570 B.K), wala kabla Uislamu haujaanzishwa na Muhammad mwaka 610 B.K, wala kabla ya kuwepo kitabu kinachoitwa Qur’an. Tunayasoma maonyo hayo  ya Bwana Yesu    katika &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mathayo 7:15-16   “Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa mwitu wakali, mtawatambua kwa matunda yao”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mathayo 24:11-13  “Na manabii wengi wa uongo watatokea na kuwadanganya wengi na kwasababu ya kuongezeka maasi, upendo wa wengi utapoa. Lakini mwenye kuvumilia mpaka mwisho, ndiye atakayeokoka”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;    Mitume wa Bwana Yesu  walisisitiza sana wakikazia kuhusu onyo la Yesu juu ya kuwajua manabii na mitume wa uongo .&lt;br /&gt;1Yohana 4:1-3,15  “Wapenzi msiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, ya kwamba zimetokana na Mungu kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani.Katika hili mwamjua Roho wa Mungu; kila roho ikiriyo kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili yatokana na Mungu. Na kila roho isiyomkiri Yesu haitokani na Mungu. Na hii ndiyo roho ya mpinga Kristo ambayo mmesikia kwamba yaja na sasa imekwisha kuwako duniani. 15 “ Kila akiriye ya kuwa Yesu ni Mwana wa Mungu, Mungu hukaa ndani yake naye ndani ya Mungu” &lt;br /&gt;  &lt;br /&gt;     Vigezo hivi tulivyopewa na Biblia Takatifu kuwajua manabii na mitume wa uongo ni muhimu sana tukavichunguza katika maisha ya wale wanaoitwa nabii au mtume .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;   Nabii wa kweli hupata ufunuo wake kwa njia ya Roho Mtakatifu:- 2Petro 1:20-21.” Mkijua neno hili kwanza,ya kwamba hakuna unabii katika maandiko upatao kufasiriwa kama apendavyo mtu fulani tu.Maana unabii haukuletwa popote kwa mapenzi ya mwanadamu;bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu,wakiongozwa na Roho Mtakatifu”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1 Petro1:10-11 “Katika habari ya wokovu huo manabii walitafuta tafuta na kuchunguza chunguza ambao walitabiri habari za neema itakayowafikia ninyi. Wakatafuta ni wakati upi na wakati wa namna gani ulioonywa NA ROHO WA KRISTO ALIYEKUWA NDANI YAO ambaye alitangulia kuyashuhudia mateso yatakayompata Kristo na utukufu utakaokuwako baada ya hayo…..” (maneno ya msisitizo kwa herufi kubwa ni ya mwandishi)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ufunuo 19:10 “Nami  nikaanguka mbele ya miguu yake, ili nimsujudie; akaniambia, Angalia, usifanye hivi; mimi ni mjoli wako na wa ndugu zako walio na ushuhuda wa Yesu. Msujudie Mungu. Kwa maana ushuhuda wa Yesu ndiyo roho ya unabii”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;       Hivyo manabii walisema ndani yao wakiongozwa na Roho wa Kristo mwenyewe, kabla hajaja ulimwenguni  katika mwili. Je Muhammad s.a.w ni miongoni mwao hata tuuamini ujumbe wake?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Muhammad hakujua kusoma wala kuandika&lt;br /&gt;Qur’an 7:157&lt;br /&gt;Ambao wanamfuata mtume nabii aliye ummy (asiyejua kusoma wala kuandika) na juu ya hivi atafundisha mafundisho hayo ya ajabu ya uislamu……….&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na ushahidi mwingine unapatikana katika kitabu cha Maisha ya nabii Muhammad uk 8 kilichoandikwa na Sheikh Abdallah Saleh Al-Farsy, tunasoma kama ifuatavyo katika kipengele cha kujifunza kwake;-&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Habari ya kusoma haijakuwako katika nchi ya hijazi, hivyo mtume aliondokea kama Makureshi wengine bila ya kujua kusoma wala kusoma kilichoandikwa. Elimu yao ilikuwa kujifundisha mambo yanayohusu maisha yao ya kibedui, kama vita, kutunga mashairi ya kujisifu ushujaa wao na kutunga hotuba zinazoweza kuharakisha watu wapigane bila ya kufikiri.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo basi Muhammad katika maisha yake hakujua kusoma wala kuandika na ndivyo alivyoishi katika maisha yake yote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je Yesu alijua kusoma na kuandika? Luka 4:16-17. HOJA ya Waislamu wanasema katika Yoh 7:14 Yesu akiwa  Yerusalemu watu wakashangaa kuwa amepataje elimu ambaye hakusoma? Ukweli ni kwamba Yerusalemu siko alikokulia Yesu. Yeye Yesu amekulia Nazareti ambako wanamfahamu kuwa anajua kusoma na ndiyo sababu alipewa chuo cha nabii Isaya ili akisome.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;JINSI MUHAMMAD (S.A.W) ALIVYOPATA UTUME NA WAHYI (UFUNUO) WAKE&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;        Ufunuo aliokuja nao Muhammad s.a.w , mtume wa Waislamu, ni tofauti sana na mitume wote walioishi kabla yake wanaotajwa ndani ya Biblia Takatifu. Tofauti yake ni kwamba manabii na mitume wote waliotajwa ndani ya Biblia Takatifu, wameandika watu mbalimbali wapatao 40 kwa miaka mingi sana inayokaribia 1500, lakini ufunuo wao ni wa aina moja (it has comformity). Ule unabii wa Agano la Kale umetimizwa katika Agano Jipya. Hii ni kwa sababu chanzo cha ufunuo huo ni kimoja, Roho Mtakatifu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;       Lakini kwa upande wa Muhammad s.a.w , mtume wa Waislamu yeye chanzo cha ufunuo na hatimaye utume wake ni masuala yenye utata sana ambao hata wafuasi wa dini hiyo na wao hawajui kwa hakika ukweli ni upi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Hebu tuangalie kwa ufupi utata huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Muhammad s.a.w alipotimiza umri wa miaka 38 alihama toka nyumbani kwake, akahamia katika mapango yaliyokuwa hapo karibu na mji wa Makka. Alipofikisha umri wa miaka 40 siku moja alitokewa na  kiumbe ambacho Waislamu leo wanakiita Malaika Jibril.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wahyi (ufunuo) uliokuja kwa Muhammad alisikia makengele,uso kuwa mwekundu,jasho kumtoka. Katika Bukhar, Hadithi na 2, Juzuu na 1,Al-Lu’lu Kitabu cha 3.Uk. Na.874 Hadithi na 1505 “Hadithi ya Aisha r.a mama wa waumini amesema, kuwa  Al Harith ibn Hisham r.a alimuuliza mtume wa Allah s.a.w ‘ Ewe mtume wa Allah hivi wahyi (ufunuo) hukujia vipi?’ mtume wa Allah s.a.w akajibu, “ Wakati mwingine hunijia kama mlio wa kengele, na aina hiyo ndiyo ngumu zaidi kwangu, inaondolewa hali hiyo kwangu wakati tayari nimeshapata wahyi. Na nyakati nyengine malaika anakuja kwangu akiwa katika mfano wa mtu, kwa hiyo ananieleza na ninayazingatia aliyoyasema.” Aisha r.a alisema , Na hakika nilimwona unamshukia wahyi siku ya baridi kali na ilipomuondoka hali hiyo, paji lake la uso lilichuruzika jasho.”&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Qurani 53:2 – 6 Suratul Najm (Nyota)  “Kwamba mtu wenu huyu Nabii Muhamad (hakupotea kwa ujinga) na wala hakukosa (Na hali ya kuwa anajua). Wala hasemi kwa matamanio (ya nafsi yake). Hayakuwa haya (anayosema) ila ni wahyi (ufunuo) uliofunuliwa (kwake). Amemfundisha (malaika) mwenye nguvu sana.  Mwenye uweza na yeye (huyu Jibril) akalingana sawa sawa.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huyu malaika Jibril ndiye Waislamu wanasema alimtokea Muhammad kule pangoni na kwamba yeye huyo malaika Jibril ndiye Roho Mtakatifu. Tunaposoma ufafanuzi wa aya ya 2:87 ya Suratul Baqarah,  uliyomo ndani ya Qur’an unasema “Kwa Waislamu Roho Mtakatifu ni Malaika Jibril si yule wanaodai Wakristo kuwa ni mmoja wa asili ya utatu (Trinity)”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jambo ninalopenda ulijue ni kwamba Waislamu wote hawakubahatika kupewa elimu ya Roho. Hii ni kuanzia mtume na nabii wao Muhammad . Tunasoma hayo katika Qur’an 3:7 “Yeye ndiye aliyekuteremshia kitabu (hiki Qur’an) ndani yake zimo aya Muhkam (nyepesi kufahamika) ambazo ndizo msingi (asili) wa kitabu (hiki) na ziko nyingine Mutashabihat (zinababaisha kama habari za akhera,za peponi na motoni na mengine ambayo yamekhusika na Roho).Wale ambao nyoyoni mwao mna upotofu wanafuata zile zinazo babaisha kwa kutaka kuwaharibu watu na kutaka kujua hakika yake vipi; na hakuna ajuaye hakika yake vipi ila Mwenyezi Mungu. Na wale waliozama katika ilimu husema:”Tumeziamini,zote zimetoka kwa Mola wetu.”Na hawakumbuki isipokuwa wenye akili.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Qur’an 17:85 Suratul Ban Israil (Wana wa Israeli). “Na wanakuuliza habari ya roho.Sema roho ni jambo lililohusika na Mola wangu (Mwenyezi Mungu),Nanyi hamkupewa katika ilimu (ujuzi) ila kidogo kabisa.(Nayo ni ilimu ya vitu visivyokhusika na roho”).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;        Hivyo katika Uislamu elimu ya Roho hawana kwa mujibu wa Qur’an. Hii ndiyo sababu mara nyingi wao hushughulikia sana mambo ya nje  (externalistics) zaidi kuliko ya Rohoni k.m kutawadha na kupandisha maji puani wakiamini wamemtoa Shetani aliyekuwa ndani ya pua.                                           Katika kitabu kiitwacho Al-Lu’lu’ wal-Marjan, Juzuu 1. Hadithi na 183 uk. 96 inasomeka hivi   “Amesimulia Abu Huraira (r.a), Mtume (s.a.w) alisema, “Mmoja wenu anapoamka kutoka usingizini, basi atawadhe na apandishe maji puani na apenge mara tatu, kwa sababu Shetani alilala ndani ya tundu za pua yake”. (Bukhari, Hadithi, Na.516 Juzuu 4)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;  Baada ya kufahamu jinsi Waislamu wasivyokuwa na elimu ya Roho, ndipo tunapoanza kuhoji huyo malaika anayeitwa Jibril ni nani ? Je ni malaika wa Mungu wa Kweli YEHOVA?.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;   Biblia Takatifu inaeleza juu ya malaika walioasi mbinguni kisha wakafukuzwa na kutupwa huku chini. 1Petro 2:4  “Kwa maana ikiwa Mungu hakuwaachia “malaika waliokosa” bali aliwatupa shimoni akawatia katika vifungo vya giza walindwe hata ije siku ya hukumu”. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mafundisho haya ya Biblia yanatuonesha kuwa kuna kundi moja la malaika liliasi na likafukuzwa na hadi sasa kundi hilo linasubiri hukumu. Kundi hilo leo linaitwa Shetani,Majini au Mapepo wachafu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini tusomapo kitabu cha Qur’an , kitabu kilichokuja baadaye sana karne ya 7    (610 B.K) ,baada ya kitabu cha Biblia, ndani yake tunapata taarifa tofauti kuhusu malaika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Qurani 32:13 Suratul As – Sajdah (Kusujudu) “Na tungalitaka tungempa kila mtu uwongofu wake (kwa lazima kama tulivyowapa malaika...”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ufafanuzi wa aya ya 13 ulio ndani ya Qurani  unasomeka hivi:.&lt;br /&gt;“Angetaka Mwenyezi Mungu angemuumba binadamu kama malaika hawezi kufanya mabaya, maumbile yake ni kufanya mema tu; kwa hiyo halipwi kwa mema yake hayo kwani hayaonei taabu katika kuyafanya.  Lakini binadamu ameumbwa kwa uweza wa yote mawili sawasawa na raha yake zaidi ni kufanya mabaya”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;         Aya hii  na ufafanuzi wake, vinaeleza kuwa malaika wote  wa Mungu wa Muhammad ni wema hakuna aliyekosa, na kuwa miongoni mwa malaika hao mmojawao ndiye aliyemtokea Muhammad na kumpa utume na ufunuo wa Qur’an. Sasa hebu tuchunguze kule pangoni alikokuweko Muhammad ili kupata utume alitokewa na kiumbe gani?. Tutaongozwa na vitabu vya dini ya Kiislamu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;        Katika kitabu kiitwacho: Maisha Ya Nabii Muhammad s.a.w uk 16-17 kilichoandikwa na Sheikh Abdullah Saleh Al-Farsy, tunasoma kama  ifuatavyo;-&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata siku moja- katika mwezi wa Ramadhani mwezi 17, Jumatatu katika mwaka wa 40 ½ wa umri wake- mtume alimwona mtu kamsimamia mbele yake bila ya kumwona wapi katokea, akamwambia; “soma”. Mtume akamjibu; “Mimi sijui kusoma kwani sijapata kujifundisha kusoma.” Akaja akamkamata akambana, akamwambia tena; “soma,” Mtume akamjibu jawabu yake ileile. Hata mara ya tau akamwambia; “soma- Iqraa Bismi Rabbik.” Akamsomea sura hiyo ya 96 mpaka kati yake. Kisha mtume akaisoma kama alivyosomewa. Hii ndiyo sura ya kwanza kushuka katika Qur’an, ingawa haijawekwa mwanzo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mara, yule mtu (Malaika) akaondoka machoni mwake- asimwone kenda wapi. Na mtume naye akarejea kwake-khofu imemshika. Alipofika nyumbani, Bibi Kadhija alidhani ana homa, akamfunika maguo gubigubi na akakaa mbele yake akimsikiliza anavyoweweseka. Hata homa ilipomwachia alimweleza Bibi Kadhija yote yaliyomtokea; na Bibi Kadhija akamtuliza moyo wake, akamyakinishia ya kuwa hapana lolote baya litakalomzukia. Mara bibi huyu akaondoka akenda kwa jamaa yake – Bwana Waraqa bin Naufal- akampa habari yote iliyompata mumewe. Naye akamwamrisha amwite. Na mtume akenda akamweleza habari yake yote. Bwana Waraqa akamwambia; “ Huyo ndiye Jibril aliyemshukia Nabii Musa na Nabii Isa. Basi jibashirie kuwa wewe ni mtume wa umma huu, nami natamani kuwa hai nikuone unavyosimama kuwatengeneza jamaa zako; Inshaallah nitakuwa mkono wako wa kulia” Wakarejea kwao na khofu yote imemtoka”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;       Alipokuwa pangoni alichezewa na Shetani: Katika kitabu kiitwacho “ Wakeze Mtume Wakubwa Na Wanawe” kilichoandikwa na Sheikh Abdullah Saleh Al Farsy uk.12 tunasoma maneno haya&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Basi Mtume akafanya hofu akarejea kwa mkewe akamhadithia; na pale pale homa kubwa kabisa ikampanda akataka afunikwe maguo. Mara akawa anatetemeka kwa nderema na anaweweseka na kusema “Najikhofia nafsi yangu kuchezewa na shetani na kuniharibu akili yangu na kunizuga”.  Bibi Khadija palepale alimdakiza akamwambia; “ Wacha hayo; Siyo yatakayokuwa hayo. Wewe huwezi kuchezewa na mashetani. Shetani hawezi kumchezea mtu mwenye sifa zako. Wewe unatazama vyema jamaa zako, unachukuwa mizigo ya hata watu wasiokuwa wako, unawadhihirishia watu sifa zako nzuri ambazo hakuna mwenye nazo. Unafanya hivi na unafanya hivi. Furahi ndugu yangu. Tua moyo wako, Wallahi! Mimi naona umekwishakuwa mtume”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;     Katika tukio hili lililompata Muhammad akiwa pangoni , ndipo Waislamu wote ulimwenguni wanapolieleza kuwa hapo ndipo Muhammad s.a.w alipoletewa wahyi (ufunuo) na kupewa unabii na utume. Lakini unapotafakari juu ya ujumbe huo utaona kuwa hata yeye mwenyewe hajui nini kilichokuwa kimemtokea kule pangoni.  Ndiyo maana tunasoma kuwa alipofika nyumbani kwake mkewe Bi. Khadija alimfunika nguo mumewe akidhani ana homa. Muhammad alimweleza mkewe kilichomtokea kuwa ni “Shetani” hakumsema malaika yeyote kama Waislamu wanavyotaka kutuaminisha leo. Kwa sababu kama angekuwa ni malaika kama tunavyosoma ndani ya Biblia ,asingesita kujitambulisha kwa Muhammad kuwa yeye ni nani. Hii ni hoja ya kwanza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;    Hoja ya pili tunaona kuna mtu anaitwa Waraqah ibn Naufal, binamu yake na mke wa Muhammad s.a.w Bi Khadija. Yeye Waraqah anamwambia Muhammad huyo aliyekutokea ni malaika Jibril. Basi jibashirie kuwa wewe ni mtume wa umma huu !!!!!   Je alikuweko pangoni wakati  Muhammad s.a.w akitokewa na kiumbe asichokijua?.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;   Hoja ya tatu tunaona hata huyo mkewe Muhammad anamwambia mumewe utume huo !!!!!!! Je na  yeye alikuweko pangoni? Kama hakuweko ni nani aliyemwambia kuwa  yule ni malaika Jibril ikiwa  Muhammad mwenyewe aliyetokewa alisema nimetokewa na Shetani? Tafakari&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;   Katika kitabu kiitwacho  Tafsir Al-Kashif, cha Muhammad Jawad Mughniyyah, uk74  paragrafu ya 7 inasomeka“ Hakuna njia ya kumjua Iblis, Shetani na Jini, isipokuwa kwa njia ya wahyi (ufunuo) tu”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Qurani  Suratul Sad  38:69  Muhammad amenukuliwa akisema  “Sikuwa na ilimu ya viumbe watukufu(Malaika)…&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;       Kwa sababu ya Muhammad s.a.w kutowajua malaika kwake yeye anasema unapomwona punda akilia basi kamwona Shetani. Katika Kitabu kiitwacho Mkweli Mwaminifu, Juzuu 3-4 Hadith 789 uk 38 “ Punda akilia kamwona Shatani”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;       Jambo hilo ni tofauti na jinsi Biblia Takatifu inavyoeleza kuhusu punda. Mungu anaweza kumtumia hata punda kuongea na wanadamu ili kuwajulisha ujumbe wake. Katika kitabu cha Hesabu 22:22-31 tunasoma habari ya Balaamu jinsi Mungu alivyomtumia punda kumwambia Balaamu asiendelee na safari yake , baada ya punda huyo kumwona malaika wa Bwana akiwa ameshika upanga na amesimama mbele yao akiwa amezuia njia aliyotakiwa kupita. Punda alimwambia Balaamu ule msitari wa 30-31 “ Yule punda akamwambia  Balaamu, Je mimi si punda wako, nawe umenipanda maisha yako yote hata leo? Nimezoea kukutenda hayo? Akasema La!. Ndipo Bwana akafunua macho ya Balaamu, akamwona malaika wa BWANA amesimama njiani, ana upanga mkononi mwake, umekwisha kufutwa; naye akainama kichwa, akaanguka kifudufudi”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inaonekana kwa tukio hili lililomtokea Balaamu, Mungu alimfunua macho yake akamwona malaika. Lakini kwa Muhammad yeye anachokiona ni Shetani tu. Na ndiyo maana anasema punda akilia amemwona Shetani&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;      Kwa hiyo kama ufunuo wa Muhammad unaanza na Shetani kama vitabu sahihi vya dini ya Kiislamu vinavyoeleza, kwa mujibu wa ufafanuzi wa kitabu hicho cha Tafsir Al Kashif, inaonesha kwamba ufunuo, unabii na hata utume  wa Muhammad una walakini mkubwa ukilinganisha na ujumbe wa manabii na mitume waliotajwa ndani ya Biblia Takatifu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;    Katika Biblia shetani ametajwa kuwa anaweza kujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru. &lt;br /&gt;2 Wakorintho 11:13-15  “Maana watu kama hao ni mitume wa uongo, watendao kazi kwa hila wanaojigeuza wawe mfano wa mitume wa Kristo. Wala si ajabu, maana shetani mwenyewe hujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru. Basi si neno kubwa watumishi wake nao wakajigeuza wawe mfano wa watumishi wa haki, ambao mwisho wao utakuwa sawasawa na kazi zao”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;        Muhammad akiwa Medina aliulizwa na Wayahudi ikiwa ufunuo wake umetoka kwa Mungu wa Kweli kwa kumtaka atoe sifa za manabii. Akijibu swali hilo alisema: &lt;br /&gt;Mkweli Mwaminifu  Juzuu 3-4 Uk.63.Hadithi Na. 880. “Kasema Mtume (s.a.w):- (Mambo) mane ya sheria za mitume (Kuwa na) na haya,na kujipaka mafuta mazuri,na kuowa (wake),na kupiga mswaki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hizi si sifa za Ki-Mungu kwa nabii na mtume bali ni za kibinadamu tu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;        Manabii na watu mbalimbali  katika Biblia hawakuona haya. Soma Isaya 50:7 “ Maana Bwana MUNGU  atanisaidia; kwa sababu hiyo sikutahayari, kwa sababu hiyo nimeukaza uso wangu kama gumegume, nami najua ya kuwa sitaona haya”.  Zaburi 34:5 “ Wakamwelekea macho wakatiwa nuru, Wala nyuso zao hazitaona haya” Zab 119:46 “ Nitazinena shuhuda zako mbele ya wafalme, Wala sitaona aibu”  Warumi 1:16 “ Kwa maana siionei haya Injili; kwa sababu ni uweza wa Mungu uuletao wokovu, kwa kila aaminiye kwa Myahudi kwanza , na kwa Myunani pia” 1Petro 4:16 “ Lakini ikiwa kwa sababu ni Mkristo asione haya, bali amtukuze Mungu katika jina hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;       Zaidi ya hayo tunaona Muhammad alirogwa. Kurogwa ni hali ya mtu kuathirika na  nguvu za giza yaani uchawi.. Je nabii au mtume wa Mwenyezi Mungu wa Kweli anaweza kurogwa?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;       Katika Qur’an Suratul Ban-Israel, 17:47 “ Tunajua sana, sababu wanayosikiliza, na wanaponong’ona, wanaposema hao madhalimu. Nyinyi hamfuati isipokuwa mtu aliyerogwa”&lt;br /&gt;       Pia katika Suratul Falaq, 113:1-5 “ Ninajikinga kwa mola wa ulimwengu wote na shari ya Alivyoviumba, na shari ya giza la usiku liingiapo, na shari ya wale wanaopulizia (vivia) mafundoni (wakavunja) mashikamano yaliyo baina ya watu yaani shari ya mafatani, Na shari ya  hasidi anapohusudu”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;          Tunasoma  tukio hilo katika ufafanuzi wake uliyomo ndani ya Qur’an chapa ya nane uk.977 unaofafanua Sura ya 113-114  “Athari ya uchawi juu ya mtume (s.a.w). Swali la pili lijitokezalo kuhusu sura mbili hizi ni kwamba kwa mujibu wa hadithi uchawi ulifanywa dhidi ya mtume (s.a.w)  naye akawa mgonjwa, na ili kuiondoa athari hiyo ya uchawi Jibril (a.s) alikuja  na kumpa  maelekezo Mtume (s.a.w) ya kusoma sura mbili hizi. Watafiti wengi zamani na wa sasa wamelifanyia upinzani jambo hilo, kwamba ikiwa hadithi zitakubaliwa, basi mfumo wote wa sharia  utakuwa ni wa kutiliwa shaka, kwa sababu kama  mtume (s.a.w)  aliweza kuathirika kwa uchawi, na kwa mujibu wa hadithi hizi kweli uchawi huo ulionesha athari yake, basi hatuwezi kukaidi au kukana hadi kiwango gani maadui waliweza kumfanya Mtume (s.a.w) aseme na atende mambo kwa nguvu ya uchawi, na katika mafundisho yake mambo mangapi yatoka kwa Allah na mangapi yatokana na athari ya uchawi juu yake. Si hiyo tu, bali pia wasema kuwa baada ya kuyatambua hayo kuwa ni kweli katu haitawezekana hata kule kukaidi kuwa (s.a.w) alishawishiwa kudai utume kwa mauzauza ya kinjozi kuwa alimjia malaika. Pia wanasema hadithi hizi zapingana na Qur’an, na kama ilivyo katika Qur’an kuwa tuhuma hiyo  batili kwa makafiri ilivyotajwa kuwa mtume s.a.w amerogwa naye ameathirika na uchawi: wanaposema hao madhalimu, ‘Ninyi hamumfuati isipokuwa mtu aliyerogwa’.” (17:47), lakini hadithi hizi zinathibitisha madai ya makafiri kuwa kwa kweli aliathirika na kuongozwa na uchawi…...Kadri historia inavyohusika,ukweli kuwa kiasi fulani cha athari ya uchawi juu ya Mtume (s.a.w) ni hakika iliyothibiti; na kama kwa ustadi wa ubishi inawezekana kuthibitisha kuwa kweli.Limesimuliwa jambo hilo na Bukhari, Muslim, Nasai, Ibn Majah, Ahmad, ‘Abdur Razzaq, Humaid, Baihaqi, Tabarani, Ibn Sa’d, Ibn Marduyah, Ibn Abi Shaibah, Hakim, Abd bin Humaid na Muhadithina wengine toka kwa Bi. ‘Aisha (r.a), Zaid bin Arqam, Ibn  ‘Abbas kupitia silsila nyingi mno kiasi kwamba jambo lenyewe limefikia hali ya ufululizo kamili, isipokuwa kila Hadithi, yenyewe ni ripoti kamili. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;        Hii ni uthibitisho mwingine mzito unaoonesha kuwa utume wa Muhammad una utata. Ikiwa na wao Waislamu kwa mujibu wa hadithi hizi hawajui ni mambo mangapi Muhammad aliyoyasema yanatoka kwa Allah na mangapi aliyasema akiwa ameshinikizwa na wachawi , Je ufunuo na utume wake utakuwa umetoka kwa Mungu wa Kweli?   Tafakari !!1&lt;br /&gt;Ndani ya Biblia Takatifu hakuma kurogwa kwa mtu wa Mungu. Hesabu 23:23 “ Hakika hapana uchawi juu ya Yakobo, Wala hapana uganga juu ya Israel. Sasa habari za  Yakobo na Israel zitasemwa , Ni mambo gani aliyoyatenda Mungu!”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;        Kwa mujibu wa kitabu cha Biblia Takatifu, manabii na mitume wa kweli wa Bwana Mungu wanatoka katika taifa la Israel.&lt;br /&gt; Kitabu cha Ezekiel 13:9 “ Na mkono wangu utakuwa juu ya manabii wanaoona ubatili, na kutabiri uongo;hawatakuwa katika mashauri ya watu wangu, wala hawataandikwa katika maandiko ya nyumba ya Israel, wala hawataingia katika nchi ya Israel; Nanyi mtajua ya kuwa mimi ndimi Bwana MUNGU” .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;        Pia kwa mujibu wa kitabu cha Qur’an manabii na mitume ni lazima watoke kwa Yakobo ambaye ni mtoto wa Is-haqa ambaye naye ni mtoto wa Ibrahim. Qur’an Suratul  Al-Ankabuut, (Buibui), 29:27 “ Na tulimpa  (kumzaa nabii) Is-haqa na (kumjukuu nabii) Yakubu na tukauweka katika kizazi chake unabii na (kupata) kitabu, na tukampa ujira wake katika dunia; naye katika akhera kwa yakini atakuwa miongoni mwa watu wema”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;        Aya hii, inaendelea kusisitiza kuwa ni kupitia kizazi cha Yakobo ndiko uliko unabii na kupata kitabu. Kwa bahati mbaya Muhammad ibn Abdullah, hatoki katika kizazi hicho wala kwa Ishmael kama wanavyodai Waislamu . Kwa sababu Ishmael ni Mwebrania kama baba yake mzee Ibrahim alivyo Mwebrania (Mwanzo 14:13) na Muhammad ni mwarabu kutoka kabila la Maqureysh. Kwa kutambua hilo ndipo tunamwoma Muhammad akiwaonya watu wengine wajiepushe na watu wa kabila lake. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;        Sahih Al-Bukhari Vol.1.Hadithi Na. 801 na Al-Lu’lu Kitabu cha 3. Uk.1089.Hadithi Na.1846 inasomeka“Hadithi ya Abu Huraira (r.a) amesema ,“Mtume wa Allah (s.a.w) amesema,Kabila hili la Makuraish litawateketeza watu.’ Wakauliza, ‘Unatushauri nini?’ Akasema, Nashauri watu wajitenge nalo.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kumzamisha nzi kwenye kinywaji&lt;br /&gt;Bukhar vol. 4 Hadith 537 “ Narrated Abu Huraira: The Prophet said: If  a house fly falls in the drink of any one of you, he should dip it (in the drink) for one of its wings has a disease and the other has the cure for the disease”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tafsiri: Ilisimuliwa na Abu Huraira: Nabii alisema kama nzi akiangukia ndani ya kinywaji cha mmoja wenu, anapaswa kumzamisha  kabisa (ndani ya kinywaji) kwa kuwa bawa lake moja lina ugonjwa  na bawa lake jingine lina dawa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mitume wa Yesu ndani ya Biblia Takatifu walikwisha kutuonya kuhusu uchafu huo. Katika 2 Kor 7:1 “Basi, wapenzi wangu, kwa kuwa tuna ahadi hizo, na tujitakase nafsi zetu na uchafu wote wa mwili na roho, huku tukitimiza utakatifu katika kumcha Mungu”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;         Miongoni mwa mafundisho ya Muhammad ni kwamba kuna mambo kumi yanayokamilisha Uislamu nayo tunayasoma  katika kitabu kiitwacho  Mkweli Mwaminifu , Kilichoandikwa na Sheikh Said Moosa Al-Kindy wa Muscut, Juzuu 3-4 Uk 63.Hadithi Na.880 “ Kasema Mtume (s.a.w) (Mambo) kumi ya Uislamu (yanayokamilisha Uislamu):Kukata masharubu,na kuziweka ndevu,nakuziweka ndevu (kutozinyoa) ndevu,na kupiga mswaki,kusafisha ndani ya pua kwa maji,na kukata kucha,kuosha mikono baina ya vidole,na kung’oa (au kunyoa) nywele za kwapani,na kunyoa nywele za mbeleni (mavuzi),na upungufu wa maji. La kumi,kasema sahaba aliepokea hadithi hii kuwa  nimesahau,lakini kasema bila shaka la kumi ni “kutahiriwa.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;         Kwa mujibu wa Biblia manabii na mitume wanathibitishwa kwa njia ya miujiza. &lt;br /&gt;Kutoka 14:21” Musa akanyosha mkono wake juu ya bahari,BWANA akaifanya bahari irudi nyuma kwa upepo wa nguvu utokao mashariki,usiku kucha,akaifanya bahari kuwa nchi kavu”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Matendo 19:11-12 “Mungu alifanya kwa mikono ya Paulo miujiza ya kupita kawaida . Hata wagonjwa wakaletewa leso na nguo zilizotoka mwilini mwake magonjwa yao yakawaondokea, pepo wachafu wakawatoka”. Tazama pia Matendo 16:16-18, 20:7-12 na Matendo 13:6-12.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;        Qur’an nayo inathibitisha kuwa manabii na mitume ni lazima wafanye miujiza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Qurani 40:78 Suratul Al-Muumini [Waumini] inasomeka “Na kwa yakini tumewatuma mitume kabla yako wengime katika wao tumekusimulia (majina yao na habari zao) na wengine hatukukusimulia na haikuwa kwa mtume yoyote kuleta muujiza  wowote ila kwa idhini  ya Mwenyezi Mungu”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;         Muhammad hakupewa kufanya muujiza wowote ili kuthibitisha madai ya unabii na utume wake.&lt;br /&gt;Qur’an 29:50 Suratul Al-Ankabuut (Buibui). “Na walisema “Mbona hakuteremshiwa miujiza kutoka kwa Mola wake? Sema miujiza iko kwa Mwenyezi Mungu tu (akitaka atakuteremshieni na kama hataki basi),nami hakika ni mwonyaji mbainishaji (dhahiri tu).”  (Taz. Qur,an 6:35-37 13:7,)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;          Katika Qur’an iko aya ambayo tunapaswa tuitafakari wote kwa pamoja.Katika Surat An-Nisaa, (wanawake),  4:79 “Wema uliokufikia unatoka kwa Mwenyezi Mungu na ubaya uliokufikia unatoka nafsini mwako, mwenyewe umefanya mambo hata yakakufika hayo. Nasi tumekupeleka kwa watu kuwa mtume na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha (hapaitajiwi shahidi mwingine)”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;           Aya hii inaonesha kuwa Muhammad mtume wa Waislamu, alipelekwa kwa watu kuwa mtume, huku Mwenyezi Mungu akiwa shahidi tu. Siku zote shahidi si mtendaji bali ni mwonaji tu wa tendo lililotendeka.Hoja yetu tungependa kuwajua hao watu waliompeleka Muhammad kwa watu ni akina nani?. Kwa sababu tumeona kule nyuma baada ya Muhammad kutoka pangoni, mkewe Bi. Khadija anamwambia Muhammad kuwa “utume huo!!!!!!! Na Bwana Waraqah ibn Naufal akimwambia Muhammad kuwa “ basi jibashirie kuwa wewe ni mtume wa umma huu” kabla ya Qur’an .Je hao si wale “Nasi tumekupeleka” wanaotajwa kwenye aya hiyo hapo juu? Tafakari!! .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;          Waislamu hudai kuwa Muhammad ametumwa na Mwenyezi Mungu wao, ambaye ni Mfalme wa Wafalme . Lakini tusomapo Biblia Takatifu katika kitabu cha Ufunuo 17:14 “ Hawa watafanya vita na  Mwanakondoo, na Mwanakondoo atawashinda, kwa maana Yeye ni Bwana wa Mabwana, na Mfalme wa Wafalme; na hao walio pamoja naye ndiyo  walioitwa na wateule, na waaminifu”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika Ufunuo 19:11-16 “ Kisha nikaziona mbingu zimefunuka, na tazama, farasi mweupe, na yeye aliyempanda, aitwaye Mwaminifu na Wa-kweli, naye kwa haki ahukumu na kufanya vita. Na macho yake yalikuwa kama mwali wa moto, na juu  ya kichwa chake vilemba vingi; naye ana jina lililoandikwa, asilolijua mtu ila yeye mwenyewe. Naye amevikwa vazi lililochovywa katika damu, na jina lake aitwa Neno la Mungu. Na majeshi  yaliyo  mbinguni  wakamfuata, wamepanda farasi weupe na kuvikwa kitani nzuri, nyeupe, safi. Na upanga mkali hutoka kinywani mwake ili awapige mataifa kwa huo. Naye atawachunga kwa fimbo ya chuma, naye anakanyaga shinikizo la mvinyo ya ghadhabu ya hasira ya Mungu Mwenyezi. Naye ana jina limeandikwa katika vazi lake na paja lake, MFALME WA WAFALME NA BWANA WA MABWANA “&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;         Yesu Kristo ndiye Mfalme wa Wafalme na Bwana wa Mabwana.Lakini tunaposoma Hadithi sahihi za Kiislamu zinaeleza kuwa adui mkubwa wa Allah (s.w) Mungu wanayemwabudu Waislamu, ni yule  anayeitwa Mfalme wa Wafalme.&lt;br /&gt;Sahih Al- Bukhari, Vol.8.Hadithi Na.225, Al-Lu’lu Wal-marjan,Juzuu ya 3,Hadithi Na.1385  “Hadithi ya Abu Huraira (r.a) amesema,Mtume wa Allah (s.a.w) amesema,”Majina yaliyo dhalili mno na mabaya mbele za Allah ni mtu kujiita,Malikil-Amlaak (Mfalme wa   Wafalme).”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;         Hivyo, ufunuo aliopokea Muhammad, ambao anatutaka na sisi Wakristo tuuamini  haujatoka kwa Mungu tunayemwamini sisi Wakristo, yaani, Yesu Kristo.Bali kama alivyonukuliwa katika vitabu vya Kiislamu, unatokana na kuchezewa na Shetani, na kwa sababu hiyo kwetu anakuwa nabii na mtume wa uongo’&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;         Biblia Takatifu imetuonya kuwachunguza mitume na manabii. Katika kitabu cha Ufunuo 2:1-2  “ Kwa malaika wa kanisa lililoko Efeso andika; Haya ndiyo anenayo yeye azishikaye hizo nyota saba katika mkono wake wa kuume, yeye aendaye katikati ya vile vinara saba vya dhahabu. Nayajua matendo yako, na taabu yako, na subira yako, na ya  kuwa  huwezi kuchukuliana na watu wabaya, tena umewajaribu wale wajiitao mitume, nao siyo ukawaona kuwa waongo”&lt;br /&gt;         Kwa mujibu wa aya hizi Muhammad s.a.w hastahili kuitwa nabii na mtume wa Mungu wa Kweli, bali anaangukia katika kundi la manabii na mitume wa uongo. Hatufai.&lt;br /&gt;.&lt;br /&gt;Wasiliana nasi kwa maswali, maoni au kutaka ushauri: &lt;br /&gt;+255 755 680101,Email: www. Findtruefaith.blogspot.com , d_mwankemwa@yahoo.co.uk&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-3252886069313358340?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/3252886069313358340/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=3252886069313358340' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/3252886069313358340'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/3252886069313358340'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2010/06/mohammad-saw-mtume-wa-waislmu-hajawahi.html' title='MOHAMMAD S.A.W MTUME WA WAISLMU, HAJAWAHI, SIYO , NA WALA HATAKUWA MTUME NA NABII WA KWELI'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-7960435670291901518</id><published>2010-05-31T03:05:00.000-07:00</published><updated>2010-05-31T03:41:09.614-07:00</updated><title type='text'>HONGERA JUKWAA LA WAKRISTO TANZANIA (TANZANIA  CHRISTIAN FORUM) LAKINI.......</title><content type='html'>Hatimaye Jukwaa la  Wakristo Tanzania, lenye lengo la kuwaunganisha Wakristo wa Madhehebu yote nchini ili yawe na sauti moja, limezinduliwa wiki iliyopita. Jukwa hili linahusisha mabaraza makuu matatu ya  Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC), Jumuia ya  Kikristo Tanzania (CCT) na  Baraza la Maaskofu wa Kipentekoste (PCT)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Viongozi wetu hao wa Kiroho wanastahili pongezi sana kwa kulifanya jambo hili kuwa halisi. Hii ni kwa sababu kwa kukosekana kwa chombo kama hicho Kanisa limeumizwa sana katika mambo mengi bila kupata muafaka wa haraka. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mfano makanisa kuchomwa moto bila wahusika kuchukuliwa hatua hata kama si Kanisa la Dhehebu unalotoka wewe m.f Kanisa la EAGT- Fuoni na Bububu, Zanzibar, Wakristo kuwekwa mahabusu kwa sababu eti wamechinja wanyama kwa ajili ya matumizi yao ya chakula badala ya kuwapa Waislamu kuwa ndiyo wanaostahili wawachinjie hata kama hakuna sheria hiyo m.f Mkristo aitwaye Disias Raphael, wa  FPCT- Kagunga- Kigoma aliyekamatwa tarehe 26/5/2010  saa 4 kwa kuchinja mnyama wake mbuzi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jukwaa hili linatakiwa liwe na uso mgumu mbele ya dola (hard face) katika mambo ya msingi kwa sababu kwa kumbu kumbu zangu ndogo, serikali au dola imekuja baadaye baada ya dini ,hivyo itegemewe kuwa dini iielekeze serikali na dola katika kuhakikisha ustawi wa wananchi wake kwa sababu dini iko karibu zaidi na watu kuliko serikali ambayo inategemea vyombo vyake vya nguvu (coercive tools) kutawala, badala ya upendo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata la siku ya uchaguzi mkuu kupangwa jumapili na Tume mnaweza kulikemea tu na siku ikabadilika mkitaka. Inawezekana.Waislamu wameingiwa na hofu katika jambo hili . Je manajua ni kwa nini Maaskofu wangu? Nitalielezea baadaye. Mungu awabariki&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-7960435670291901518?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/7960435670291901518/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=7960435670291901518' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/7960435670291901518'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/7960435670291901518'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2010/05/hongera-jukwaa-la-wakristo-tanzania.html' title='HONGERA JUKWAA LA WAKRISTO TANZANIA (TANZANIA  CHRISTIAN FORUM) LAKINI.......'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-7620851153470697193</id><published>2010-05-28T02:57:00.000-07:00</published><updated>2010-05-28T03:08:23.241-07:00</updated><title type='text'>BANK  ZA SHARIA ZA KIISLAMU: MWANZO WA KUTEKWA NA UCHUMI WA KIISLAMU?</title><content type='html'>Taarifa za kuanzishwa Benki zinazofuata mfumo wa sharia yaani wa kutotoza riba kwa fedha zitakazowekwa katika benki hizo zimezua hofu miongoni wa wafuasi wa imani zingine wakijihoji kuwa je huu ndiyo mwanzo wa uchumi wa Tanzania kutawaliwa na uchumi wa Kiislamu? Changamoto kwa Knisa la Tanzania kuendelea kuanzisha Benki nyingi zinazomilikiwa na Makanisa kuliko zilizopo sasa ili kukabiliana na ushindani utakaokuwepo. Je Jihad ya Benki hizo itahusisha harakati za kutaka kuisilimisha Tanzania kama baadhi ya Viongozi wa Tanzania walio Waislamu wanavyotaka tujiunge na Umoja wa Hadhara ya Kiislamu duniani yaani, OIC? Kanisa kwa hili tusibweteke yasije yakatukuta kama yaliyo wakuta nchi za wenzetu waliokuwa wanapuuza harakati kama hizi na matokeo yake leo wamemezwa kabisa ikiwemo kuminywa uhuru wao wa kuabudu na nchi hizo kutajwa kuwa ni za mfumo wa Kiislamu. Mbinu ni nyingi tuanze na hii.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-7620851153470697193?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/7620851153470697193/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=7620851153470697193' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/7620851153470697193'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/7620851153470697193'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2010/05/bank-za-sharia-za-kiislamu-mwanzo-wa.html' title='BANK  ZA SHARIA ZA KIISLAMU: MWANZO WA KUTEKWA NA UCHUMI WA KIISLAMU?'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-7006114494028770647</id><published>2010-05-21T07:27:00.000-07:00</published><updated>2010-05-21T07:35:29.182-07:00</updated><title type='text'>JE NABII ISA A.S NDANI YA QUR'AN NDIYE YESU KRISTO WA NDANI YA BIBLIA</title><content type='html'>JE NABII ISA A.S NDIYE YESU KRISTO&lt;br /&gt;Na Mwalimu Daniel Mwankemwa&lt;br /&gt;         Utangulizi:&lt;br /&gt;       Mara kwa mara, unaweza kuwasikia Waislamu wakisema kuwa Isa a.s. kama anavyotajwa ndani ya Qur’an tukufu, ndiye Yesu Kristo wa Nazareti, kama anavyotajwa ndani ya Biblia Takatifu. Wanafanya hivyo kwa kulinganisha baadhi ya aya zilizomo ndani ya Biblia Takatifu, na zile zilizomo ndani ya Qur’an. Kwa mfano, wanasema kwa mujibu wa Biblia mama yake Yesu Kristo anaitwa Mariamu. Wanasoma katika Injili ya   Marko 6:3-4“Huyu si yule seremala, mwana wa Mariamu, na ndugu yao Yakobo, na Yose na  Yuda na Simoni? Na maumbu yake hawapo hapa petu? Wakajikwaa kwake” &lt;br /&gt;. &lt;br /&gt; Wanafananisha aya hiyo na ile iliyomo ndani ya Qur’an katika Suratul Al-Maidah, 5:75 “ Masih bin Maryam si chochote ila ni mtume tu……”, &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;        Hoja nyingine wanayoitumia ni kusema kwamba eti jina Isa ni katika lugha ya Kiarabu. Jambo hilo siyo kweli. Kwa sababu katika lugha ya Kiarabu, Yesu anaitwa Yasu’a siyo Isa. Na ikumbukwe kuwa Biblia ndicho kitabu kilichotangulia kuwepo duniani miaka ipatayo 1500 kabla ya Qur’an.(Qur’an is a post Bible book).&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Hoja yetu kwa Waislamu ni hii nani aliyebadilisha jina Yasu’a kuwa Isa?. Jina Yasu’a linashabihiana zaidi na Jina Yehoshua ambalo hilo ni katika lugha ya Kiebrania, na katika Kiyunani lugha iliyotumika kuandika Agano Jipya anaitwa Iesous (tamka Yesu) tafsiri ya maneno hayo kwa lugha ya Kiswahili ni  Mwokozi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;     Tunasoma hayo katika Math 1:21-23 “ Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina lake Yesu, maana yeye ndiye atakaye waokoa watu wake na dhambi zao. Hayo yote yamekuwa ili litimie neno lililonenwa na Bwana kwa ujumbe wa Nabii akisema Tazama, bikira atachukua  mimba, Naye atazaa mwana; Nao watamwita jina lake Imanueli; Yaani, Mungu pamoja nasi.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hoja yetu Je Isa a.s naye ni Mwokozi na Imanueli kama alivyo Yesu Kristo?. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;     Jambo jingine tunalopaswa kulizingatia tunapoangalia tofauti zao ni kuhusu mama zao. Mama yake Yesu Kristo ni Mariam anayetoka katika ukoo wa Yuda. Tunasoma hayo katika kitabu cha Mwanzo 49:10 “ Fimbo ya enzi haitaondoka katika Yuda, Wala mfanya sheria kati ya miguu yake,Hata atakapokuja Yeye, mwenye milki,Ambaye mataifa watamtii”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Unabii huu umetimia kwa Yesu Kristo.Tunasoma hayo katika Waebrania 7:14 “Maana ni dhahiri kwamba Bwana wetu alitoka katika Yuda, kabila ambayo Musa hakunena neno lolote juu yake katika mambo ya ukuhani”  &lt;br /&gt;    &lt;br /&gt;     Lakini tusomapo habari za Isa, yeye mama yake anatoka ukoo wa Imrani. Ambaye ni baba yao Haruni, Miriamu na Musa. Tunayasoma hayo katika  Suratul Al-Maryam 19:28 “Ewe dada yake Haruni. Baba yako hakuwa mtu mbaya.  Wala mama yako hakuwa hasharati”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ufafanuzi unaoifafanua aya hii  ya 19:28 uliyomo ndani ya Qur’an, tafsiri ya King Fahd uk. 405, unasomeka hivi “ This Harun (Aaron) is not the brother of Musa (Moses), but he was another pious man at the time of Maryam (Mary)”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tafsiri “Huyu Harun siyo ndugu yake Musa, bali alikuwa  ni mtu mwingine tu mcha Mungu, aliyeishi wakati wa kipindi cha Maryam”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;     Kwa mujibu wa Biblia, Haruni ni mtoto wa mzee Amran na mama yao anaitwa Yekobedi na kwao wamezaliwa watoto watatu Haruni, Miriam na mdogo wao Musa. Tunasoma hayo katika kitabu cha Hesabu 26:59 “Na jina la mke wa  Amramu aliitwa Yokebedi binti wa Lawi ,ambaye alizaliwa kwake Lawi huko Misri; na huyo Yokebedi akamzalia Amram Haruni,na Musa,na Miriamu umbu lao”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;     &lt;br /&gt;Tofauti nyingine ni kuumbwa kwao: ISSA KAUMBWA. Qur’an Suratul Imran, 3:59 “ Bila shaka hali ya Isa kwa Mwenyezi Mungu ni kama hali ya Adam; alimwumba kwa udongo kisha akamwambia: “Kuwa”; basi akawa”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;   Lakini tusomapo kumhusu YESU, YEYE HAKUUMBWA BALI NI NENO LA MUNGU.&lt;br /&gt;Yoh 1 : 1,14 “Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu naye Neno alikuwa Mungu……..Naye Neno alifanyika mwili akakaa kwetu…….”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mika 5:2 “ Bali wewe, Bethlehem Efrata, uliye mdogo kuwa miongoni mwa elfu za Yuda; kutoka kwako wewe atanitokea mmoja atakayekuwa mtawala katika Israel; ambaye matokeo yake yamekuwa  tangu zamani za kale, tangu milele”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yoh: 8:58 “ Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahim asijakuwako, mimi niko”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;    Zaidi ya hayo Biblia inatujulisha kuwa yeye ndiye Muumbaji mwenyewe &lt;br /&gt;Yoh 1:3 “Vyote vilifanyika kwa  huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika chochote kilichofanyika”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kol 1:16-17 “ Kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa, vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi, vinavyoonekana na visivyoonekana ; ikiwa ni vitu vya enzi, au usultani, au enzi, au mamlaka; vitu vyote viliumbwa  kwa njia yake na kwa ajili yake”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2) (A) ISSA A.S : BAADA YA KUONDOKA KWAKE, (KAMA WAISLAMU WANAVYOAMINI), HAJAWAHI KUTOKEA KWA NAMNA YOYOTE ILE.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;   &lt;br /&gt; (B) YESU KRISTO: BAADA YA KUONDOKA KWAKE ALIMTOKEA PAUL (SAUL).&lt;br /&gt; Mdo 9:4 “ Akaanguka chini, akasikia sauti ikimwambia, Saul, Saul, mbona waniudhi? Akasema, U nani wewe, Bwana? Naye akasema , Mimi ndimi  Yesu unayeniudhi wewe”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3) (A) ISSA A.S: ALITABIRI KUJA KWA MUHAMMAD  Quran  Suratul As Saff , 61:6&lt;br /&gt;“Na (wakumbushe) aliposema (Nabii) Isa bin Maryamu (kuwaambia mayahudi) enyi wana wa Israili! mimi ni mtume wa Mwenyezi Mungu kwenu. Nisadikishaye yaliyo kuwa kabla yangu katika Taurati. Na kutoa habari njema ya mtume atakayewajia nyuma yangu ambaye jina lake litakuwa Ahmad(Muhammad). Na maana ya majina  mawili yote haya ni moja. Maana yake Mwenye kushukuriwa kwa maneno yake mazuri na vitendo vyake vizuri na kila chake kwani vyake vyote ni vizuri).Lakini alipowajia kwa hoja zilizowazi walisema: “ Huu ni udanganyifu uliyo dhahiri”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(B)YESU KRISTO ALIMTUMA ROHO MTAKATIFU KATIKA SIKU YA PENTEKOSTE.&lt;br /&gt;      Yoh: 14:26 “.Lakini huyo Msaidizi,huyo Roho Mtakatifu,ambaye Baba atampeleka kwa jina langu,atawafundisha yote,na kuwakumbusha yote niliyowaambia”. Katka Kiyunani anaitwa “Paracletos” yaani msaidizi au mfariji&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yoh 15:26 “ Lakini ajapo huyo Msaidizi, nitakayewapelekea  kutoka kwa Baba, huyo Roho wa kweli atokaye kwa Baba, yeye  atanishuhudia”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yoh 16:7 “Lakini mimi ninawaambia iliyo kweli;  yawafaa nyinyi mimi niondoke,kwa maana mimi nisipoondoka huyo Msaidizi hatakuja kwenu; bali mimi nikienda zangu nitampeleka kwenu”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4) (A) ISSA A.S : JINA LAKE HALINA NGUVU WALA UWEZO WA KUOKOA BALI NI RANGI MBILI&lt;br /&gt;Katika Al-Lu’lu’war-Marjani, Juzuu na1, Hadithi na104 uk. 64 “ Hadithi ya Ibn Abbas (r.a) kutoka kwa Mtume (s.a.w) amesema, “Nilimuona Musa (a.s) katika usiku wa Al-Isra, niliopelekwa,naye ni mtu mrefu, mwenye nywele  za hudhurungi zimejikunjakunja kama mtu wa Shanua.Na nilimuona Isa (a.s), naye ni mtu wa wastani wa umbo, unaelekea kwenye wekundu na weupe, ana nywele zilizonyooka……”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;    (B) YESU KRISTO: JINA LAKE NI WOKOVU. Mdo 4:9-10,12 “ kama tukiulizwa leo habari ya jambo jema alilofanyiwa yule mtu dhaifu,jinsi alivyoponywa, jueni nyinyi nyote na watu wote wa Israel ya kuwa kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, ambaye nyinyi mlimsulubisha, na Mungu alimfufua katika wafu kwa jina hilo mtu huyu anasimama ali mzima mbele yenu…………………….Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye yote, kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Baadhi ya aya ndani ya Qur’an zinaeleza kuwa Isa a.s aliwaponya wenye upofu. Ni akina nani hao tutajiwe angalau mmoja? Yesu alimponya kipofu Batromayo.&lt;br /&gt; Aya zingine zinasema Isa a.s alifufua wafu. Ni akina nani hao? Yesu alimfufua Lazaro.&lt;br /&gt; Jina tulilopewa ni jina moja tu lenye wokovu la Yesu Kristo. Jina la Isa a.s lisilo na wokovu limehusishwaje na jina la Yesu Kristo wa Nazareth lenye wokovu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mdo 16:31 “ Wakamwambia , Mwamini Bwana Yesu, nawe utaokoka wewe pamoja na nyumba yako.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;5) (A) ISSA.A.S : YEYE SIYO MWANA WA MUNGU. Qur’ani Suratul Al An-Am,6:101 “Yeye ndiye Mwumba wa mbingu na ardhi. inamkinikanaje awe na mwana, hali hana mke.  Naye ndiye aliye umba kila kitu  (sio baadhi yake kavizaa). Naye ni mjuzi wa kila kitu”.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Qurani Suratul At-Tawba (Kutubu), 9:30   “Na Mayahudi wanasema “Uzeri ni mwana wa Mwenyezi Mungu” na “Wakristo wanasema “Masihi ni Mwana wa Mwenyezi Mungu” Haya ndiyo wasemayo kwa vinywa vyao (pasi na  kuyapima). Wanayaiga maneno ya wale waliokufuru kabla yao, Mwenyezi Mungu awaangamize. Wanageuzwa namna gani hawa!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Fundisho la Uwana wa Mungu kama Biblia inavyofundisha, halimo katika  mafundisho na itikadi ya dini ya Kiislamu kwa hiyo Isa a.s siyo mwana wa Mungu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(B) YESU KRISTO: YEYE NI MWANA WA MUNGU. Luka 1:30-31,35&lt;br /&gt;“Malaika akamwambia usiogope Mariamu,kwa maana umepata neema kwa Mungu.Tazama utachukua mimba na kuzaa mtoto mwanamume; na jina lake utamwita Yesu. Malaika akajibu akamwambia,Roho Mtakatifu atakujilia juu yako,na nguvu zake Aliye juu zitakufunika kama kivuli;kwa sababu hiyo hicho kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu Mwana wa Mungu. &lt;br /&gt;Hivyo Isa siyo Mwana Mungu lakini Yesu ni mwana wa Mungu. Kwa hivyo Yesu siyo Isa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;6) (A) ISSA A.S: YEYE SIYO MUNGU ALIYEFANYIKA MWILI. Suratul Al- Maidah,(meza), 5:72-73  Bila ya shaka wamekufuru wale waliosema, “ Mwenyezi Mungu ni Masih (issa)bin Maryam”.(Na hali ya kuwa)Masihi alisema “Enyi wana wa Israel! Mwabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wenu. Kwani anayemshirikisha Mwenyezi Mungu, hakika Mwenyezi Mungu atamharimishia  Pepo, na mahali pake (patakuwa) ni Motoni. Na madhalimu hawatakuwa na  wasaidizi (wa kuwasaidia siku ya Kiama)   “Kwa hakika wamekufuru wale waliosema mwenyenzi Mungu ni mmoja katika (wale waungu) watatu (yeye ndiye watatu wao ) hali hakuna mungu ila Mwenyezi Mungu mmoja ( tu peke yake) na kama hawataacha hayo wasemayo  kwa yakini itawakamata wale wanaoendelea na ukafiri miongoni mwao adhabu iumizayo”.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(B)YESU YEYE NI NENO LA MUNGU LILILOFANYIKA MWILI:&lt;br /&gt;Yoh 1 : 1,14 “Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu naye Neno alikuwa Mungu……..Naye Neno alifanyika mwili akakaa kwetu…….”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;7) (A) ISSA A.S YEYE HAJAWAHI KUSULUBIWA WALA KUUWAWA&lt;br /&gt; Qurani Suratul An-Nisaa (Wanawake) 4:157-158&lt;br /&gt;“Na kwa (ajili ya )kusema kwao sisi tumemuua masihi Isa mwana wa Maryamu, mtume wa Mungu. Hali hawakumuua wala hawakumsulubu bali walibabaishiwa (mtu mwingine wakamdhani nabii Isa.) Na kwa hakika wale waliokhitalifiana katika (hakika)hiyo (ya kumuua nabii Isa) wamo katika shaka nalo (jambo hilo kusema kauwawa]. Wao (kabisa) hawana yakini juu ya (jambo)hili (la kuwa kweli wamemuua nabii isa) isipokuwa wanafuata dhana tu.Na kwa yakini hawakumuua. Bali mwenyenzi Mungu alimnyanyua kwake. Na mwenyenzi Mungu ni mwenye nguvu (na)mwenye hikima.&lt;br /&gt;. &lt;br /&gt;(B)YESU KRISTO: YEYE ALISULUBIWA MSALABANI &lt;br /&gt;Yohana 19:18,31,33 “Wakamsulibisha huko,na wengine wawili pamoja,mmoja huku na mmoja huku, na Yesu katikati.Basi Wayahudi, kwa sababu ni Maandalio, miili isikae juu ya misalaba siku ya sabato(maana sabato ile  ilikuwa siku kubwa), walimwomba Pilato miguu yao ivunjwe,wakaondolewe. Lakini walipomjia Yesu na kuona ya kuwa amekwisha kufa,hawakumvunja miguu”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;8) (A) ISSA A.S HANA HADHI YA KUABUDIWA NA BINADAMU YEYOTE.&lt;br /&gt;Qur’an, Suratul Al-Maidah, 5:116 “ Na (kumbukeni) Mwnyezi Mungu atakaposema: “Ewe Isa bin Maryam! Je ,wewe uliwaambia watu: ‘Nifanyeni mimi na mama yangu kuwa waungu badala ya Mwenyezi Mungu’?” Aseme (Nabii Isa): “Wewe umetakasika na kuwa  na mshirika, hainijuzii mimi kusema ambayo si haki yangu (kuyasema, kwa kuwa ni ya uongo), kama ningalisema bila shaka ungalijua ; unayajua yaliyomo nafsini mwangu, lakini mimi siyajui yaliyomo nafsini mwako; hakika Wewe ndiye ujuaye mambo ya ghaibu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B) YESU ANASTAHILI KUABUDIWA NA WANADAMU NA MALAIKA&lt;br /&gt;Math 2: 2 “yuko wapi yeye aliyezaliwa mfalme wa Wayahudi? kwa maana tuliiona nyota yake mashariki nasi tumekuja kumsujudia.”&lt;br /&gt;Yoh 9: 35 “ Yesu akasikia kwamba wamemtoa nje; naye alipomwona alisema, Wewe wamwamini Mwana wa Mungu? Naye akajibu akasema, Ni nani, Bwana, nipate kumwamini? Yesu akamwambia Umemwona, naye anayesema nawe ndiye. Akasema, naamini, Bwana, akamsujudia.”  &lt;br /&gt;Filipi 2:10-11 “ili kwa Jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi; na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI BWANA, kwa utukufu wa Mungu Baba.”&lt;br /&gt;  Ebr 1:6 “ Hata tena amletapo mzaliwa wa kwanza ulimwenguni, asema, Na wamsujudu Malaika wote wa Mungu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;9) (A) ISA HASTAHILI KUWA MWOMBEZI WA WATU KWA MUNGU&lt;br /&gt;Sahih Al-Bukhari, vol.6 ,Hadithi no 3, The Noble Qur’an, English Translation uk. 8&lt;br /&gt;“…….Nenda kwa Musa, mtumishi wa Allah ambaye Allah alizungumza naye uso kwa uso na alimpa Torati. Hivyo watakwenda kwake naye atasema ‘ Mimi sistahili kwa jukumu hilo la uombezi, na atataja mauaji aliyoyafanya kwa mtu ambaye si muuaji, na hivyo atajisikia aibu mbele ya Mola wake, naye atasema  nendeni kwa Isa, mtumishi wa Allah, Mjumbe wake neno lake na roho iliyotoka kwake. Isa atasema sistahili mimi kubeba jukumu la uombezi…….”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;B) YESU ANASTAHILI KUWA MWOMBEZI WA WANADAMU KWA MUNGU&lt;br /&gt;1 Tim 2:5 “ Kwa sababu Mungu ni mmoja, na mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni mmoja,  Mwanadamu Kristo Yesu;”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ebr 7:24-25 “ bali yeye, kwa kuwa akaa milele, anao ukuhani wake usioondoka.Naye, kwa sababu hii , aweza kuwaokoa kabisa wao wamjiao Mungu kwa yeye; maana yu Hai siku zote ili awaombee.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;10) (a) ISA NI NABII MWINGINE TU ASIYE TOFAUTI NA WENGINE&lt;br /&gt;     Qur’an Suratul Baqarah, (ng’ombe)2:136 “ “Semeni nyinyi (Waislamu waambiwe Mayahudi na Manasara; waambieni): “Tumemwamini Mwenyezi Mungu na yale tuliyoteremshiwa,  na yale  yaliyoteremshwa kwa Ibrahimu na Ismail na Is-haqa na Yaaqubu na  kizazi (chake Yaaqubu); na waliyopewa Musa na Isa na pia yale waliyopewa Manabii (wengine) kutoka kwa Mola wao; hatutofautishi baina ya yoyote katika hao. (Wote tunawaamini); na sisi tumenyenyekea Kwake.”&lt;br /&gt;b) YESU YEYE YU JUU  KULIKO VITU VYOTE&lt;br /&gt;     Efeso 1:20-23 “ aliotenda katika Kristo alipomfufua katika wafu, akamweka mkono wake wa kuume katika ulimwengu wa roho; juu sana kuliko ufalme wote, na malaika, na nguvu, na usultani, na kila jina litajwalo, wala si ulimwenguni humu tu, bali katika ule ujao pia; akavitia vitu vyote chini ya miguu yake akamweka awe kichwa juu ya vitu vyote kwa ajili ya Kanisa; ambalo ndilo mwili wake, ukamilifu wake anayekamilika kwa vyote katika vyote.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;11) (a) ISA ATAKAPORUDI, ATAOA NA KUZAA WATOTO&lt;br /&gt;       Mishkat Al- Masabih, vol 2 uk.1159, Sahih Muslim, vol. 1 uk 92 “ Isa atakaporudi ataishi miaka arobaini (40), muda ambao atakuwa ameoa na kuzaa watoto, na atafanya ibada ya hija.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;   b) YESU ATAKAPORUDI ATAKUJA KULINYAKUA KANISA, YAANI BIBI ARUSI&lt;br /&gt;        &lt;br /&gt;       Efeso 5:25-26, 32-33 “ Enyi waume, wapendeni wake zenu, kama Kristo naye alivyolipenda Kanisa, Uf 19:7 “ Na tufurahi, tukashangilie, tukampe utukufu wake; kwa kuwa arusi ya Mwana Kondoo imekuja na mkewe amejiweka tayari.akajitoa kwa ajili yake, ili makusudi alitakase na kulisafisha kwa maji katika neno;…..Siri hiyo ni kubwa ila mimi nanena habari ya Kristo na Kanisa. Lakini kila mtu ampende mke wake kama nafsi yake mwenyewe; wala mke asikose kumstahi mmewe.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;12)(a)  ISA ATAKUFA BAADA YA KUISHI MIAKA AROBAINI (40)&lt;br /&gt;       Mishkat Al- Masabih, vol 2 uk. 1159,Sunan Abu Dawud, Hadithi 4310, Sahih Muslim, vol.1, uk.92 ,  “Isa atakaporudi ataondosha dini zote zisiwepo isipokuwa Uislamu. Atamharibu Masih Dajjal, na ataishi duniani miaka arobaini (40) na kisha atakufa. Na baada ya kufa atazikwa pembeni mwa kaburi la Muhammad.”&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;B) YESU BAADA YA KUFUFUKA YU HAI SIKU ZOTE HAFI TENA&lt;br /&gt;     Rum 6:9 “ tukijua ya kuwa Kristo akiisha kufufuka katika wafu hafi tena, wala mauti haimtawali tena.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Ebr 7:24-25 “ bali yeye, kwa kuwa akaa milele, anao ukuhani wake usioondoka.Naye, kwa sababu hii , aweza kuwaokoa kabisa wao wamjiao Mungu kwa yeye; maana yu Hai siku zote ili awaombee.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uf 1:17-18 “ Nami nilipomwona nalianguka miguuni pake kama mtu aliyekufa. Akaweka mkono wake wa kuume  juu yangu, akisema, Usiogope, mimi ni wa kwanza na wa mwisho, aliye hai; nami nalikuwa nimekufa, na tazama , ni hai hata milele na milele nami ninazo funguo za mauti na za kuzimu.” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;13)(a) ISA ALIPOZALIWA SAUTI YA FARAJA ILITOKA CHINI YA ARDHI&lt;br /&gt;     Qur’an Suratul Maryam,19:23-24 “ Kisha uchungu ukampeleka katika shina la mtende, (akawa anazaa na huku) anasema: “ Laiti ningekufa kabla ya haya, na ningekuwa niliyesahaulika kabisa.” Mara ikamfikia sauti kutoka chini yake (inamwambia): usihuzunike. Hakika Mola wako amejaalia (ameweka) kijito cha maji chini yako;”&lt;br /&gt;Mafundisho ya Kiislamu yanaeleza kuwa huko chini ya ardhi kuna mnyama. Na huyo mnyama anazijua aya za Qur’an.&lt;br /&gt; Qur’an katika Suratul Al-Naml, 27:82 “Na kauli (ya kuja kiyama) itakapowathibitikia Tutawatolea mnyama  katika ardhi atakayewasemeza kwa sababu watu walikuwa hawaziyakinishi Aya Zetu”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;b) ALIPOZALIWA YESU SAUTI ZA MALAIKA ZILITOKA JUU&lt;br /&gt; Luka 2:13-16 “ Mara walikuwapo pamoja na huyo malaika, wingi wa jeshi la mbinguni, wakimsifu Mungu na kusema, Atukuzwe Mungu juu mbinguni na duniani iwe amani kwa watu aliowaridhia. Ikawa malaika hao walipoondoka kwenda zao mbinguni, wale wachungaji waliambiana, Haya na twendeni mpaka Bethlehemu, tukalione hilo lililofanyika alilotujulisha Bwana. Wakaenda  kwa haraka wakamkuta Mariamu na Yusufu, na yule mtoto mchanga amelala horini”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(14)(a) ISA HANA UFAHAMU WA MAMBO MBALIMBALI  &lt;br /&gt; katika  Al-Lu’lu’ war- Marjan,kitabu cha 3 Hadithi na 1528 uk.883  “Hadithi ya Abu Huraira  (r.a) kutoka kwa Mtume (s.a.w) amesema “Issa Ibn Mariam (a,s) alimwona mtu anaiba akamuuliza umeiba? akasema hapana ,Naapa kwa Allah ambaye hakuna mola isipokuwa yeye .Issa (a.s) akasema nimemuamini Allah na limeniongopea jicho langu”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;b) YESU  ANAYAJUA YOTE&lt;br /&gt;Yohana 1:47-48 “ Basi Yesu akamwona Nathanael anakuja kwake, akanena habari zake “Tazama Mwizraeli kweli kweli hamna hila ndani yake. Nathaeli akamwambia umepataje kunitambua? Yesu akajibu akamwambia, Kabla Filipo hajakuita ulipokuwapo chini ya mtini nilikuona” &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;  Yoh 2:24-25 “ Lakini Yesu hakujiaminisha kwao; kwa kuwa yeye aliwajua wote; na kwa sababu hakuwa na haja  ya mtu kushuhudia habari za mwanadamu; kwa maana yeye mwenyewe aliyajua yaliyomo ndani ya  mwanadamu”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;15) (a) ISA A.S MAMA YAKE ALIKUTWA PEMBEZONI MWA MSIKITI ALIPOLETEWA HABARI ZA KUZALIWA KWAKE.&lt;br /&gt;Qur’an Suratul Maryam,19:16-17 “ Na mtaje Mariamu kitabuni humu. Alipojitenga na jamaa zake, (akenda) mahali upande wa mashariki (wa msikiti) na akaweka pazia kujikinga nao. Tukampelekea muhuisha Sharia Yetu (Jibrili)- akajimithilisha kwake (kwa sura ya) binadamu aliye kamili&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;b) YESU KRISTO, MAMA YAKE ALIKUTWA NYUMBANI KWAO NAZARETI&lt;br /&gt; Luka 1:26-28 “Mwezi wa sita malaika Gabriel alitumwa na Mungu kwenda mpaka mji wa Galilaya, jina lake Nazareti. Kwa mwana mwali Bikira aliyekuwa ameposwa na mtu jina lake Yusufu wa mbari ya Daudi. Na jina lake Bikira huyo ni Mariamu. Akaingia nyumbani kwake akasema, salamu uliyepewa neema Bwana yu pamoja nawe.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;16)(a) MIMBA YA ISA ILIKUWA NI YA SIKU MOJA&lt;br /&gt;Qur’an Suratul Maryam,19:21-22 “ (Malaika) akasema: “ Nikama hivyo (unavyosema; lakini) Mola wako amesema ‘Haya ni sahali Kwangu, na ili Tumfanye muujiza kwa wanaasamu na rehema itokayo Kwetu (ndiyo Tumefanya hivi);’ Na hili ni jambo lililokwisha kuhukumiwa.” Basi akachukua mimba yake, na akaondoka nayo mpaka mahali pa mbali”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;b) MIMBA YA YESU SIKU ZILITIMIA.&lt;br /&gt;Luka 2:6-7 “ ikawa, katika kukaa huko, siku zake za kuzaa zikatimia, akamzaa mwanawe, kifungua mimba, akamvika nguo za kitoto, akamlaza katika hori ya kulia ng’ombe kwa sababu hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;NB: Mwezi wa sita uliotajwa katika Luka 1:26 ni mwezi wenye kuelezea umri wa mimba ya Yohana ndani ya tumbo la Elizabethi. Luka 1: 36 “ Tena tazama jamaa yako Elizabeti naye amechukua mimba ya mtoto mwanamume katika uzee wake; na mwezi huu ni wa sita kwake yeye aliyeitwa tasa” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;NB: Hori iliyotajwa hapa,ina maana ya chombo cha kulishia wanyama kinachokuwa ndani ya zizi. Kwa Kiyunani (Kigiriki) ambayo ndiyo lugha iliyotumika kuandikia Agano Jipya ,chombo hicho kinaitwa “Fatne” kwa Kiingereza kinaitwa “a manger”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;17)ISA (A.S) ATAKAPORUDI ATAKUJA KUVUNJA MISALABA NA KUUA NGURUWE&lt;br /&gt;Mkweli Mwaminifu, Juzuu 3-4, uk.20, Hadithi na. 753 “ Haisimami saa ya (kiyama) mpaka akuteremkieni nabii Isa (a.s) mwana wa Maryamu atahukumu (kwa sheria ya Kiislamu) (na) muadilifu, basi atavunja misalaba (ya Wakristo Makanisani) na ataua nguruwe, na ataondosha fedheha au (aibu), na mali itazidi kuwa nyingi sana mpaka hataikubali (ataikataa) mtu (kwa kuogopa kiyama)” .Soma pia katika Sahihi Bukhar, vol. 3, Hadithi na 425,. Al-Lu’lu’war-Marjan, juzuu ya 1,Hadithi na 95 uk.51. The Noble Qur’an uk.757&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;b)YESU KRISTO ATAKAPORUDI ATAWATUMA MALAIKA ZAKE KUWAKUSANYA WATAKATIFU   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Luka 24:30-31 “ ndipo itakapoonekana ishara ya mwana wa Adamu mbinguni; ndipo mataifa yote ya ulimwengu watakapoomboleza, nao watamwona mwana wa Adamu akija juu ya mawingu ya mbinguni pamoja na nguvu na utukufu mwingi, naye atawatuma malaika zake pamoja na sauti kuu ya parapanda, nao watawakusanya wateule wake toka pepo nne toka mwisho huu wa mbingu mpaka mwisho huu.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;ONYO LA YESU KRISTO WA NAZARETH&lt;br /&gt;Math 24:24 “ kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini hata walio wateule.” (Angalia pia Marko 13:22)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yoh 8:24 “ Kwa hiyo naliwambieni ya kwamba mtakufa katika dhambi zenu; kwa sababu msiposadiki ya kuwa mimi ndiye mtakufa katika dhambi zenu.” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;WEWE MTEULE JE UTADANGANYWA  NA KUDANGANYIKA KUWA KWELI ISA A.S NDIYE YESU KRISTO? UKIAMINI HIVYO UTAKUWA UMEDANGANYIKA NA UTAKOSA WOKOVU WA MWENYEZI MUNGU!!!!!!!!!!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;YESU KRISTO, YEYE NI IMMANUEL, MSHAURI WA AJABU, MUNGU MWENYE NGUVU, BABA WA MILELE, MFALME WA AMANI!!!! (ISAYA 9:6, MATH 1:23) HIZI SIYO SIFA ZA ISA&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;WASILIANA NASI KWA USHAURI NA KUPATA MASOMO MENGINE:&lt;br /&gt;+255 755 680101, &lt;br /&gt;Email: d_mwankemwa@yahoo.co.uk, www.findtruefaith.blogspot.com&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-7006114494028770647?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/7006114494028770647/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=7006114494028770647' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/7006114494028770647'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/7006114494028770647'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2010/05/je-nabii-isa-as-ndani-ya-quran-ndiye.html' title='JE NABII ISA A.S NDANI YA QUR&apos;AN NDIYE YESU KRISTO WA NDANI YA BIBLIA'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-4314633409572946463</id><published>2010-05-02T01:07:00.000-07:00</published><updated>2010-05-04T00:26:21.174-07:00</updated><title type='text'>THE ILLEGALITY OF MUSLIMS DEMONSTRATION OVER THE DEMOLISHMENT OF MASJID AL-AQSWA IN JERUSALEM</title><content type='html'>It is still reported that Muslims all over the world, have been organizing violently demonstration to oppose the demolishment of the Al-Aqswa in Jerusalem. Tanzanian Muslims have not sit back on that. But the question which Muslims fear to Answer is :Which is the former building to be erected at that place between The Temple of King Solomon or The Masjid Al-Aqswa. Muslims in Tanzania like other Muslims in the world would want us to believe that Al-Aqswa  pre-existed before  The Temple of King Solomon, which is not true. It suffices to say that any movements done by the Muslims against the Temple in Jerusalem are in vain, illegal. Because the Holy Bible mentioned this even before the advent of Islam in 610 A.C in 2 Chr 6: 4-7. We bless Jerusalem and Israel (Psalm 122:6-7)&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-4314633409572946463?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/4314633409572946463/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=4314633409572946463' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/4314633409572946463'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/4314633409572946463'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2010/05/illegality-of-muslims-demonstration.html' title='THE ILLEGALITY OF MUSLIMS DEMONSTRATION OVER THE DEMOLISHMENT OF MASJID AL-AQSWA IN JERUSALEM'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-5364383785394479230</id><published>2010-04-14T00:22:00.000-07:00</published><updated>2011-09-18T04:39:42.209-07:00</updated><title type='text'>JE NI WAISLAMU TU NDIYO WANAOTAKIWA  KUCHINJA WANYAMA KWA AJILI YA CHAKULA?</title><content type='html'>&lt;strong&gt;UCHINJAJI WA WANYAMA: NI NANI ALIYEWAPA RUKSA WAISLAMU PEKE YAO KUCHINJA WANYAMA?&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kumekuwa na tatizo linaloisumbua jamii yetu linalohusiana na uchinjaji wa nyama tunayotaka kuitumia watu wa imani na dini mbalimbali. Kwa bahati mbaya sana kuna kundi moja la kiimani (Waislamu) wao ndiyo hujipa haki hiyo zaidi na imefikia hatua ambayo hutaka kusababisha uvunjifu wa amani pale wanapoona watu wengine pia wasio wa imani yao wanapochinja mnyama  huwaita makafiri na chakula chao ni haramu. Je ni kweli?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uislamu umeanza 610 B.K wakati huo dini zingine kama Uyahudi , Ukristo kwa kuzitaja kwa uchache zilikwisha kuwapo. Je hao walikuwa hawali nyama? Na kama walikuwa wanakula walikuwa wanachinjiwa na nani Waislamu wakiwa hawapo? Nani aliyekuja kutangaza baadaye kuwa ni Waislamu tu ? Je ni serikali? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kwa muda mrefu Waislamu wamekuwa wakijaribu kuishawishi Serikali yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itunge sheria moja itakayoitambua dini moja tu ya Kiislamu ndiyo ihusike na uchinjaji wa wanyama kwa ajili ya matumizi ya Watanzania wote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hoja ya namna hiyo iliwahi kupelekwa katika kikao cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Mh. Hafidh Ali Tahir, Mbunge wa CCM, Dimani, Zanzibar, katika Mkutano wa Tano, Kikao cha Tano cha Bunge , cha tarehe 6 Novemba,2009 kama alivyonukuliwa na Taarifa Rasmi ya Bunge, (HANSARD),uk.55,56 ninamnukuu “ Sasa Mheshimiwa Waziri, ningemwomba basi akaangalia  na sehemu zote hizi mbili. Sitaki aende ndani sana lakini ninachosema ni kwamba bodi ifike mahali iweke sheria, kuwe na  kanuni ya uchinjaji wa nyama ambao tunataka tuwatumie. Tusichinje tu. Ndiyo nikasema kwamba Tanzania haina dini lakini Watanzania wana dini, tunakula kula nyama hii. Sasa kuwe na utaratibu maalumu. Sasa Mheshimiwa Waziri, hili atakuja kutuambia vipi angalau basi tuweke utaratibu unaofahamika. (Makofi).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Mwenyekiti, nitakupa mfano ukienda nchi za wenzetu hasa nchi za Kiarabu, si kwamba wote watakuwa Waislamu kwa sababu ni nchi za Kiarabu hapana. Ndani ya nchi za Kiarabu kuna watu wana dini nyingine na wala usije ukasikia mtu anaitwa Hafidh Al-Saad kwa mfano, ukafikiria ni Muislamu,hapana ni jina tu hilo. Lakini dini yake  ikawa nyingine. Abdulaziz utasema kwa jina hili huyu Muislamu hapana si Muislamu jina kitu kingine dini kitu kingine. Sasa wenzetu kwa sababu ya kuweka tofauti pale ambapo kunachinjwa nyama halali, basi unapokwenda katika ranchi yao ya kuchinjia  kile kisu kimeandikwa Bismillah na kule alikoelekea yule ng’ombe ndiko kunakokubalika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Mheshimiwa Mwenyekiti, nyama zinauzwa Dar es Salaam, Dodoma na mahali pengine,wallah hawaulizwi kwenye bucha wamechinja wapi nyama hiyo, hawaulizi wala hawaulizwi kwamba ngombe huyo alivyochinjwa kaelekea Kibla, sote tunakwenda kununua nyama, tunaondoka. Lakini  nasema lazima kama ni Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, tunataka kupitisha jambo hili lazima tuwe na tahadhari. Sasa namwomba Mheshimiwa Waziri awe na tahadhari na hili mbaya hajitokezi sasa anajitokeza baadaye” Mwisho wa kunukuu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hilo ndiyo ombi lililopelekwa Bungeni ili Bunge litunge sheria ya namna ya uchinjaji wa nyama.  Mh. Hafidh Ali Tahir alipendekeza sheria itakayotungwa lazima izingatie zaidi utaratibu wa Kiislamu akimaanisha wanyama wanapochinjwa wachinjwe kwa kuelekezwa Kibla, uelekeo ambao Waislamu huelekeza  nyuso zao wakati wa kufanya ibada zao, yaani Makka.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Waziri wa Mifugo wa kipindi hicho Mh. Anthony Diallo (MB) akijibu ombi hilo alitoa msimamo wa Serikali ya Jamhuri ya Tanzania kuhusu uchinjaji.  Ninamnukuu kama alivyonukuliwa katika uk.88 wa Hansard hiyo hiyo ya Bunge.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Anasema “ Kwa hiyo, muuzaji nyama yeyote ni lazima atazingatia kitu ambacho ni desturi na mila na matakwa ya wanunuzi wa nyama hiyo. Kwa  hiyo, hatuhitaji kuweka kwenye sheria kwa sababu tunafahamu Serikali yetu haina dini na hatuwezi kuanza kuingiza vifungu vya kutamka mahitajio ya dini moja au dhehebu  moja ndani ya sheria tunakiuka Katiba ambayo inatukataza Serikali isijihusishe na uhuru wa dini ni wa kila mtu sio wa Serikali”. Mwisho wa kunukuu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Qur’an nayo inayaeleza makundi yanayotakiwa kuchinja na chakula hicho kiwe halalai kwa Waislamu. Tunayasoma hayo katika Suratul Al-Maidah, 5:5 “ Leo mmehalalishiwa kila vilivyo vizuri na chakula cha wale waliopewa kitabu ni halali kwenu na chakula chenu ni halali kwao……..”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa mafundisho ya Uislamu waliopewa kitabu ni Wayahudi na Wakristo (Manasara).&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; Unaposoma ufafanuzi wa aya hiyo ndani ya Qur’an unasema “Chakula cha kuchinja hakiwi halali kwa Mwislamu ila kichinjwe na (a) Mwislamu (b) Myahudi (c) Mnasara (Mkristo) Kwa sharti ile ya kuchinja siyo kuwanyonga”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo mbali na Mwislamu, Myahudi na Mkristo pia wanayoruhusa kuchinja na Mwislamu akala bila hofu yoyote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Muislamu anaweza kuchinja mnyama hata kwa kutamka jina lake tu akisahahu kutamka jina  la Mwenyezi Mungu. Mkweli Mwaminifu, kimeandikwa na Sheikh Said Moosa Mohammed al-Kindy wa Muscat Oman, Juzuu 3-4, uk.13 Hadith na.727 inasomeka hivi: Muislamu inamtosheleza jina lake,basi akisahau kusema jina (la Mwenyezi Mungu) wakati anapochinja, basi aseme (anapokumbuka) kisha ale”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je jina la muislamu huyu lina uhalali gani hata kuwafanya wengine wale  vibudu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata vitabu mbali mbali vinaeeleza kuwa Chakula cha Wakristo ni halali pia hata kwa Waislamu Safari moja aliulizwa Abu Dardaa (r.a) kuhusu beberu aliyechinjwa kwa ajili ya kanisa linaloitwa Jurjus:- Utakula nyama yake? Akajibu Abu Dardaa, Ewe Mola naomba msamaha, wao ni watu wa Kitabu chakula chao ni halali kwetu na chetu ni halali kwao.” Akaamrisha aliwe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika uk.71 wa Kitabu hicho hicho cha Halal na Haram kinaendeleza kueleza: Kanuni ; Tusilo Tusiloliona. Wala si juu ya Muislamu kuuliza mambo asiyoyaona. Vipi kimechinjwa? Je, shuruti za kuchi nja  zimekamilika ? Je, limetajwa jina la Mwenyezi Mungu wakati wa kuchinja au halikutajwa? Haya si ya kuulizwa, bali kanuni ni kuwa kila kilichochinjwa an Muislamu-hata akiwa jahili au fasiki- au kilichochinjwa na Myahudi na Mkristo, maadamu hatukukiona  kilivyochinjwa basi ni halali kukila”. Mwisho wa kunukuu.&lt;br /&gt;Safari moja aliulizwa Abu Dardaa (r.a) kuhusu beberu aliyechinjwa kwa ajili ya kanisa linaloitwa Jurjus:- Utakula nyama yake? Akajibu Abu Dardaa, Ewe Mola naomba msamaha, wao ni watu wa Kitabu chakula chao ni halali kwetu na chetu ni halali kwao.” Akaamrisha aliwe.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-5364383785394479230?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/5364383785394479230/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=5364383785394479230' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/5364383785394479230'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/5364383785394479230'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2010/04/je-ni-waislamu-tu-ndiyo-wanaotakiwa.html' title='JE NI WAISLAMU TU NDIYO WANAOTAKIWA  KUCHINJA WANYAMA KWA AJILI YA CHAKULA?'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-8939676377568726504</id><published>2010-04-06T02:10:00.000-07:00</published><updated>2010-04-06T02:16:53.975-07:00</updated><title type='text'>WAISLAMU WANASEMA HAKUNA PASAKA</title><content type='html'>Wakristu Duniani kote Tarehe 4 pril tumesherehekea Kufufukwa kwa Yesu Kristo Mkombozi wetu, Sherehe ambazo ni alama kuu au kumbukumbu kuu ya ushindi dhidi ya Shetani. Kwa bahati mbaya sana ndugu zetu Waislamu kwa miaka yote wamekuwa wakipinga na kujaribu kupindisha ukweli huu, wamekuwa wakitumia mihadhara, magazeti na tovuti kufanikisha upotoshaji huo. Na hivi karibuni tulipokuwa tukikaribia sherehe hizi gazeti moja la Kiislamu liitwalo Mapenzi ya Mungu toleo Na. 159 liliandika habari ya upotoshaji ikiwa na kicha cha habari PASAKA KATIKA NYAYO ZA UPAGANI. Mengi wameandika, lakini yote katika upingaji na upotoshaji. Waislamu wamekuwa wakitumia aya wasizozielewa kutoka katika Maandiko Matakatifu kwa ajili ya kupotoshea, na wamekuwa wakitumia maandiko yao pia kupotoshea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Hoja za Waislamu&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;Quran Suratul Nissaa, (Wanawake) 4:157 &lt;/span&gt;Na kwa kusema kwao: Sisi tumemuuwa Masihi Isa (Yesu), mwana wa Maryamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu - nao hawakumuuwa wala hawakumsulubu, bali walifananishiwa tu. Na hakika walio khitalifiana katika haya wamo katika shaka nayo. Wao hawana ujuzi nayo wowote, ila ni kufuata dhana tu. Wala hawakumuuwa kwa yakini. &lt;br /&gt;===&lt;br /&gt;Quran inapinga kifo cha Yesu na hapo hapo inataka watu waamini kuwa aliyesulubiwa na kufa hakuwa Yesu&lt;br /&gt;===&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Waislamu wanatumia aya zifuatazo hapa chini kujaribu kuwafanya watu waamini kwamba Yesu mwenyewe alisherehekea Sikukuu ya Pasaka bila kuelewa kuwa Aya hizo zinahusiana na Pasaka ya Wayahudi ambayo ndio msingi wa pasaka yetu ya leo ambayo ni Yesu kristo mwenyewe. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yoh 2:13 Ilipokaribia wakati wa Pasaka ya Wayahudi, Yesu alipanda kwenda Yerusalemu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yoh 6:4 Pasaka ya Wayahudi ilikuwa imekaribia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yoh 11:55 Basi Pasaka ya Wayahudi ilipokuwa imekaribia, watu wengi walitoka vijijini wakaenda Yerusalemu kabla ya Pasaka ili wakajitakase.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mat 26:17 Siku ya kwanza ya sikukuu ya Mikate isiotiwa chachu wale wanafunzi walikuja kwa Yesu wakamwuliza, ``Ungependa tukuandalie wapi chakula cha Pasaka?''&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Luka 22:7-8. 7Ikafika siku ya Mikate isiyotiwa Chachu. Siku hiyo Mwana- Kondoo wa Pasaka huchinjwa. 8Yesu akawatuma Petro na Yohana, akawaagiza, ``Nendeni mkatuandalie chakula cha Pasaka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Pasaka ya Wayahudi&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kut 12: 21 Ndipo Mose akawaita wazee wote wa Israeli na kuwaambia, ‘‘Nendeni mara moja mkachague wanyama kwa ajili ya jamaa zenu mkachinje mwana kondoo wa Pasaka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kut 12:5 Kila mwanamume kifungua mimba katika Misri atakufa, kuanzia mzaliwa wa kwanza wa kiume wa Farao, aketiye penye kiti cha ufalme, hadi mzaliwa wa kwanza wa kiume wa mtumwa wa kike, anayesaga nafaka kwa jiwe, pamoja na kila mzaliwa wa kwanza wa mifugo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kut 12:8 Usiku huo huo watakula nyama iliyookwa kwenye moto, pamoja na mboga chungu za majani na mikate isiyotiwa chachu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;== == ==&lt;br /&gt;Aya  zilizooneshwa hapo juu zinajulisha kuwa Pasaka ya Wayahudi walitumia mnyama mwenye miguu minne, mkate usiotiwa chachu, na mboga chungu&lt;br /&gt;== == ==&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;PASAKA YA KIKRISTO- NI YESU KRISTO MWENYEWE&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1 Kor 5:7-8   7Ondoeni chachu ya zamani ili mpate kuwa donge lisilo na chachu, kama mnavyotakiwa kuwa. Kwa maana Kristo ambaye ndiye Mwana-kondoo wetu wa Pasaka amekwisha tolewa kama dhabihu. 8Kwa hiyo, tusherehekee sikukuu hii, sio kwa chachu ya zamani, chachu ya nia mbaya na uovu bali kwa mkate usiotiwa hamira, wa moyo safi na kweli&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yoh 1:29 Kesho yake Yohana alimwona Yesu akimjia akasema, ``Tazameni! Huyu ndiye Mwana-Kondoo wa Mungu anayeondoa dhambi ya ulimwengu!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ufunuo 5:8-9.  8Alipokwisha kuichukua ile hati, wale viumbe wanne pamoja na wale wazee ishirini na wanne walianguka mbele ya yule Mwana-Kondoo. Kila mmoja wao alikuwa na kinubi, nao walikuwa wameshika mabakuli ya dhahabu yaliyojaa ubani , ambao ni maombi ya watu wa Mungu. 9Nao wakaimba wimbo mpya: ``Wewe unastahili kuichukua hati na kuifungua mihuri yake. Kwa sababu wewe uliuawa na kwa damu yako ukamnunulia Mungu watu kutoka katika kila kabila na kila lugha; watu wa kila jamaa na kila taifa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mat 26:26-28.  26Walipokuwa wanakula, Yesu akachukua mkate, akashukuru, akaumega, akawapa wanafunzi wake akisema, ``Chukueni mle; huu ni mwili wangu.'' 27Kisha akachukua kikombe, akashukuru, akawapa akisema, ``Kunyweni nyote katika kikombe hiki. 28Hii ni damu yangu ya agano ambayo inamwagika kwa ajili ya wengi ili wasame hewe dhambi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Luka 22:14-20  14Wakati ulipofika Yesu akaketi mezani pamoja na wanafunzi wake kumi na wawili. 15Kisha akawaambia Nimetamani mno kuila Pasaka hii pamoja nanyi kabla ya kuteswa kwangu. 16Kwa maana, nawaambieni, hii ni mara yangu ya mwisho kula Pasaka mpaka maana halisi ya Pasaka itakapokamilika katika Ufalme wa Mungu 17Akapokea kikombe cha divai akashukuru, akasema, ``Chukueni mnywe wote. 18Kwa maana, nawaambieni, tangu sasa sitakunywa tena divai hadi Ufalme wa Mungu utakapokuja.  19Kisha akachukua mkate, akashukuru, akaumega, akawapa akisema, Huu ni mwili wangu unaotolewa kwa ajili yenu; fanyeni hivi kwa kunikumbuka mimi. 20Vivyo hivyo baada ya kula, aka chukua kile kikombe cha divai akasema, ``Hiki kikombe ni agano jipya katika damu yangu, inayomwagika kwa ajili yenu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;= = = &lt;br /&gt;Pasaka katika Agano Jipya, Yesu  ndiye Mwanakondoo mwenyewe wa Pasaka asiye na ila wala waa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;= = =&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Muda wa kufa kwa mwanakoondoo wa Pasaka, Yesu&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika Agano la Kale mwanakondoo alitakiwa kuchinjwa jioni&lt;br /&gt;Kut 12:6 Tunzeni wanyama hao mpaka siku ya kumi na nne ya mwezi, ambapo lazima watu wa jumuiya yote ya Israeli wachinje wanyama hao wakati wa jioni..&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika Agano Jipya mwanakondoo aliuwawa jioni ili kutimiza taratibu za Pasaka&lt;br /&gt;Mat 27: 45-50.   45 Tangu saa sita mchana mpaka saa tisa, nchi nzima ilikuwa giza. 46Mnamo saa tisa Yesu akalia kwa sauti kuu, ``Eli, Eli lama sabakthani?'' Yaani, ``Mungu wangu, Mungu wangu, mbona ume niacha?''  47Baadhi ya watu waliokuwa wamesimama hapo waliposikia haya walisema, ``Anamwita Eliya!'' 48Mmoja wao akaenda mbio akaleta sponji akaichovya kwenye siki akaiinua kwa mwanzi akamwekea mdo moni. 49Lakini wengine wakasema, ``Hebu tuone kama Eliya ata kuja kumwokoa.'' [Na mwingine akachukua mkuki akamchoma ubavuni, pakatoka maji na damu]. 50Yesu akalia tena kwa sauti kuu, kisha akakata roho.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Marko 15:33-37   33Ilipofika saa sita, giza lilikumba nchi nzima kwa muda wa saa tatu. 34Ilipofika saa tisa, Yesu akalia kwa sauti kuu ``Eloi, Eloi lama Sabaktani?'' Yaani, ``Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?'' 35Baadhi ya watu waliokuwa wanasimama karibu waliposikia maneno hayo, walisema, ``Mnamsikia? Anamwita &lt;br /&gt;   36Mtu mmoja akaenda mbio, akachovya sponji kwenye divai na siki, akaiweka kwenye ufito akamwinulia Yesu ili anywe huku akisema, ``Hebu tuone kama Eliya atakuja kumshusha kutoka msala bani!'' &lt;br /&gt;   37Yesu akatoa sauti kuu, akakata roho. 38Pazia la hekalu likapasuka vipande viwili kuanzia juu hadi chini. &lt;br /&gt;Luk 23:44-47.  44Ilikuwa kama saa sita mchana. Kukawa na giza nchi nzima mpaka saa tisa, 45kwa maana jua liliacha kutoa nuru. Pazia la Hekalu likapasuka katikati kukawa na vipande viwili. 46Yesu akapaza sauti akasema, ``Baba, mikononi mwako ninaikabidhi roho yangu.'' Baada ya kusema haya, akakata roho. &lt;br /&gt;   47Mkuu wa maaskari alipoona yaliyotokea, akamsifu Mungu akasema, ``Hakika, mtu huyu alikuwa mwenye haki.'' &lt;br /&gt;Mat 1:21 Naye atamzaa mtoto wa kiume, nawe utamwita jina lake Yesu; kwa maana yeye ndiye atakayewaokoa watu wake kutoka katika dhambi zao.''&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ebr 9:11-14 11Kristo alipokuja kama kuhani mkuu wa mambo mema ambayo tayari yamekwisha wasili, alipitia kwenye hema ya kuabudia ambayo ni kuu zaidi na bora zaidi na ambayo haikujengwa na binadamu, yaani ambayo si sehemu ya ulimwengu huu ulioumbwa. 12Yeye aliingia patakatifu pa patakatifu mara moja tu kwa wakati wote, akichukua, si damu ya mbuzi na ndama, bali damu yake mwenyewe, na hivyo kutupatia ukombozi wa milele.  13Kwa maana ikiwa damu ya mbuzi na mafahali na majivu ya ndama hunyunyizwa juu ya watu wachafu kidini ikawatakasa kwa kuwaondolea uchafu wao wa nje, 14damu ya Kristo ambaye kwa njia ya Roho wa milele alijitoa mwenyewe kwa Mungu kama sadaka isiyokuwa na doa, itazisafisha dhamiri zetu zaidi sana kutokana na matendo yaletayo kifo, na kutuwezesha kumtumikia Mungu aliye hai.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Ebr 9:24-26 24Kwa maana Kristo hakuingia kwenye hema ya kuabudia iliyotengenezwa na bina damu kama mfano wa hema halisi. Yeye aliingia mbinguni penyewe, ambapo sasa anatuwakilisha mbele za Mungu. 25Wala hakuingia mbinguni kujitoa mwenyewe mara kwa mara, kama kuhani mkuu ain giavyo Patakatifu pa Patakatifu kila mwaka na damu ambayo si yake. 26Ingekuwa hivyo, ingalimpasa Kristo kuteswa mara nyingi tangu kuumbwa kwa ulimwengu. Lakini ilivyo ni kwamba ametokea mara moja tu kwa wakati wote, katika siku hizi za mwisho, ili atokomeze dhambi kwa kujitoa mwenyewe kuwa dhabihu.&lt;br /&gt;Ebr 10:8-10  8Kwanza alisema, ``Dhabihu na sadaka, sadaka za kuteketezwa wala sadaka zitolewazo kwa ajili ya dhambi hukutaka, wala huku pendezwa nazo,'' ingawa hizi zilitolewa kwa mujibu wa sheria. 9Kisha akasema, ``Niko hapa, nimekuja kutimiza mapenzi yako.'' Anaweka kando ule utaratibu wa kwanza na kuanzisha utaratibu wa pili. 10Na kwa mapenzi hayo, sisi tumetakaswa kwa njia ya sadaka ya mwili wa Yesu Kristo alioutoa mara moja tu, kwa wakati wote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;== == ==&lt;br /&gt;Waislamu huamini kuwa Isa a.s ndiye Yesu Kristo, jambo hilo halina ukweli wowote. Endelea kufuatilia kibaraza hiki ili kujua utofauti wao&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-8939676377568726504?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/8939676377568726504/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=8939676377568726504' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/8939676377568726504'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/8939676377568726504'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2010/04/waislamu-wanasema-hakuna-pasaka.html' title='WAISLAMU WANASEMA HAKUNA PASAKA'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-6121531586907280208</id><published>2010-04-02T23:55:00.000-07:00</published><updated>2010-04-02T23:58:31.668-07:00</updated><title type='text'>Bakwata calls on Muslims to strike against Switzerland</title><content type='html'>THE National Muslim Council of Tanzania (BAKWATA) has appealed to Muslims and those standing for peace worldwide to strike against Switzerland.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;By JAFFAR MJASIRI, 2nd April 2010 &lt;br /&gt;Read more at http://www.dailynews.co.tz/home/?n=8733&amp;cat=home&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-6121531586907280208?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/6121531586907280208/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=6121531586907280208' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/6121531586907280208'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/6121531586907280208'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2010/04/bakwata-calls-on-muslims-to-strike.html' title='Bakwata calls on Muslims to strike against Switzerland'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-8828046790965498122</id><published>2010-04-02T23:32:00.000-07:00</published><updated>2010-04-02T23:49:57.775-07:00</updated><title type='text'>BAKWATA YAITENGA USWISI</title><content type='html'>BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA)limetangaza kususia bidhaa  na huduma zote zizalishwazo na kutolewa na nchi ya Uswisi kwa kile ilichokiita njama za nchi hiyo kuukandamiza Uislamu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;BAKWATA imewataka Waislamu wote nchini na duniani kutoshirikiana na nchi ya Uswisi katika nyanja zote za kisiasa, kiuchumi kibiashara na masuala yote ya jamii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Habari kamili soma Tanzania Daima, toleo na 1947 Jumamosi April 3,2010, www.freemedia.co.tz&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-8828046790965498122?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/8828046790965498122/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=8828046790965498122' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/8828046790965498122'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/8828046790965498122'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2010/04/bakwata-yaitenga-uswisi.html' title='BAKWATA YAITENGA USWISI'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-2975327993186228007</id><published>2010-04-02T03:54:00.001-07:00</published><updated>2010-10-30T03:03:59.202-07:00</updated><title type='text'>WELCOME TO THE PLATFORM OF DISCOVERING THE TRUE WAY (RELIGION) TO THE TRUE ALMIGHTY GOD</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;ISLAM:&lt;/span&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Spiritually Myth,Historically False,Mathematically Absurd!&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;. This is what a person with integrity can say about it,as this mystical of Islam compared to Christianity as many Muslims propagate today. READ MORE...&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;15Bear in mind that our Lord's patience means salvation, just as our dear brother Paul also wrote you with the wisdom that God gave him. 16He writes the same way in all his letters, speaking in them of these matters. His letters contain some things that are hard to understand, which ignorant and unstable people distort, as they do the other Scriptures, to their own destruction.  17Therefore, dear friends, since you already know this, be on your guard so that you may not be carried away by the error of lawless men and fall from your secure position. 2 Peter 3:15-17 (New International Version)&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;We wish you all the best in finding the truth and may Almighty God bless you.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-2975327993186228007?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/2975327993186228007/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=2975327993186228007' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/2975327993186228007'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/2975327993186228007'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2010/04/welcome-to-platform-of-discovering-true.html' title='WELCOME TO THE PLATFORM OF DISCOVERING THE TRUE WAY (RELIGION) TO THE TRUE ALMIGHTY GOD'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-3311832396258333797.post-4356507707237351430</id><published>2010-04-02T02:43:00.000-07:00</published><updated>2010-04-02T03:53:55.457-07:00</updated><title type='text'>KARIBUNI KWENYE UWANJA WA KUJUA NJIA (DINI) YA KWELI</title><content type='html'>Karibuni kwenye uwanja wa mafundisho sahihi yanayoweza kukusaidia kujua njia ya kweli ya kumfikia Mwenyezi Mungu. Mungu aliweka njia moja inayotakiwa kufuatwa na wanadamu wote ili waweze kufika kwake. Hata  hivyo, wanadamu kutokana na nguvu wasizozielewa wamevumbua njia zao wenyewe. Fuatilia Blog hii ili upate ukweli , na ukweli wala si vinginevyo, kutokana na kuwa ilishatabiriwa kuwa kutakuwa na upotoshaji juu ya ukweli wa neno la Mungu na njia sahihi ya kumfikia Yeye, kama tunavyoona katika Maandiko Matakatifu ya Biblia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;h4 style="text-align: justify;"&gt;&lt;span style="font-size: 10pt; font-family: &amp;quot;Century Gothic&amp;quot;; color: black; font-weight: normal;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/h4&gt;  &lt;p class="MsoBodyText3"&gt;&lt;span style="font-size: 10pt; font-family: &amp;quot;Century Gothic&amp;quot;; color: black;"&gt;"Nanyi uhesabuni uvumilivu wa Bwana wetu kuwa ni wokovu, kama vile ndugu yetu mpenzi Paulo alivyowaandikia kwa hekima aliyopewa; vile vile kama katika nyaraka zake zote pia, akitoa humo habari za mambo hayo;&lt;span style=""&gt;  &lt;/span&gt;Katika nyaraka hizo yamo mambo ambayo ni vigumu kuelewana nayo; na mambo hayo watu wasio na elimu, wasio imara, huyapotoa kama vile wayapotoavyo na maandiko mengine, kwa uvunjifu wao wenyewe. Basi, wapenzi mkitangulia kuyajua hayo, jilindeni nafsi zenu, msije mkachukuliwa na kosa la hao wahalifu mkaanguka na kuacha uthibitifu wenu". &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;meta equiv="Content-Type" content="text/html; charset=utf-8"&gt;&lt;meta name="ProgId" content="Word.Document"&gt;&lt;meta name="Generator" content="Microsoft Word 11"&gt;&lt;meta name="Originator" content="Microsoft Word 11"&gt;&lt;link rel="File-List" href="file:///C:%5CDOCUME%7E1%5CBluerise%5CLOCALS%7E1%5CTemp%5Cmsohtml1%5C01%5Cclip_filelist.xml"&gt;&lt;!--[if gte mso 9]&gt;&lt;xml&gt;  &lt;w:worddocument&gt;   &lt;w:view&gt;Normal&lt;/w:View&gt;   &lt;w:zoom&gt;0&lt;/w:Zoom&gt;   &lt;w:punctuationkerning/&gt;   &lt;w:validateagainstschemas/&gt;   &lt;w:saveifxmlinvalid&gt;false&lt;/w:SaveIfXMLInvalid&gt;   &lt;w:ignoremixedcontent&gt;false&lt;/w:IgnoreMixedContent&gt;   &lt;w:alwaysshowplaceholdertext&gt;false&lt;/w:AlwaysShowPlaceholderText&gt;   &lt;w:compatibility&gt;    &lt;w:breakwrappedtables/&gt;    &lt;w:snaptogridincell/&gt;    &lt;w:wraptextwithpunct/&gt;    &lt;w:useasianbreakrules/&gt;    &lt;w:dontgrowautofit/&gt;   &lt;/w:Compatibility&gt;   &lt;w:browserlevel&gt;MicrosoftInternetExplorer4&lt;/w:BrowserLevel&gt;  &lt;/w:WordDocument&gt; &lt;/xml&gt;&lt;![endif]--&gt;&lt;!--[if gte mso 9]&gt;&lt;xml&gt;  &lt;w:latentstyles deflockedstate="false" latentstylecount="156"&gt;  &lt;/w:LatentStyles&gt; &lt;/xml&gt;&lt;![endif]--&gt;&lt;style&gt; &lt;!--  /* Font Definitions */  @font-face 	{font-family:"Century Gothic"; 	panose-1:2 11 5 2 2 2 2 2 2 4; 	mso-font-charset:0; 	mso-generic-font-family:swiss; 	mso-font-pitch:variable; 	mso-font-signature:647 0 0 0 159 0;}  /* Style Definitions */  p.MsoNormal, li.MsoNormal, div.MsoNormal 	{mso-style-parent:""; 	margin:0in; 	margin-bottom:.0001pt; 	mso-pagination:widow-orphan; 	font-size:12.0pt; 	font-family:"Times New Roman"; 	mso-fareast-font-family:"Times New Roman";} h4 	{mso-style-next:Normal; 	margin:0in; 	margin-bottom:.0001pt; 	mso-pagination:widow-orphan; 	page-break-after:avoid; 	mso-outline-level:4; 	font-size:12.0pt; 	font-family:"Times New Roman";} p.MsoBodyText3, li.MsoBodyText3, div.MsoBodyText3 	{margin:0in; 	margin-bottom:.0001pt; 	text-align:justify; 	mso-pagination:widow-orphan; 	font-size:12.0pt; 	font-family:"Times New Roman"; 	mso-fareast-font-family:"Times New Roman"; 	font-style:italic; 	mso-bidi-font-style:normal;} @page Section1 	{size:8.5in 11.0in; 	margin:1.0in 1.25in 1.0in 1.25in; 	mso-header-margin:.5in; 	mso-footer-margin:.5in; 	mso-paper-source:0;} div.Section1 	{page:Section1;} --&gt; &lt;/style&gt;&lt;!--[if gte mso 10]&gt; &lt;style&gt;  /* Style Definitions */  table.MsoNormalTable 	{mso-style-name:"Table Normal"; 	mso-tstyle-rowband-size:0; 	mso-tstyle-colband-size:0; 	mso-style-noshow:yes; 	mso-style-parent:""; 	mso-padding-alt:0in 5.4pt 0in 5.4pt; 	mso-para-margin:0in; 	mso-para-margin-bottom:.0001pt; 	mso-pagination:widow-orphan; 	font-size:10.0pt; 	font-family:"Times New Roman"; 	mso-ansi-language:#0400; 	mso-fareast-language:#0400; 	mso-bidi-language:#0400;} &lt;/style&gt; &lt;![endif]--&gt;  &lt;/p&gt;&lt;h4 style="text-align: justify; font-weight: bold;"&gt;&lt;span style="font-size: 10pt; font-family: &amp;quot;Century Gothic&amp;quot;; color: black; font-weight: normal;"&gt;2 Petro 3:15-17.&lt;/span&gt;&lt;/h4&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-size: 10pt; font-family: &amp;quot;Century Gothic&amp;quot;; color: black;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;p&gt;&lt;/p&gt;  &lt;meta equiv="Content-Type" content="text/html; charset=utf-8"&gt;&lt;meta name="ProgId" content="Word.Document"&gt;&lt;meta name="Generator" content="Microsoft Word 11"&gt;&lt;meta name="Originator" content="Microsoft Word 11"&gt;&lt;link rel="File-List" href="file:///C:%5CDOCUME%7E1%5CBluerise%5CLOCALS%7E1%5CTemp%5Cmsohtml1%5C03%5Cclip_filelist.xml"&gt;&lt;o:smarttagtype namespaceuri="urn:schemas-microsoft-com:office:smarttags" name="City"&gt;&lt;/o:smarttagtype&gt;&lt;o:smarttagtype namespaceuri="urn:schemas-microsoft-com:office:smarttags" name="place"&gt;&lt;/o:smarttagtype&gt;&lt;!--[if gte mso 9]&gt;&lt;xml&gt;  &lt;w:worddocument&gt;   &lt;w:view&gt;Normal&lt;/w:View&gt;   &lt;w:zoom&gt;0&lt;/w:Zoom&gt;   &lt;w:punctuationkerning/&gt;   &lt;w:validateagainstschemas/&gt;   &lt;w:saveifxmlinvalid&gt;false&lt;/w:SaveIfXMLInvalid&gt;   &lt;w:ignoremixedcontent&gt;false&lt;/w:IgnoreMixedContent&gt;   &lt;w:alwaysshowplaceholdertext&gt;false&lt;/w:AlwaysShowPlaceholderText&gt;   &lt;w:compatibility&gt;    &lt;w:breakwrappedtables/&gt;    &lt;w:snaptogridincell/&gt;    &lt;w:wraptextwithpunct/&gt;    &lt;w:useasianbreakrules/&gt;    &lt;w:dontgrowautofit/&gt;   &lt;/w:Compatibility&gt;   &lt;w:browserlevel&gt;MicrosoftInternetExplorer4&lt;/w:BrowserLevel&gt;  &lt;/w:WordDocument&gt; &lt;/xml&gt;&lt;![endif]--&gt;&lt;!--[if gte mso 9]&gt;&lt;xml&gt;  &lt;w:latentstyles deflockedstate="false" latentstylecount="156"&gt;  &lt;/w:LatentStyles&gt; &lt;/xml&gt;&lt;![endif]--&gt;&lt;!--[if !mso]&gt;&lt;object classid="clsid:38481807-CA0E-42D2-BF39-B33AF135CC4D" id="ieooui"&gt;&lt;/object&gt; &lt;style&gt; st1\:*{behavior:url(#ieooui) } &lt;/style&gt; &lt;![endif]--&gt;&lt;style&gt; &lt;!--  /* Style Definitions */  p.MsoNormal, li.MsoNormal, div.MsoNormal 	{mso-style-parent:""; 	margin:0in; 	margin-bottom:.0001pt; 	mso-pagination:widow-orphan; 	font-size:12.0pt; 	font-family:"Times New Roman"; 	mso-fareast-font-family:"Times New Roman";} @page Section1 	{size:8.5in 11.0in; 	margin:1.0in 1.25in 1.0in 1.25in; 	mso-header-margin:.5in; 	mso-footer-margin:.5in; 	mso-paper-source:0;} div.Section1 	{page:Section1;} --&gt; &lt;/style&gt;&lt;!--[if gte mso 10]&gt; &lt;style&gt;  /* Style Definitions */  table.MsoNormalTable 	{mso-style-name:"Table Normal"; 	mso-tstyle-rowband-size:0; 	mso-tstyle-colband-size:0; 	mso-style-noshow:yes; 	mso-style-parent:""; 	mso-padding-alt:0in 5.4pt 0in 5.4pt; 	mso-para-margin:0in; 	mso-para-margin-bottom:.0001pt; 	mso-pagination:widow-orphan; 	font-size:10.0pt; 	font-family:"Times New Roman"; 	mso-ansi-language:#0400; 	mso-fareast-language:#0400; 	mso-bidi-language:#0400;} &lt;/style&gt; &lt;![endif]--&gt;&lt;span style="font-size: 12pt; font-family: &amp;quot;Times New Roman&amp;quot;;"&gt;Nakutakieni ufuatiliaji Mwema, Mungu awabariki &lt;st1:city st="on"&gt;&lt;st1:place st="on"&gt;sana&lt;/st1:place&gt;&lt;/st1:city&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/3311832396258333797-4356507707237351430?l=findtruefaith.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://findtruefaith.blogspot.com/feeds/4356507707237351430/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=3311832396258333797&amp;postID=4356507707237351430' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/4356507707237351430'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/3311832396258333797/posts/default/4356507707237351430'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://findtruefaith.blogspot.com/2010/04/karibuni-kwenye-uwanja-wa-kujua-njia.html' title='KARIBUNI KWENYE UWANJA WA KUJUA NJIA (DINI) YA KWELI'/><author><name>Daniel Mwankemwa</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00702934370622838035</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-sc4TRoX0C4A/TnhO2D-ga9I/AAAAAAAAAEU/ZPV2pXG5Hws/s220/Daniel.JPG'/></author><thr:total>0</
